SAMAD-3: Ifahamu Drone ya Iran ambayo Israel inadai Wahouthi waliitumia kushambulia Tel Aviv

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 101

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 2 месяца назад +12

    Iran ni noma

  • @aminaali792
    @aminaali792 2 месяца назад +6

    Huyu mtangazaji jamani mbona bado sanaaa🥺Tuletee Dj Smaa Atupe hizi habari kwa ufanisi zaidi😍💪🏼

    • @blueboybajos6880
      @blueboybajos6880 2 месяца назад +3

      usiseme ivo dda

    • @gabrielwence
      @gabrielwence 2 месяца назад +5

      Give other people chanses to grow.

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 2 месяца назад +4

      We usipende mtu penda habari na jinsi anavyo chambua

    • @aminaali792
      @aminaali792 2 месяца назад +2

      @@nasibugunda7927 ndo huo uchambuzi bado sanaa yaani natamani niwe namuelewa lkn anatafuna maneno sana kaka etu afanyiwe practice kwa wingi 🥰

    • @aminaali792
      @aminaali792 2 месяца назад

      @@blueboybajos6880 sijamuelewa nina haki ya kucoment ninacho jiskia please 🙏🏽

  • @KhamisShekifu
    @KhamisShekifu 2 месяца назад +8

    Yaaanihapa nimeanza kuelewa sasa, ndomana hata sikuile Irani waliporusha makombora 300ml lakini kati yahayo matatu ndo yalifika mengine hayakufika, maana yake nikwamba, hayo matatu ndo yalikuwa lengo ila hayo mengine yalikuwa zugatu. Ndomana Irani walisema lengo limetimia maanayake wametengeza drone ambayo haionekani na mifumo ya Israel, lakinipia haizuiliki.

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 2 месяца назад +3

    Safi sanaaaa ALLAH akbar Israeli wamezidi kuwadhulumu wapalestina acha wapelekewe moto

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 2 месяца назад +12

    Ilivyo tokea hiyo nimefrahi sana meno 3na nje yote mbili😂😂 ,wambieni hata na rebanon wa wengine wa piganaji wa kijikhad wawe wana piga hata wauwe mmoja mmoja tufidie idadi ya gaza 🙏🙏

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 2 месяца назад +4

    Ally zidisha mbwe mbwe aiseee, unapoa sana

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 2 месяца назад +2

    ❤❤😂😂😂Safi sana

  • @ManusuraWalumona
    @ManusuraWalumona 2 месяца назад +2

    Somo limeeleweka vizuri tu!

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 2 месяца назад +21

    Natamani siku moja niiyone israel ikiona inaadhirika

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd 2 месяца назад +1

      @@salymsuleiman2035 subiri Israel ilipize kisasi halafu mlielie kuwa Israel inawaua watu wasio na hatia... 😂

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 2 месяца назад +2

      ​@@ElijahOwino-xe2cdyaan wewe hujuwi Israel wanaua wasiyo husika wenzao wanalenga office zao wanalenga vituo vyao sasa wao wanaua ad watoto wa miezi miwili ndio utofauti ulipo

    • @vladimirputn1809
      @vladimirputn1809 2 месяца назад +2

      😂

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 2 месяца назад

      @@vladimirputn1809 I appreciate you so much if is really official Putin the way you are strong to all World big up

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes 2 месяца назад

      ​@@ElijahOwino-xe2cd Kwani alieanza nani, Israel anawapiga wenzie mabomu kila sike left, right centre

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 2 месяца назад +3

    Dj smaa Kila siku anasema israel siokua wana ulinzi kiiivyo kama wanavyotangaza wao, ila wewe Masubi unabisha sana, unaona kama wao hawawezi kuguswa

  • @Goldentouch_Ab
    @Goldentouch_Ab 2 месяца назад +3

    Inaitwa ' YAFA' drone , imekuwa develop kutoka kwa SAMAD-3.

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 2 месяца назад +1

      Ww mfuatiliaj mzur... wngne wanatoshek na sns na CNN na channel za propaganda

  • @AmriSabiti
    @AmriSabiti 2 месяца назад +2

    Natamani kuona Israel Siku Moja iwe kama Gaza insha'allah

  • @abdallahnamuha3357
    @abdallahnamuha3357 2 месяца назад +1

    Kwenye swala la war Strategies Alli Masubi yupo vizur kuliko wote,,,ila Kwa smaa na mwinuke wapo vizur kwenye geopolitics has kutoa possible scenario

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 2 месяца назад +2

    Iran ni mziki mwingine

  • @richardtom38
    @richardtom38 2 месяца назад

    Dj smaa huyu yupo taratibu sana

  • @lughainstitute8627
    @lughainstitute8627 2 месяца назад +2

    Sns we are the best

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 2 месяца назад +2

    Ally masumbwi bado sana please #sns tunaomba habar kama hizi azichambue #djsmaa

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 2 месяца назад +1

      Acha upuuzi, ww unataka habari! unataka mbwembwe?

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 2 месяца назад

      Mtazoea tu
      Maana sisi wakongwe 2najua hata #Smaa mlimpiga vita saana zaid ya Ally na hakuwa vzr kama Ally

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes 2 месяца назад

      Wacha upumbavu wewe, unalipa pesa ngapi mpk utake kummwagia unga mwenzio

  • @IsmailiNiraji
    @IsmailiNiraji 2 месяца назад +1

    Daaa Ali Sawa uko vzr ila kwenye simulizi shekhe mwachie sky na sma kwa upendo maana tuishie hapo au wadau mnasemaje

    • @aminaali792
      @aminaali792 2 месяца назад

      @@IsmailiNiraji ndi yo nilivyoelezea hata mimi bado sijamuelewa kwa kweli ila watu wanaona ni hater’s 🤦🏽‍♀️😒

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 месяца назад

    Mdogo wangu msulimoto kaz kaz

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 2 месяца назад

    Ampe mrusi hio

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 2 месяца назад +1

    Bora ally kuliko yule mjinga mwengine anaye tangaza km anakataroho

    • @soudmoshmnyika5813
      @soudmoshmnyika5813 2 месяца назад +1

      Hivi mtu unajitambua unaweza kumtukana mtu bila kukutukana au ndivyo ulivyo lelewa kwenu? Hapa tumekuja kusoma

  • @LukawisehusseinAli
    @LukawisehusseinAli 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 2 месяца назад +2

    Wew ali si ulisema israili haishambuliki kwa mfumo wao sasa ilikuwaje

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 2 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @pesaspy_tv
      @pesaspy_tv 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂 na alibisha kweli kwamba wao ni wazuri kwenye ulinzi wa anga

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 2 месяца назад

      @@pesaspy_tv kuna comentei yake ni Lin sikia na mimi😂😂😂😂

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 2 месяца назад

      Karibu GpS next episode utajua.

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 2 месяца назад +4

    Wahutu wa Yemen wapo na moto hasaa,Iran na korea kaskazini wapo na vikwazo kibao ila jamaa wapo juu.Sisi TZ uboya mtupu miaka 60 na kitu ya uhuru bado tupo na mashimo ya choo,madarasa umeme.Aisee wale maadui watatu aliowasema Nyerere ujinga umaskini na maradhi hawatatuacha mpaka dunia ikaishe.

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 2 месяца назад

      We nae sio wahutu bana

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 2 месяца назад

      Sawa kaka wahutu ni wa Burundi kumbe Yemen wanaitwa wahuthi.mimi nilijua ni wahutu wote

    • @elopheygandabway
      @elopheygandabway 2 месяца назад

      😂​@@Pedeshee01

  • @AhmediAbubakari
    @AhmediAbubakari 2 месяца назад +2

    Kaka samadi 3 haina klg 20 bali ina klg 50 fanya uchunguzi vizuri juu ya hili

    • @HabibuHobohobo-py2mq
      @HabibuHobohobo-py2mq 2 месяца назад

      HUYU Ally masubi ni mwongooo jana alisema kutoka Yemen mpaka tel Aviv ni kilometers 127 leo TENA anasema uongo mwingine eti kati ya Yemen na tel Aviv ET kuna NCH nyng wakat IPO NCH MOJA TU ya suudia anatuona CC mazwazwa KAMA Atlas hatujasoma?

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 2 месяца назад

      Hahahaha kaupiga mwingi awachie wachambuzi banaa​@@HabibuHobohobo-py2mq

    • @radjabusuleiman6486
      @radjabusuleiman6486 2 месяца назад

      Alijidanganya Yemen to Israel km 2000 na pwenti juu​@@HabibuHobohobo-py2mq

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 2 месяца назад

      ​@@HabibuHobohobo-py2mqinategemea unakuwa umeamua kupita njia gani..?. Na kuhusu suala la distance kukosea huwa inatokea hiyo ndiyo air dstance

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 2 месяца назад

      @AhmedAbubakari sawa kama wewe ndo uelewa wako huko ulikojifunzia umeelewa hvyo ila kutokea hapa chukua hyo kilo 20.

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 2 месяца назад +1

    Tusubiri majibu ya israel sasa

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 месяца назад

    Wenyewe wamesema Jaffa, nyie munakazania Samad 3.. Km zote izo si mchezo... Wazipige nyingi hizo

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 2 месяца назад

    Wakati Israel anahangaika na wanamgambo , Iran anajiimarimasha kwa makombora na drone

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 2 месяца назад

    Iran ni nyoko droni zake ndio zilibadilisha mchezo ukrain

  • @ShedrackShedrack-c2b
    @ShedrackShedrack-c2b 2 месяца назад

    Skusionying waislamu watahanza kusema tunawombea nduguzetu kwa Allah Israel inauwa watoto nakinamama stunasubilitu kisasi hambacho niahakiyetu hatutaki mtu hatupangie namna yakulpa kisasi

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 2 месяца назад

      We nikuma

    • @Kzm-c9u
      @Kzm-c9u 2 месяца назад

      Hezbollah pia amewambia Israel wakishambulia Raia wa Lebanon na raia wa Israel hawapo salama. Sasa muhimu ni kuomba amani pande zote mbili na wala sio ushabiki wa kiimani japo hao wayahudi hawautambui ukristo wala yesu.😂😂😂 naona watu wanaojidhalilisha kwa kujipendekeza kwa wayahudi eti ni taifa la Mungu😂😂😂

    • @ShedrackShedrack-c2b
      @ShedrackShedrack-c2b 2 месяца назад

      @@Kzm-c9umbona Waislamu wengi uku wanajipendekeza kwa Iran wakat wao hawawatambui suni

    • @ShedrackShedrack-c2b
      @ShedrackShedrack-c2b 2 месяца назад

      @@AFRICA_D669 mamahako halikutolea kwenye mavi hahu alkutapka

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 месяца назад

      ​@@ShedrackShedrack-c2bWayahudi wamepitisha sheria,hakuna kumtaja Yesu pale Kwao Israel😂😂😂Jipendekeze tu kama malaya.

  • @saddamhussein8620
    @saddamhussein8620 2 месяца назад

    Kwann israel kila ikishambuliwa utasikia kafa mmoja😂? Lkn wao utasikia watu 30 wamekufa

  • @MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq
    @MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq 2 месяца назад

    ali hapo bado utasemaukweli

  • @WaziriMwakyando
    @WaziriMwakyando 2 месяца назад

    Israeli yeye aanzi Bali anamalizia

    • @soudmoshmnyika5813
      @soudmoshmnyika5813 2 месяца назад

      Kama nikumaliza basi angemaliza gaza tuu kwasababu hawana mifumo ya ulinzi wa anga ila mpaka sasa bado wanapigana tuu sasa washabulie barafu na wenyewe watume kama hiyo ya majaribio kivu 100 tuu zidisha kama moja imeua mmoja na kujeruhi kumi

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq 2 месяца назад

      Uko usingizi totolo

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd 2 месяца назад +1

    Halafu Israel wakilipiza kisasi utawaskia waislamu wakilialia....

    • @bonifacewanyonyi3555
      @bonifacewanyonyi3555 2 месяца назад +1

      Kweli kapisa hawamuezi israel

    • @alimomade2712
      @alimomade2712 2 месяца назад +2

      Kwani nawe ni mu Israel?

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 2 месяца назад +1

      ​@@bonifacewanyonyi3555israel jasusi anauwa watu ashia mashariki.

    • @alimomade2712
      @alimomade2712 2 месяца назад

      Acha wavurugane2 ni mwisho wa dunia

    • @HamzaMbasha-xs2ky
      @HamzaMbasha-xs2ky 2 месяца назад +2

      Sasa hao israel ni wakristo hao si washenzi tuu
      Wasioutaka ukristo wala uislma
      Mm nashngaa sana wakristo kusaport hawa washenzi wayahudi..