Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
Heavenly Father I pray you keep the person reading this alive, safe, healthy & financially blessed. Amen
Amen
Amen
Amen
Godbless u tooo
With due respect, likewise
Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
Lesson; siku zote usiwe wakwanza kuzungumza kwenye kikao sikiliza kwanza maoni ya watu kisha tafakar ndo uchangie 🙏🙏🙏big up nishai
Leo nimewai sijawai kupata like jamani.
Kweli wewe ni kioo cha jamii,ubarikiwe sana Joti!!!We are together from Msumbiji
Hichi kidada kilichokuaga na Mr bigbig kina kipaji sana sijui anaitwa zuu
Kasha feli uyo kwenda kwa joti
Anaitwa zuu
@@mwahamedychilungu8981 kwakweli awezi toboa joti mbi nafsi
The most crazy comedian in Tanzania....
Mashwaini nyinyi, mnang'atwa nini? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Busara kweli. Keep educating the community
🤣🤣😆😆heti babu tutauza kuku hata ukiuza mapupu 🔥🔥
Kazi mzuri kaka twakuombea maisha marefu uzidi kutufraisha
Further from comedy, this video also teaches...well done Joti, I really like this more
Joti na enjoy sana with love from Toronto
Et babu tutauza kuku 🤣🤣 joti kazi nzur inaelemisha
Hahahahahahaaaaa Joti ni htr ametumia akili ya kiutuuzima kuwatoa nje
Nimecheka sana joti 😄😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🇹🇿.
Tunaorudia mar 2 mbil tujuaneeee🤣🤣
Hahahahaa daah joti😂😂🙌🏻
🤣🤣🤣🤣🤣kaka we ni nomaaaa sio comedy tu pia kuna elimu kubwa ndan
Hivi huyu zuu namtamani Sana mjue bac tuuu daaaaah ...... 😂😂😂 Nikimtia mikononi huyu lazima atulie
Joti your the best😁😁😁😁😂😂 i real like tjis commedy
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jot jot mbavu zangu zikivunjika utalipa🤣🤣🤣
Inafurahisha na kuelimisha.....safi sana.....👏👏👏👏
More than educating
Yarabi mbavu znguu we jotiii bc inatoshaaa
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
Well said 🤝
Juwa linawaka mpaka kwenye mifuko 😂😂😂
😂😂😂😂😂😁😁😁😁 Mashwaini nyinyi yaani hela yangu Mimi mkafanyie anasa
Babu tuta uza Supu labda ukauze Mapupu 😂😂😂😂😂
Napenda sana joti aki act mzee
Babu mjanja Sana... Bora kilimo😂😂😂😂😂
Watched this clip 5 times😂😂😂😂joti I really love your work 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Gud Sana Ila sopa na akina kipande fanya warudi bhana
Kabisa naona sasah kumepoa ata ainog
Kipande mwizi
Keep the good work always 😅😅😅♥️
Hivi mnakubali King Joti ku join Original Comedy Show ao abaki hapahapa? The best Joti’s Congolese fan ever🇨🇩🇬🇧
Ajiunge tu kule pengo lake linaonekana bado na huku aendelee tu kama kawaida
Kwakweli afanye kote❤️❤️❤️❤️
Mkataba unambana
Abaki huku huku
Aendeleze chake
Kazi ya pesa, lazima kigugumizie kiwepo😂🤣😍 wajukuu wegine washezi
Eti mnang'atwa nini, Shwaini zenu 😂😂😂
Mimate yanini🤣🤣🤣
hata mkiuza mapupuuuu 🤣🤣🤣🤣
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 💥💥💥
Mataifa gn
Nchi which😂😂
We hamnazo kabsa
Imechanganyikiwa
Umechanganyikiwa
😀😀😀😀😂😂Babu nitakuwa nauza ndizi😂😂huyu mwingine nae nitakuwa nauza kuku JOTI: HATA MKIUZA MAPUPU😂
Joti atareeeee!! Mzee🔥🔥🙏
Akyammaaa kama babu yangu naeii ivvv waalah walitokea vilazaa kama iv aliwatimua homeee😅😅😅😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ahsante babu hao n mashuwain kabsa dadeq c🤣🤣🤣🤣
MNANGATWA NIN" hahaha😂😂😂 big up joti bonge moja la meseji
nimeiona iyoooo
Mill 60 biashara ya vumbi la mkongo🤣🤣🤣🤣🤣
Joti Fala saana😁😁😁
Respect Broo joti
Mm character wa joti namkubali Sana ni Babu leo nimefurahi Sana kumuona huwanacheka Sana 😂😂😂😂
Inakaribia b inachungulia b inaenda kwenye b🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂unajua takwimu hz ziache hvhv usiombe
Babu hizo hela mawe😂😂😂😂😂😂💯
🤣😂🤣🤣 Really appreciate
Malaka kaskadiano farukulu madona 😂😂😂😂😂 jot bhna
🤣🤣🤣wamekosa yote
Hahahaha much love and respect from USA
Hahaha joti noma ety Kishungii😂😂😂😂
Babu msikilize huyo anaesema atauza kuku😂😂
🤣🤣🤣🤣 Suzie Ka ongea point
😀😀😃😃
Mguu kwa beg ya mahela🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂safi sana😍😍😍
Ahahaha Yaani Ela yangu ukafanyie Hanasa 😂😂😂😂😂
Joti ni genius kwenye content creation,,
Mpoki amecha baki mbali
Hahhaaha et jua linawaka adi kweny mifuko
Joti umeshindikana🤣🤣
Joti mwehu sana😂😂😂😂😂😂
Bonge la comedy 🤣 😂 😆
Jotiiiii.......
Hahahaha..... Safi saaana
Hahahaha 🤣😂🤣 Babu hutaki vumbi la congo, unywe bia zako za kuisabu , umalizie guest room bora usiwe kifuwani 💃💃💃
😀😀alooo nimecheka sana Mnagunaguna nini kama mtu kajamba😁😁
Haahah😂🤣🤣JOTI king of TANZANIAN comedie
Nkikuangalia nakuona babangu hivyo hivyo kabisa😂😂
Nilijua tu hili 😂😂😂
Nakubali sana brother joti
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Babuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti wewe ni hatareeeee wa comedy 🙌🏾❣️
Ahaaaaaaaaaaaaa hela yangu mm mkafanyie anasa
Hawa wawili wamefanana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣AMA ndugu jamani haya idea ya business sasa
Hahaha..et mnang'atwa😂😂
Nimewahi leo 💃👌🤣
Umewahi wap
Cku hizi joti wala huchekeshi wale wazuri wote hawapo umebaki na makapi
Leo safi mzee baba.
Hii naikubali. Busara nyingi na wosia mzuri. Watoto wa kileo ni ovyo sana.
Eti mnang'atwaaa😀😀🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Joti msenge sana,ety mnang’atwa nn...😂😂😂
Babu..na kiboga hawachezewi...😂🤣wachezee tu nishai na andunje nataman siku moja hii familia iact pamoja 🤣😂
Mzee wajukùu wa mchongo hao🤣🤣
Aisee hii inafunza sanaaaaaa vijana lika kuanzia 22 kwenda mbali
Nmependa Apo mwisho Mlioongea point wote watatu twenden tukapange ..
😂😂😂😂
hera yangu mm mkafanyieh Anasa ira joti
Hahahaahahah Babu Babu hatali sana broo uko vizur
Mmmh basi zuu uwe unabadilisha hilo shati Duh toka ujulikane unalo tu au masharti
😂😂😂😂😂😂👏👏👏 joti mko vizuri sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asubuh yangu imekua bull bull baada ya kukutana na hii clip
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️Bora kilimo kabisaa
Hahahahaha da babu una wajukuu wanawaza anasa hahaha ila unaakili
Show time watu wanapindua meza 😂😂 Congo dust hii sio OG kama ya kule
Kazi nzuri kaka
🤣🤣🤣Wamewakomesha 😂😂😂🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti ww ebu niachie mbavu zangu
Kweli huyu alikuwa analibeba kundi la the comedian kazi mzuri amestahili tuzo
Nimeee ikubaliiii 😂
🤣🤣🤣🤣joti King
Daah bonge la fundisho Suzzy katupatia..
Ambigously comedy,,,,,,fantastic,,,