Msambatavangu ataka Rais aunde Wizara itakayohusika na wanaume, ataja sababu za wanawake kutoolewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • Mbunge wa Iringa Mjini, Jescar Msambatavangu ameomba Rais aunde Wizara mpya itakayohusika na wanume ikiwemo kuwawezesha wanaume kiuchumi kwani mipango ya Wizara ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imegusa wanawake pekee.
    Msambatanagu ameyasema hayo wakati akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo Bungeni leo Mei 17,2024, ambapo amesema anataka mpangokazi wa kupunguza ukatili kwa wanaume kutokana na
    "Haya mambo ya feminism ndio yanatuletea taabu, yatazidisha ushoga, ulawiti tunataka wanaume wawezeshwe kiuchumi, tunataka mabinti zetu waolewe na wanaume hizi tamaa zao watakwenda kuzipeleka kwa wake zao" amesema Msambatavangu
    Aidha pia ameikataa taarifa ya Mabunge wa Nzega Vijijini, Hamis Kigwangala ambaye amesema mipango ya kutetea kundi la wanawake imeundwa kwa sababu sera nyingi zimekuwa zikiandamiza kundi la wanawake kwa muda mrefu kimfumo.

Комментарии • 12

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Месяц назад

    Omeondea vizuri mama God bless you 🙏

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 Месяц назад

    Woooooow,,, yaan mama kaongea fact sanaa,, serikariii imekazanaa kuwawezeshaaa wanawakee wakati wanaume hawapati msaadaa wowote na hao hao mnataka waoee

  • @fabiankyopuwatv3819
    @fabiankyopuwatv3819 Месяц назад +1

    Mungu akubariki sana mama Wanaume tumesahaulika sana.

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s Месяц назад

    Ccm oyeeeee mbunge omeongea vizuri sana

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n Месяц назад

    Mama mbunge kwa moyo mkunjufu Mungu akubariki kwa hili mume ni kichwa cha mkewe hakika

  • @DeograsiasAgust
    @DeograsiasAgust Месяц назад +2

    Mama unae akili mungu akupe baraka

  • @isitlove7965
    @isitlove7965 Месяц назад

    What a point... Big up.. ila nashanga kigwangala anapiga makofi na amepinga, anamaana Gani?

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Месяц назад

    She make a lot of sense

  • @aidanfrancis7209
    @aidanfrancis7209 Месяц назад +1

    Iringa Wana kiongozi, anafaa kuwa waziri

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 Месяц назад

    Mbunge huu ni makini Sana!.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Месяц назад +1

    Mama na kuombea kwa Mungu hakika wewe sio mbaguzi umeongea ukweli kabisa.