MKWAJU Sehemu ya kwanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Filamu hii ya kitanzania inafundisha ukakamavu kwenye Ndoa na Jinsi ya kukabiliana na Changamoto kubwa bila ya shuruti itakayoonesha wewe ndie unafanya ....Je unajua nini kimetokea ungana nasi katika kufuatilia mkasa huu wa MADEBE na MKEWE CHANUO Filamu hii imetengenezwa na MALIMEDIA
    Kwa maoni /ushauri
    +255769000762

Комментарии • 412

  • @khamismohamedidrissa9353
    @khamismohamedidrissa9353 Год назад +18

    Heshima sana kwako Madebe na wenzako wote, kazi iko poa sana, Mungu awe pa1 na nyinyi aiseee

  • @daimafikra7045
    @daimafikra7045 Год назад +54

    Baada ya MATUSI ii ndo move nzuri zaidi baada ya miezi kupita. Allah awaongoze washiriki wote wa MADEBE LIDAI.

    • @madebelidai10
      @madebelidai10  Год назад +9

      INSHA ALLAH

    • @abuusirleh8196
      @abuusirleh8196 Год назад +2

      @@madebelidai10 madebe wewe unangalia zaidi kipaji kuliko mwonekano❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @k37tv
    @k37tv Год назад +11

    Yani nimeipenda hii ...tena imeongelea sana maisha karibu yanikute hivo hivo yanazingua wengi

  • @Fihim1
    @Fihim1 Год назад +24

    Safi Sana Madebe. Umerudi tena. Film ni nzuri Sana. imeanza na UJUMBE yakinifu

  • @nasranasra361
    @nasranasra361 Год назад +92

    Nzuli sana wanaye mukubali madebe kama mim Linke nizipate 🇸🇦🇧🇮

  • @allanlusweti7643
    @allanlusweti7643 Год назад +21

    Kweli madebe ni msanii ambaye nimetumia kauli zake kuendesha maisha yangu,,
    Nipe likes zake

  • @silasasensiobazode9961
    @silasasensiobazode9961 Год назад +10

    Kazi njema sana bwana Madebe 🙋🏽‍♂️🙋🏽‍♂️

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 Год назад

    toka mwenyezi mungu kamuchukuwa kipenzi wetu kanumba, hila mungu ni mungu tu.
    kwa hivi katuleteya madebe lidai.
    nabii muswahili
    mwenyezi mungu akutulindiye

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 Год назад +34

    Boss madebe hakika kazi zako zinahaja ya kumaliza mb zetu , maana tunapata elimu na mafunzo muhimu kwa afya zetu .

  • @hawasandale5936
    @hawasandale5936 Год назад +5

    Huwa nikimuona chanua na madebe nafurahia sana uwepo wao kiufupi nawapenda kupita kiasi❤️❤️❤️💋💋💋

  • @fatumamwayawe7598
    @fatumamwayawe7598 Год назад +2

    Hii nayo Kali ya mwaka I say 💝🥰💝💝 wanaomkubali madebe likes jaman..

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 Год назад +12

    Series Kali🔥Kaka Madebe Haujawahi Kutuangusha#Mkwaju🔥🔥🔥

  • @nelsondismas4355
    @nelsondismas4355 Год назад +5

    Huyu mwamba madebe big up sana. Napenda kaz zAko sana zinaelimisha sana 💪

  • @bonnetambweofficial
    @bonnetambweofficial Год назад +134

    Naomba likes za madebe hapa wakubwa👏👏

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Год назад +30

    Tulio kuwepo kwenye matusi na ss leo tupo kwenye ukwaju please naomba tujuane hapa kwa like🔥🔥🔥🔥

  • @benedictomaujamtutui8693
    @benedictomaujamtutui8693 Год назад +28

    Much to respect kwa timu nzimaaa... Hakika hapa elimu itapatikana yakutosha... Keep it up guys🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @merrymeenah8539
    @merrymeenah8539 Год назад +4

    Madebe na mkewe mashaallah had raha ❤️😍 sio hawa wasanii wengin tabu tupu kwakweli 🤣🤣🤣

  • @alfredomatiascasimiro7087
    @alfredomatiascasimiro7087 Год назад +3

    Nyimbo izi tunapataje kwa mfano
    Nyimbo zote za movies zangu mzuri sana kaka

  • @Dagreattimz
    @Dagreattimz Год назад +3

    Madebe nikuaminia sana kazi safi ...ningelikuwa skuli maneno Yako ningeyatumia kwa kuandisha insha

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 Год назад +7

    Assalam alaikum warahmatullahi wabarakaatuh everyone ❤️ thank you so much madebe kwa hii bonge la movie iko amazing Tu Sana mungu akuzidishei uzidi kutufunza mengi👏👏 lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️👌

  • @merykisilu9946
    @merykisilu9946 10 месяцев назад

    Ongela sana madebe❤ yaani filamu zko hazichoshi nazipenda kinoma walai

  • @ayoubjuma122
    @ayoubjuma122 Год назад +2

    Sinema nzuri sana ombi rangu msichelewe Sana kutuletea mwedelezo

  • @safarisafari7388
    @safarisafari7388 Год назад

    Chanuo mama...chemsha hio ndimu natangawizi🤣🤣🤣😍😍😍Mr madebe @m's madebe nawapenda sana

  • @officialjacobs5556
    @officialjacobs5556 Год назад +12

    On different level.
    Mob love from Lodwar, Kenya

  • @nsengumuremyisylvester4950
    @nsengumuremyisylvester4950 Год назад +3

    basi nichukue nafasi hii niwapongeze ndugu zangu kwa kazi nzuli mulio ifanya.
    ki ukweli hii filamu imetengenzwa vizuli sana sana tena sana "high quality" filamu taamu sana.

  • @ambwenendapisi1318
    @ambwenendapisi1318 Год назад +5

    The background song is on 🔥🔥

  • @mokiwasaid6871
    @mokiwasaid6871 Год назад +7

    Madebe hajawahi kukosea kwenye kazi zake 👏👏👏👏💎

  • @emmahtamara4542
    @emmahtamara4542 Год назад

    Yaani madebe ungekuwa hukawii sana bila kuachia movie saii ungekuwa talk of the town, kaz nzuri sana

  • @swaibahamidu1891
    @swaibahamidu1891 Год назад +7

    Madebe ni mfalme katika tasnia ya movie mukubari mukatae👑

  • @nicholasomurunga7269
    @nicholasomurunga7269 Год назад +3

    Kazi nzuri,,fun number one from Nairobi Kenya,much love

  • @musaleopards1850
    @musaleopards1850 Год назад

    Filam hii kali episodes nzuri kbs, mengi yakujifunza kwa movie 🎥 hii: 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @jacinterakumu9106
    @jacinterakumu9106 Год назад +2

    Watching from Saudi mob love madebe keep it burning 🔥 😬

  • @tumainlenad5141
    @tumainlenad5141 7 месяцев назад

    Jmn tuambien wimbo huo Nan kaimba kupanga sy kuchagua maumiv Sasa nitafanyaje sikutalajii kuziona mbivu Sasa nitatemaje Amina rab Amina tutaonana kiama

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Год назад

    Jmn mbona chanuo wetu kapungua ivo. Alikuw anaumwa nin au? nakupend sn chanuo ♥️♥️♥️kak madebe jitahid chanuo wang arudishe kamwili kake bana. Nawapend mno kz zenu nikali mno👌👌👌🌹☘️👌

  • @martinchawala4471
    @martinchawala4471 Год назад +1

    Daaaaah madebe anajua Sana,bonge Moja la series

  • @cletusanzigar834
    @cletusanzigar834 Год назад +1

    Kazi nzuri,nimemuona homeboy muuza genge

  • @kassimjames6376
    @kassimjames6376 Год назад +3

    Kazi zako nzuri sana from Paris

  • @adamyazid5794
    @adamyazid5794 Год назад +3

    Nakubali Sana picha zako kaka zinafundisha Sana hongera Sana na mungu akuzidishie San Sana

  • @khamissalim56
    @khamissalim56 Год назад +8

    Ni thamthilia yenye mafunzo na busara kwa mwanzo wake tuu, Mungu Akuwezeshe kuendelea kuwa na hikma na busara ya kunufaisha jamii .

  • @mamafaridi5178
    @mamafaridi5178 Год назад +1

    Move nzur hongera madebe

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 Год назад +1

    Asnteni sana timu mzima Allah akupeni wepesi wa kila jambo

  • @kigulabasil525
    @kigulabasil525 Год назад +1

    Mkwaju hauboii... Asante ML

  • @ezychaser232
    @ezychaser232 Год назад +1

    Dondora 😂😂 Katia huruma sana yan sio poa na mkongo Alisha mnyea chanuo😁😁

  • @saunanzige4314
    @saunanzige4314 Год назад +1

    hongera sana madebe kwa kazi nzuri hakika unatufundisha mungu akubariki kwa kazi zako

  • @edinabanda2925
    @edinabanda2925 Год назад

    Hongera madebe yaan mnajitaidi kutumia kiswahili fasaha kazi nzuri

  • @josephinemakumwangala9460
    @josephinemakumwangala9460 Год назад +3

    Much love,from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗🤗

  • @mustaphahemedy9447
    @mustaphahemedy9447 Год назад

    Madebe Allah akuhifadh Mana ni mbora kwet sis vijn unatusihi meng Sana kwa vitend

  • @asap-kevy5040
    @asap-kevy5040 Год назад +1

    Mungu awajalie afya njema tuzidi kupata burudan na mafunzo kupitia vipawa alivyowapa team nzima 🔥🔥🔥🔥

  • @nathanmtata8473
    @nathanmtata8473 Год назад +8

    Ujawahi niangusha MADEME good job jah bless you

  • @issamustafa1565
    @issamustafa1565 Год назад +4

    Aya mambo uwa yanatokea sana kwenye maisha ya mausiano

  • @kaluludecorations1166
    @kaluludecorations1166 Год назад

    Mtaalam daahh Mungu akuwezeshe uzidi songa

  • @damisonely4765
    @damisonely4765 Год назад +2

    Kawimbo kanani ako jmn pleas 🥺 ira ujumbe mzuri Big up

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii3917 Год назад

    Movie nzuri San nawapenda nyie be watu

  • @othmanhajji4700
    @othmanhajji4700 Год назад +3

    Ahsante sana kaka madebe kwa kutuburudisha na kutuelimisha mungu awabariki nyote

  • @abassisamania8399
    @abassisamania8399 Год назад +1

    Nakufatili san madebe najifunza vitu vingi san kupitia ww mungu akubalik san🙏🙏

  • @sautimojaproduction5714
    @sautimojaproduction5714 Год назад

    From kenya madebe unaweza kaka Big up bro good work kuja pia kenya support Young talented

  • @tatuomary824
    @tatuomary824 Год назад +7

    Shukran sana Madebe kwa kaz nzur na team yako

  • @faidhalitaka7323
    @faidhalitaka7323 Год назад +2

    Una story nzuri sana maisha halisi tunayoishi kila siku

  • @dicvanofficial
    @dicvanofficial Год назад +1

    Nakubali sana kazi zenye uhalisia wa asili ya KITANZANIA na AFRICA

  • @ramakajembe6484
    @ramakajembe6484 Год назад +1

    madebe jamani mm nishabiki wako kutoka mombasa naikubali sana mkwaju

  • @godblessyexaudnkyale20
    @godblessyexaudnkyale20 Год назад +9

    Mkwajuu umetufikia WAP like za mkwajuu👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️🙏

  • @kimboniz3886
    @kimboniz3886 Год назад +5

    Big up to Madebe lindai

  • @OmanOman-pt2nx
    @OmanOman-pt2nx Год назад +5

    Hongera Madebe kwa kazi nzur

  • @mawidamusictz5152
    @mawidamusictz5152 Год назад +3

    Kuanziaa leo Father Mimi Niruhusu Tu Nikuitee @MadebeMkwaju🙏
    Mana Hii Movie Hii Daah inatrend Mtandaon na kwamitaa Yote Bonge Moja la Kazi Baba Angu Shikamoo💓💓💓🎥📸

  • @amyclassic
    @amyclassic Год назад +1

    Nakubali sana kk mwalimu wangu mungu azidi kukupa marifa na ubunifu

  • @donmvunjambavu3453
    @donmvunjambavu3453 Год назад

    Nice bro, idea nzuri xana

  • @bakarimbonjo7182
    @bakarimbonjo7182 Год назад +1

    Nannjenu nkumonanga ii nne ngunapupa,,,shilombani apanjile jo ni nnyene majele,,,,Big up bro,,,,kazi nzur

  • @AdellaMwita-xz5zm
    @AdellaMwita-xz5zm 4 дня назад +1

    Kazi mzuri snaa 🎉

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Год назад +1

    Umetisha mkukwaju

  • @Tsimbi
    @Tsimbi Год назад +1

    Mimi nimkenya nafatilia sana kazi zenu ninzuri napenda kweli

  • @fatumamussa6966
    @fatumamussa6966 Год назад +1

    Mashaallah kaka madebe move nzuri sana

  • @mpbamoni6600
    @mpbamoni6600 Год назад

    Weka apa lake za madebe lidai kwa kazi zake nzuri

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +1

    hongera sana madebe Allah.akuzidishie afya njema na kundi lako

  • @allykisspro4080
    @allykisspro4080 Год назад +1

    Kazi nzuri mimi nimfatiliyaji wa kazi zako nikiwa drc mjini beni napenda sana kazi zako mimi kama mwingizaji napata elimu kukupitiya ume shimama kama mwalim kwangu ongera sana na imani kupitiya hii kazi labda nita baatika kukuona inshalah

  • @japhetmweke52
    @japhetmweke52 Год назад +2

    Madebe unajua ndugu yangu keep it up 💪💪💪💪

  • @agnesspeter6170
    @agnesspeter6170 Год назад +1

    hongeren kwa kaz nzuri😍

  • @aishahussein1261
    @aishahussein1261 Год назад +1

    Nimeisubili hiii san kwa mda ni nzuriiii

  • @mahatawesojimeri8060
    @mahatawesojimeri8060 Год назад +11

    Mkwaju ni lazima iwe na dakika hamsini
    Mambo ya 16 minutes acheni please

  • @johnchitete
    @johnchitete Год назад

    Mswahili halali......najifunza mengi hapa......

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 Год назад +1

    Kwa nini karibia kila movie madebe unaigiza na mkeo

  • @hitlerpardon9308
    @hitlerpardon9308 Год назад +1

    Uyu madebe ni kanumba mtupuuuuu mmmmh ataliiij😍😍😍😍

  • @eliezel6103
    @eliezel6103 Год назад +2

    Shukrani xana. Love from Msawa Boy 🇧🇮

  • @shawnnjuguna8855
    @shawnnjuguna8855 Год назад +1

    Ndio kwenye kuikalia hii sinema chini...Naamini itanifurahisha....254 👊

  • @ibnyussufmsafiri7855
    @ibnyussufmsafiri7855 Год назад +2

    Big san mkubwa madebe love u from🇧🇮🇧🇮

  • @mamubahmed584
    @mamubahmed584 Год назад +1

    Duh ♥️♥️🔥🔥🔥😍😍 mashallah

  • @karemakarema8260
    @karemakarema8260 Год назад +2

    Kazi nzuri sanaa

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 Год назад

    Safi Kaka madebe wapenda vya nyumbani RUclips kama kawa kuangalia buridan

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад

    Movie nzur san n kubali madebe❤

  • @faridahahmad9513
    @faridahahmad9513 Год назад +1

    Inshaallah naimani ipo siku na mmi nitaigiza na huyu mwamba dahh Allah akulinde na mahasidi bro,hizi ndio muvi sasa madebe number 1 wengine wakalale

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Год назад

    Daaah Mwana Umeshindikana
    Unajua Sana
    Akili kubwa
    Nashangaa Tu Kwann media hazikuimbi

  • @salimkombora2742
    @salimkombora2742 Год назад +5

    Kazi Safi sana team nzima

  • @Najmahs_world
    @Najmahs_world Год назад +2

    Huyu kijana nae haelewi anakuja hadi nyumbani akimharibia mwenzie ndoa je yani anamfuata fuata hata baada ya kumpigia simu ya kumtaarifu mumewe yupo🤣🤣

    • @frankyohana208
      @frankyohana208 Год назад

      Kweli jamaa anasumbua hatar mpaka keloooo.."

  • @rehemachedi1869
    @rehemachedi1869 Год назад +1

    Masha Allah umenifurahisha sana

  • @officialzengomedia
    @officialzengomedia Год назад +1

    Wangapi tunamkubali madebe gonga like

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Год назад +1

    Mbadilishe mavazi jmn, kira scene nguo izo izo....!!!?

  • @kenndennisofficial1489
    @kenndennisofficial1489 Год назад

    Gwiji wa bongo movie 🎥. The King 👑 madesh lidash

  • @abednego149
    @abednego149 Год назад +1

    Lp media nikwel mnaleta kilicho bora very nice

  • @irenewilla8975
    @irenewilla8975 Год назад +3

    Kazuri❤️❤️❤️❤️❤️epsode ya pili pls

  • @aloycelijega4650
    @aloycelijega4650 Год назад +2

    😂😂..mkwaju... nipo hapa lidai..mwamba..

  • @hassanihusseni3193
    @hassanihusseni3193 Год назад +1

    Kaz nzur sana kaka madebe pamoja na Tim nzma