The first one is me give me a like please guys .🎉I love your jobkp wa Aquino and be fast guys to post a moves because people we forget how movie is finished so me I complain about it .❤❤❤❤❤🎉
Likoma 😂😂😂🤣wallai this guy is killing me likoma please spare my ribs 😅 halaf naona Zabuu anamfit Nabil na Norah ni kp nawapenda guys for keeping me busy ila nimemiss Brighton anywei kiasi tuna kibarua tutashinda kweli feel loved from 🇰🇪🇰🇪
KP hapo umetupiga Zebuu ufupi wake angewezaje kuwasha main switch yote tisa norah alikuwa standby umeme umekata flashlight ipo on au mi nimekosea chief 😹😹
Plan b kazi ni nzuri sana naipenda kiuakika, ila tatizo mnachelewesha Siku nyengi kutowa myendelezo. Tafadhali toweni myendelezo kwa haraka.!!! Nawa penda sana ❤️❤️
Tunao tazama plan B huku tukiwa na majonzi ya kuondewa na mpendwa wetu kaka yetu Marco zabron tujuane hapa
Maico yupi
😭😭😭
😭😭😭😭😭
😭😭😭💔💔💔💔💔
Ndio Nani huyo marco
Nawapenda sana tena sana tim kp. Hila namba moja ni mzee likoma i love you so mosh. Sio Kimapenzi hila ni kwajili ya Allah.
Good job congrats kp na zebun na all the team twapenda nyote ❤❤❤❤❤❤4rm United kingdom 🇬🇧 🇬🇧
Sanaa napenda
Kazi nzuli sana kp na zebuu ila Mjalibu kuwahisha jamani tunasubili sana ila mungu awapiganie mzidi kutupa burudani
❤❤❤❤kazi nzuri sana 👍 shey shey hawezi shidwa na Jambo atafanya kitu juu ya Nora
Ngoja nichukue kiti nione hapa kinatokea Nini mbere ya mbakaji na muizi haoooo😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😂😂😂😂😂
Oh my god today I am number one to like it is video iam so happy I am from Saudi Arabia but home I Kenya 🇰🇪
KP wewe na zebu mumekubalika semu yote Mozambique weka like.
Wow mbona nzuri sana lakini , nimeipenda sana
The first one is me give me a like please guys .🎉I love your jobkp wa Aquino and be fast guys to post a moves because people we forget how movie is finished so me I complain about it .❤❤❤❤❤🎉
Mm doka ep ya kwanza mpaka ya kumi na moja sijawai kucoment kwa sababu uwa sipati😠😠 like from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kalale itakuja kupata comment sku ya mwisho, wew unaomba comment tu umechangia nn kwenye series 😮
Nimeshajiya kununuwa bando😂😂@@BundalaShija-yb4vo
Jamani kp nae mwizi kaenda kwa muchumba wake kutoka bilan tarifa na Zima taa zawatu eban mamupenda sana michezo yake
Kama unamkubali sheishei gonga like hapa tukimove on🎉🎉🎉🎉🎉🎉from kenya
Mkikataa kulike comment yangu naomba ata kp na zebu wa like basi
Basi la kwenda wapi 😂😂😂
😂😂😂😂😂 ila likoma anavunja recond@@JeffmollelJeffmollel-l2n
Kwani lazima, na kwa tarifa yako hatulike 😮
Usi jali, mi ntakupa hata 10
Unataka like Kwa lipi ulilofanya
Wakuuu tunae amani kua wanachelewesha sana ili wajue weka like hapa
Nawawakilisha team strong team fulus much love guys ❤❤
Naombeni mnipe taarifa Ili na mm nielewe ivi hizo like mkipewa Huwa mnauza bei gani
😂😂😂😂😂😂😂
Yaani hii ndo ajabu. Kila mtu anazitaka.
Kwani hua zina nini mbona hamsemi na Mimi nianze kuzifukuzia
Hapanq, hii tamthilia sio nyepesi hata kidogo. Aidia imekaa kimataifa kabisa. Hii sio Bongo Muvie
OY NAKUBALI TEAM KAZI NZURI MMEUWA SAN UMU KAZI NI NZURI SAN HONGERENI
Hawa watu ndio wamenifanya niifuatilie Bongo Movies. Nashukuru kwa kazi mzuriiii,
Jamani Norrah unafurasha unavyofua ila nawakubali team zebuu na kp nawapenda kupiliza❤❤❤❤🎉 ktk kenya 🇰🇪
Nawakubali Sana kp Na zebuu movie zenu uneza angalia Hata Na watoto ❤hongereni Sana ndugu zangu🎉🎉
Fantastic bongo series from these guys keep it up jaman mnaigiza poa Sana but Nora nakupenda jaman we kamdada
Team strong 💪 njooni himeletwa movie yetu tamu na venye nimekuwa wa kwanza🎉🎉🎉🎉nawapenda sana
Naomba mungu mutafika mbali sanaa all them tiimu zebuu &kp&zebuu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kama unamkubali kep ebu gonga like apa 😂😂😂😂kep we kiboko 🎉🎉🎉🎉
Twende nalo...nilidhani kp kapatikana😂😂😂😂😂..haya waiting for next
This is love From Mozambique 🇲🇿❤💞
Hii tamthilia inasisimua sana ❤ Aliyeiandaa katumia akili na kipaji
Kp mtambo ukaona isiwe tabu kuwazima umeme tu .hongereni sana kwa kazi nzuli Kp na Zebu nawapenda❤❤❤
❤❤❤🇰🇪🇰🇪 mombasa ndani kabisa good work keep working hard bro
Likoma 😂😂😂🤣wallai this guy is killing me likoma please spare my ribs 😅 halaf naona Zabuu anamfit Nabil na Norah ni kp nawapenda guys for keeping me busy ila nimemiss Brighton anywei kiasi tuna kibarua tutashinda kweli feel loved from 🇰🇪🇰🇪
Aaaaa kiukweli filamu nzuri sana ila inachelewa sana. Jikerebisheni kutowa filamu angalau siku mbili
Kazi nzuri na pongezi kwa kuileta kwa wakati endeleeni hivyo hivyo
DAAAA! Kazi nzuri sheishei daaa ila jitahidini kutuwahishia jaman mungu awalinde na awape nguvu❤❤❤❤❤❤
😂😂Mzee likomaaaa ❤❤ nakupenda bure😂😂😂
Waah kp wewe ni mwizi atari😂😂😂😂 Evo ndiyo unafanya wanaokupenda wakuchukie 😂😂❤
Wengi si sio mastaa kwaiyo wewe pita tu Mungu anakuona ❤❤❤ bhana
Sheila we ni noma,I'm Ploud For you. Sijui vizuli kingeleza hila nakipenda atari.
Mnachelewa sana kutoa mwendelezo mnatukata vibe mashabiki
Wueh Nora ameshuku kitu❤❤❤mambo inazidi kuwa moto
Watching from Lusaka Zambia
kp harakisha sehemu ya 13 ya plan B nimetokeya kuipenda bwana natokeya congo bwana
✅☑☑☑♥♥♥♥♥
Ukienda na hizo beat za movie zako na udhoefu wako utamfikia kipenz cha wengi kanumba hakika utapita mlemle alimo pitia yeye 🎉🎉🎉🎉chukua maua yako🎉🎉
Mnachelewesha mno kp jitaidi kutuwah shia utamu huu ❤❤ kwaleo Mzee likoma kanifurahisha na nyimbo zake 😂😂😂😂😂
Big up Sana shee she nakukubali at on 💯🎉🎉🎉🎉 umecheza nafasi yako vizuri 🎉
Bonjour je suis le première d'avoir ce film
KP hapo umetupiga Zebuu ufupi wake angewezaje kuwasha main switch yote tisa norah alikuwa standby umeme umekata flashlight ipo on au mi nimekosea chief 😹😹
😂😂
KP huwa hakoxei Leo bahat mbaya
Napeperusha bendera huku kenya🇰🇪🇰🇪
Wa kwanza kutoka Kenya naomba mnipe like zangu
Kazi nzuri sana KP 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zebuu nakupenda kazi nzuri saaana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hamna baya kazi safiii nawapenda
Sheyisheyi Mungu asidi kukupa miaka mingi ya kuishi dunian
Na mimi leo jamaniii naombeni like
Wa kwanza leooo naombeni like zangu😂kazi nzuri kp na zebuu
Shida ni wanachukua muda sana kuweka kazi hadi mtu anaboeka
Na mimi Leo nimewahi like kumi jamani
Wale wanapendezwa na likoma mnipee likes 😅😅
Hongeren san movie nzur nmeipenda
Basi nakupenda shaiala unachievable macheko yawuchimbi sanaawewe nimuizi waguvu kabisa
Kama unawakubali kp na zebuu ngonga like hapo ❤❤
Hapo sasa
Andik vzr
Jaman tatizo munachelewesha San Kaz nzurii jaman
Wa kwanza nipo hapa ilaa tuangalie movie kwanza,like mpeni mwenye movie yake
Na mimi yule kutoka 🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu jamani
Kumbe wacongo mnaelewaga
@@LucyPeter-sp6ez 𝙮𝙚𝙨 𝙢𝙮 𝙗𝙧𝙤𝙩𝙝𝙚𝙧
Suraji tangu arudi nyumbani kwao na baba ake KP kwenye last card hajarudi mpka saiz😂😂😂
Woow nimewahi mm jmni like zngu jmni nyinyi 🎉🎉🎉 💃🏽💃🏽 team strong gonga like tukipita ivo ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Filamu ni nzuri sana, ile msiwe muna chelewesha kutowe myendelezo.💥
DAAAA likoma anafulaisha kwenye kamnyweso wivengo naipenda hiyo🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana jamani hongela sana 😂😂
Wow good work from Serengeti,
Likes jamani,,, much love fro from me. Hata 30 likes
Leo mmekawia sana waaaah
Unajitahidi sana KP kazi nzur
Anajitahidi au anaweza ???
Swa sana sheishei nakuaminia kwa kweli kazi nzuri wallai nakupenda buree en mob ❤to all tem kp❤❤❤❤❤
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team Aquino
From 🇰🇪 series Iko 🔥🔥
kp na zebuu nawapenda sana good job
DAAAA! Norra umecheza kama Pele yaani kumpenda mtu Alie kuibia cm hongera sana kazzi nzuli❤❤❤❤❤🎉🎉
Nakubali sana kazi kubwa iyi
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hahahaha zebuu umpata mwanamume mzur ankataa ulale nae c hawa wa uku. mtaan kwetu
Kp kazi nzuri sana ❤❤❤
Ila Huwa mnapenda like Kam vil nyie ndo producer
Wanakera yaan
Nakubali kp
Plan b kazi ni nzuri sana naipenda kiuakika, ila tatizo mnachelewesha Siku nyengi kutowa myendelezo. Tafadhali toweni myendelezo kwa haraka.!!! Nawa penda sana ❤️❤️
Mimi nimekua wakwanza akuna pingamizi 🎉🎉🎉❤nipeni likes zangu na mm
🎉🎉
Jamani iyo ni plan B iko fireeeeeee sana
Kama unamkubali Kp na zebuu gonga like hapa
Tanzania mnaoangaria hii like wote🎉🎉🎉🎉🎉😮
Tunawapenda sana team kp from Kenya....mnafanya kazi nzuri.... waiting for the next episode
wa kwanz naomben like at 10
Kazi nzuri 🎉🎉
Wow nampenda sana sheishei
Wa kwanza Leo kutoka iraq🇮🇶
Shey shey nakupenda kwa utendaji wako wa kazi ukiungana na kp 🧡
Nakubali hii video derock 003 new like
Wakwanza leo toka tz home like hire
Mm wa kwaza nipeeni like zagu
Kazi nzuri Sanaa kp unajua sanaa kaza endea na ubunifu huo huo
🤣🤣🤣🤣ila mzee likoma wewe 🎉🎉🎉NAWAPENDA sana sana kp zebuu nola Sheila ❤❤❤❤❤❤