Yaaanihapa nimeanza kuelewa sasa, ndomana hata sikuile Irani waliporusha makombora 300ml lakini kati yahayo matatu ndo yalifika mengine hayakufika, maana yake nikwamba, hayo matatu ndo yalikuwa lengo ila hayo mengine yalikuwa zugatu. Ndomana Irani walisema lengo limetimia maanayake wametengeza drone ambayo haionekani na mifumo ya Israel, lakinipia haizuiliki.
Ilivyo tokea hiyo nimefrahi sana meno 3na nje yote mbili😂😂 ,wambieni hata na rebanon wa wengine wa piganaji wa kijikhad wawe wana piga hata wauwe mmoja mmoja tufidie idadi ya gaza 🙏🙏
@@ElijahOwino-xe2cdyaan wewe hujuwi Israel wanaua wasiyo husika wenzao wanalenga office zao wanalenga vituo vyao sasa wao wanaua ad watoto wa miezi miwili ndio utofauti ulipo
Wahutu wa Yemen wapo na moto hasaa,Iran na korea kaskazini wapo na vikwazo kibao ila jamaa wapo juu.Sisi TZ uboya mtupu miaka 60 na kitu ya uhuru bado tupo na mashimo ya choo,madarasa umeme.Aisee wale maadui watatu aliowasema Nyerere ujinga umaskini na maradhi hawatatuacha mpaka dunia ikaishe.
HUYU Ally masubi ni mwongooo jana alisema kutoka Yemen mpaka tel Aviv ni kilometers 127 leo TENA anasema uongo mwingine eti kati ya Yemen na tel Aviv ET kuna NCH nyng wakat IPO NCH MOJA TU ya suudia anatuona CC mazwazwa KAMA Atlas hatujasoma?
Skusionying waislamu watahanza kusema tunawombea nduguzetu kwa Allah Israel inauwa watoto nakinamama stunasubilitu kisasi hambacho niahakiyetu hatutaki mtu hatupangie namna yakulpa kisasi
Hezbollah pia amewambia Israel wakishambulia Raia wa Lebanon na raia wa Israel hawapo salama. Sasa muhimu ni kuomba amani pande zote mbili na wala sio ushabiki wa kiimani japo hao wayahudi hawautambui ukristo wala yesu.😂😂😂 naona watu wanaojidhalilisha kwa kujipendekeza kwa wayahudi eti ni taifa la Mungu😂😂😂
Kama nikumaliza basi angemaliza gaza tuu kwasababu hawana mifumo ya ulinzi wa anga ila mpaka sasa bado wanapigana tuu sasa washabulie barafu na wenyewe watume kama hiyo ya majaribio kivu 100 tuu zidisha kama moja imeua mmoja na kujeruhi kumi
Iran ni noma
Huyu mtangazaji jamani mbona bado sanaaa🥺Tuletee Dj Smaa Atupe hizi habari kwa ufanisi zaidi😍💪🏼
usiseme ivo dda
Give other people chanses to grow.
We usipende mtu penda habari na jinsi anavyo chambua
@@nasibugunda7927 ndo huo uchambuzi bado sanaa yaani natamani niwe namuelewa lkn anatafuna maneno sana kaka etu afanyiwe practice kwa wingi 🥰
@@blueboybajos6880 sijamuelewa nina haki ya kucoment ninacho jiskia please 🙏🏽
Yaaanihapa nimeanza kuelewa sasa, ndomana hata sikuile Irani waliporusha makombora 300ml lakini kati yahayo matatu ndo yalifika mengine hayakufika, maana yake nikwamba, hayo matatu ndo yalikuwa lengo ila hayo mengine yalikuwa zugatu. Ndomana Irani walisema lengo limetimia maanayake wametengeza drone ambayo haionekani na mifumo ya Israel, lakinipia haizuiliki.
Safi sanaaaa ALLAH akbar Israeli wamezidi kuwadhulumu wapalestina acha wapelekewe moto
Ilivyo tokea hiyo nimefrahi sana meno 3na nje yote mbili😂😂 ,wambieni hata na rebanon wa wengine wa piganaji wa kijikhad wawe wana piga hata wauwe mmoja mmoja tufidie idadi ya gaza 🙏🙏
😂
@@vladimirputn1809 we puttin wewe 😂
Ally zidisha mbwe mbwe aiseee, unapoa sana
❤❤😂😂😂Safi sana
Somo limeeleweka vizuri tu!
Natamani siku moja niiyone israel ikiona inaadhirika
@@salymsuleiman2035 subiri Israel ilipize kisasi halafu mlielie kuwa Israel inawaua watu wasio na hatia... 😂
@@ElijahOwino-xe2cdyaan wewe hujuwi Israel wanaua wasiyo husika wenzao wanalenga office zao wanalenga vituo vyao sasa wao wanaua ad watoto wa miezi miwili ndio utofauti ulipo
😂
@@vladimirputn1809 I appreciate you so much if is really official Putin the way you are strong to all World big up
@@ElijahOwino-xe2cd Kwani alieanza nani, Israel anawapiga wenzie mabomu kila sike left, right centre
Dj smaa Kila siku anasema israel siokua wana ulinzi kiiivyo kama wanavyotangaza wao, ila wewe Masubi unabisha sana, unaona kama wao hawawezi kuguswa
Inaitwa ' YAFA' drone , imekuwa develop kutoka kwa SAMAD-3.
Ww mfuatiliaj mzur... wngne wanatoshek na sns na CNN na channel za propaganda
Natamani kuona Israel Siku Moja iwe kama Gaza insha'allah
Kwenye swala la war Strategies Alli Masubi yupo vizur kuliko wote,,,ila Kwa smaa na mwinuke wapo vizur kwenye geopolitics has kutoa possible scenario
Iran ni mziki mwingine
Dj smaa huyu yupo taratibu sana
Sasa unataka habari au mbwembwe
Sns we are the best
Ally masumbwi bado sana please #sns tunaomba habar kama hizi azichambue #djsmaa
Acha upuuzi, ww unataka habari! unataka mbwembwe?
Mtazoea tu
Maana sisi wakongwe 2najua hata #Smaa mlimpiga vita saana zaid ya Ally na hakuwa vzr kama Ally
Wacha upumbavu wewe, unalipa pesa ngapi mpk utake kummwagia unga mwenzio
Daaa Ali Sawa uko vzr ila kwenye simulizi shekhe mwachie sky na sma kwa upendo maana tuishie hapo au wadau mnasemaje
@@IsmailiNiraji ndi yo nilivyoelezea hata mimi bado sijamuelewa kwa kweli ila watu wanaona ni hater’s 🤦🏽♀️😒
Mdogo wangu msulimoto kaz kaz
Ampe mrusi hio
Bora ally kuliko yule mjinga mwengine anaye tangaza km anakataroho
Hivi mtu unajitambua unaweza kumtukana mtu bila kukutukana au ndivyo ulivyo lelewa kwenu? Hapa tumekuja kusoma
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wew ali si ulisema israili haishambuliki kwa mfumo wao sasa ilikuwaje
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 na alibisha kweli kwamba wao ni wazuri kwenye ulinzi wa anga
@@pesaspy_tv kuna comentei yake ni Lin sikia na mimi😂😂😂😂
Karibu GpS next episode utajua.
Wahutu wa Yemen wapo na moto hasaa,Iran na korea kaskazini wapo na vikwazo kibao ila jamaa wapo juu.Sisi TZ uboya mtupu miaka 60 na kitu ya uhuru bado tupo na mashimo ya choo,madarasa umeme.Aisee wale maadui watatu aliowasema Nyerere ujinga umaskini na maradhi hawatatuacha mpaka dunia ikaishe.
We nae sio wahutu bana
Sawa kaka wahutu ni wa Burundi kumbe Yemen wanaitwa wahuthi.mimi nilijua ni wahutu wote
😂@@Pedeshee01
Kaka samadi 3 haina klg 20 bali ina klg 50 fanya uchunguzi vizuri juu ya hili
HUYU Ally masubi ni mwongooo jana alisema kutoka Yemen mpaka tel Aviv ni kilometers 127 leo TENA anasema uongo mwingine eti kati ya Yemen na tel Aviv ET kuna NCH nyng wakat IPO NCH MOJA TU ya suudia anatuona CC mazwazwa KAMA Atlas hatujasoma?
Hahahaha kaupiga mwingi awachie wachambuzi banaa@@HabibuHobohobo-py2mq
Alijidanganya Yemen to Israel km 2000 na pwenti juu@@HabibuHobohobo-py2mq
@@HabibuHobohobo-py2mqinategemea unakuwa umeamua kupita njia gani..?. Na kuhusu suala la distance kukosea huwa inatokea hiyo ndiyo air dstance
@AhmedAbubakari sawa kama wewe ndo uelewa wako huko ulikojifunzia umeelewa hvyo ila kutokea hapa chukua hyo kilo 20.
Tusubiri majibu ya israel sasa
Wenyewe wamesema Jaffa, nyie munakazania Samad 3.. Km zote izo si mchezo... Wazipige nyingi hizo
Wakati Israel anahangaika na wanamgambo , Iran anajiimarimasha kwa makombora na drone
Wakati wakiwa wana expand enea Lao
Iran ni nyoko droni zake ndio zilibadilisha mchezo ukrain
Skusionying waislamu watahanza kusema tunawombea nduguzetu kwa Allah Israel inauwa watoto nakinamama stunasubilitu kisasi hambacho niahakiyetu hatutaki mtu hatupangie namna yakulpa kisasi
We nikuma
Hezbollah pia amewambia Israel wakishambulia Raia wa Lebanon na raia wa Israel hawapo salama. Sasa muhimu ni kuomba amani pande zote mbili na wala sio ushabiki wa kiimani japo hao wayahudi hawautambui ukristo wala yesu.😂😂😂 naona watu wanaojidhalilisha kwa kujipendekeza kwa wayahudi eti ni taifa la Mungu😂😂😂
@@Kzm-c9umbona Waislamu wengi uku wanajipendekeza kwa Iran wakat wao hawawatambui suni
@@AFRICA_D669 mamahako halikutolea kwenye mavi hahu alkutapka
@@ShedrackShedrack-c2bWayahudi wamepitisha sheria,hakuna kumtaja Yesu pale Kwao Israel😂😂😂Jipendekeze tu kama malaya.
Kwann israel kila ikishambuliwa utasikia kafa mmoja😂? Lkn wao utasikia watu 30 wamekufa
Wanaficha taarifa😂😂
ali hapo bado utasemaukweli
Israeli yeye aanzi Bali anamalizia
Kama nikumaliza basi angemaliza gaza tuu kwasababu hawana mifumo ya ulinzi wa anga ila mpaka sasa bado wanapigana tuu sasa washabulie barafu na wenyewe watume kama hiyo ya majaribio kivu 100 tuu zidisha kama moja imeua mmoja na kujeruhi kumi
Uko usingizi totolo
Halafu Israel wakilipiza kisasi utawaskia waislamu wakilialia....
Kweli kapisa hawamuezi israel
Kwani nawe ni mu Israel?
@@bonifacewanyonyi3555israel jasusi anauwa watu ashia mashariki.
Acha wavurugane2 ni mwisho wa dunia
Sasa hao israel ni wakristo hao si washenzi tuu
Wasioutaka ukristo wala uislma
Mm nashngaa sana wakristo kusaport hawa washenzi wayahudi..