M pesa naweza kopa usiku wa manage kupitia simu yangu bila mashariti magumu selikali haiwezi tlkutokopesha kwa urahisi namna hiyo mmeona wivu tu washenzi nyinyi
Bila shaka Waziri wa Fedha (Mwigulu)na Waziri wa Habari na Mawasiliano (Nape), wanajua fika uwepo wa mikopo kausha damu kupitia simu na ni wafaidika wa hii mikopo. Haiingi akilini watoe majibu ya kuitetea kwa kumung'unya maneno.
Banks should bridge the gape in order to attract potential customers to access loans from banks instead of going to Kausha damu. Otherwise people will go on to Kausha damu if and only if banks must regulate terms and conditions in order to attract this big group of potential customers.
1. Mikopo kausha damu inatolewa na taasisi zenye usajili na leseni za BOT. 2.Serikali iende mbele kuangalia nini kinasukuma mtu kuchukua mkopo wenye riba kubwa.
Ila kiukweli Mwiguli uelewa wake ni mgumu sana, Spika anamuuliza je Benki kuu linamwongozo kuhusu riba?!! Haelewi anababaisha tu, mara hakuna mwongozo, mara hairuhusiwi kujiwekea riba...daah...!!
Mabenki ambayo ndiyo yenye leseni yanakopesha kwa masharti magumu sana hivyo wengi hatuyawezi na ndiyo maana tunaishia kwa kausha damu. Mikopo ya kwenye simu pia in kausha damu.
Nashindwa kuelewa yani kwani unalazimishwa kukopa😂😂😂😂😂 kaenda yeye mwenyewe hela kapewa kaenda kulewa sasa unadhani pesa watarudisha vp hata benk zinafanya hivyo
Kuna toto limezaliwa ,alijui shida,mzazi kama ada analipa mwaka,linakula mihogo ,chapati na maharage,kifupi ajaona hata mtu au familia zinaangaika,majibu yake ni rahisi,kwanini unakopo?Kwa Nini mtu ashindwe?.sio yeye aelewi,uyo ndo apelekwe kua msimamizi,bila kujua laana zinamzunguka wengi watu atawaua bila kufahamu
Serikali yetu ni sikivu,saidia watu,kuwepo na sehemu ya malalamiko na ushauri ,mtu atajieleza atapewa ushauri ,kuliko kufa mzigo unabaki Kwa serikali,watoto watakua awana mzazi,awataeleweka ,bajeti ya dawa inakua kubwa pressure bila sababu
Sasa jamani kama mkopo ni kausha damu kwanini mtu anaenda kuchukua wakati anajua kuwa ni kausha damu, kwanini asiache maana hayo ni makubaliano kati ya mtoa mkopo na muhitaji mkopo,(hapo tunafeli)
Wewe ayajakufika,ipo zamu Yako au ndugu zako wa karibu,mtu anakwenda bank Kwa ajili ya biashara,gafla inatokea shida,Kuna wizi,Kuna mtu wa karibu kupata shida na mengine,bank wanakuja juu marejesho,mtu anaamua ajalibu Tena microfinance,ili apate mzunguko,lipa na mambo mengine,anashindwa,nyumba bank wanachukua ,watoto anao 9,mwisho pressure kifo
Madam Speaker yuko vzr sana...uelewa wake ni mkubwa sana...Big up kwake!
Aaaah Mwigulu hamnakitu kabisa
Mwiguli anashindwa hata na wanawake😂😂😂
Ukweli ni kwamba maisha mtaani hali ni ngumu mnoo
Tafuta namna ya kutumia kitu kuwasadia wananchi
Mwigulu mmmhh! Speaker 👏👏👏👏👏👏🤝,,, but mjadili kwa nn wananchi wakope?
Haya mambo yalishaongelewa Sana na serikali utekelezaji hamna
Watu wamefungua ofisi za kupopesha na wanalipa kodi za serikali tunamuomba waziri afanye uchunguzi
Bunge la mazuzu,mbona mafuta na gesi kupanda bei hamuongelei
Spika 👏👏🙏🏾
Hakunajipya
Be up speaker muelewa waziri wa fedha fanya uchunguzi maneno yako hapo
Kumbe waziri hajui kama kuna mwongozo wa mikopo.
Mmm hata sielewi
Safi sana tuli haksoni
upotoshaji Mungu wangu
M pesa naweza kopa usiku wa manage kupitia simu yangu bila mashariti magumu selikali haiwezi tlkutokopesha kwa urahisi namna hiyo mmeona wivu tu washenzi nyinyi
Kazi iendelee
Uchaguzi umekaribia,wabunge wetu wanatutetea kwa uchungu 😢
et wabunge wetu wanatutetea Kwa uchunguu😂😮😅😊
DAKTARI TULIA 👏👏👏
Asante Sana sipika kwa maswali wako kwa waziri
Moto chini moto juu
Kaisha damu IPO Sana through microfinance online
Tv
Bila shaka Waziri wa Fedha (Mwigulu)na Waziri wa Habari na Mawasiliano (Nape), wanajua fika uwepo wa mikopo kausha damu kupitia simu na ni wafaidika wa hii mikopo. Haiingi akilini watoe majibu ya kuitetea kwa kumung'unya maneno.
Yaan wew mwnamke wewe bs tu! yaan unatoa points muhmu sana" tulia wew ni super woman
Huyu nape anaweza nini
Mbona zipo nyingi
Majibu ya nape hayana maaana shida wakopaji wanafanya hivyo kwa shida haraka kiutaratibu nimzunguko
Banks should bridge the gape in order to attract potential customers to access loans from banks instead of going to Kausha damu. Otherwise people will go on to Kausha damu if and only if banks must regulate terms and conditions in order to attract this big group of potential customers.
Wabunge wangekuwa wasikivu na kuacha usumbufu wa kupigac makofi hovyo na kufanya tusielewe mjadala. Please.
🎉
Alafu mwigulu aliutaka urais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania?! Mavi kabisa
Hivi vitaasisi huku mtaani ni hatari sana,WA mama wanakimbia familia zao kwaajili kudaiwa
Biashara ya nyamuna
Ila Watu wanaumia sana Mtaani sio Kitoto
Kwa nn akakope lak moja alafu ndani ya siku 2 alipe 150000 hapo wa kulaumiwa ni. Nan?
1. Mikopo kausha damu inatolewa na taasisi zenye usajili na leseni za BOT.
2.Serikali iende mbele kuangalia nini kinasukuma mtu kuchukua mkopo wenye riba kubwa.
Mtu anakopa kutokana Na uhitaji, pia sehem penye uhakika wakuupata.. bila kujali riba
Kwa nn serikali isiwe inakopesha ili wananchi wasiwe wanakopa hiyo mikopo?
Ila kiukweli Mwiguli uelewa wake ni mgumu sana, Spika anamuuliza je Benki kuu linamwongozo kuhusu riba?!! Haelewi anababaisha tu, mara hakuna mwongozo, mara hairuhusiwi kujiwekea riba...daah...!!
Are you managed them as concerning minister
Mabenki ambayo ndiyo yenye leseni yanakopesha kwa masharti magumu sana hivyo wengi hatuyawezi na ndiyo maana tunaishia kwa kausha damu. Mikopo ya kwenye simu pia in kausha damu.
Riba zao ni kubwa sana
Mhe. Spika uko vereeee
Hata mabenki nayo kausha damu watu wanalipwa made ni Bado nanyumba za watu zinauzwa
Wazir wa fedha haujajibu swali kausha damu wana ofisi kabisa wanakopesha na riba kali na wanamaofis jaribu kufatilia kwa kina mtaani
Hakuna mnyukano wowote kwasababu mwisho wasiku naunga mkono hoja
Nashindwa kuelewa yani kwani unalazimishwa kukopa😂😂😂😂😂 kaenda yeye mwenyewe hela kapewa kaenda kulewa sasa unadhani pesa watarudisha vp hata benk zinafanya hivyo
Wapigaji
Mhe,Sipika uko vizuri..
Yote yote Mtaani na kwenyesm
Kuna toto limezaliwa ,alijui shida,mzazi kama ada analipa mwaka,linakula mihogo ,chapati na maharage,kifupi ajaona hata mtu au familia zinaangaika,majibu yake ni rahisi,kwanini unakopo?Kwa Nini mtu ashindwe?.sio yeye aelewi,uyo ndo apelekwe kua msimamizi,bila kujua laana zinamzunguka wengi watu atawaua bila kufahamu
Mnachukuwa muda mwingi sana kujadili suala dogo. Hebu jadilini mambo yenye tija na taifa. Mnatumia kodi za wananchi hivyo.
Serikali yetu ni sikivu,saidia watu,kuwepo na sehemu ya malalamiko na ushauri ,mtu atajieleza atapewa ushauri ,kuliko kufa mzigo unabaki Kwa serikali,watoto watakua awana mzazi,awataeleweka ,bajeti ya dawa inakua kubwa pressure bila sababu
Hivi wewe mwigulu!
Kigugumizi hauna
Sasa unapoongea
Masuala ya kimkakati unakipataga wapi!!!?"
Mara yyyayayaya
Mara ttratrata
Unavitoaga wapiiiii!
Sasa jamani kama mkopo ni kausha damu kwanini mtu anaenda kuchukua wakati anajua kuwa ni kausha damu, kwanini asiache maana hayo ni makubaliano kati ya mtoa mkopo na muhitaji mkopo,(hapo tunafeli)
Mawaziri vilaza au wananufaika na mikopo hiyo,kikomo Cha riba kilitolewa na bot nyie vp
TUMIUMIA
Dr.Tulia big up
Speaker Hongera Umeongea Viziuri sana
Wewe ayajakufika,ipo zamu Yako au ndugu zako wa karibu,mtu anakwenda bank Kwa ajili ya biashara,gafla inatokea shida,Kuna wizi,Kuna mtu wa karibu kupata shida na mengine,bank wanakuja juu marejesho,mtu anaamua ajalibu Tena microfinance,ili apate mzunguko,lipa na mambo mengine,anashindwa,nyumba bank wanachukua ,watoto anao 9,mwisho pressure kifo
Kazi ya Serikali ni Nini Sasa,nani azuie mambo haya
Sasa huyu mwigulu Uwaziri kaupataje
Acheni uongo nyie watu
Kama mna maslahi na hii mikopo semeni
Nakopeshwa na Songesha..mimi kama mteja wa Voda..nalipa kwa Riba kwenda kwenye mtandao..