KIINUA MGONGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2021
  • Kweli nimeamini ukitaka kujua akili za wajukuu wako wape pesa uone kazi...
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 655

  • @praiseandworship6293
    @praiseandworship6293 2 года назад +250

    Heavenly Father I pray you keep the person reading this alive, safe, healthy & financially blessed. Amen

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 2 года назад +31

    Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆

  • @shaabanyusuph9225
    @shaabanyusuph9225 2 года назад +16

    Lesson; siku zote usiwe wakwanza kuzungumza kwenye kikao sikiliza kwanza maoni ya watu kisha tafakar ndo uchangie 🙏🙏🙏big up nishai

  • @dianaelieza4937
    @dianaelieza4937 2 года назад +21

    Leo nimewai sijawai kupata like jamani.

  • @nsengiyumvaemmanuel9065
    @nsengiyumvaemmanuel9065 2 года назад +5

    Kweli wewe ni kioo cha jamii,ubarikiwe sana Joti!!!We are together from Msumbiji

  • @calvinkapinga8341
    @calvinkapinga8341 2 года назад +31

    Hichi kidada kilichokuaga na Mr bigbig kina kipaji sana sijui anaitwa zuu

  • @PabloEscobar-wt1fq
    @PabloEscobar-wt1fq 2 года назад +36

    The most crazy comedian in Tanzania....

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 2 года назад +17

    Mashwaini nyinyi, mnang'atwa nini? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

    • @mohdnyambi7513
      @mohdnyambi7513 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @developershee4033
    @developershee4033 2 года назад +9

    Busara kweli. Keep educating the community

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 2 года назад +5

    🤣🤣😆😆heti babu tutauza kuku hata ukiuza mapupu 🔥🔥

  • @fatmamusa2483
    @fatmamusa2483 2 года назад +3

    Kazi mzuri kaka twakuombea maisha marefu uzidi kutufraisha

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 2 года назад +48

    Further from comedy, this video also teaches...well done Joti, I really like this more

  • @mohamedtaib5614
    @mohamedtaib5614 2 года назад +27

    Joti na enjoy sana with love from Toronto

  • @jumanurdini9814
    @jumanurdini9814 2 года назад +10

    Et babu tutauza kuku 🤣🤣 joti kazi nzur inaelemisha

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 2 года назад +5

    Hahahahahahaaaaa Joti ni htr ametumia akili ya kiutuuzima kuwatoa nje

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +15

    Nimecheka sana joti 😄😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🇹🇿.

  • @glorylema5652
    @glorylema5652 2 года назад +11

    Tunaorudia mar 2 mbil tujuaneeee🤣🤣

  • @officialdaud4773
    @officialdaud4773 2 года назад +4

    Hahahahaa daah joti😂😂🙌🏻

  • @florianrweangisa8403
    @florianrweangisa8403 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣kaka we ni nomaaaa sio comedy tu pia kuna elimu kubwa ndan

  • @babuunavaz9843
    @babuunavaz9843 2 года назад +2

    Hivi huyu zuu namtamani Sana mjue bac tuuu daaaaah ...... 😂😂😂 Nikimtia mikononi huyu lazima atulie

  • @johnngari7671
    @johnngari7671 2 года назад +4

    Joti your the best😁😁😁😁😂😂 i real like tjis commedy

  • @happykamera6001
    @happykamera6001 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jot jot mbavu zangu zikivunjika utalipa🤣🤣🤣

  • @abu-hasheem6422
    @abu-hasheem6422 2 года назад +16

    Inafurahisha na kuelimisha.....safi sana.....👏👏👏👏

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu 2 года назад +19

    People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад +3

    Juwa linawaka mpaka kwenye mifuko 😂😂😂

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 2 года назад +2

    😂😂😂😂😂😁😁😁😁 Mashwaini nyinyi yaani hela yangu Mimi mkafanyie anasa

  • @mossesmatechi9022
    @mossesmatechi9022 2 года назад +1

    Babu tuta uza Supu labda ukauze Mapupu 😂😂😂😂😂

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 2 года назад +4

    Napenda sana joti aki act mzee

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa4798 2 года назад +2

    Babu mjanja Sana... Bora kilimo😂😂😂😂😂

  • @vincentmboya
    @vincentmboya 2 года назад +21

    Watched this clip 5 times😂😂😂😂joti I really love your work 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abdoolshakuruswalehe546
    @abdoolshakuruswalehe546 2 года назад +3

    Gud Sana Ila sopa na akina kipande fanya warudi bhana

  • @damarisonsabwa1293
    @damarisonsabwa1293 2 года назад +13

    Keep the good work always 😅😅😅♥️

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 2 года назад +18

    Hivi mnakubali King Joti ku join Original Comedy Show ao abaki hapahapa? The best Joti’s Congolese fan ever🇨🇩🇬🇧

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p 2 года назад +8

    Kazi ya pesa, lazima kigugumizie kiwepo😂🤣😍 wajukuu wegine washezi

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 2 года назад +6

    Eti mnang'atwa nini, Shwaini zenu 😂😂😂

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 2 года назад

      Mimate yanini🤣🤣🤣

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      hata mkiuza mapupuuuu 🤣🤣🤣🤣

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 2 года назад +5

    KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 💥💥💥

  • @treshazgodfather9219
    @treshazgodfather9219 2 года назад +3

    😀😀😀😀😂😂Babu nitakuwa nauza ndizi😂😂huyu mwingine nae nitakuwa nauza kuku JOTI: HATA MKIUZA MAPUPU😂

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 2 года назад +6

    Joti atareeeee!! Mzee🔥🔥🙏

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 года назад +1

    Akyammaaa kama babu yangu naeii ivvv waalah walitokea vilazaa kama iv aliwatimua homeee😅😅😅😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @paulmwacha9870
    @paulmwacha9870 2 года назад +3

    Ahsante babu hao n mashuwain kabsa dadeq c🤣🤣🤣🤣

  • @jacksongeorge3964
    @jacksongeorge3964 2 года назад +7

    MNANGATWA NIN" hahaha😂😂😂 big up joti bonge moja la meseji

  • @nicholauslaurent5454
    @nicholauslaurent5454 2 года назад +1

    Mill 60 biashara ya vumbi la mkongo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @BONGOSTARMEDIA
    @BONGOSTARMEDIA 2 года назад +7

    Joti Fala saana😁😁😁

  • @robertjoseph8830
    @robertjoseph8830 2 года назад +11

    Respect Broo joti

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 2 года назад +2

    Mm character wa joti namkubali Sana ni Babu leo nimefurahi Sana kumuona huwanacheka Sana 😂😂😂😂

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 2 года назад +3

    Inakaribia b inachungulia b inaenda kwenye b🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂unajua takwimu hz ziache hvhv usiombe

  • @homemohammed3244
    @homemohammed3244 2 года назад +1

    Babu hizo hela mawe😂😂😂😂😂😂💯

  • @hamadiyahya4407
    @hamadiyahya4407 2 года назад +10

    🤣😂🤣🤣 Really appreciate

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 2 года назад +1

    Malaka kaskadiano farukulu madona 😂😂😂😂😂 jot bhna

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 года назад +9

    🤣🤣🤣wamekosa yote

  • @salumugidion
    @salumugidion 2 года назад +13

    Hahahaha much love and respect from USA

  • @simoniandrew1273
    @simoniandrew1273 2 года назад +1

    Hahaha joti noma ety Kishungii😂😂😂😂

  • @user-sc2fd2lf8l
    @user-sc2fd2lf8l 2 года назад +1

    Babu msikilize huyo anaesema atauza kuku😂😂

  • @BrownD
    @BrownD 2 года назад +9

    🤣🤣🤣🤣 Suzie Ka ongea point

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 2 года назад +3

    Mguu kwa beg ya mahela🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Iamnia871
    @Iamnia871 2 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂safi sana😍😍😍

  • @mossesmatechi9022
    @mossesmatechi9022 2 года назад +9

    Ahahaha Yaani Ela yangu ukafanyie Hanasa 😂😂😂😂😂

  • @abraham92268
    @abraham92268 Месяц назад

    Joti ni genius kwenye content creation,,
    Mpoki amecha baki mbali

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 2 года назад +1

    Hahhaaha et jua linawaka adi kweny mifuko

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako9281 2 года назад +1

    Joti umeshindikana🤣🤣

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 2 года назад +3

    Joti mwehu sana😂😂😂😂😂😂

  • @chenguraking4276
    @chenguraking4276 2 года назад +3

    Bonge la comedy 🤣 😂 😆

  • @asteriaslaa5482
    @asteriaslaa5482 2 года назад +1

    Jotiiiii.......
    Hahahaha..... Safi saaana

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist 2 года назад +1

    Hahahaha 🤣😂🤣 Babu hutaki vumbi la congo, unywe bia zako za kuisabu , umalizie guest room bora usiwe kifuwani 💃💃💃

  • @georgelyimo7628
    @georgelyimo7628 2 года назад

    😀😀alooo nimecheka sana Mnagunaguna nini kama mtu kajamba😁😁

  • @djuninhoramisos2453
    @djuninhoramisos2453 2 года назад +1

    Haahah😂🤣🤣JOTI king of TANZANIAN comedie

  • @mchemargaret3500
    @mchemargaret3500 2 года назад

    Nkikuangalia nakuona babangu hivyo hivyo kabisa😂😂

  • @moudyramosdravic7746
    @moudyramosdravic7746 2 года назад +2

    Nilijua tu hili 😂😂😂

  • @DaimaMwasile-wm2ii
    @DaimaMwasile-wm2ii Год назад +1

    Nakubali sana brother joti

  • @alladitahnoordin4895
    @alladitahnoordin4895 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Babuu

  • @aminaali792
    @aminaali792 2 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti wewe ni hatareeeee wa comedy 🙌🏾❣️

  • @humycymachambula1719
    @humycymachambula1719 2 года назад +1

    Ahaaaaaaaaaaaaa hela yangu mm mkafanyie anasa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад +1

    Hawa wawili wamefanana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣AMA ndugu jamani haya idea ya business sasa

  • @simongadiel866
    @simongadiel866 2 года назад +1

    Hahaha..et mnang'atwa😂😂

  • @ukhutymamuu7470
    @ukhutymamuu7470 2 года назад +11

    Nimewahi leo 💃👌🤣

  • @aysherkitoi6547
    @aysherkitoi6547 2 года назад +3

    Cku hizi joti wala huchekeshi wale wazuri wote hawapo umebaki na makapi

  • @allyumar4142
    @allyumar4142 2 года назад +4

    Leo safi mzee baba.

  • @developershee4033
    @developershee4033 Год назад

    Hii naikubali. Busara nyingi na wosia mzuri. Watoto wa kileo ni ovyo sana.

  • @thierybien7051
    @thierybien7051 2 года назад +2

    Eti mnang'atwaaa😀😀🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @abdusonramsey2430
    @abdusonramsey2430 2 года назад +1

    Joti msenge sana,ety mnang’atwa nn...😂😂😂

  • @minaaminaa1781
    @minaaminaa1781 2 года назад +1

    Babu..na kiboga hawachezewi...😂🤣wachezee tu nishai na andunje nataman siku moja hii familia iact pamoja 🤣😂

  • @msimbatiboy7517
    @msimbatiboy7517 2 года назад

    Mzee wajukùu wa mchongo hao🤣🤣

  • @DaimaMwasile-wm2ii
    @DaimaMwasile-wm2ii Год назад +1

    Aisee hii inafunza sanaaaaaa vijana lika kuanzia 22 kwenda mbali

  • @issahrashid6319
    @issahrashid6319 2 года назад +4

    Nmependa Apo mwisho Mlioongea point wote watatu twenden tukapange ..

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 Год назад +1

    hera yangu mm mkafanyieh Anasa ira joti

  • @barutithedoni9538
    @barutithedoni9538 2 года назад

    Hahahaahahah Babu Babu hatali sana broo uko vizur

  • @thimayrahmuhammad1465
    @thimayrahmuhammad1465 2 года назад +1

    Mmmh basi zuu uwe unabadilisha hilo shati Duh toka ujulikane unalo tu au masharti

  • @hamidalucas7300
    @hamidalucas7300 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂👏👏👏 joti mko vizuri sana

  • @soniahassan6769
    @soniahassan6769 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asubuh yangu imekua bull bull baada ya kukutana na hii clip

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️Bora kilimo kabisaa

  • @startz24
    @startz24 2 года назад

    Hahahahaha da babu una wajukuu wanawaza anasa hahaha ila unaakili

  • @paulpeter6454
    @paulpeter6454 2 года назад +5

    Show time watu wanapindua meza 😂😂 Congo dust hii sio OG kama ya kule

  • @fatmamusa2483
    @fatmamusa2483 2 года назад

    Kazi nzuri kaka

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +1

    🤣🤣🤣Wamewakomesha 😂😂😂🙌

  • @azizahamisi7349
    @azizahamisi7349 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti ww ebu niachie mbavu zangu

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani7416 2 года назад

    Kweli huyu alikuwa analibeba kundi la the comedian kazi mzuri amestahili tuzo

  • @onefingermusc3011
    @onefingermusc3011 2 года назад +1

    Nimeee ikubaliiii 😂

  • @evah9540
    @evah9540 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣joti King

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 2 года назад

    Daah bonge la fundisho Suzzy katupatia..

  • @amashanampwapwa7993
    @amashanampwapwa7993 2 года назад +1

    Ambigously comedy,,,,,,fantastic,,,