Ila nimeona kama mazingira haija fanana na Aina za michezo(actions) ila ki ukweli African tuji amini, tuna weza pia... Na penda mziki, ila piya hili limenifuraisha Sana..hasa Kutokana nakuto ku amini kuwa mchezo huu hufanywa na watu wa kawaida, big up man💪🇿🇦🇨🇩
🍁Daah hivi unajua hata sijaelewa hizi dkk 42 zimeishaje 😂😂😂😂 .......Hawa jamaa wametisha sana ila binafsi naamin kwenye muendelezo (consistency) na kuto kukatishwa tamaa kwa kufanya kitu unachokipenda na hii imejidhihirisha kwa #AjentBavo "four years" sio kitu kidogo kupambania kazi yako ikamilike tuone. Ipo siku watu watajitokeza na ku-support kazi zao. Once again asante sana brother Sky na team nzima ya SnS kwa kuzidi kuibua vitu vizuri kila kukicha🍁.👏👏
Yaaan #sky unamfanya jamaa afunguke zaid.interview zako ni very proffessional yaaana daaaah we jamaa Mungu akuweke mbali zaidi Na hiii #SNS ni bonge la Television lijalo Keep working bro
Bavo muongo,kiukweli anajua sana,ila swala la kusema kajifundisha kwenye mitandao,ni uwongo sana,martial art ni sanaaa ina taratibu zake kuijua,hadi ukae sawa,kwenye mitandao huwezi kupata kila kitu
Nadhani IPO siku action movies za kibongo siku moja zitakuja kilitangaza taifa vizuri sana. Cha msingi tu watu kama hawa wasikate tamaa hata kama wanapitia mazingira ya ukata. Otherwise they are good.
Embu km wewe ni shabiki wa sns tokea ilipokua ina subscribers 10 njoo hapa Kuna jambo tujadili kidogo , na km wewe ni shabiki wa sky tok akiwa bongo 5, akiwa dizim online na rfa njoo hapa kunajambo , ila kwa walioko dar tu , sisi mashabiki lialia tokea tunampenda sky hata jina smartphone hatulijui tunatumia vitochi mpka leo tuko nae njooni hapa kunajambo, na mimi ndo mwenyekiti wa fansi wote wa sns kuanzia leeo
Tunafuatilia movie za action Embu tujuane kwa like
Aise bro uyu jamaa mm namkubali sana embu nipeni like zangu kama umemuona Boyka wa tz
Agent scott bavo adikins a k a boyka 👍
Wabongo cjh tunakwama wap wenye fedha mwageni mpunga kwa huyu mshkaj yupo good san
Ila nimeona kama mazingira haija fanana na Aina za michezo(actions) ila ki ukweli African tuji amini, tuna weza pia... Na penda mziki, ila piya hili limenifuraisha Sana..hasa Kutokana nakuto ku amini kuwa mchezo huu hufanywa na watu wa kawaida, big up man💪🇿🇦🇨🇩
Oooh my goodness 🙆🏼♀️I need a guy like this men 🙊si nitaringaa Miye 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣I have too be busy watching he’s movie aisee ,,,love him 😍😍😍😍😍😍😍😍
Tunaomba Workshop ianzishwe hapa bongo aisee itatusaidia sn Ss Wasanii kukuza na Kuboresha tasnia ya Bongo Movie mbl Kimataifa zaid 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
wow this my africans guys, sisi wafrika twaweza. God bless africa
Amin kwamba nakubari Sana kwasabababu nakiangaria ninachopenda vijana wakitanzania tunachotakiwa kufanya
tz munakipaji sana kazi mbele songeni
Namkubali Sana jamaa hajawah kuharibu💥💥💥
Huyu jamaa ni hatariiiiiii sana mzeee !!!! Tupo wachache sana hii nchi 😊😊😊
Tupo Mimi,,wewe na yeye
@@kisabihamadi7555 hapo sawaa ndo maana ya uchache 😁😁😁
Umeni sahau mzee baba🤣🤣
Me naweza sana izo vitu bhs tu ndo ivo vipaji vyetu vinapotea
Namkubali sana Ajent Bavo
Asante kwa kutuletea uyu
Juma lokole anakera muno anastahili kupigwa 🔥🔥🔥🔥
Daaaaaah kaka wewe ni moto achanikulipe pesa ukanipigeye jumalokole 🚴♀️🚴♀️🚴♀️🚴♀️
Kafanyaje lokole
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zanguu
😅😅
Jamàa yupo sawaaaa anahtaj support
Kweli naamini Tanzania kuna vipaji nime amini🇨🇩🇿🇦
🍁Daah hivi unajua hata sijaelewa hizi dkk 42 zimeishaje 😂😂😂😂
.......Hawa jamaa wametisha sana ila binafsi naamin kwenye muendelezo (consistency) na kuto kukatishwa tamaa kwa kufanya kitu unachokipenda na hii imejidhihirisha kwa #AjentBavo "four years" sio kitu kidogo kupambania kazi yako ikamilike tuone. Ipo siku watu watajitokeza na ku-support kazi zao. Once again asante sana brother Sky na team nzima ya SnS kwa kuzidi kuibua vitu vizuri kila kukicha🍁.👏👏
Unatisha sna Agent BAVO keep Fighting, Mungu atazidi kukuongoza nakuku Bless Pia🙏🔥🔥🔥Salut kwako pia Kka Sky
Kwl sio mm tyuu namkubali nyamaume
Daah! aisee Pole sn Agent Bavo Elfu 10 tu aisee...Sanaa ni ngumu sn ila endelea Kupambana zaid bro nakukubali kinomaa
Kak Mi nakukubali sana naiyo nyampal mwishooooo Mungu akuongoze ufanye zaidi
The guy he’s so smart 😀😀😀like my best actor in the world scott Adkins,,a Tanzanian boyka 😂😂😂😂
For sure
Lugano Mwangosi yeah
Dah action ya tanzania ni real imaging tukiletewa zile modification za wazungu wakiwa studio yaani tutakua juu kuliko hata hizo za kizungu..
Safi san agent bavo
Dah seba mungu amuponye aisee namugubali Sana na bavo
Agent Bavo to the world
Pamoja sana nimekuelewa,,
Yaaan #sky unamfanya jamaa afunguke zaid.interview zako ni very proffessional yaaana daaaah we jamaa Mungu akuweke mbali zaidi
Na hiii #SNS ni bonge la Television lijalo
Keep working bro
Asante sana mzeee
🔥🔥🔥 bav
Bavo namkubali Sana zaid ya Sana salut kwake
Nyamaume 🔥
Noma sana
Nampenda sana agent bavo kias mtu akimsema vibaya naweza kumvunja nampenda sana
Unaweza sana sky
anicheki tumpe connection, mimi nawesa msaidia aka act kwenye film za kichina na wachina huku china.Jamaa anakipaji kwa kweli.
Kaka bavo ni noma
Wewe ni hatari mwanangu anapenda sana movie zako
Bav big up san bro uckatee tamaaa
one day yes i believe on him CC Ommy 4k
Bravo upo sawa
Unaweza sana
Jamaa anajua sana.Akaze buti sanaa ya Tanzania ina changamoto nyingi asikate tamaa kitahisi.
Kwel mikoani tunakukubali sana ,big up sana
Hapo kwenye ujafundishwa na MTU panipa ukakasi kdgo? Ebu atwambie yeye alijifunzaje bila mwalimu
Nilikua natamani sana interview ya uyi jamaa
Safiii saanaaaa bavo
unaweza sana
Nakubali,Sana huyo jamaa
Namkubali sana
Bavo muongo,kiukweli anajua sana,ila swala la kusema kajifundisha kwenye mitandao,ni uwongo sana,martial art ni sanaaa ina taratibu zake kuijua,hadi ukae sawa,kwenye mitandao huwezi kupata kila kitu
Nakukubali sana agent bavo
Ila uyo kaka anaonekana mpole sna ongela kaka
Huyu ni tony jaa wetu wa bongo
Ongbak hahahaha
Sky unajua sana hongera
Pacha yake boyka
Kwel kabsa nchi yet lazim ishtukee kwaajir ya wasanii
Unajua xana broo
Unatisha kinoma noma brother kama mzm
Na ndio movie zangu za bavo na tony na chibu fiter
Bavo nakubali Sana huyu mchizi
Nadhani IPO siku action movies za kibongo siku moja zitakuja kilitangaza taifa vizuri sana. Cha msingi tu watu kama hawa wasikate tamaa hata kama wanapitia mazingira ya ukata. Otherwise they are good.
Who is a hero
Nilipenda kujuwa vip kuhusu uongeaji wa English a najuwa
Broo na mim niko tayari kama kina movie itamuhitaji mtu
Mimi nampenda sanaa jamaa mpaka Nalia maana napenda sana mambo hayo
Tobi = Mark dacscos
Sasa sisi wanje tunazipataje
Kaka sky ww ninoma sana lil ommy ajipange yule wadrama tu
Embu km wewe ni shabiki wa sns tokea ilipokua ina subscribers 10 njoo hapa Kuna jambo tujadili kidogo , na km wewe ni shabiki wa sky tok akiwa bongo 5, akiwa dizim online na rfa njoo hapa kunajambo , ila kwa walioko dar tu , sisi mashabiki lialia tokea tunampenda sky hata jina smartphone hatulijui tunatumia vitochi mpka leo tuko nae njooni hapa kunajambo, na mimi ndo mwenyekiti wa fansi wote wa sns kuanzia leeo
Yuko vizur kabisa
Boika wa tz😄
Kuna mtu pia anaitwa Issa lito tmt ni mtu na nusu nae katika movies zake
J White anashow vile shotokan karete inafanya na movie zake siyo kama zako ziko na speed ata MTU awezi jua unatumia style gani
michael j wht.....
Jamaa anapiga balaa
ukimchukulia dem wake sijui itakuaje watakuja wanajeshi kuamua 😂😂😂😂
naenda kuicheki bro hiyo ya nani shujaa
Ndo maana agent bavo 1 haiko vzuri Mara sauti pengne haiskikii dah! Walimwengu bhanaa
Yan hapo kina j,plus wote kando ana mkono wa kufa mtu
Jaama yukovizuli sanaa em wenyepesa weken
Natamani kwamfano Kama diamond platinum angeangaria pia upande wapil naamini anaweza kufanya hivyo
Hahaaaaa mawazo yako banaa daaaaah
Huyu jamaa kama muhindi wa kusin
Na mm napenda niwe kama agent bavo
uko vizur kimahojiano
Jamaa ni balaa yani akacheze na Boyka
Mziki mzuri huu wapa karibu kuangalia video yako pendwa
ruclips.net/video/pugyv0XJZiA/видео.html
Pungizeni speed ye editing kitu ionekane really.
mlete ray kigosi
Ataenda womenmataz kule wanaelezea jinsi ya kumakeup
@@singasinga2663 🤣🤣
Unatisha kinoma noma brother kama mzm