Mimi ni mpentekoste ukweli imani ya mafuta maji na viambata imezuka miaka ya 2000s kabla ya hapo tulijivunia jina takatifu la Yesu pekee kutenda miujiza.
SERIKALI INABIDI IINGILIE KATI WAWAKAMATE WAUMINI WOTE WAPELEKWE MILEMBE DODOMA MAANA NAHISI WANAUPUNGUFU WA WA AKILI UNAKUNYWAJE MAFUTA YA ALIZETI HLF UNAAMBIWA UNAPONA
Imani mbona ww vingi unafanya na havina uhalisia ndyo maana ya Imani Kwan wewe huyo unayemuabudu unauhakika yupo na ujawah kumuona Wala kumsikia lakini ni Imani ndyo inakufanya uwe hivyo acha Kila mtu aamin anachoina ni sahihi kwake madam avunji sheria Wala hamdhuru mtu
Leo makanisa ya kipentecoste mengi hayana mikesha hayana maombi watu hawapati mda wa kuonana na wachungaji why wasiende kule wanapoona kuna utatuzi wa shida zao Kwaiyo muhimu ni kukumbuka kuwa Ni siku za mwisho Tupambane kusoma neno na kuomba neema ya YESU KRISTO KWETU NA KWA WACHUNGAJI WETU
Hayo Mabanda ni mengi mtaani tena wanatageti sehemu yenye watu wengi na wenye hela ! Kisha mahubiri yao kwa sehemu kubwa wanahubiri Uchawi kuwatisha waumini wao ili waweza kuwabana watoe hela kirahisi .....Muda wote waamini huishi kwa uwoga na wasiwasi kwa sababu ya mahubiri ya wachungaji wao ! Wanaambiwa wakimuona tajiri yeyote katumia Nguvu za giza !
😂😂😂tatizo la nduguzetu wa upande wapili wabish sana na hawataki nakutoelewa ukiwaambia ukweli sijui kwann Dah!!ukiwaambia hawajamaa wapigaji Et mitume kudedeki Zao 😂😂😂hawajamaa wanapiga mkwanja kinoma niwezi matapeli😅😅😅ila mijamaa mibish angalia Mwanani sijui anajiita Mwamposa mhh pumbavu anapiga hela kinoma😅😅😅
Waacheni watu wapigwe maana watu wanaamini kwenye miujiza sio kufanya kazi.. Eti unapewa kitamba cha upako sasa hapo kuna Tofauti gani na kwenda kwa mganga akakupa irizi...
Yesu aliwah tumia mate na tope kuponya mtu. Nyie sio SI UNIT ya dini ziweje, bakini kwenye mipaka yenu na imani yenu kama mmeamua kuwa wasimamiz wa torati basi anzeni na wale wanaoabud sanam na kutumainia majini. Hii nchi kila mtu ana uhuru wa kuabudu ila afuate sheria ,taratibu na kanuni za nchi, lakini pia sidhuru watu na asiharib aman ya nchi na wengine
I'm proud to be Muslim ☪️ hatunaga hayo allah atosha maishani mwetu waislam
Hamna daw za kisuni nyie kwan
Dr.Sulle ni Mkristo?
Kasahau hebu mkumbushe😂
Shehe majini ni mkristo eti?
Hamuna hayo ila mna juwa kusoma dua za kumtupia mtu majini , afu walokole wana yakemea kwani kuna ubaya hapo 😂😂😂
Hao wanaotumia hivyo vitu ni wafanya biashara tu na wapigaji
ahsante Mungu..
Mimi ni mpentekoste ukweli imani ya mafuta maji na viambata imezuka miaka ya 2000s kabla ya hapo tulijivunia jina takatifu la Yesu pekee kutenda miujiza.
Tatizo hizi dini za kuzuka zina wachanganya sana watu na huwa ukiingia lazima uwe maskini
Mtas ma yote kote huko hakuna huo uzima nadhani imani yakweli jamani musomeni Ibrahimu now mtamjua Mwenyez Mungu wakweli
Hata Yesu alipoulizwa na wanadunzibwake nini ishara ya manabii feki, aliwajibi mtawatambua kwa matunda yao
No comment..I believe in Jesus 🙏😔
Kichwa ngumu ww mwamposa praud
@@matukiotvonline6366ww ndo huna akili,
Ww ulizaliwa njiti sio bule😂😂😂😂
Vp mwamposa? Maana tunawaambia kwamba kama mwamposa ni mganga wa kienyeji hawataki
Kila mtu muache aamin anapoona ananufaika wangekuwa awanufaiki wangeacha ukiona watu wanarud kunanamna wananufaika
SERIKALI INABIDI IINGILIE KATI WAWAKAMATE WAUMINI WOTE WAPELEKWE MILEMBE DODOMA MAANA NAHISI WANAUPUNGUFU WA WA AKILI UNAKUNYWAJE MAFUTA YA ALIZETI HLF UNAAMBIWA UNAPONA
Imani mbona ww vingi unafanya na havina uhalisia ndyo maana ya Imani Kwan wewe huyo unayemuabudu unauhakika yupo na ujawah kumuona Wala kumsikia lakini ni Imani ndyo inakufanya uwe hivyo acha Kila mtu aamin anachoina ni sahihi kwake madam avunji sheria Wala hamdhuru mtu
@@ce-08 machizi ni wengi hasa wanawake
Leo makanisa ya kipentecoste mengi hayana mikesha hayana maombi watu hawapati mda wa kuonana na wachungaji why wasiende kule wanapoona kuna utatuzi wa shida zao
Kwaiyo muhimu ni kukumbuka kuwa
Ni siku za mwisho
Tupambane kusoma neno na kuomba neema ya YESU KRISTO KWETU NA KWA WACHUNGAJI WETU
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
Mbona hata mashehe wanauza mafuta ety ukipaka unamuona mchawi mbona nilipaka nikakodoa sijawaona
Nao WaPo kwenye kundi hilo
😂
daaah ila ni kwel
Iseee somebody from bariadi
Hayo Mabanda ni mengi mtaani tena wanatageti sehemu yenye watu wengi na wenye hela ! Kisha mahubiri yao kwa sehemu kubwa wanahubiri Uchawi kuwatisha waumini wao ili waweza kuwabana watoe hela kirahisi .....Muda wote waamini huishi kwa uwoga na wasiwasi kwa sababu ya mahubiri ya wachungaji wao ! Wanaambiwa wakimuona tajiri yeyote katumia Nguvu za giza !
Ni waongo sana wanawapiga waumini hela vibaya sana
Wana mtafuta mwaposa hapo sasa😂😂
😂😂😂😂 watu wanapewa akili kuzitumia hawajui
Waislaam wako sawa sana hawapigwi kijinga hivyo hili swala Naona SEREKALI iingilie kati Sasa huo ni upigaji ksbisa
😂😂😂tatizo la nduguzetu wa upande wapili wabish sana na hawataki nakutoelewa ukiwaambia ukweli sijui kwann Dah!!ukiwaambia hawajamaa wapigaji Et mitume kudedeki Zao 😂😂😂hawajamaa wanapiga mkwanja kinoma niwezi matapeli😅😅😅ila mijamaa mibish angalia Mwanani sijui anajiita Mwamposa mhh pumbavu anapiga hela kinoma😅😅😅
mmeanza kunyukana eehh 😁 maji yatajitenga na mafuta tu …
Soma maandiko
Waacheni watu wapigwe maana watu wanaamini kwenye miujiza sio kufanya kazi..
Eti unapewa kitamba cha upako sasa hapo kuna Tofauti gani na kwenda kwa mganga akakupa irizi...
Wauza mafuta wahuni na wafanyabishara kabisa
Yaaan mwamposa aaaaah
Umwenye mwamposa!?
Yesu aliwah tumia mate na tope kuponya mtu. Nyie sio SI UNIT ya dini ziweje, bakini kwenye mipaka yenu na imani yenu kama mmeamua kuwa wasimamiz wa torati basi anzeni na wale wanaoabud sanam na kutumainia majini. Hii nchi kila mtu ana uhuru wa kuabudu ila afuate sheria ,taratibu na kanuni za nchi, lakini pia sidhuru watu na asiharib aman ya nchi na wengine
Mchungaji akiwa kanisani anaawambia mumchangie mnamchangia, lkn nyinyi mkiitaji vitu anawaombea bs na nyinyi kwan s mumuombeew hamuoni kama anawatapeli jaman😂😂
Huyo Yesu aliuza hayo matope na mate? Yesu alitoa amri waponye watu kwa jina lako, na wasilipishe hata senti moja, soma neno utapata ufahamu
Hayo matope na mate Yesu aliyauza kwa bei gani?
Jamani qajinga ndo waliwao, mi namshukuru mungu kuzaliwa muislam daah ningekua kwenyemkumho namm 😂😂
Kwani hayo makanisa yasiyo watambua ndio walio waita kwenye huduma?
They simply have to mind their own business.
Wajinga ndo waliwao 😂😂
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara
😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara