MBILINI Sehemu ya Pili (2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • Mbilini ni filamu ambayo kwanza imezingatia Utamaduni halisi katika masuala ya Kijamii,kutana na binti kidole ambae aliolewa kwa sababu tu amebarehe ila anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kutoka kwenye Ndoa hiyo..!

Комментарии • 215

  • @allyrashidi3383
    @allyrashidi3383 2 года назад +15

    Vitu vizuri halafu mnaweka dakika chache shusheni vitu tunahamu sana na flamu zako sisi mashabiki wako uko vizuri sana kamanda

  • @masjidhamzainstitute8890
    @masjidhamzainstitute8890 2 года назад +11

    Kazi mazuri ime pangika na pia muda imezingatiwa hakuna kuboeka tayari usha jifunza kitu mungu abarikiye kazi ya mikono yako kaka madebe lidai na washirika wako

  • @abdullahiguyo7547
    @abdullahiguyo7547 2 года назад +3

    Kazi nzuri wow!kwa hakika hayo ni ushauri nzuri sana kwa wana ndoa madebe ubarikiwe,kuna kujengana katika ndoa ..mume kwa mke si kuachana ,maisha ni kusaidiana.....kuvumiliana kila hali...funzo kwa wasichana wasiolewa..msisikize mama pekee chukueni upande wa baba pia ushauri huenda utakufaa Maishani....

  • @jesussavesus2210
    @jesussavesus2210 2 года назад +11

    Yohana 3:16-17 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu; bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
    Kwa yeyote asiyemjua Mungu na anataka, na kuwa na uzima wa milele, bado hujachelewa kumtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwa maombi na toba, kwa sababu Yesu anakupenda zaidi ya uwezavyo kujua na anataka uokoke. . Usikatae zawadi ya bure ya uzima wa milele. Ikiwa utamwomba Yesu Kristo kwa moyo wa kweli akusamehe dhambi zako zote, na kuingia moyoni mwako na tafadhali kukuokoa, atakuokoa na hivi karibuni utajua jinsi alivyo halisi. Mungu akubariki.

    • @abdullahiguyo7547
      @abdullahiguyo7547 2 года назад +2

      Mwenyezi mungu awaokoa walio na mafikra haya,fungua kitabu Cha Matayo 15-24,MIKA 5:2, YOHANA 12:19....(nakuomba ufungulie Bibilia YUDA 1:4 ukimkana mola mwishowe motoni haya ni malazi ya wakafiri)

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 2 года назад +6

    KUTOKA Qatar kwa kweli Tunafurahia Na kujifunza sana katika kazi zenu

  • @maulidsaleh8059
    @maulidsaleh8059 2 года назад +2

    Ambao tupo pamoj gonga like hap

  • @violethchuwa2020
    @violethchuwa2020 2 года назад +4

    🔥movie nzur jmn muendelez mapm sasa...ila uy mam anampotosha mwanae nd man na yy aliachan na mumew kwa tabia zak mbov

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 2 года назад +5

    Kawaida kitu kikiwa kitamu huwaga unaona ni kidogo au mda mchache. Hebu basi tuongezeni japo robo saa

  • @ingenieurkarim3355
    @ingenieurkarim3355 2 года назад +10

    Elim hii zaidi ya chuo kikuu, MADEBE kwako wajifunze

  • @emmyyussuf9234
    @emmyyussuf9234 2 года назад +2

    Iko powa xan ahsanten kwa mafunzo tunasubir muendelezo 💋💋

  • @adamumbise9755
    @adamumbise9755 2 года назад +2

    Nakukubali sana brother like zao jmn

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад +3

    Kupiga.sio suluhishoo

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 2 года назад +5

    Hahahaha 🤣🤣🤣 madebe big up Sana unanifurahisha na misemo Yako unampinzank Tanzania Eli umempa moyo wako wakat yeye alihitaji mwili ,,na eeti umeacha kufunzwa na kungwi umefunzwa na shangingi hahaha Asante madebe

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад +3

    🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️tabia yamama kumbee🙆🏻‍♀️ chafuuuu ndomtoto ameshika mwendo.wamama mama hajatulia

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад +1

    Tunaoangalia na kuzipenda move za madebe gonga like hapa

  • @saidaswaleh8437
    @saidaswaleh8437 2 года назад +5

    Kazi nzuri xana madebe..tunajifunza mengi kupitia ww .
    Allah abariki kazi ya mikono yko💞💞

  • @latifaomary1769
    @latifaomary1769 2 года назад +2

    Madebe hii move ni maisha yangu kabisa..Yan nimepitia haya maisha hiv hiv mwanaume ananipenda lakin mm sielew Yan sitak hata kua nae nataka nirud kwetu .ikafika hatua nadai talaka mwanaume atak kunipa had nirudishe Mahal yake na nilimpa ilimlad tu nikakae kwetu kwnye ndoa naona tabu ..had sasa nipo kwetu chamoto nakiona

  • @margaretmay5840
    @margaretmay5840 2 года назад +7

    From kenya movie nzuri sanaa

  • @kimuratv255
    @kimuratv255 2 года назад +3

    Madebe huna mbaya vov zako zina funza sanaaa

  • @manchesterunited6076
    @manchesterunited6076 2 года назад +6

    Lidai fundi always movie zako Zina mafunzo mashallah

  • @southpole1378
    @southpole1378 2 года назад +3

    Madebe lidai, mbona mdaa mchache sanaa duh kitu kizuri sanaa

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana tunashukuru kwakweli

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 2 года назад

    Uyu mama waina gn sijui 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️ongeren sn kz mzr👏👏👏

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 2 года назад +2

    Mwalimu madebe lidai katika masomo yako yote haujawai kuferisha wanafunzi wako tupo pamoja nawe inshaallah 🙏

  • @khadijakassim4361
    @khadijakassim4361 2 года назад +2

    Upo vizuri madebe shuklan Sana 🙏

  • @merrygrandes6300
    @merrygrandes6300 2 года назад +2

    Mbona mbali sana unanipa makasiriko

  • @mwanatumuali2238
    @mwanatumuali2238 2 года назад +3

    Unaladha yako kabisa kwenye hii tasnia,safi sana LP

  • @manonipulasayida479
    @manonipulasayida479 2 года назад +4

    Facts, filam hii nimeikubali pongezi kwako Madebe

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +2

    Mnatuwwka xna jmn 😔😔😔😔🔥🔥🔥🔥🔥

  • @petermakas1457
    @petermakas1457 2 года назад +2

    Uko vizuli Sana madebe nakubali sana

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад +2

    Ameonekana mmmmmm kazi ipo

  • @ashurahassan1293
    @ashurahassan1293 2 года назад +1

    Maashaallah😍 movie nzurr sana Mr.Madebe Allah akujaa'lie zaidi na zaidi

  • @tundunguotv9692
    @tundunguotv9692 2 года назад +2

    Na mm sijachelewa wadau nataka kumuona mama mkwe mtambo

  • @mauridialexandre1876
    @mauridialexandre1876 2 года назад +2

    Niko zambian tuhalakishie baba tuma ya sehemu ya tatu

  • @rachelmartin516
    @rachelmartin516 2 года назад +2

    Tamu sana jaman 😘😘😘

  • @goldenboytiger799
    @goldenboytiger799 2 года назад +2

    Mkuu Kazi nzuri

  • @saudamapenzi3880
    @saudamapenzi3880 2 года назад +4

    Allah bless your work

  • @mwakaribukhamisi7036
    @mwakaribukhamisi7036 Год назад

    Wale maharusi watarajiwa kama mm tukaribie darasa huru❤❤❤❤.. kazi safi kaka madebe

  • @safarisafari7388
    @safarisafari7388 2 года назад +3

    Wewe madebe lazma nikuone kwa macho yangu sio tu kwa filamu

    • @selemanimsangi7805
      @selemanimsangi7805 2 года назад +1

      Kwani hujawahi muona live, yupo kawaida tuu

    • @safarisafari7388
      @safarisafari7388 2 года назад

      @@selemanimsangi7805 safi kabisa mpeni salamu mwambieni anakubalika huku kilifi....

    • @selemanimsangi7805
      @selemanimsangi7805 2 года назад

      @@safarisafari7388 nchi gani hiyo?

    • @safarisafari7388
      @safarisafari7388 2 года назад

      @@selemanimsangi7805 kenya yote kaka sanasana coast upande wa pwani🤣👍👍

  • @erinestmafie3530
    @erinestmafie3530 2 года назад +2

    Namkubali sana uyu mtaalam sana

  • @isheali546
    @isheali546 2 года назад +2

    Kaz nzuri

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 7 месяцев назад

    Maneno yenye mizani bwana madebe...🤝👊

  • @hassnakhamis3489
    @hassnakhamis3489 2 года назад +2

    Kwa tulio elewa funzo tujuane

  • @waenylily8537
    @waenylily8537 2 года назад +5

    Napenda sana kazi yenu💯

  • @annamamaalpha8295
    @annamamaalpha8295 2 года назад +2

    From Burundi kazi nzuri sana

  • @sungwevalentin743
    @sungwevalentin743 2 года назад +1

    Aisee mmenifanya nifatilie movies zenu from usa 🇺🇸 thanks so much

  • @ezekielmeshack8387
    @ezekielmeshack8387 2 года назад +1

    Finally 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ we love you brother

  • @mwangamediasimoncephas
    @mwangamediasimoncephas 2 года назад +2

    Kazi safi

  • @zaitunlipule4410
    @zaitunlipule4410 2 года назад +1

    Kazi nzuri madabe

  • @anithahaule6090
    @anithahaule6090 2 года назад +1

    Nyimbo tu mi hoi ❤️❤️❤️ Movie tamu Sana

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf 11 месяцев назад

    Tunao kubali talent ya madebe piga like

  • @patrickkapishametod8631
    @patrickkapishametod8631 2 года назад +2

    nawachek 2
    from mpanda katavi

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 2 года назад +2

    Asante sana madebe🙏🙏❤️❤️❤️

  • @user-sr5pv5se3o
    @user-sr5pv5se3o 8 месяцев назад

    Hngr u are the good actor❤ mnn y busr ulyytmia implkea kutfny mng tuelw n tjfnz kutk kwk ❤mol akulnd sn kiongz il uwz kfk mbl zaid ❤

  • @preciousmohmed7372
    @preciousmohmed7372 2 года назад +1

    Oyoooh mkole wa bure kabisa ✊🏽🤗

  • @halima7255
    @halima7255 2 года назад +1

    Nakuamini kaka mungu akubari na kazi zako namubarikiwe nyote pia❤️❤️❤️

  • @ahmedabdousalim5361
    @ahmedabdousalim5361 11 месяцев назад

    Mr madebe your the best

  • @ackimibrahim2973
    @ackimibrahim2973 2 года назад +1

    duuuh...Madebe ipo siku nchi nzima itazungumza na kusema uwezo wako sawa sawa kwa sauti, maana wanaona ila wananyamaza lakini mioyoni mwao umetukuka💪

  • @Zalhatsaidi
    @Zalhatsaidi 2 года назад +1

    Kazi nzuri 💪 broo 👏👏

  • @ndousoally1532
    @ndousoally1532 2 года назад +2

    Kazi mzuri sana

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад +1

    Mashallah mwenyezi mungu awabariki

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE Год назад +1

    Ama hakika inafundisha saaaanaaaaaaaaa

  • @wilsonmadawa370
    @wilsonmadawa370 2 года назад +2

    Kazi safi sana

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 2 года назад

    Kazi nzuri mwalimu

  • @alexkipkemboi9307
    @alexkipkemboi9307 2 года назад

    Kwangu ni hongera sufufu kwako kakangu madebe.

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 года назад +2

    Madebe madebe madebe tenaaaaa

  • @f-wyoutubechannel
    @f-wyoutubechannel 2 года назад

    Bwana Medebe Uko visuri sana hendeleya kaka unazidi kutufunza kwa kazi zako

  • @rukingamaboar802
    @rukingamaboar802 2 года назад +2

    Madebe duuuh umenieka macho niko nasubiriya

  • @safarikatana8862
    @safarikatana8862 2 года назад +2

    Safi sana👏👏

  • @stellankoswe7174
    @stellankoswe7174 2 года назад

    Nmejifunzaaa jamniiii asanteeen wotee🥰🥰🥰🥰

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 года назад +2

    Mambo hayooooo🔥🔥💃💃

  • @elvisk7680
    @elvisk7680 2 года назад +1

    Huu wimbo matatizo running in the background I wish kama ingekua the theme song mbilini...ingukua classical sana

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 2 года назад +1

    ""Kwenye Maisha Haya Usitafute Mwanamke Mrembo, isipokua Mfanye Mkeo awe mrembo""
    Noted

  • @seifmohamed7940
    @seifmohamed7940 2 года назад +2

    Madebe muda ni mdogo Sana mbona

  • @nellytsuma7519
    @nellytsuma7519 2 года назад +2

    Katambuga yuabamba akilewa jamani 🤣🤣

  • @aizacskills8915
    @aizacskills8915 2 года назад +2

    Mwamba unajua sn

  • @rahmajuma2946
    @rahmajuma2946 Год назад

    Hivi Mama Ulikua umekosa jina la kumpa huyo mtoto paka ummpe juna la kidole yaani kiungo cha mwili Daah!! NOMA SANA 😂😂

  • @shebylove3798
    @shebylove3798 2 года назад

    Naqbr Sana brother

  • @user-sr5pv5se3o
    @user-sr5pv5se3o 8 месяцев назад

    Misamiat unayoitumia naipnd sn il tfsr y misamiat n temthl unzztmia znnfny nzd kzpnd flm zako mn unaongea ukwel n uhlsia ktk maisha yt❤

  • @directorkakoso
    @directorkakoso 2 года назад +1

    Continue

  • @ubasalim1148
    @ubasalim1148 2 года назад +2

    Upo juu madebe

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 Год назад

    Kazi mnzuri jamani ongereni

  • @zenaa8217
    @zenaa8217 2 года назад

    ujumbe kwawanaume wote duniani msitafute mwanamke mrembo ispokuwa mfanye mkeo awe mrembo tunakumbushana tu

  • @PH10735
    @PH10735 2 года назад +1

    Asant snaaaa 🙏🙏

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 2 года назад +1

    Haya tulio kuwepo kwanye matusi na sasa tuko mbilini tujuane kwa like

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 года назад

    nyimbo zako uwa nazipendaaa ila fupi,,,,,🙏

  • @francisamos-fo3bc
    @francisamos-fo3bc Год назад

    Namkubar Sana jmaa

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 Год назад

    Ongera kaka madehe kazi safi sana

  • @ezekielmeshack8387
    @ezekielmeshack8387 2 года назад +2

    Finally 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @mubeshasana1923
    @mubeshasana1923 2 года назад

    Hongera kwa kazi hii uifanyayo
    🙏🙏

  • @rammario8865
    @rammario8865 2 года назад

    kazi nzuri kaka

  • @amunikanju4342
    @amunikanju4342 2 года назад +1

    Good

  • @NiderTV
    @NiderTV 2 года назад

    Lidai kama Lidai Madebe Aminia Mwamba Always greatest is greatly

  • @nassorovuwai1499
    @nassorovuwai1499 2 года назад +3

    Mbona leo dakika chache sana Nabii Mswahili???

  • @pascopetter303
    @pascopetter303 2 года назад +1

    Very nice

  • @fulahaluwole9704
    @fulahaluwole9704 2 года назад

    Kazi nzuli

  • @suleimankatana3909
    @suleimankatana3909 2 года назад

    Kazi nzur madeb muendelezo

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 года назад +1

    Duuh baada ya masaa 38 sawa bhana ngoja tusubiri

  • @Bilichadieudonne1
    @Bilichadieudonne1 2 года назад +2

    yangu mamcho mwanzo mwisho kusubiri

  • @winboy8486
    @winboy8486 2 года назад

    From congo, nakukubali sana madebe movie kali iyo.