Msambatavangu ataka Rais aunde Wizara itakayohusika na wanaume, ataja sababu za wanawake kutoolewa
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- Mbunge wa Iringa Mjini, Jescar Msambatavangu ameomba Rais aunde Wizara mpya itakayohusika na wanume ikiwemo kuwawezesha wanaume kiuchumi kwani mipango ya Wizara ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imegusa wanawake pekee.
Msambatanagu ameyasema hayo wakati akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo Bungeni leo Mei 17,2024, ambapo amesema anataka mpangokazi wa kupunguza ukatili kwa wanaume kutokana na
"Haya mambo ya feminism ndio yanatuletea taabu, yatazidisha ushoga, ulawiti tunataka wanaume wawezeshwe kiuchumi, tunataka mabinti zetu waolewe na wanaume hizi tamaa zao watakwenda kuzipeleka kwa wake zao" amesema Msambatavangu
Aidha pia ameikataa taarifa ya Mabunge wa Nzega Vijijini, Hamis Kigwangala ambaye amesema mipango ya kutetea kundi la wanawake imeundwa kwa sababu sera nyingi zimekuwa zikiandamiza kundi la wanawake kwa muda mrefu kimfumo.
Omeondea vizuri mama God bless you 🙏
Woooooow,,, yaan mama kaongea fact sanaa,, serikariii imekazanaa kuwawezeshaaa wanawakee wakati wanaume hawapati msaadaa wowote na hao hao mnataka waoee
Mungu akubariki sana mama Wanaume tumesahaulika sana.
Ccm oyeeeee mbunge omeongea vizuri sana
Mama mbunge kwa moyo mkunjufu Mungu akubariki kwa hili mume ni kichwa cha mkewe hakika
Mama unae akili mungu akupe baraka
What a point... Big up.. ila nashanga kigwangala anapiga makofi na amepinga, anamaana Gani?
She make a lot of sense
Iringa Wana kiongozi, anafaa kuwa waziri
Mbunge huu ni makini Sana!.
Mama na kuombea kwa Mungu hakika wewe sio mbaguzi umeongea ukweli kabisa.