RUTO AVUNJA UKIMYA KUHUSU MAANDAMANO, " SINA DAMU MIKONONI MWANGU", ASHUKIA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Rais wa Kenya, William Ruto amesema katika mikono yake hana damu zinazotokana na mauaji ya waandamanaji wa Gen Z.
    Ruto ameyasema hayo leo Jumapili Juni 30, 2024 akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya habari nchini Kenya katika mahojiano maalumu.
    Msingi wa hoja wa Rasi Ruto ni kutokana na swali aliloulizwa kuwa anajisikiaje vijana waliofariki dunia katika maandamano ya Gen Z yaliyotokea nchini humo.
    Rais Ruto amesema takribani vijana 19 walifariki huku uharibifu mkubwa wa mali ukitokea ikiwamo kuchoma ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa nchi hiyo.
    #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Комментарии • 2