AGENT BAVO: Mchawi wa filamu za MAPIGANO anayependwa na wengi, asimulia alichowafanya VIBAKA watatu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2020
  • Bofya link hii kusubscribe channel ya #AgentBavo pamoja na kutazama baadhi ya filamu zake / jonathanjoancy

Комментарии • 111

  • @roi2553
    @roi2553 3 года назад +21

    Tunafuatilia movie za action Embu tujuane kwa like

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 3 года назад +11

    Aise bro uyu jamaa mm namkubali sana embu nipeni like zangu kama umemuona Boyka wa tz

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 3 года назад +8

    Agent scott bavo adikins a k a boyka 👍

  • @tarickadam1615
    @tarickadam1615 3 года назад +9

    Wabongo cjh tunakwama wap wenye fedha mwageni mpunga kwa huyu mshkaj yupo good san

  • @chrisurbancraft5031
    @chrisurbancraft5031 3 года назад +2

    Ila nimeona kama mazingira haija fanana na Aina za michezo(actions) ila ki ukweli African tuji amini, tuna weza pia... Na penda mziki, ila piya hili limenifuraisha Sana..hasa Kutokana nakuto ku amini kuwa mchezo huu hufanywa na watu wa kawaida, big up man💪🇿🇦🇨🇩

  • @messaabbas8346
    @messaabbas8346 3 года назад +6

    Oooh my goodness 🙆🏼‍♀️I need a guy like this men 🙊si nitaringaa Miye 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣I have too be busy watching he’s movie aisee ,,,love him 😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 года назад +2

    Tunaomba Workshop ianzishwe hapa bongo aisee itatusaidia sn Ss Wasanii kukuza na Kuboresha tasnia ya Bongo Movie mbl Kimataifa zaid 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @edwinmaeba7973
    @edwinmaeba7973 3 года назад +2

    wow this my africans guys, sisi wafrika twaweza. God bless africa

  • @linomhamilawa2585
    @linomhamilawa2585 3 года назад

    Amin kwamba nakubari Sana kwasabababu nakiangaria ninachopenda vijana wakitanzania tunachotakiwa kufanya

  • @meezyguilianny7079
    @meezyguilianny7079 2 года назад +1

    tz munakipaji sana kazi mbele songeni

  • @mmangastarboy1251
    @mmangastarboy1251 3 года назад +4

    Namkubali Sana jamaa hajawah kuharibu💥💥💥

  • @westonchibwete3006
    @westonchibwete3006 3 года назад +7

    Huyu jamaa ni hatariiiiiii sana mzeee !!!! Tupo wachache sana hii nchi 😊😊😊

  • @benngailo6395
    @benngailo6395 2 года назад

    Namkubali sana Ajent Bavo

  • @bongotv7120
    @bongotv7120 3 года назад +3

    Asante kwa kutuletea uyu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 года назад +6

    Juma lokole anakera muno anastahili kupigwa 🔥🔥🔥🔥

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 года назад +9

    Daaaaaah kaka wewe ni moto achanikulipe pesa ukanipigeye jumalokole 🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️

  • @harisissa4094
    @harisissa4094 3 года назад

    Jamàa yupo sawaaaa anahtaj support

  • @chrisurbancraft5031
    @chrisurbancraft5031 3 года назад +3

    Kweli naamini Tanzania kuna vipaji nime amini🇨🇩🇿🇦

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 3 года назад +1

    🍁Daah hivi unajua hata sijaelewa hizi dkk 42 zimeishaje 😂😂😂😂
    .......Hawa jamaa wametisha sana ila binafsi naamin kwenye muendelezo (consistency) na kuto kukatishwa tamaa kwa kufanya kitu unachokipenda na hii imejidhihirisha kwa #AjentBavo "four years" sio kitu kidogo kupambania kazi yako ikamilike tuone. Ipo siku watu watajitokeza na ku-support kazi zao. Once again asante sana brother Sky na team nzima ya SnS kwa kuzidi kuibua vitu vizuri kila kukicha🍁.👏👏

  • @bilalybarisesa5206
    @bilalybarisesa5206 3 года назад

    Unatisha sna Agent BAVO keep Fighting, Mungu atazidi kukuongoza nakuku Bless Pia🙏🔥🔥🔥Salut kwako pia Kka Sky

  • @denicymedia1183
    @denicymedia1183 3 года назад +4

    Kwl sio mm tyuu namkubali nyamaume

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 года назад +1

    Daah! aisee Pole sn Agent Bavo Elfu 10 tu aisee...Sanaa ni ngumu sn ila endelea Kupambana zaid bro nakukubali kinomaa

  • @yusuphsaid3467
    @yusuphsaid3467 3 года назад

    Kak Mi nakukubali sana naiyo nyampal mwishooooo Mungu akuongoze ufanye zaidi

  • @messaabbas8346
    @messaabbas8346 3 года назад +3

    The guy he’s so smart 😀😀😀like my best actor in the world scott Adkins,,a Tanzanian boyka 😂😂😂😂

  • @neemaamani293
    @neemaamani293 3 года назад +5

    Dah action ya tanzania ni real imaging tukiletewa zile modification za wazungu wakiwa studio yaani tutakua juu kuliko hata hizo za kizungu..

  • @erickelia9826
    @erickelia9826 3 года назад

    Safi san agent bavo

  • @pascaljoseph1617
    @pascaljoseph1617 3 года назад

    Dah seba mungu amuponye aisee namugubali Sana na bavo

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 года назад +1

    Agent Bavo to the world

  • @kisabihamadi7555
    @kisabihamadi7555 3 года назад +1

    Pamoja sana nimekuelewa,,

  • @singasinga2663
    @singasinga2663 3 года назад +1

    Yaaan #sky unamfanya jamaa afunguke zaid.interview zako ni very proffessional yaaana daaaah we jamaa Mungu akuweke mbali zaidi
    Na hiii #SNS ni bonge la Television lijalo
    Keep working bro

  • @frankamos8388
    @frankamos8388 2 года назад

    🔥🔥🔥 bav

  • @oscararapha7242
    @oscararapha7242 3 года назад

    Bavo namkubali Sana zaid ya Sana salut kwake

  • @frankdavid8865
    @frankdavid8865 3 года назад +3

    Nyamaume 🔥

  • @rajabufuto4428
    @rajabufuto4428 3 года назад

    Noma sana

  • @hillarysalmin2241
    @hillarysalmin2241 3 года назад

    Nampenda sana agent bavo kias mtu akimsema vibaya naweza kumvunja nampenda sana

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 3 года назад

    Unaweza sana sky

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 3 года назад +1

    anicheki tumpe connection, mimi nawesa msaidia aka act kwenye film za kichina na wachina huku china.Jamaa anakipaji kwa kweli.

  • @geoffreyidan9627
    @geoffreyidan9627 3 года назад

    Kaka bavo ni noma

  • @hadijamkilila2048
    @hadijamkilila2048 3 года назад +1

    Wewe ni hatari mwanangu anapenda sana movie zako

  • @omarikaisi608
    @omarikaisi608 3 года назад +1

    Bav big up san bro uckatee tamaaa

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni 3 года назад +1

    one day yes i believe on him CC Ommy 4k

  • @mustafasharif4761
    @mustafasharif4761 3 года назад

    Bravo upo sawa

  • @dnyotanyota9605
    @dnyotanyota9605 3 года назад

    Unaweza sana

  • @emmanuelmussa8331
    @emmanuelmussa8331 3 года назад

    Jamaa anajua sana.Akaze buti sanaa ya Tanzania ina changamoto nyingi asikate tamaa kitahisi.

  • @peternyika3805
    @peternyika3805 3 года назад

    Kwel mikoani tunakukubali sana ,big up sana

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 3 года назад

    Hapo kwenye ujafundishwa na MTU panipa ukakasi kdgo? Ebu atwambie yeye alijifunzaje bila mwalimu

  • @mungamichael9354
    @mungamichael9354 3 года назад +2

    Nilikua natamani sana interview ya uyi jamaa

  • @emanuelmasala4697
    @emanuelmasala4697 3 года назад

    Safiii saanaaaa bavo

  • @michaelboaz8108
    @michaelboaz8108 3 года назад

    unaweza sana

  • @kingmtz5740
    @kingmtz5740 3 года назад

    Nakubali,Sana huyo jamaa

  • @eastzuuzuu7050
    @eastzuuzuu7050 3 года назад

    Namkubali sana

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 2 месяца назад

    Bavo muongo,kiukweli anajua sana,ila swala la kusema kajifundisha kwenye mitandao,ni uwongo sana,martial art ni sanaaa ina taratibu zake kuijua,hadi ukae sawa,kwenye mitandao huwezi kupata kila kitu

  • @fadhilikigwama6651
    @fadhilikigwama6651 3 года назад

    Nakukubali sana agent bavo

    • @asimgkcc2189
      @asimgkcc2189 3 года назад

      Ila uyo kaka anaonekana mpole sna ongela kaka

  • @geofreylucas9469
    @geofreylucas9469 3 года назад +3

    Huyu ni tony jaa wetu wa bongo

    • @roi2553
      @roi2553 3 года назад

      Ongbak hahahaha

  • @abubakaribyabato4384
    @abubakaribyabato4384 3 года назад

    Sky unajua sana hongera

  • @abubakarliviga212
    @abubakarliviga212 3 года назад +1

    Pacha yake boyka

  • @omarikaisi608
    @omarikaisi608 3 года назад +1

    Kwel kabsa nchi yet lazim ishtukee kwaajir ya wasanii

  • @nelxonpkkileo739
    @nelxonpkkileo739 2 года назад

    Unajua xana broo

  • @barakamatias1691
    @barakamatias1691 2 года назад

    Unatisha kinoma noma brother kama mzm

  • @eastzuuzuu7050
    @eastzuuzuu7050 3 года назад

    Na ndio movie zangu za bavo na tony na chibu fiter

  • @leonardmtutuma1738
    @leonardmtutuma1738 3 года назад

    Bavo nakubali Sana huyu mchizi

  • @BidayoTV
    @BidayoTV 3 года назад +1

    Nadhani IPO siku action movies za kibongo siku moja zitakuja kilitangaza taifa vizuri sana. Cha msingi tu watu kama hawa wasikate tamaa hata kama wanapitia mazingira ya ukata. Otherwise they are good.

  • @amosymwema4844
    @amosymwema4844 3 года назад

    Who is a hero

  • @moviesmaster9493
    @moviesmaster9493 3 года назад +1

    Nilipenda kujuwa vip kuhusu uongeaji wa English a najuwa

  • @donedaddy4561
    @donedaddy4561 3 года назад

    Broo na mim niko tayari kama kina movie itamuhitaji mtu

  • @ammiali1113
    @ammiali1113 3 года назад

    Mimi nampenda sanaa jamaa mpaka Nalia maana napenda sana mambo hayo

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 3 года назад +2

    Tobi = Mark dacscos

  • @hadijagere
    @hadijagere 3 года назад +1

    Sasa sisi wanje tunazipataje

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 3 года назад

    Kaka sky ww ninoma sana lil ommy ajipange yule wadrama tu

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi 3 года назад +3

    Embu km wewe ni shabiki wa sns tokea ilipokua ina subscribers 10 njoo hapa Kuna jambo tujadili kidogo , na km wewe ni shabiki wa sky tok akiwa bongo 5, akiwa dizim online na rfa njoo hapa kunajambo , ila kwa walioko dar tu , sisi mashabiki lialia tokea tunampenda sky hata jina smartphone hatulijui tunatumia vitochi mpka leo tuko nae njooni hapa kunajambo, na mimi ndo mwenyekiti wa fansi wote wa sns kuanzia leeo

  • @nelsonmatiku5862
    @nelsonmatiku5862 3 года назад

    Boika wa tz😄

  • @richardjuma7708
    @richardjuma7708 3 года назад +1

    Kuna mtu pia anaitwa Issa lito tmt ni mtu na nusu nae katika movies zake

  • @frankchamba8894
    @frankchamba8894 3 года назад

    J White anashow vile shotokan karete inafanya na movie zake siyo kama zako ziko na speed ata MTU awezi jua unatumia style gani

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 3 года назад

    michael j wht.....

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 3 года назад

    Jamaa anapiga balaa
    ukimchukulia dem wake sijui itakuaje watakuja wanajeshi kuamua 😂😂😂😂

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 3 года назад

    naenda kuicheki bro hiyo ya nani shujaa

  • @amosymwema4844
    @amosymwema4844 3 года назад

    Ndo maana agent bavo 1 haiko vzuri Mara sauti pengne haiskikii dah! Walimwengu bhanaa

  • @munirahassan8578
    @munirahassan8578 3 года назад

    Yan hapo kina j,plus wote kando ana mkono wa kufa mtu

  • @maliamisaya3532
    @maliamisaya3532 3 года назад

    Jaama yukovizuli sanaa em wenyepesa weken

  • @bwendaphares5395
    @bwendaphares5395 3 года назад +1

    Natamani kwamfano Kama diamond platinum angeangaria pia upande wapil naamini anaweza kufanya hivyo

    • @donatimr656
      @donatimr656 3 года назад +1

      Hahaaaaa mawazo yako banaa daaaaah

  • @nasfeisal3723
    @nasfeisal3723 3 года назад +1

    Huyu jamaa kama muhindi wa kusin

  • @fideryrameck5951
    @fideryrameck5951 3 года назад

    Na mm napenda niwe kama agent bavo

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад

    uko vizur kimahojiano

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад

    Jamaa ni balaa yani akacheze na Boyka

  • @nass.pofficial4086
    @nass.pofficial4086 3 года назад

    Mziki mzuri huu wapa karibu kuangalia video yako pendwa
    ruclips.net/video/pugyv0XJZiA/видео.html

  • @frankchamba8894
    @frankchamba8894 3 года назад

    Pungizeni speed ye editing kitu ionekane really.

  • @ellymagere804
    @ellymagere804 3 года назад +1

    mlete ray kigosi

  • @barakamatias1691
    @barakamatias1691 2 года назад

    Unatisha kinoma noma brother kama mzm