Wapentekoste wa Tanzania wadai hawayatambui makanisa yanayotumia mafuta, maji kuponya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 64

  • @Mwajumasaid-lv4xf
    @Mwajumasaid-lv4xf 2 месяца назад +12

    I'm proud to be Muslim ☪️ hatunaga hayo allah atosha maishani mwetu waislam

    • @aloycekomba1
      @aloycekomba1 2 месяца назад +1

      Hamna daw za kisuni nyie kwan

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 2 месяца назад +2

      Dr.Sulle ni Mkristo?

    • @EnjoyReonald
      @EnjoyReonald 2 месяца назад +1

      Kasahau hebu mkumbushe😂

    • @sirpaza8513
      @sirpaza8513 2 месяца назад +1

      Shehe majini ni mkristo eti?

    • @StrongbowArrow2004
      @StrongbowArrow2004 2 месяца назад +2

      Hamuna hayo ila mna juwa kusoma dua za kumtupia mtu majini , afu walokole wana yakemea kwani kuna ubaya hapo 😂😂😂

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 2 месяца назад +9

    Hao wanaotumia hivyo vitu ni wafanya biashara tu na wapigaji

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm 2 месяца назад +1

    ahsante Mungu..

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 месяца назад +2

    Mimi ni mpentekoste ukweli imani ya mafuta maji na viambata imezuka miaka ya 2000s kabla ya hapo tulijivunia jina takatifu la Yesu pekee kutenda miujiza.

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 2 месяца назад +3

    Tatizo hizi dini za kuzuka zina wachanganya sana watu na huwa ukiingia lazima uwe maskini

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 2 месяца назад

    Mtas ma yote kote huko hakuna huo uzima nadhani imani yakweli jamani musomeni Ibrahimu now mtamjua Mwenyez Mungu wakweli

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 2 месяца назад

    Hata Yesu alipoulizwa na wanadunzibwake nini ishara ya manabii feki, aliwajibi mtawatambua kwa matunda yao

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 2 месяца назад +2

    No comment..I believe in Jesus 🙏😔

    • @matukiotvonline6366
      @matukiotvonline6366 2 месяца назад

      Kichwa ngumu ww mwamposa praud

    • @Nim68182
      @Nim68182 2 месяца назад

      ​@@matukiotvonline6366ww ndo huna akili,
      Ww ulizaliwa njiti sio bule😂😂😂😂

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 2 месяца назад +5

    Vp mwamposa? Maana tunawaambia kwamba kama mwamposa ni mganga wa kienyeji hawataki

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Kila mtu muache aamin anapoona ananufaika wangekuwa awanufaiki wangeacha ukiona watu wanarud kunanamna wananufaika

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 месяца назад +3

    SERIKALI INABIDI IINGILIE KATI WAWAKAMATE WAUMINI WOTE WAPELEKWE MILEMBE DODOMA MAANA NAHISI WANAUPUNGUFU WA WA AKILI UNAKUNYWAJE MAFUTA YA ALIZETI HLF UNAAMBIWA UNAPONA

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Imani mbona ww vingi unafanya na havina uhalisia ndyo maana ya Imani Kwan wewe huyo unayemuabudu unauhakika yupo na ujawah kumuona Wala kumsikia lakini ni Imani ndyo inakufanya uwe hivyo acha Kila mtu aamin anachoina ni sahihi kwake madam avunji sheria Wala hamdhuru mtu

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 2 месяца назад

      @@ce-08 machizi ni wengi hasa wanawake

  • @immichaelwale5147
    @immichaelwale5147 2 месяца назад

    Leo makanisa ya kipentecoste mengi hayana mikesha hayana maombi watu hawapati mda wa kuonana na wachungaji why wasiende kule wanapoona kuna utatuzi wa shida zao
    Kwaiyo muhimu ni kukumbuka kuwa
    Ni siku za mwisho
    Tupambane kusoma neno na kuomba neema ya YESU KRISTO KWETU NA KWA WACHUNGAJI WETU

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 2 месяца назад +2

    Mbona hata mashehe wanauza mafuta ety ukipaka unamuona mchawi mbona nilipaka nikakodoa sijawaona

  • @Backtz
    @Backtz 2 месяца назад +2

    daaah ila ni kwel

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 2 месяца назад

    Iseee somebody from bariadi

  • @bilid4128
    @bilid4128 2 месяца назад

    Hayo Mabanda ni mengi mtaani tena wanatageti sehemu yenye watu wengi na wenye hela ! Kisha mahubiri yao kwa sehemu kubwa wanahubiri Uchawi kuwatisha waumini wao ili waweza kuwabana watoe hela kirahisi .....Muda wote waamini huishi kwa uwoga na wasiwasi kwa sababu ya mahubiri ya wachungaji wao ! Wanaambiwa wakimuona tajiri yeyote katumia Nguvu za giza !

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад

      Ni waongo sana wanawapiga waumini hela vibaya sana

  • @Jafarikitonge
    @Jafarikitonge 2 месяца назад +3

    Wana mtafuta mwaposa hapo sasa😂😂

    • @matukiotvonline6366
      @matukiotvonline6366 2 месяца назад

      😂😂😂😂 watu wanapewa akili kuzitumia hawajui

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 месяца назад

    Waislaam wako sawa sana hawapigwi kijinga hivyo hili swala Naona SEREKALI iingilie kati Sasa huo ni upigaji ksbisa

  • @HansChuma
    @HansChuma 2 месяца назад

    😂😂😂tatizo la nduguzetu wa upande wapili wabish sana na hawataki nakutoelewa ukiwaambia ukweli sijui kwann Dah!!ukiwaambia hawajamaa wapigaji Et mitume kudedeki Zao 😂😂😂hawajamaa wanapiga mkwanja kinoma niwezi matapeli😅😅😅ila mijamaa mibish angalia Mwanani sijui anajiita Mwamposa mhh pumbavu anapiga hela kinoma😅😅😅

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 2 месяца назад

    mmeanza kunyukana eehh 😁 maji yatajitenga na mafuta tu …

  • @emanuelmaro875
    @emanuelmaro875 2 месяца назад +2

    Soma maandiko

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky 2 месяца назад +1

    Waacheni watu wapigwe maana watu wanaamini kwenye miujiza sio kufanya kazi..
    Eti unapewa kitamba cha upako sasa hapo kuna Tofauti gani na kwenda kwa mganga akakupa irizi...

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 2 месяца назад

    Wauza mafuta wahuni na wafanyabishara kabisa

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 2 месяца назад

    Yaaan mwamposa aaaaah

  • @khalidjmfaume
    @khalidjmfaume 2 месяца назад

    Umwenye mwamposa!?

  • @henry1933
    @henry1933 2 месяца назад

    Yesu aliwah tumia mate na tope kuponya mtu. Nyie sio SI UNIT ya dini ziweje, bakini kwenye mipaka yenu na imani yenu kama mmeamua kuwa wasimamiz wa torati basi anzeni na wale wanaoabud sanam na kutumainia majini. Hii nchi kila mtu ana uhuru wa kuabudu ila afuate sheria ,taratibu na kanuni za nchi, lakini pia sidhuru watu na asiharib aman ya nchi na wengine

    • @MeddyMasuddy
      @MeddyMasuddy 2 месяца назад +1

      Mchungaji akiwa kanisani anaawambia mumchangie mnamchangia, lkn nyinyi mkiitaji vitu anawaombea bs na nyinyi kwan s mumuombeew hamuoni kama anawatapeli jaman😂😂

    • @AmmielNzala-fu4xu
      @AmmielNzala-fu4xu 2 месяца назад +2

      Huyo Yesu aliuza hayo matope na mate? Yesu alitoa amri waponye watu kwa jina lako, na wasilipishe hata senti moja, soma neno utapata ufahamu

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 месяца назад

      Hayo matope na mate Yesu aliyauza kwa bei gani?

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 2 месяца назад

    Jamani qajinga ndo waliwao, mi namshukuru mungu kuzaliwa muislam daah ningekua kwenyemkumho namm 😂😂

  • @WilsonJohn-tv7vq
    @WilsonJohn-tv7vq 2 месяца назад +1

    Kwani hayo makanisa yasiyo watambua ndio walio waita kwenye huduma?
    They simply have to mind their own business.

  • @usercabal
    @usercabal 2 месяца назад

    Wajinga ndo waliwao 😂😂

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 месяца назад

    😂🎉😂😂 Watakuja ma Nabii wauongo.. Ndio haya sasa maji vitambara