#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Ujumbe: Usiku wa manane
Andiko: Mathayo 13:25
Pastor: Innocent Mashauri
Mathayo 13:25
lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
❤❤❤❤ Asanteeee Muñgu kwaajili ya mtumishi wako najiungamanisha Mimi na watoto wangu katikati ya hii mazabahu utupngoze katika yote
Naungamanisha watoto wangu Amen 🙏🙏🙏🙏 Amen napokea uponyaji wangu
Mtumishi namshukuru sana mungu ibada ya Jana damu ya yesu imefungua vifungo kwangu. Mpaka. Sasa bado mwili wangu unauma
Mungu wangu namuungamanisha mwanangu pamoja familia yangu namaombi ya mwezi huu wa saba
Wa mungu wa amani aniepushe mimi na uzao wangu kutokana na kila hila.
Mungu naomba usinipite unapozuru wengine...nikumbuke kwetu ni Mimi bread winner 🙏🙏🙏
Bwana Yesu naomba ulinzi wako kwa uzao wangu watoto wangu mimi wajukuu mkwe amen
Natamani kwenye huu mfungo nitoke na ushuhuda ee Mungu😢😢
Yesu nawaweka mikononi mwako watoto wangu wote na Wana wa wanangu na mke wangu na ndugu zangu wote wa tumbo moja na Mimi nami pia najiweka mikononi mwako turehemu baba ata uzee wetu bariki Kila kazi ya mikono yangu na wote niliowaandika hapa baba katika jina la yesu kristo Amen.
Asante sana mtuishi kwa somo zuri mimebarkiwa sana
Naomba damu ya yesu juu ya maisha ya familia yangu
Yesu ,tawala maisha yangu maana nimeishiwa na akili yangu❤
Ni kweli mtumishi leo nimetamani sana kuingia ibadani lakini nimejikuta napata magumu usiku huu bila hata mim kujua,nimekuja kuingia mwishoni kbs unamalizia,ila nikawa nimesikiliza tena baada ya ibada,namuomba Mungu anifanyie wepesi😢katika maisha haya magumu sana ninayopitia
damu ya Yesu kwa maisha yangu
Tawala bwana yesu katika maisha yangu
Asante Bwana kwa neema hii ya kukutana na maombi haha amen
Mungu tengeneza kesho yangu
Mungu wangu nikumbuke katikati ya usiku huu kwa Reehema zako na huruma zako😢
Najikonekt Najikonekt nikohapa bwana usinipite, nitembelee bwana Yesu nitembelee bwana Yesu,
Thank you Jesus kwa kunipa nafasi to view this lesson
Oooh Asante.Amen Amen 🙏
Amina mungu namie usinipite uendelee kunipigania naomba unitendeee muujiza baba nifungulie milango yangu imefungwa baba naomba unitumikishe gisi unavyopenda asante mungu nifungulieee mema baba milango yabaraka naitaji msada wako amen
Damu ya Yesu inanena mema katika maisha yangu maisha ya wanangu kwenye biashara yangu kwenye family yangu 🙏🙏🙏
Bwna yesu naomba unilinde juu ya ndoto zote mbaya adui anazoleta kila nilalapo naomba ulinzi wako
Namuungamanisha mke wangu Neema katika madhabahu hii ya Siri za bible anipende mm pia asahau yote yaliyo pita
Kweli😢hata mimi mchumba wangu kashindwa kusahau yalopita,Mungu atufanyie wepesi
HALLELUJAH BABA nifunike kwa damu yako pamoja na watoto wangu nanyunyiza DAMU YA YESU KRISTO KATIKA KILA LANGO LA NDOTO,BWANA naomba sadaka naomba kazi MUNGU WANGU USINIPITE 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙇♀️🧎🏻♀️🧎🏻♀️🧎🏻♀️🧎🏻♀️🧎🏻♀️🧎🏻♀️🙏🙏🙏🙏
Amina,Asante Yesu🙏
Mungu nitendee miujiza katka usiku huu
I know this Maombi will take me to my breakthrough
Yaani mungu azidi kumtumia mtumishi wa mungu ujumbe huu wangu wote daaah muache yesu aitwe yesu alelluya alelluya BWANA yesu apewe sifa jina LA yesu lisifiweeeee
Mungu niponye
Tawala maisha yangu Yesu
Amen amen amen
Mungu tulinde mama yangu na familia yangu yote ktk jina la Yesu
Damu ya Yesu inipiganie na kilanguvu zagiza zinazo pambana na maisha yangu na watoto wangu
Asante Mungu
Damu ya Yesu pigana na vita zote zinazopigana na mimi watoto wangu wajukuu zangu mkwe wangu kwa damu yako Yesu
Mungu naweka mikononi mwako shughuli ya sendoff Mungu hiyo safari uliianzisha wewe na utaimaliza wewe onekana Bwana hiyo tarehe amen
Ee bwana usinipite baba unihone mungu wangu nahomba unihone
Tawala bwana yesu juu ya maisha yangu nauchumba wangu pia mungu unipehela ili nifunge ndoa yangu kwa pia kwakuwa neema ana mimba ya mtu mwingine naomba hiyo mimba hata itoke bila dawa ili tufiche aibu maana tutaaibika sana maana tunahitaji kufunga ndoa mwezi wa tisa
AMINA
Namunganisha mme wangu gibo na hii madhabahu ya siri za biblia arudi kwangu usiku huu🙏🙏
Mungu naomba akutane na Mimi aniponye uvimbe uliopo tumbon uyeyuke, nakataa operation Kwa jina la Yesu kristo
Kama mimi mtumishi huyu baba alichukukua jina langu akaweka kwenye quraan.Napambana sana mtumishi hii nyumba.Mauzauza mengi.Sema mimi namuweka Mungu mbele.
DAMU YA YESU FUTA MAHALI POPOTE JINA LANGU YA WATOTO NA WAJUKUU ZANGU NA MKWE WANGU LIMEANDIKWA NA ADUI KWA AJILI YA UHARIBIFU AMEN
Siku ya ndoa naiweke mikononi mwako pia Bwana katende kwa mapenzi yako Mungu wetu
🙏🙏🙏🙌
Namuweka mikononi mwako mtoto wangu Nancy wadogo zangu na wazazi wangu turehemu baba😢
Sophia ❤
Bwana usinipite usiku huu naomba unishike mkono wako mm bila ww siwez nitete juu ya wokovu wangu
Ee mwenyez mung namushukur San Kwa hiii hatua nilipofikia nakuona tayar kweny maombi yangu nina amani tele jamn nitie nguvu nimalize mfungo huu salam
Mithari 20.27
vikoba na mi hezo ya kupeana pesa hiyo pesa unaweza kuitolea sadaka au ndio haifai
Usinipite mwokozi
Wale waliotoa ahadi za michango wasitulie mpaka watoe hizo pesa dear God
EE MUNGU NISAMEHE MNO NAANZA NA WW