BABA LEVO - "NIMEWAHI KUWA NA MPENZI ANAEVUTA BANGI, SIKU HIZI HAKUNA WANAWAKE WA KUOA"
HTML-код
- Опубликовано: 4 июл 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Baba levo has gone through a lot 😂😂😂😂😂
Heshimu bangi babalevo bangi ni starehe kama mtuakiwa anakunywa bear na vituvingine
Baba na levo😂😂😂
Huyo adella naye anavuta mdomo hauongopi
Harafu wadada wavutabangi ni wapole hatareee harafu ni walokole pia yaaan ni hatareeee
Wengine wanashinda baah kila siku.pombe za gharama afu kazi hana.cha ajabu hanamupango wakutafuta kazi zaidi yakudanga.
Kwa hali hii tutakua na single monther wengi sana
ila sasa hivi wanawake wanatia aibu sana.
Tatoo mwili mzima afu bangi nyingi sana.
Afu utasikia wanakwambia eti hakuna wanaume wakuoa.
Unajiuliza nani mwanaume atakae oa wanawake wa aina hii?