Baba Levo - High Na Low (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 мар 2020
  • #BabaLevo #HighNaLow #KTown
    #BabaLevo #DapstremEnt
    OFFICIAL RUclips CHANNEL
    ©2020 Administered by Dapstrem Entertainment Limited.

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @rajrukonge9884
    @rajrukonge9884 4 года назад +3

    Nimeurudia mara tatu baba levo umetisha sana tangu K TOWN PEOPLE. TUNAOMBA UTUPIE ILE NGOMA YAKO YA KITAMBO . WEWE NI MREMBO WAMEKUFANANISHA NA SHANI. OBIDII NA GAZI

  • @samsonnyambi7108
    @samsonnyambi7108 4 года назад +431

    Chuma ya moto saaana baba levo fundi achia like ipenye

    • @nelsonalex2513
      @nelsonalex2513 4 года назад +4

      Sikutegemea Kama uyu DIWANI Angetoa dude kali Kama ili big up saana nimependa ubunifu Wake💥🔥🔥🙏

    • @vumiliajuma742
      @vumiliajuma742 4 года назад +2

      nyimbo nzuri sana

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 2 года назад

      utakua humjui tuulize cc enz hiz anatamba

  • @simondickson859
    @simondickson859 4 года назад +23

    Shikamoo director, editor, coulorister, designer, location manager na Baba levo haki mmeitendea haki. Filing, mood and props 💯

    • @yassinuddi
      @yassinuddi Год назад

      Hii ngoma has all values kupenetrate into international market.

  • @charliemagai8554
    @charliemagai8554 4 года назад +71

    Wimbo mkubwa sana aseee, who else anauskiliza this time

  • @tikikongwatu9902
    @tikikongwatu9902 4 года назад +16

    mnyonge mnyongeni ila kwa goma hili tawireeee babaaaaa!.....

  • @mbavuofficialtv6476
    @mbavuofficialtv6476 4 года назад +19

    Kama umesikia baba levo kasema...
    "Ninaweza kuimba pombe na wote mkalewa" like apa... Pamoja Sana baba levo chuma liko poa Sana

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 3 года назад +33

    Kama umesikia kamtaja mkapa kwenye hii nyimbo Gonga like kumuenzi MKAPA

  • @daimakiganjani
    @daimakiganjani 4 года назад +24

    Gonga like hapa kwa baba levo..

  • @skyofprofit4430
    @skyofprofit4430 4 года назад +25

    Sijawahi kucomment ila leo duuuu Jamaa katisha sana hvi ndo tunataka wabongo wawe kweny music bhan nakubali Baba Revo bigupp broo

  • @manisaidiy2008
    @manisaidiy2008 4 года назад +56

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Yale ma movie nayapendaga ndo hayaaaaaa safi sana baba level

  • @juliusedward5808
    @juliusedward5808 4 года назад +1

    Hata niimbe kwaya................. #Kali sanaaaaaa

  • @seiftz9325
    @seiftz9325 3 года назад +1

    Baba levo good song polisi nawamaidiii Sana Hiyo Sehem Umetisha Sana Pamoja siiiii wanafanya Kaziiiii kwa sifa

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 4 года назад +37

    From Canada first one kuone hii Quarantine days a k a corona virus nani mwengine like twende saaaaw🔥🔥🔥

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 года назад

      Tizama filamu ya .......... Bonyeza hapa👇
      ruclips.net/video/KgZtEBi6WI0/видео.html

    • @filslt3806
      @filslt3806 4 года назад +1

      Dj B2k Zer0 from Canada 🇨🇦 Montreal Quantine kwenda mbele 😂😂😂🦠🦠

    • @djb2kzer0
      @djb2kzer0 4 года назад

      Fils Lt 😁😁😁🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @believesalatiely1514
    @believesalatiely1514 3 года назад +3

    hii ngoma Kali jmnnn fanya kusubscribe kwa bba levo bac apate vwerz wengi afke ata 1M nyimbo zake ni kali

  • @OlivierHamenyimana
    @OlivierHamenyimana 17 дней назад

    Baba levo anajua,ni mwandishi mzuri ila Ana upuuzi mwingi

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv5574 3 года назад

    Nilichogundua hapa #highJamaaAnapandaLoooowAnacooldown safi sana babaLevo hili goma uliandika na kufikiri vyema 👮👮👮

  • @dkmonlinetv.2923
    @dkmonlinetv.2923 4 года назад +91

    Kigoma stand up ,like here if your kigomanian.

  • @amirisimba1057
    @amirisimba1057 4 года назад +39

    Baba levo hili goma ndio umedhihirisha uwezo wako asee ....video Kali sana na sikutegemea idea ya hii video ulivyouwa

    • @hurumaluvanda3993
      @hurumaluvanda3993 4 года назад

      M amenifanyia maajabu sikufikiria kama video itakua iv

  • @Mc_Kibonge_Mwepesi
    @Mc_Kibonge_Mwepesi 4 года назад

    Aiseee hii imenitoa machozi ya furaha imenikumbusha mkali wetu k-town baba levo karudi! Yaani nimeshare nimecomment na nimelike hatareeeeeeeee!!!!!

  • @mtatirochilare6228
    @mtatirochilare6228 4 года назад +1

    Umetishaaaaa baba levo umefanya masikio na macho yapge salut 👏👏👏

  • @mudybestmusic3889
    @mudybestmusic3889 4 года назад +83

    ninaumri wa miaka 32 tangu nazaliwa sijawahi kumsikiliza baba levo nikamuelewa ila kwa goma hili lilivyokali nishakuwa shabiki yake

    • @ezzepuritykamwene2121
      @ezzepuritykamwene2121 4 года назад +1

      Baba Revo ni mnyama mbayaaa...hii miondoko huwa ndo yake. Kuna moja ile pia inaitwa wamenichokoza...nayo ni nyokoooooo!

    • @lazaroroden5346
      @lazaroroden5346 4 года назад +1

      Hii ngoma kama ile wanyee nmekubali baba levo another level ktown

    • @maulidiathumani5574
      @maulidiathumani5574 4 года назад

      hatarii cn king wa making xx naona kalud kwa kishindo duu

    • @nkambatv1178
      @nkambatv1178 4 года назад

      Namim naomba mnisain mashabiki wa baba levo nimekuja ileile aise kuna madude konk kinyama duh

  • @idrissspark3649
    @idrissspark3649 3 года назад +5

    This beat will rock Sana endapo tu club za hapa #QATAR zikifunguliwa... I will make sure this Dude anakuja hapa Insha'allah... Kazi zake zote sio za kitoto.

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 4 года назад

    Nimirudia kutazama kama mala 10 nikiwa msumbiji cabo delgado mocimboa da praia kwenye vita. .aha iyi ngoma ni kali. nikisikia mlio wa bunduki tu nacheki mzigo.yaniv low.kigoma iyo umitisha sana babav levo adi nasahu corona virus na vita uku kwetuv ubanguni nani anaefuata na ngoma kali kama iyi anitowe setres

  • @pwoka5208
    @pwoka5208 4 года назад +2

    Amesema wanjanja wachache wataelewa na kweli tupo wachache walioelewa hili goma... 💣💥🔥

  • @salehemfuchu368
    @salehemfuchu368 4 года назад +234

    Wangapi wameirudia hii nyimbo

  • @owennicholous9706
    @owennicholous9706 4 года назад +22

    nisiwe mnafiq,,,,,huu ndio wimbo wangu bora kutoka kwa babableovo,,,umeuwa kwanzia punching,,floo,,mistari hadi vedio umetisha Sana💪💪💪

  • @foztz2249
    @foztz2249 4 года назад +1

    Baba Levo basi kaka, tuonee huruma🙏 Limepigwa juzi bar ya mbagala kulikua na fujo mpaka watu wakapigana kisa wanataka irudiwe

  • @lucasrichard4956
    @lucasrichard4956 4 года назад +1

    Tayari mmesamehewa maombi nimewaombea nimependa sana hiiiii # baba levo k town

  • @pascodeeofficial289
    @pascodeeofficial289 4 года назад +46

    salute bro hiki ndo tulichokuwa tunakumiss sana toka kwako🔥🔥

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 года назад

      Tizama filamu ya .......... Bonyeza hapa👇
      ruclips.net/video/KgZtEBi6WI0/видео.html

    • @muddydoni2443
      @muddydoni2443 4 года назад

      pascodee official musiufuate nyayo ya Tembo ni atali sana

  • @watchme5678
    @watchme5678 4 года назад +7

    Nataftiza kosa la hili dubwana
    Lyrics 👍
    Video 👍
    Beat 👍

  • @hussein_mbonye
    @hussein_mbonye 3 года назад +1

    Nadhani hii ni miongoni mwa ngoma bora kabisa

  • @inno4953
    @inno4953 4 года назад

    Mwanangu mwenye wa msufini baba levo.. Kiwashe mzeya..

  • @millananderson7855
    @millananderson7855 4 года назад +17

    Best 2020 Hip Hop Song by far!!! Masterclass

  • @shabanihamisi115
    @shabanihamisi115 3 года назад +6

    Who else is here to listen this unique vibe in the end of 2020. Hit like as many time as you can. Love from Mombasa

  • @zawadikundavi8793
    @zawadikundavi8793 6 месяцев назад +1

    Huyu jamaa simkubali Ila huu wimbo ni wa moto Sana!!!

  • @japhetmnyeta5310
    @japhetmnyeta5310 4 года назад

    OI oi oii,sasa baba levo umeanza kufanya music na si music but international music ,good step

  • @abdulkarimmwagize6259
    @abdulkarimmwagize6259 4 года назад +8

    D 1, beat imetendewa haki, KIGOMA stand up🙌🙌

  • @emanuelstanislaus8807
    @emanuelstanislaus8807 4 года назад +50

    kudadadadadadekiiiiiiiiiii. this is more than a movieeeeeeee
    Nanilivyojaa kama Benjaminimkapa
    hahahhahahahaaaaaaa
    Hatari fireeee
    K-town Kigoma ni Noumaaaaa
    Home

  • @officialsuprise9197
    @officialsuprise9197 4 года назад

    Baba levo wewe ni jini unajua sana aisee jini la kigoma unatisha kwa hapa mtu hachomoki tishaaaaaaaa

  • @anithaphilip3526
    @anithaphilip3526 4 года назад +1

    Watanzania sijui tumerogwa na nani, nyimbo Kali kama hii ina views laki tatu afu kaangalie ya amaboko, ngoma mbovu ina maviews yote, tujifunze kusapoti vitu vizuri,

  • @shabanichaye8255
    @shabanichaye8255 4 года назад +4

    Baba la baba ndo habali ya mjini kama unamkubali baba levo kama mimi Gonga like twende sawa

  • @kanselaa.m3701
    @kanselaa.m3701 4 года назад +3

    Kali sanaaaaa

  • @habibasallah8139
    @habibasallah8139 3 года назад

    Mashaallah babalevo unajitahidi ila tatizo nyota tuu ila unajuwa best wngu

  • @hajimaduga3881
    @hajimaduga3881 4 года назад

    Daaaah kiukwl kama unaskiza hii ngoma bila kuambia alieimba uwez jua kama kuna mtanzania kutoka kigoma ndo kafanya huu unyama big up diwani

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora860 4 года назад +6

    Baba Level we ni #highLevel! #Bongeladude, bonge la video! Kaza usipotee! Napenda high spirit yako! #powerful😉💪👍👌

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 года назад +7

    From cape Town south Africa 🇿🇦 wayneberg 2020 moto kwa Baba levo High and Low

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 4 года назад +2

    Sasa baba Levo kaza hapo hapo usiachie.. bandika juu ya kubandika mpaka tukome!!!

  • @ramcymosungu4700
    @ramcymosungu4700 3 года назад

    Baba hiiiiiii video oyooooo ni noma hiyoooo ulivyopta kwa beat Hawa, sema shida n moja unatufokea sana, aaah usifoke

  • @yeftafilmproduction4214
    @yeftafilmproduction4214 4 года назад +120

    From Canada like here watu wakigoma tujuane

  • @faizsalum7263
    @faizsalum7263 4 года назад

    Respect diwan hii kitu ziunganishe video za bongo na Kenya na Uganda na south yote ila hawafikii hili move 🔥🔥🔥🔥ni ujazo wa high na low 💪

  • @tableykija2064
    @tableykija2064 4 года назад +4

    Huwiiiiiiii!!!! Kama inakupa mizuka hii ngoma like zangu tafadhali

  • @jaytheboy2393
    @jaytheboy2393 4 года назад +37

    wangapi wanasema tuwekewe behind the scene ya hili movie ?

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 4 года назад

    Dah Baba Levo umerudi aisee!!! yaani naangalia hii mara ya 20

  • @shynerchronic5020
    @shynerchronic5020 4 года назад

    Hizi salute zinatonea longstreet capetown,baba level unetisha sana mzee pia salute kwa DIRECTOR hanscana video kali kajitahid sana

  • @beibyleonard928
    @beibyleonard928 4 года назад +7

    Nairudia tu masikion mwangu wallah tamu kinyamaaaaaaaaaa
    Kigoma hatok falaaaa mamaeee

  • @selemanimwita3256
    @selemanimwita3256 4 года назад +6

    Corona imekutana na baba la baba 🔥🔥🔥💥

  • @emmanuelmtatiro8429
    @emmanuelmtatiro8429 4 года назад

    Haki ya Mungu siwapendi ..... Baba Levo

  • @jamesaloyce3644
    @jamesaloyce3644 4 года назад

    Sikujua kama ili ngoma ni la baba levoo..... umeuaa💥💥💥💥

  • @nimujocentre2173
    @nimujocentre2173 4 года назад +6

    Hujawahi toa ngoma kali kama hii nii 🔥🔥🔥💪💯%

  • @sambitz8657
    @sambitz8657 4 года назад +12

    Kama umekubalii hi ngoma gonga like na comments twende saw

  • @official_ya13
    @official_ya13 4 года назад

    Baba mwenye levo zake hii ngoma nimeilewa sana mzee baba mpk mb zangu namalizia kwa hii ngoma

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 года назад

    Baba level umejitahidi sana kwenye hii ngoma duh umekuja kivingine kaza Brother uwezo unao.

  • @emmanueljuma7823
    @emmanueljuma7823 4 года назад +4

    🦅🦅🦅🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥 good music and a hit one babale big up brother hii kubwa sana kuliko

  • @shammybeybe1825
    @shammybeybe1825 4 года назад +12

    Kama unampenda baba levo....naomba like tujuane ....💯

  • @charlzcon6812
    @charlzcon6812 3 года назад

    Huyu jamaa kaja na ujio mpya.. recovery of Baba Level

  • @rashidalshaid445
    @rashidalshaid445 4 года назад

    Dahh. Unatisha baba levo. Kumbe kigoma tuna kila kitu cha kujivunia. Big up sana

  • @raymondjohn6279
    @raymondjohn6279 4 года назад +4

    Brow mm remo skynar kutoka k.town msan wa hip hop Ngoma yang pamban, kaz nzr sn. hapo ndio mahal pako salute sn kigoma mbele

  • @hilynedist6891
    @hilynedist6891 2 года назад +2

    Guys huu wimbo mzur...location, lyrics,video imekaa poa...imepangiliwa.....tuzo ipewe🇹🇿♥️

  • @hussein_mbonye
    @hussein_mbonye 4 года назад

    Kwa mara ya kwanza na comments...umetisha babalevo

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 Год назад

    WE msenge.#konde kasababisha Nije kukucheki kakusapoti saaaana🤣😂🔥🔥🦣🦣🐘🐘🐘🦣🦣🔥🔥🔥💪💪umuheshim saaaana💪🌏🌏

  • @RayonSportsEcho
    @RayonSportsEcho 4 года назад +8

    Respect to Hanscana as director 👏

  • @nkwazi
    @nkwazi 4 года назад +34

    Mh ... Jaman hii nyimbo inaweza tumika kutolea mimba 🙆

  • @zacharianyenza6408
    @zacharianyenza6408 6 месяцев назад

    Ila hii nyimbo iliimbwa ingekuwa imeimbwa na Mmarekani nadhani ingeuzaaa sana tena sana kama ingepigwa huko marekani

  • @frankhajimatozi3949
    @frankhajimatozi3949 4 года назад +1

    Mwamba umeua sana rapa bora Tz kutoka kigoma town.

  • @kizbeka369
    @kizbeka369 4 года назад +8

    From Qatar first one kuona hii ngoma high na low
    Mzee baba umetisha yaaani mambo ni moto mh

  • @petermoshi6920
    @petermoshi6920 4 года назад +30

    Atakaye Sema Ngoma Sio Nzur Bac K ya Mama yake,
    K Town🔥

    • @agaaah6697
      @agaaah6697 4 года назад +2

      Kweli kbx ngoma kali sana

    • @eliackimsimon1890
      @eliackimsimon1890 4 года назад +1

      Tena K ya mama yake na Bibi yake

    • @petermoshi6920
      @petermoshi6920 4 года назад +1

      @@eliackimsimon1890 😁😁😁

    • @makulesamson4968
      @makulesamson4968 4 года назад +2

      😁😁😁

    • @petermoshi6920
      @petermoshi6920 4 года назад +1

      @@makulesamson4968 Kunawatu Wameretwa Dunian kwaajir ya kukosoa
      Kiwe kizur kiwe kibaya wao Nikukosoa2

  • @zachariamhere2031
    @zachariamhere2031 10 месяцев назад

    Huyu ndo baba levo (OBi D) tunaemjua since kigoma

  • @kelvinjonas6215
    @kelvinjonas6215 3 года назад +2

    Hivi hawa ama dislike huwa wanageuza simu juu chini wakijuwa wame-like au ndio wazee kubonyeza kujuwa kuwa hawahuwi wanacho kifanya.... Hii ngoma Kali bhan

  • @dieuhazard4796
    @dieuhazard4796 4 года назад +7

    Kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kma kigomaaaaaaaaaaaaa duuuuuu l see u come back my brother respect respect piga keleeeeeleeeeee Kwa roow yaaaakeeeeee diwani wetu wa kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa moo town bb l like kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa is my town thanks you BBA levo kueweka bendela la kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @revocatusrukoijo468
    @revocatusrukoijo468 3 года назад +3

    Baba levoo weeee my best interview comedian 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jozi1511
    @jozi1511 4 года назад

    Ngoja ni baba levooooo.... Hata niimbe kwaya mistari itawadiss hahah@aaaa

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +3

    Hip Hop imebaki kwa Baba Leo,

  • @ramadhanijuma4130
    @ramadhanijuma4130 4 года назад +7

    Sio mpenzi wa nyimbo za bongo lakini kwa hii nimeielewa Sana tusaport nyimbo za harakati zinatufanya tukaze

  • @abubakalhassan225
    @abubakalhassan225 4 года назад

    🗣️🗣️👏👏. Sana ngoma Kali. Baba levo. Hatal

  • @kalbymax7262
    @kalbymax7262 4 года назад

    Baba levo naota au nasinzia. Ngoja ya Jo makini angekaa umo Daaaaa hatari 2020

  • @kasolekasole4981
    @kasolekasole4981 4 года назад +6

    Chuma kiqaliiiiii pride of Kigoma

  • @eliassamwel1624
    @eliassamwel1624 4 года назад +27

    Kigoma bendera ipepeee,kwa brother baba levo

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 8 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥 ngoma kali sanaa mwamba ana weza sanaa

  • @bashirunanguta1810
    @bashirunanguta1810 4 года назад

    Ngoma kali sana Mzee Baba nakukubali kaza ipo siku watu watakueleza

  • @amankachira
    @amankachira 4 года назад +19

    Hili dude du! yaani nashindwa nilizungumzieje lakini hili ni dude lakimataifa

    • @atikombogolo2356
      @atikombogolo2356 4 года назад

      Na laizima tulitendee vyema kwa ku view kwa sana

  • @hashimkinara1377
    @hashimkinara1377 4 года назад +63

    The video is the best, should be in the category of best videos wallah! 🔥🔥👌

    • @pflypfly6722
      @pflypfly6722 4 года назад

      Yaaaah A good video ever

    • @revelationtz7842
      @revelationtz7842 4 года назад +4

      I agree with u tatzo bongo saiv wanamuangalia Kiba na mond tu

    • @dannybandezuofficial
      @dannybandezuofficial 4 года назад

      Still the best to those WE know the good things.

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 4 года назад

      Woow mashaallah

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 года назад

      Ajifunge wcb atakuwa ktk huyo level aki. Wakenya like zenu hapa

  • @salhinakm4733
    @salhinakm4733 4 года назад +1

    .....HIKI NI KIPAJI SIO NGEKEWA.....BIG UP SAAANA BABA LEVO

  • @andrewjames8551
    @andrewjames8551 4 года назад

    Daaah ,mwanangu toka nimekufahamu hili Ndio dude lako la kwanza kupenya kwenye ubongo wangu

  • @shebyhamza1301
    @shebyhamza1301 3 года назад +6

    Kumbe ili ngese linajua eeh 😂😂😂

  • @richardjuma1623
    @richardjuma1623 4 года назад +4

    KIGOMA stand up 🙌🙌🙌🙌

  • @selemanmazemle6639
    @selemanmazemle6639 4 года назад

    Pipipi,,,,,,, papapaa, Noma kwel ngoma nimeikubali kinoma from KIGOMA

  • @mzazig9095
    @mzazig9095 4 года назад

    Baba levo natamani Usajiliwe Kings music broo bdo wewe uko juu king kiba naombebi likes zenu

  • @fallymussa6263
    @fallymussa6263 4 года назад +3

    kizazi sanaaaaaaaaaaaaaa👊👊👊👊👊👊👊👊👊❤

  • @complicated4337
    @complicated4337 4 года назад +3

    Nimependa hii noma🔥

  • @medistandardethicalhacker2049
    @medistandardethicalhacker2049 3 года назад

    #BabaLevo wewe ni noma napenda unavyokaza kama upo na hasira ..............safi