BALAA LA LISSU MIAKA 10 ILIYOPITA JUU YA MUUNGANO, RAIS SAMIA AKIWA M/KITI WA BUNGE LA KATIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024
  • #TANZANIA: Hili ni balaa la Lissu miaka kumi iliyopita juu ya matatizo yaliyoko kwenye muungano, Mwakyembe naye alisema, Rais Samia wakati huo alikuwa Mwenyekiti wa bunge la Katiba.

Комментарии • 38

  • @user-ti5ik2le1i
    @user-ti5ik2le1i 17 дней назад +9

    Mwamba hajawahi kuwa mnafiki

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b 17 дней назад +6

    Tundu lisu hajawah kua mnafiki kabsa

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 17 дней назад +7

    Za moto izo ccm wote kimya

  • @MassaiIsaacs
    @MassaiIsaacs 17 дней назад +2

    Jamaani watanzania tubadilishe nchi lisu ni kiongozi mzuri sana na mwanasheria sana

  • @TumainiKonzo
    @TumainiKonzo 17 дней назад +4

    huu niukweli usiopingika hakika tunawatako viongoz kama hawa

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 17 дней назад +4

    Lisu Mungu akülünde sana.Nchi inakujitaji bado. Tuvushe hapa na ndugu Mbowe. Muda umechoka . Ni huu. Muda ni sasa. Katiba mpya ni sasa. Tume huru ya uchaguzi ni sasa

  • @MariaTesha-vy5nv
    @MariaTesha-vy5nv 17 дней назад +1

    Tundulisu mara zote amekuwa akiongea ukweli

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 17 дней назад +4

    Mheshimiwa Lisu waambie hata hiyo katiba ya Nyerere waliyoing'ang'ania kama ruba kwa maslahi yao, ni ya binadamu na sio msahafu!

  • @maftahjr2141
    @maftahjr2141 17 дней назад +1

    Mtu wa maana kabisa🙏🏽

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 17 дней назад +3

    ccm ccm ccm mungu anaowaona

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b 17 дней назад +4

    Aisee viongoz wako nje ya mfumo lkn wanaoongoza ni panya road

  • @MalengoKai
    @MalengoKai 17 дней назад +3

    Katika uhalisia

  • @danielsamwel4432
    @danielsamwel4432 17 дней назад +1

    Ukiwa na Akili timamu ndo utaelewa

  • @MariaTesha-vy5nv
    @MariaTesha-vy5nv 17 дней назад +1

    Tundulisu hajawahi kuwa mnafki kabisa mara zote yupo upande wa wananchi🔥

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 17 дней назад +2

    Tanganyika ni vin'gan'ganizi mnooo shida nn sijui maana hao wazanzibar hawautaki kabisa huu muungano

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 17 дней назад +1

    Unaweza kujificha chini ya meza kwa aibu kama unaamini kuwa hii ni nchi moja.

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 17 дней назад

    Hadhina ya nchi mungu muwezeshe tundulisu ndoto zake zije zitimie mbeba maono ya nchi

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 16 дней назад

    Hii ni hotuba bora kabisa aliyoitoa Tundu Lissu.Mungu azidi kumbariki.

  • @user-vg9sd2fc1k
    @user-vg9sd2fc1k 17 дней назад +2

    ✌️✌️✌️✌️✌️

  • @user-mm6fe9vz2p
    @user-mm6fe9vz2p 17 дней назад +3

    Mwamba huyo hapo

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 17 дней назад

      Mungu ndiye mpaji. Atashusha nyavu mkono wa kulia

    • @ibrahshifta1595
      @ibrahshifta1595 17 дней назад

      Hiki kichwa Sana aisee na hajawahi kua mnafk kabisaa ,anajua tena anajua na anajua zaid

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 17 дней назад +1

    TANGANYIKA RUDI ULIKOENDA

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 13 дней назад

    This is the machine tundundulisu has been shecking Tanzania Palament since tundundulisu was inside palament from palament to lntanationol voice into Tanzania politics

  • @halikumbeyemsiwayinga9482
    @halikumbeyemsiwayinga9482 14 дней назад

    This is the real Giant

  • @halikumbeyemsiwayinga9482
    @halikumbeyemsiwayinga9482 14 дней назад

    Chuma kweli kweli !!

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 17 дней назад +1

    Sasa wakati umefika kwa mheshimiwa Tundu lisu kuhoji pia mkataba wa dini yake na serikali ya chama cha mapinduzi.

  • @alexmahenge9408
    @alexmahenge9408 14 дней назад

    Yanapo kuja mambo ya facts hapo ndipo chama fulani huwa kinapoteana na hawanaga majibu kabisa.

  • @mbwambojulius1602
    @mbwambojulius1602 16 дней назад

    Ninachojua ni kuwa hakuna mwenye uwezo wala facts za kupinga kilichosemwa humo Bali itakuwa propaganda za kiitikadi tu. Tuliambiwa kuwa hatutapata katiba mpya kabla ya kupata elimu na elimu yenyewe ndio kama hiyo. Ahsante sana Wakili msomi Tundu kwa Elimu

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 17 дней назад

    Ccm wanalazimisha sababu ya kulinda masirahi yao

  • @yohanamgimba102
    @yohanamgimba102 17 дней назад +2

    Utasikia kuna chawa bado wanakaza mafuvu yao

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 16 дней назад

    Tume huru katiba mpya ni sasa safari. Hii mtatuua wate maana tumeamuka usingizini

  • @user-hu5ct1lc4y
    @user-hu5ct1lc4y 17 дней назад

    Yuko sahihi kichwa hiki

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 17 дней назад

    Dadadeki hoja za nguvu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 17 дней назад

    Wakaona hii piga RSS