Nimeurudia mara tatu baba levo umetisha sana tangu K TOWN PEOPLE. TUNAOMBA UTUPIE ILE NGOMA YAKO YA KITAMBO . WEWE NI MREMBO WAMEKUFANANISHA NA SHANI. OBIDII NA GAZI
This beat will rock Sana endapo tu club za hapa #QATAR zikifunguliwa... I will make sure this Dude anakuja hapa Insha'allah... Kazi zake zote sio za kitoto.
Nimirudia kutazama kama mala 10 nikiwa msumbiji cabo delgado mocimboa da praia kwenye vita. .aha iyi ngoma ni kali. nikisikia mlio wa bunduki tu nacheki mzigo.yaniv low.kigoma iyo umitisha sana babav levo adi nasahu corona virus na vita uku kwetuv ubanguni nani anaefuata na ngoma kali kama iyi anitowe setres
kudadadadadadekiiiiiiiiiii. this is more than a movieeeeeeee Nanilivyojaa kama Benjaminimkapa hahahhahahahaaaaaaa Hatari fireeee K-town Kigoma ni Noumaaaaa Home
Watanzania sijui tumerogwa na nani, nyimbo Kali kama hii ina views laki tatu afu kaangalie ya amaboko, ngoma mbovu ina maviews yote, tujifunze kusapoti vitu vizuri,
Hivi hawa ama dislike huwa wanageuza simu juu chini wakijuwa wame-like au ndio wazee kubonyeza kujuwa kuwa hawahuwi wanacho kifanya.... Hii ngoma Kali bhan
Kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kma kigomaaaaaaaaaaaaa duuuuuu l see u come back my brother respect respect piga keleeeeeleeeeee Kwa roow yaaaakeeeeee diwani wetu wa kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa moo town bb l like kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa is my town thanks you BBA levo kueweka bendela la kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nimeurudia mara tatu baba levo umetisha sana tangu K TOWN PEOPLE. TUNAOMBA UTUPIE ILE NGOMA YAKO YA KITAMBO . WEWE NI MREMBO WAMEKUFANANISHA NA SHANI. OBIDII NA GAZI
Chuma ya moto saaana baba levo fundi achia like ipenye
Sikutegemea Kama uyu DIWANI Angetoa dude kali Kama ili big up saana nimependa ubunifu Wake💥🔥🔥🙏
nyimbo nzuri sana
utakua humjui tuulize cc enz hiz anatamba
Shikamoo director, editor, coulorister, designer, location manager na Baba levo haki mmeitendea haki. Filing, mood and props 💯
Hii ngoma has all values kupenetrate into international market.
Wimbo mkubwa sana aseee, who else anauskiliza this time
mnyonge mnyongeni ila kwa goma hili tawireeee babaaaaa!.....
Kama umesikia baba levo kasema...
"Ninaweza kuimba pombe na wote mkalewa" like apa... Pamoja Sana baba levo chuma liko poa Sana
Kama umesikia kamtaja mkapa kwenye hii nyimbo Gonga like kumuenzi MKAPA
Gonga like hapa kwa baba levo..
Sijawahi kucomment ila leo duuuu Jamaa katisha sana hvi ndo tunataka wabongo wawe kweny music bhan nakubali Baba Revo bigupp broo
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Yale ma movie nayapendaga ndo hayaaaaaa safi sana baba level
Umejuaje mkuu
Hata niimbe kwaya................. #Kali sanaaaaaa
Baba levo good song polisi nawamaidiii Sana Hiyo Sehem Umetisha Sana Pamoja siiiii wanafanya Kaziiiii kwa sifa
From Canada first one kuone hii Quarantine days a k a corona virus nani mwengine like twende saaaaw🔥🔥🔥
Tizama filamu ya .......... Bonyeza hapa👇
ruclips.net/video/KgZtEBi6WI0/видео.html
Dj B2k Zer0 from Canada 🇨🇦 Montreal Quantine kwenda mbele 😂😂😂🦠🦠
Fils Lt 😁😁😁🙌🏾🙌🏾🙌🏾
hii ngoma Kali jmnnn fanya kusubscribe kwa bba levo bac apate vwerz wengi afke ata 1M nyimbo zake ni kali
Baba levo anajua,ni mwandishi mzuri ila Ana upuuzi mwingi
Nilichogundua hapa #highJamaaAnapandaLoooowAnacooldown safi sana babaLevo hili goma uliandika na kufikiri vyema 👮👮👮
Kigoma stand up ,like here if your kigomanian.
🤣🤣🤣kingereza
Baba levo umeuaaaaa
Tizama filamu ya .......... Bonyeza hapa👇
ruclips.net/video/KgZtEBi6WI0/видео.html
Sio muhan🤣🤣🤣
Baba levo hili goma ndio umedhihirisha uwezo wako asee ....video Kali sana na sikutegemea idea ya hii video ulivyouwa
M amenifanyia maajabu sikufikiria kama video itakua iv
Aiseee hii imenitoa machozi ya furaha imenikumbusha mkali wetu k-town baba levo karudi! Yaani nimeshare nimecomment na nimelike hatareeeeeeeee!!!!!
Umetishaaaaa baba levo umefanya masikio na macho yapge salut 👏👏👏
ninaumri wa miaka 32 tangu nazaliwa sijawahi kumsikiliza baba levo nikamuelewa ila kwa goma hili lilivyokali nishakuwa shabiki yake
Baba Revo ni mnyama mbayaaa...hii miondoko huwa ndo yake. Kuna moja ile pia inaitwa wamenichokoza...nayo ni nyokoooooo!
Hii ngoma kama ile wanyee nmekubali baba levo another level ktown
hatarii cn king wa making xx naona kalud kwa kishindo duu
Namim naomba mnisain mashabiki wa baba levo nimekuja ileile aise kuna madude konk kinyama duh
This beat will rock Sana endapo tu club za hapa #QATAR zikifunguliwa... I will make sure this Dude anakuja hapa Insha'allah... Kazi zake zote sio za kitoto.
Nimirudia kutazama kama mala 10 nikiwa msumbiji cabo delgado mocimboa da praia kwenye vita. .aha iyi ngoma ni kali. nikisikia mlio wa bunduki tu nacheki mzigo.yaniv low.kigoma iyo umitisha sana babav levo adi nasahu corona virus na vita uku kwetuv ubanguni nani anaefuata na ngoma kali kama iyi anitowe setres
Amesema wanjanja wachache wataelewa na kweli tupo wachache walioelewa hili goma... 💣💥🔥
Wangapi wameirudia hii nyimbo
Salehe Mfuchu hii ngoma nairudia mara ya 9 hii, nahisi inastahili kuwa na views hata 200k plus mpaka muda huu
Mimi mara tatu
10+ times
mm apa ata ckumbuk mala ngap
Mm
nisiwe mnafiq,,,,,huu ndio wimbo wangu bora kutoka kwa babableovo,,,umeuwa kwanzia punching,,floo,,mistari hadi vedio umetisha Sana💪💪💪
Baba Levo basi kaka, tuonee huruma🙏 Limepigwa juzi bar ya mbagala kulikua na fujo mpaka watu wakapigana kisa wanataka irudiwe
Tayari mmesamehewa maombi nimewaombea nimependa sana hiiiii # baba levo k town
salute bro hiki ndo tulichokuwa tunakumiss sana toka kwako🔥🔥
Tizama filamu ya .......... Bonyeza hapa👇
ruclips.net/video/KgZtEBi6WI0/видео.html
pascodee official musiufuate nyayo ya Tembo ni atali sana
Nataftiza kosa la hili dubwana
Lyrics 👍
Video 👍
Beat 👍
Nadhani hii ni miongoni mwa ngoma bora kabisa
Mwanangu mwenye wa msufini baba levo.. Kiwashe mzeya..
Best 2020 Hip Hop Song by far!!! Masterclass
Who else is here to listen this unique vibe in the end of 2020. Hit like as many time as you can. Love from Mombasa
Huyu jamaa simkubali Ila huu wimbo ni wa moto Sana!!!
OI oi oii,sasa baba levo umeanza kufanya music na si music but international music ,good step
D 1, beat imetendewa haki, KIGOMA stand up🙌🙌
kudadadadadadekiiiiiiiiiii. this is more than a movieeeeeeee
Nanilivyojaa kama Benjaminimkapa
hahahhahahahaaaaaaa
Hatari fireeee
K-town Kigoma ni Noumaaaaa
Home
Goma Kali sana
Tizama filamu ya .......... Bonyeza hapa👇
ruclips.net/video/KgZtEBi6WI0/видео.html
Baba levo wewe ni jini unajua sana aisee jini la kigoma unatisha kwa hapa mtu hachomoki tishaaaaaaaa
Watanzania sijui tumerogwa na nani, nyimbo Kali kama hii ina views laki tatu afu kaangalie ya amaboko, ngoma mbovu ina maviews yote, tujifunze kusapoti vitu vizuri,
Baba la baba ndo habali ya mjini kama unamkubali baba levo kama mimi Gonga like twende sawa
Kali sanaaaaa
Mashaallah babalevo unajitahidi ila tatizo nyota tuu ila unajuwa best wngu
Daaaah kiukwl kama unaskiza hii ngoma bila kuambia alieimba uwez jua kama kuna mtanzania kutoka kigoma ndo kafanya huu unyama big up diwani
Baba Level we ni #highLevel! #Bongeladude, bonge la video! Kaza usipotee! Napenda high spirit yako! #powerful😉💪👍👌
From cape Town south Africa 🇿🇦 wayneberg 2020 moto kwa Baba levo High and Low
Sasa baba Levo kaza hapo hapo usiachie.. bandika juu ya kubandika mpaka tukome!!!
Baba hiiiiiii video oyooooo ni noma hiyoooo ulivyopta kwa beat Hawa, sema shida n moja unatufokea sana, aaah usifoke
From Canada like here watu wakigoma tujuane
KIGOMA nowmaaa
Tupo wachu
tupo
Tupoooooooooo
From Toronto covid19 stay home/low!
Respect diwan hii kitu ziunganishe video za bongo na Kenya na Uganda na south yote ila hawafikii hili move 🔥🔥🔥🔥ni ujazo wa high na low 💪
Huwiiiiiiii!!!! Kama inakupa mizuka hii ngoma like zangu tafadhali
wangapi wanasema tuwekewe behind the scene ya hili movie ?
Dah Baba Levo umerudi aisee!!! yaani naangalia hii mara ya 20
Hizi salute zinatonea longstreet capetown,baba level unetisha sana mzee pia salute kwa DIRECTOR hanscana video kali kajitahid sana
Nairudia tu masikion mwangu wallah tamu kinyamaaaaaaaaaa
Kigoma hatok falaaaa mamaeee
Corona imekutana na baba la baba 🔥🔥🔥💥
Haki ya Mungu siwapendi ..... Baba Levo
Sikujua kama ili ngoma ni la baba levoo..... umeuaa💥💥💥💥
Hujawahi toa ngoma kali kama hii nii 🔥🔥🔥💪💯%
Kama umekubalii hi ngoma gonga like na comments twende saw
Baba mwenye levo zake hii ngoma nimeilewa sana mzee baba mpk mb zangu namalizia kwa hii ngoma
Baba level umejitahidi sana kwenye hii ngoma duh umekuja kivingine kaza Brother uwezo unao.
🦅🦅🦅🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥 good music and a hit one babale big up brother hii kubwa sana kuliko
Kama unampenda baba levo....naomba like tujuane ....💯
Nice
Reyvyn
Yeah
Huyu jamaa kaja na ujio mpya.. recovery of Baba Level
Dahh. Unatisha baba levo. Kumbe kigoma tuna kila kitu cha kujivunia. Big up sana
Brow mm remo skynar kutoka k.town msan wa hip hop Ngoma yang pamban, kaz nzr sn. hapo ndio mahal pako salute sn kigoma mbele
Guys huu wimbo mzur...location, lyrics,video imekaa poa...imepangiliwa.....tuzo ipewe🇹🇿♥️
Kwa mara ya kwanza na comments...umetisha babalevo
WE msenge.#konde kasababisha Nije kukucheki kakusapoti saaaana🤣😂🔥🔥🦣🦣🐘🐘🐘🦣🦣🔥🔥🔥💪💪umuheshim saaaana💪🌏🌏
Respect to Hanscana as director 👏
Mh ... Jaman hii nyimbo inaweza tumika kutolea mimba 🙆
Hahaha sure brah
Munakuwa sana
Uwiiii Vincent nkwazi😂😁😂😂
😂😂
🤣😅
Ila hii nyimbo iliimbwa ingekuwa imeimbwa na Mmarekani nadhani ingeuzaaa sana tena sana kama ingepigwa huko marekani
Mwamba umeua sana rapa bora Tz kutoka kigoma town.
From Qatar first one kuona hii ngoma high na low
Mzee baba umetisha yaaani mambo ni moto mh
Atakaye Sema Ngoma Sio Nzur Bac K ya Mama yake,
K Town🔥
Kweli kbx ngoma kali sana
Tena K ya mama yake na Bibi yake
@@eliackimsimon1890 😁😁😁
😁😁😁
@@makulesamson4968 Kunawatu Wameretwa Dunian kwaajir ya kukosoa
Kiwe kizur kiwe kibaya wao Nikukosoa2
Huyu ndo baba levo (OBi D) tunaemjua since kigoma
Hivi hawa ama dislike huwa wanageuza simu juu chini wakijuwa wame-like au ndio wazee kubonyeza kujuwa kuwa hawahuwi wanacho kifanya.... Hii ngoma Kali bhan
Kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kma kigomaaaaaaaaaaaaa duuuuuu l see u come back my brother respect respect piga keleeeeeleeeeee Kwa roow yaaaakeeeeee diwani wetu wa kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa moo town bb l like kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa is my town thanks you BBA levo kueweka bendela la kgmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Baba levoo weeee my best interview comedian 🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoja ni baba levooooo.... Hata niimbe kwaya mistari itawadiss hahah@aaaa
Hip Hop imebaki kwa Baba Leo,
Sio mpenzi wa nyimbo za bongo lakini kwa hii nimeielewa Sana tusaport nyimbo za harakati zinatufanya tukaze
🗣️🗣️👏👏. Sana ngoma Kali. Baba levo. Hatal
Baba levo naota au nasinzia. Ngoja ya Jo makini angekaa umo Daaaaa hatari 2020
Chuma kiqaliiiiii pride of Kigoma
Kigoma bendera ipepeee,kwa brother baba levo
Ni 💥💥💥
🔥🔥🔥🔥🔥 ngoma kali sanaa mwamba ana weza sanaa
Ngoma kali sana Mzee Baba nakukubali kaza ipo siku watu watakueleza
Hili dude du! yaani nashindwa nilizungumzieje lakini hili ni dude lakimataifa
Na laizima tulitendee vyema kwa ku view kwa sana
The video is the best, should be in the category of best videos wallah! 🔥🔥👌
Yaaaah A good video ever
I agree with u tatzo bongo saiv wanamuangalia Kiba na mond tu
Still the best to those WE know the good things.
Woow mashaallah
Ajifunge wcb atakuwa ktk huyo level aki. Wakenya like zenu hapa
.....HIKI NI KIPAJI SIO NGEKEWA.....BIG UP SAAANA BABA LEVO
Daaah ,mwanangu toka nimekufahamu hili Ndio dude lako la kwanza kupenya kwenye ubongo wangu
Kumbe ili ngese linajua eeh 😂😂😂
Heheheheeeee
KIGOMA stand up 🙌🙌🙌🙌
Pipipi,,,,,,, papapaa, Noma kwel ngoma nimeikubali kinoma from KIGOMA
Baba levo natamani Usajiliwe Kings music broo bdo wewe uko juu king kiba naombebi likes zenu
kizazi sanaaaaaaaaaaaaaa👊👊👊👊👊👊👊👊👊❤
Nimependa hii noma🔥
#BabaLevo wewe ni noma napenda unavyokaza kama upo na hasira ..............safi