BALAA LA LISSU MIAKA 10 ILIYOPITA JUU YA MUUNGANO, RAIS SAMIA AKIWA M/KITI WA BUNGE LA KATIBA
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2024
- #TANZANIA: Hili ni balaa la Lissu miaka kumi iliyopita juu ya matatizo yaliyoko kwenye muungano, Mwakyembe naye alisema, Rais Samia wakati huo alikuwa Mwenyekiti wa bunge la Katiba.
Mwamba hajawahi kuwa mnafiki
Tundu lisu hajawah kua mnafiki kabsa
Za moto izo ccm wote kimya
Jamaani watanzania tubadilishe nchi lisu ni kiongozi mzuri sana na mwanasheria sana
huu niukweli usiopingika hakika tunawatako viongoz kama hawa
Lisu Mungu akülünde sana.Nchi inakujitaji bado. Tuvushe hapa na ndugu Mbowe. Muda umechoka . Ni huu. Muda ni sasa. Katiba mpya ni sasa. Tume huru ya uchaguzi ni sasa
Tundulisu mara zote amekuwa akiongea ukweli
Mheshimiwa Lisu waambie hata hiyo katiba ya Nyerere waliyoing'ang'ania kama ruba kwa maslahi yao, ni ya binadamu na sio msahafu!
Mtu wa maana kabisa🙏🏽
ccm ccm ccm mungu anaowaona
Aisee viongoz wako nje ya mfumo lkn wanaoongoza ni panya road
Kabisa
Katika uhalisia
Ukiwa na Akili timamu ndo utaelewa
Tundulisu hajawahi kuwa mnafki kabisa mara zote yupo upande wa wananchi🔥
Tanganyika ni vin'gan'ganizi mnooo shida nn sijui maana hao wazanzibar hawautaki kabisa huu muungano
Unaweza kujificha chini ya meza kwa aibu kama unaamini kuwa hii ni nchi moja.
Hadhina ya nchi mungu muwezeshe tundulisu ndoto zake zije zitimie mbeba maono ya nchi
Hii ni hotuba bora kabisa aliyoitoa Tundu Lissu.Mungu azidi kumbariki.
✌️✌️✌️✌️✌️
Mwamba huyo hapo
Mungu ndiye mpaji. Atashusha nyavu mkono wa kulia
Hiki kichwa Sana aisee na hajawahi kua mnafk kabisaa ,anajua tena anajua na anajua zaid
TANGANYIKA RUDI ULIKOENDA
This is the machine tundundulisu has been shecking Tanzania Palament since tundundulisu was inside palament from palament to lntanationol voice into Tanzania politics
This is the real Giant
Chuma kweli kweli !!
Sasa wakati umefika kwa mheshimiwa Tundu lisu kuhoji pia mkataba wa dini yake na serikali ya chama cha mapinduzi.
Yanapo kuja mambo ya facts hapo ndipo chama fulani huwa kinapoteana na hawanaga majibu kabisa.
Ninachojua ni kuwa hakuna mwenye uwezo wala facts za kupinga kilichosemwa humo Bali itakuwa propaganda za kiitikadi tu. Tuliambiwa kuwa hatutapata katiba mpya kabla ya kupata elimu na elimu yenyewe ndio kama hiyo. Ahsante sana Wakili msomi Tundu kwa Elimu
Ccm wanalazimisha sababu ya kulinda masirahi yao
Utasikia kuna chawa bado wanakaza mafuvu yao
Tanganyika rudi ulikokwenda
TANGANYIKA RUDI ULIKOKWENDA
Tume huru katiba mpya ni sasa safari. Hii mtatuua wate maana tumeamuka usingizini
Yuko sahihi kichwa hiki
Dadadeki hoja za nguvu
Wakaona hii piga RSS