Kipi bora mwanaume kuoa mwanamke mtu mzima au mwanamke kuolewa na baba mtu mzima? (FULL)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • DADAZ

Комментарии • 10

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад

    We dada umesoma kweli unabisha kuwa wanawake hawazeheki harak na hy inaanza toka barehe mnaanza

  • @lilianjeremiamneney1838
    @lilianjeremiamneney1838 5 лет назад +2

    Bora mume kua mkubwa wanabembeleza Hatari yaani kama mimi naenjoi hatari

  • @gracejuma388
    @gracejuma388 3 года назад +1

    Mapenzi hayana umri,, halafu suala la mtu kuolewa ni majariwa kutokana na MUNGU alivyo kuandikia

  • @fainnamvungi4364
    @fainnamvungi4364 5 лет назад +2

    Hiyo ni ndoa mungu kashapokea nyie tafuten umri sawa mnagongwagongwa mnaachwa..Nendeni katafute mada mahospital magonjwa na kinga.

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад

    Nilifikili sehemu ya kujifunza kuelimika kumbe wapotoshaji tupu

  • @salmasaid4496
    @salmasaid4496 5 лет назад

    Hahahaah Bora mkubwa kuwa na mdogo kwakweli itapendeza zaid

  • @shamumaabdala6341
    @shamumaabdala6341 2 года назад

    Hiyo kali

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 2 года назад

    Dadaz mwanamke ni Shamba na mwanaume ni mkulima. Mkulima yoyote atapendelea kulima Shamba yenye mazao. Mwanamke mtu mzima ni Shamba ambayo haina mazao ilhali mwanaume mtu mzima ni mkulima anbaye anauzoefu Kwa hivyo hawaendani.

  • @julianapetro3897
    @julianapetro3897 4 года назад

    Hahaha mnanivinja mbavu