MASOUD KIPANYA ATAMBULIOSHA GARI NYINGINE MPYA ATOA YA MOYONI KUHUSU ELIMU!
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- MASOUD KIPANYA ATAMBULIOSHA GARI NYINGINE MPYA ATOA YA MOYONI KUHUSU ELIMU!
SUBSCRIBE BONYEZA HAPA: www.youtube.co.... HABARI NA MATUKIO YOTE YA KILAMAWASILIANO: 0789298109/ 0745918024.
Mimi nitafurahi siku kiongozi wa sketa ya technolojia akisema mwanamchi mwenyewe ujuzi wa kutengeneza atengeneze arafu alete kwenye maonesho ya 7.7 naiman nafsi yangu itafurahi sana, maana ni mengi natamani kushangaza inchi yangu, Me nasubiri maneno mazuri ya kuansha isia zetu, kazi nzuri bro masoud
Huyu bro anauwezo mwingi sema namna yakunya kile kilichopo ndani yake kutokana na uwezo wa pesa
alafu unakuta VETA wanazulula tuu na mawaziri wao
Hebu wizara liangalieni jambo la huyu mtu. Hebu muwezesheni huyu awe na kiwanda.
Kwa viongozi wapi ?Hawa wa kila kukicha Kodi juu sahau labda waondokane na wivu cz toka amezindia gari ya kwanza wangekua niwatu wanawawatu wao support wangesha muwezesha kitambo sishangai hapo tu Kuna baadhi ya viongozi wanatamani wampige Pini chezea ngozi black
Mtu maarufu pekee TZ akiongea lazima uhisi kuchukua peni na karatasi ili uchukue nondo
Braza wewe ni hazina ya nchi viongozi wa 🇹🇿hamlioni hili au mpaka wa🇰🇪 waseme "KP"wakwao ndo mstuke
Alafu mnamlinganisha na mwijaku kweliii
I wish nikutane na huyu mtu.
Huyu kumbe anafan kubwa Sana mamba masud kipanya