NGWAIR ALINIFUTISHA MISTARI YANGU | NILIKUA 2 PAC | SIMUWEZI JAMAA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Wangap tumeskiliza tena ngoma ya cnn baada ya kuangalia interview hii😁😁
Mule mule hata mimi
Mimi aseee
Nahis ni wewe pekeee
Nimo
Straight kwenye search bar baada ya hii..
Nipo around Mazeeee..... Unyamaaaa ! All time greatest rapper ever
Usipitwe na hii, Pitia ufundi huu alafu nambie, ruclips.net/video/By9CmvPOy7M/видео.html
Usipitwe na hii, Pitia ufundi huu alafu nambie, ruclips.net/video/By9CmvPOy7M/видео.html
Cjawahi kucomment kbs kipindi hiki ila leo mhh hapana huyu jamaa mtu na nusu mnyama chuma like kama zote kwa FDQ
Fid q ni kichwa madini
FIDQ is a heavyweight rapper!!! Lakini huyu marehemu Ngweir alikuwa balaa kijana mwepesi kuflow anachana sana
Ngweir kama BobMarley vile haitaji siku,mahali ama sijui nini...yeye mpe beat utaona akiflow.
Ngweir rest in peace mazee.
Daaah rest in peace albert mangwear✊🏿
Wewe ulkua umekutana na fleg respect the legend farid
R.I.P Ngwea🙏🏼❤️
R.I.P Albert Mangwair mwamba wa H.o.P Tz in Century21 like za kutosha on behalf of Albert Mangwair
Ngwea is big rapper rest and peace
NGweya chafu isiyo chafuka wewe😢😢😢
Always vichwa vnavyotoka Morogoro so conscious
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mangwear tutakukumbuka
Dahhhh
Albert👑
Nani ameona fid p kwenye pensi lake:
ana busha
Hahaha ® 🇹🇿
Fd q
Kiufupi Fid Q anathibitisha, CNN iliandaliwa studio ndani ya siku moja kwa freestyl na wasanii wenye uwezo wa juu zaidi wakishirikiana na producer bora kabisa kuwahikutokea.
FARIDI KUBANDA( FID Q) ulikuwa unampenda sana NGWEA mpaka naona Ulivo na uchungu ndani yako !
Banae kaka,, umeona💯☝️mpka we mwenyewe malaika inasisismka😢
@@Ali-gk5mv ndio ndio kaka
Ngwea alikuwa na kichwa chepesi sana sio Fid Q tu hata Chid Benz alirudia mistari kwenye spedi 120
Daah,nimesikiliza verses mpk nimesisimka mwili rip gwear🔥🔥
Usipitwe na hii, Pitia ufundi huu alafu nambie, ruclips.net/video/By9CmvPOy7M/видео.html
Nakumbuka 2004 nilikua narap ngoma za fid q daaah teacher alinikamata nikala bakola xana Fareed namkubali xana
Mangwea alikuwa kichwa ✊✊ R I P legend
Sijui mara ya mia ngapi nairudia hii interview😀😀
..ulifuta mistari na bado ukazidiwa😂🤣😂
Roll In Peace Mangwear😭
Genius rapper. Rest In Peace Cow Obama
This why hip hop is our doctrine and was created for intelligent musicians. Rapping is not the purpose, but content/lyrics is what makes you genius.
We have so many rappers who don't sound lyrical at all. Well said mate
Hip hop huwa ina mafeelings sana basi tu bongo haijapata bahati ya kupendwa kiviiile
CCN ngoma haichuji hii salute
Rip legend ngwea ...bado mpaka hakujapatikana pengo lako
Hahahahahhaaaaahahahahhaahhaaah... Yani watu wana doh, mpaka sooh, na bado deile wana get moh... We miss you NGWEA
The Regend speaking huwa nikimskiliza Fq najiona kama nipo studio kabisaaaaa live yaani namuona kabisa, RIP Ngwear
Regend ndio nini?
Hakuna mtu ataliziba pengo la ngwea
Cjui kwann watu kama ngwear kama 2Pac wanaendaga mapema
R.I.P Albert Mangwair mwamba wa H.o.P Tz in Century21 like za kutosha on behalf of Albert Mangwair
Ungechana iyo verse ambayo uliifuta tuisikie. Km vp ingependeza sana
Tz mangwea is the best
Rest in peace ngwea
Ila Bado ulifunikwa tu kaka
KAMA HYO VERSE BADO IPO TUNAOMBA MUIACHIE HIYO NGOMA TUISIKIE.....dah r.I.p Ngwair
Ngwair was genius
Ngwair ni Smart Genius Rapper.
Trueee
Hata mm Rasta hapa kwa Mangweir nimemvulia kofia huyu jamaa alikua moto
Ngwea rip 🙏🙏🙏
Napendaga kila siku media zote zimuhoji FID Q
Mangwear mtoto wa Dom __R I P
Hakuna kama ngwear 😰🔥🔥
Kwa Godzilla pia ulikubali💥
Godzilla ilikuwa noma
Ka-weezy #Rip Ngwair
Salute sana asee uyu jamaa ni sumu
Mbona ujasema alivokuwa mzima Ngwea.
Umetisha.
Love you broooooooooooooooooooooo ww ni hatarrrrrrrr mnooooo
Wana hip hop wana kuwa na kumbu kumbu sana yaan
Wana hip hop mungu kawabark kwa kumbukumbu
Mzee MBUZI🤭🤘
Fid nimekukbal umekua muwaz
R.I.P KaObama
"kisa hujawahi pigwa boo basi unajiona tupaaaac"
Fid q ni faza wa hiphop
😂😂🤣🤣🤣🤣 Noma sana
Fid wew mnyamwez
Zuchu kapata ajali tumuombeeruclips.net/video/lmpA8RdJJZg/видео.html
Wanangu wafaida
Fid
Nakubali fid q.
Big respect FID Q
Rip ngwear😭
rest in peace magwair
Ngwea alikuwa kiboko🔥🔥🔥
Farid Kubandaaaa
Musukuma mjanja Sana huyu dah fdq
🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Fid Q simba wami chanooo
Fid q pia aliua
Ila bado alikalishwa
@@haroubabuu1144 verse ya fid q ni kali sana, mpe sifa akiwa ahi, usigoje mtu afe ndo useme alikuwa alikuwa
Mzee Mbuziii
Rip Gwair😭🙏
Hiyo verce ya CNN kwa nini aliimba tofauti Na maudhui ya wimbo
Ashachanganyikiwa kafunikwa😂😂😂
Rip gwair
Rest In paradise
ngwea chumah kile
Rip Mangweir..
Og
Mnyama
👏👏👏👏👏👏
Fid Q
Umelitangaza Jiji la Dodoma
R.I.P Ngwea the Legendary
😂😂😂😂
😭😭😭😭😭
Rip mangwea
Big up sana kubanda
Respect sana.
Rip ngwea
🇧🇷🇧🇷🇹🇿🤙
Nakubali 💪💪 xan
Usipitwe na hii, Pitia ufundi huu alafu nambie, ruclips.net/video/By9CmvPOy7M/видео.html