Rais Magufuli ametaja mshahara wake leo
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2017
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli leo Jumanne ya October 3 2017 alikuwa katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere (JNICC) na kuhutubia katika uzinduzi wa mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa.
- Развлечения
Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu wa Africa 😭😭😭😭
TUTAKUKUMBUKA sana
There's never existed a president who understood his role as president like John Pombe Magafuli,
I am a Kenyan but I will never forget JPM.
Mimi ni mu Congo
Raisi JPM najivunia kuona TZ inaendeleya kwa kuwa imenikuza 1996 to 2007 Big 👍 JPM
Mungu muumba mbingu na Nchi akulinde akupe maisha marefu na ya kujitoa kwa moyo .
I love my president John pombe magufuli kwa utendaji wake wa kazi..... I stand with my president for this.
President Magufuli is today one of the best Presidents in Africa. Tanzania is so lucky to have you...
The man who knew the job of presidency, RIP Shujaa wa Afrika
If only all the African heads of state worked like the late Magufuli, you can imagine how far Africa would be! Rest In Power, the true son of Africa!🙏😭😭
Allah akuzidishie kheri in Shaa Allah akupe maish marefu kwa kil jambo, akulipe mema siku ya mwisho.. 🌹🌹🌹🌹♥️
It is hard to believe you no longer with us. May your spirit remain in our midst
UWIIIIII UWIIIIIIIIIIII UWIIIIIIIIIIII BABA LEO UMESABABISHA NIANZE KUKUOMBEA MAANA UKWELI UMEZUNGUMZA HASWAAAAA BARIKIWA SANA
mwanaume unapiga ukunga unapiga yowe duh ww sio riziki
Bila kuacha tabia za kuteka, kupiga na kuua watu hatutakuacha. Haiwezekani tukuache wakati unaua wapiga kura wako.
You are God given to tanzania.our nation will surely benefit greatly in your terms of office 🦾
Rest In Peace Baba 🇹🇿😭😭😭
Damu Yesu ikufunike Mungu akupe roho wake mtakatifu ili uweze kutenda mapenzi yake
Kudos President Dr Magufuli, you are doing wonders for Tanzania!!!!!!👍🙏
I love you my President Mungu akulinde Uishi miaka I'm laizer a from Arusha Engay toripo el arikon lag amen
Ukiongea machozi yanamwagika, nakumbuka, nilivyo pambana, japo sina chama, ila huwa nachagua mtu anae faa,sijawahi kosea hilo.Mungu akulinde
acha unafiki
Jesse Mwasanguti. mh Rais kama kuna mtanzania mzalendo anaekupinga akiliyake inakipindu pindu
Jesse Mwasanguti umeulizwa?
Mungu ndiye mpanzi na mvunaji, tunamshukuru Mungu kwa maisha ya JPM na sasa pumzika salama maana umetuonesha Mwanga.
Mungu akupunguzie adhabu ya kabur baba
Mbele ya Mungu, Rais wetu, una haki. Ni kweli "msema kweli ni mpenzi wa Mungu".
Unfortunately those with ideas,they don't survive for so long!Farewell Mr president,My President,May your memories last forever in my heart!
MAGUFULI Oyeeeeee 👏 Mzee wa kazi uyo 👍 Fukuza safisha wizi wote out from East Africa yote ....Tiya Magufuli 👍 My love and respect to Mzee Magufuli from RWANDA 🇷🇼
Duh! Watanzania mumehujumiwa. Huyu jamaa amewawa ! Very painful. I wish he finished his second Term Tanzania would be at par with South Africa Africa interms of Infrastructure
Tunakuitaji sana mzee mungu atakulinda hakuna wa kukugusa mzee one love
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Maombi juu yako mh Rais wetu mpendwa!!!
Mungu akuongoze,zaburi 1:1 basi akatokea kiongozi Mwingine asiye mjua ni Raisi John Pombe Magufuli
Mimi ni mu zambia watanzania naomba mumupe support President wenu God bless Africa
Daah Nuru imesima mbele kisa 😭😭😭😭
R.I.P mzee wetu Magufuli
Pumzika kwa Amani Baba Mzalendo wetu wa kweli Daima hatutakusahau Kipenzi chetu Mwendo umaumaliza Amani Umeilinda
Mzee Leo nimekuelewa wewe kinomanoma
umetisha sana hutuba iliyojaa marifa,busara na hekma mungu akujarie tenda haki Mzee.
uko vizur baba
Hivi kweli Mpambanaji na Maovu Yote Haya Bado kina Watu eti Wana muona Hafai Wanambeza na Kumtukana Dah kweli Binaadamu Hakuna Wema
wambie hao mzee maana walipenda sana vya bure leo hii vyuma vimebana wanalalamika
Na amini hata baba akitaka kubadili mazingira ya nyumbani kuwa bora zaidi, lazima maisha yawe magumu kidogo kwa wote pale nyumbani. Kama kuna raisi Kama ww tena kwa nchi hizi za Africa? Mungu mbariki huyu raisi wetu ahishi maisha marefu, ili amalize mda wake.
Anae nuna anune piga kazi Mzee Wang japo baadhi hawakuelewi
Kweli mzee Mungu akubariki 💪
Daah huyu mwamba alikua noma sana
Hakuna Raisi bora,mzuri zawadi kutoka kwa Mungu kama wewe baba,
Hapo hakuna raisi kichekesho
Jesse Mwasanguti M
nampongeza magufuli kwakazi anayoifanya nizuli kinoma
No more political party in tz than ccm, ccm is the best political party
Dah!!! Tutakukumbuka Sana hayat magufuri na tunaenderea kukuombea hko uliko ,raisi wa wanyonge na mungu akubaliki kwa kuibadillisha Tanzania
Amakweri mti mwema ndio Upigao mawe
😭😭😭😭😭😭💔🇹🇿
Hapo hapo rais wang mana wanaozungumza sana mana yake hawajafahamu na hawajajuwa kazi unayofanya cku wakiiona watakukimbilia mkuu nakupiga goti.Mana wanajuwa matabaka yalikuwa tayar yamejingeka kama yupo aliyeugua na akaenda HOSPITALIN kipind hicho najuwa hata ongea nenda hospital nw uone jinc unavyo hudumiwa .I LOVEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE MY RAIS JOSEPH P MAGUFURI wanyooooooooooooooshe mana ndy hao wanaolalamika ucjaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ACHANA nao tupo vijana tayariiiiiiiiiiiiiii kukubeba raisiiiiiiiiiii.
Baraka Mgendi mh. Rais wetu kipenzi oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tupo pamoja. tupopamoja. tupopamojà Anko magu tunajivunia kuwa nawewe Wewe ndio baba mzazi wa watanzania wooooooooooote asietaka ajinyonge. asiekubali alizaliwa njiti
Baraka Mgendi
Haaaa kelele za watumbuliwa majipu, kununua cheti kariakooo. Eeee Rais wetu ubarikiwe sana unasimamia ukweli na ndo tabia ya rais yoyote yule.
Pongezi nyingi Sana kwako MH Rais
😭😭😭😭though I cry from kenya with TZ I feel u lost a God sent leader
Uko vzr rais wetu Allah akuongize kila hatua
Mungu,turetee,mwengine,kiongozi,bora,zaid,ya,magufuli
CJUW NIKUPONGEZE VP RAIS WANG.ILA GOD BLESSIN YU.
PREACH FOR RAIS MAGUFURI UONGOZI CO MANENO HAPA N KAZ TU
Hongera mzee Mungu akubariki hk uliko
AHSANTE YESU KWAAJILI YA MAGUFULI WETU, TUNAIMANI NAYE.
una imani naye
Barikiwa sana mtumishi
......naiona Tanzania mpyaa,yenye maji teelee,maziwaaa meengii... Dawa nyiingii hospital... Baba wee may God be with youu all the time...
Mungu wa mbinguni akulinde, hakika kweli wewe ni mtanzania no.1. Songa mbele raisi wetu.
Kapumzike kwa aman rais wetu tuta kukumbuka
hahahahaha,rais umenichekesha tumeacha kujinyonga.mwenyezi mungu akulinde na husda za walimwengu
Rais wetu pitia lushoto maana kaya hewa nyngi hatari.nawazee hawapewi wapewa vijana wanao jiweza..tumechoka kata ya mlalo
One of my best presidents in Africa. Rest in peace John pombe Joseph magufuli.
Safi sana mzee mungu akusaidie wewe ndiye mkombozi wa taifa letu piga kazi sisi tupo nyuma yako mungu mbele yako akikuongoza mungu akulinde tena sana sana
Mungu awarehemu kwa walichowatendea watanzania bali tuzidi kumwombea rais Magufuli kwa kulitambua kuwa tulinyanyasika kwa mda mrefu sana!!!
Naamini kila mtu timamu anaunga mkono juhudi za kuiweka nchi kwny reli, lkn linapokuja suala la malalamiko ya hali ngumu ya uchumi mtaani siyo jambo la kupuuza hata kidogo,increment za mishahara kwa watumishi kila mwaka ziko kisheria kabisa but nothing going on for 2 year now,na kwny mishahara ndo kuna kodi isiyo na longolongo mind you 🤔🤔!
Asiekupenda mchawi ila ukweli unaongea na unapambana kwa ajl ya nchi na kwa ajl ya watanzania wote
V
Mheshimiwa Rais, huyojamaa nyumayako mbona hatikiski kaganda kama sanamu?.
Kiukweli mzee maghufuli mungu katupa zawadi na zawadi yenyew ni wewe mzee mungu akupe maisha marefu kweli kweli
The one yes youre one of the best my prezda
abdallah hamza ungetuboreshea mshahara tungekuelewa kiongozi!
Mapedesheeee hawapo tena zilipendwa
magu mungu akulinde na kusimamie......... tanzania mpya hiyoooo....... wanaomtusi hawakumchagua hivyo wakome kbsa...... piga kazi ili watoto wetu waje wainge mfano wako 😘 😘 😘 magufuli.
Juliana Masunga
Rest Easy Our President 😥😭😭😭😪
Ayo ubarikiwe, usiache wokovu, maana unakufanya kuwa mkweli
Rais magufuli Mungu akupe maisha zaidi na zaidi
Dah mungu amrehem mzee magu
Hapa kazi tu
Matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na serikali zilizotokana na ccm
Chuma Kipo Vizur sana kimekaza.Engeza kidgo salary ,wafanyakazi wanalipa kodi vizur ,na wew uwalinde kiaina.
barikiwa baba mkombozi wa taifa mungu azid kukuongoza
Bado nakupenda Sana magufuli,pumuzika kwa amani baba!!!!
Big up rais wangu
asante raisi kwa haki unayo tenda mungu akuongoze
Mbona huja tumbuwa jibu la MAKONDA Bashite mka sasa mu heshimiwa!!!Sababu ni mtu wa kutokeya kwenu???
Nini maana ya swera haposijamuerewa wadau
unafanya nizidi kupenda nchi yangu mwaaaa rais wang kila la heli
mashaalh
tumbua mzee
Hpo wa Tanzania na mekupa big hap ssn bb rais
asante mzee
Kweli kabisa mzee ukovizuri sana
Sio kweli bhana mbona km hainiingii akilini mm yaani Muheshimiwa Rais wanchi nzima mshahara uwe milioni tisa kweli? Mh!!!!!!!
Kifo ulikosea sana kumchukua magufuli nimeathilika sana na kifo cha magufuli maisha yangu yote Mara ngingine huwa namchukia hata mungu naombeni mnisamehe sana
😭😭😭R.i.p Dady
kilaa sikuu uchumii unakuwa ilaa diller usipimeee iko juuu kilaa sikuuu
Wewe ndo wew baba
sasa wafanyakazi waliogushi vyeti wakati wanafanya kazi vizuri si warudishwe kama makonda kabaki
million 9 !!!
I can't believe
hahaaaaaaaaaaa Y?
Mmmmh safari hii vyuma vimekaza kwa kweli
Kweli ulikuwa msema kweli rais kipenzi wawanyonge ungeamka baba uone uozo Leo eti wapewe kiinua mgogo yani wizi hiiiii pumzika baba
Rest easy my fathr i lik u 2dy,2mor & evry day
Hiyo ndiyo siasa sio za watu viroba na bangi eti ndo wanajidai wanajuasana hii nchi
The President who knew almost everything about his country TZ.
Nakukubali baba wataifa acha tuchumie juani tutaria kivulini
Chapa kazi baba
I love u my president 😘😘
gift saleh damond sita
gift saleh gdg
gift saleh fjxbbvj
Nakupenda Sana Rais ndapata aye nationality ya kwako?
Kwa style hii,,,tutafika tuu!!!!!!!
Hahahaaaa penda Sana Uncle Magu nikweli Wote Wanao kuchafua Ni kati Ya Hao 12 000 Na Wala Rushwa na Mafisadi
MUHESHIMIWA RAISI NATAMANI UNGENIAJIRI NIWE NAKUOMBEA TU.... AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU NA WEPESI KTK HUDUMA KUBWA MUNGU ALIYOKUPA... MAANA YOTE UNAYOSEMA NI KWELI... WEWE NI MSEMA KWELI.... WANAOKUKATAA WANAMKATAA MUNGU ALIYEKUPA HAYO MADARAKA.
M.9
Mnafki wewe umuombee au ujiombee mwenyewe
Mafanikio Yat
oba .
Mafanikio Yatoba .
Haaaa ila jmn et akuajir kumuombea 😁
ma raïs sita tu wa africa wangekua hivi kama africa ina heshimika
Wapo. Naomba udili nao. Mh rais