MBINU ZA KUSHINDA JOB INTERVIEW
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Pamoja na maandalizi mazuri ya usaili unayopaswa kuyafanya unahitaji kujua mbinu zinazoweza kukusaidia kufanya vizuri kwenye usaili wa kazi. Video hii ni mahususi kwa ajili ya kuanisha mbinu za kushinda job interview. Karibu.
__________________________________________________________________________
The HR Tanzania Kelvin Mwita Job interview
Sawa
Ahsante kwa darasa mkuu, ubarikiwe sana Ndg.
Karibu sana Aimo
@@TheHRChannel Ahsante sana kaka ngoja nijinoe
Umetisha broh
kaka umeeleweka sanaaaa
Acha kujidanganya... mbinu ni Moja tu tumia Hela upate Hela kama una D mbili ushaelewa
Appreciated
much thanks
Nimependa
Thanks bro🙏🙏
Pamoja
Nimejifunza kitu
Kaka mkubwa nipe mbinu za kufaulu utumishi maana nishafanya sana usaili sitoboi
Sorry mfano swali linasema unataka tukulipe sh ngap unajibuje apo 😳
😒apo kwny tabasamu 😑co kote jmn 🌚nilienda kufanya usahili CRDB bank ☹️tabasamu lilinikosesha kazi
😀😀😀😀😀pole dear
Polee
😂😂😂
kaka inategemea umetabasamu vipi😂😂