PLAN B _ Episode 12

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • #kp #kpnazebuu #zebuu #bintinyoka #lastcard #wamangushi

Комментарии • 656

  • @Thedy-tp5ei
    @Thedy-tp5ei 21 день назад +161

    Tunao tazama plan B huku tukiwa na majonzi ya kuondewa na mpendwa wetu kaka yetu Marco zabron tujuane hapa

  • @RosaJoãoBacar
    @RosaJoãoBacar 21 день назад +8

    Nawapenda sana tena sana tim kp. Hila namba moja ni mzee likoma i love you so mosh. Sio Kimapenzi hila ni kwajili ya Allah.

  • @aliyahaji8512
    @aliyahaji8512 21 день назад +10

    Good job congrats kp na zebun na all the team twapenda nyote ❤❤❤❤❤❤4rm United kingdom 🇬🇧 🇬🇧

  • @AnisiaJames
    @AnisiaJames 21 день назад +12

    Kazi nzuli sana kp na zebuu ila Mjalibu kuwahisha jamani tunasubili sana ila mungu awapiganie mzidi kutupa burudani

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g 21 день назад +9

    ❤❤❤❤kazi nzuri sana 👍 shey shey hawezi shidwa na Jambo atafanya kitu juu ya Nora

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 21 день назад +19

    Ngoja nichukue kiti nione hapa kinatokea Nini mbere ya mbakaji na muizi haoooo😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😂😂😂😂😂

  • @ruthnasambummmuchongorimuc6386
    @ruthnasambummmuchongorimuc6386 21 день назад +18

    Oh my god today I am number one to like it is video iam so happy I am from Saudi Arabia but home I Kenya 🇰🇪

  • @DanielManuelMissa
    @DanielManuelMissa 21 день назад +35

    KP wewe na zebu mumekubalika semu yote Mozambique weka like.

  • @BeltesaMuhasa-mo8ti
    @BeltesaMuhasa-mo8ti 21 день назад +15

    Wow mbona nzuri sana lakini , nimeipenda sana

  • @MartinSinyangwe-s8i
    @MartinSinyangwe-s8i 21 день назад +20

    The first one is me give me a like please guys .🎉I love your jobkp wa Aquino and be fast guys to post a moves because people we forget how movie is finished so me I complain about it .❤❤❤❤❤🎉

  • @KamiloAbdullahKamilo
    @KamiloAbdullahKamilo 21 день назад +20

    Mm doka ep ya kwanza mpaka ya kumi na moja sijawai kucoment kwa sababu uwa sipati😠😠 like from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @BundalaShija-yb4vo
      @BundalaShija-yb4vo 21 день назад +1

      Kalale itakuja kupata comment sku ya mwisho, wew unaomba comment tu umechangia nn kwenye series 😮

    • @KamiloAbdullahKamilo
      @KamiloAbdullahKamilo 21 день назад

      Nimeshajiya kununuwa bando😂😂​@@BundalaShija-yb4vo

  • @j.claudeniyonkuru3989
    @j.claudeniyonkuru3989 21 день назад +15

    Jamani kp nae mwizi kaenda kwa muchumba wake kutoka bilan tarifa na Zima taa zawatu eban mamupenda sana michezo yake

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 20 дней назад +7

    Kama unamkubali sheishei gonga like hapa tukimove on🎉🎉🎉🎉🎉🎉from kenya

  • @ShaniLamay-ln6se
    @ShaniLamay-ln6se 21 день назад +113

    Mkikataa kulike comment yangu naomba ata kp na zebu wa like basi

  • @HamisiMajuju-e9k
    @HamisiMajuju-e9k 21 день назад +35

    Wakuuu tunae amani kua wanachelewesha sana ili wajue weka like hapa

  • @AmusedCrescentMoon-bm8qo
    @AmusedCrescentMoon-bm8qo 21 день назад +7

    Nawawakilisha team strong team fulus much love guys ❤❤

  • @MariamRichard-g3x
    @MariamRichard-g3x 21 день назад +27

    Naombeni mnipe taarifa Ili na mm nielewe ivi hizo like mkipewa Huwa mnauza bei gani

    • @Samwelyptv
      @Samwelyptv 20 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @hildalyatuu2710
      @hildalyatuu2710 20 дней назад

      Yaani hii ndo ajabu. Kila mtu anazitaka.

    • @zerajoyce5016
      @zerajoyce5016 18 дней назад

      Kwani hua zina nini mbona hamsemi na Mimi nianze kuzifukuzia

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 21 день назад +11

    Hapanq, hii tamthilia sio nyepesi hata kidogo. Aidia imekaa kimataifa kabisa. Hii sio Bongo Muvie

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 21 день назад +15

    OY NAKUBALI TEAM KAZI NZURI MMEUWA SAN UMU KAZI NI NZURI SAN HONGERENI

  • @shadrackmohamedi8765
    @shadrackmohamedi8765 21 день назад +20

    Hawa watu ndio wamenifanya niifuatilie Bongo Movies. Nashukuru kwa kazi mzuriiii,

  • @syliviaSoyita
    @syliviaSoyita 21 день назад +5

    Jamani Norrah unafurasha unavyofua ila nawakubali team zebuu na kp nawapenda kupiliza❤❤❤❤🎉 ktk kenya 🇰🇪

  • @Saudaboshori-ie7en
    @Saudaboshori-ie7en 20 дней назад +2

    Nawakubali Sana kp Na zebuu movie zenu uneza angalia Hata Na watoto ❤hongereni Sana ndugu zangu🎉🎉

  • @AmosBudoya
    @AmosBudoya 13 дней назад +2

    Fantastic bongo series from these guys keep it up jaman mnaigiza poa Sana but Nora nakupenda jaman we kamdada

  • @user-fd3xm5wf1m
    @user-fd3xm5wf1m 21 день назад +5

    Team strong 💪 njooni himeletwa movie yetu tamu na venye nimekuwa wa kwanza🎉🎉🎉🎉nawapenda sana

  • @Ysga-s5b
    @Ysga-s5b 21 день назад +3

    Naomba mungu mutafika mbali sanaa all them tiimu zebuu &kp&zebuu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 21 день назад +14

    Kama unamkubali kep ebu gonga like apa 😂😂😂😂kep we kiboko 🎉🎉🎉🎉

  • @user-bu4op2hq2p
    @user-bu4op2hq2p 21 день назад +3

    Twende nalo...nilidhani kp kapatikana😂😂😂😂😂..haya waiting for next

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 21 день назад +5

    This is love From Mozambique 🇲🇿❤💞

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 21 день назад +17

    Hii tamthilia inasisimua sana ❤ Aliyeiandaa katumia akili na kipaji

  • @user-dx1hz3ow7k
    @user-dx1hz3ow7k 20 дней назад +2

    Kp mtambo ukaona isiwe tabu kuwazima umeme tu .hongereni sana kwa kazi nzuli Kp na Zebu nawapenda❤❤❤

  • @AliJoao-pe2ur
    @AliJoao-pe2ur 21 день назад +18

    ❤❤❤🇰🇪🇰🇪 mombasa ndani kabisa good work keep working hard bro

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 21 день назад +4

    Likoma 😂😂😂🤣wallai this guy is killing me likoma please spare my ribs 😅 halaf naona Zabuu anamfit Nabil na Norah ni kp nawapenda guys for keeping me busy ila nimemiss Brighton anywei kiasi tuna kibarua tutashinda kweli feel loved from 🇰🇪🇰🇪

  • @AsiamirajiDaud-mz6mu
    @AsiamirajiDaud-mz6mu 21 день назад +7

    Aaaaa kiukweli filamu nzuri sana ila inachelewa sana. Jikerebisheni kutowa filamu angalau siku mbili

  • @JajiKazungu
    @JajiKazungu 21 день назад +8

    Kazi nzuri na pongezi kwa kuileta kwa wakati endeleeni hivyo hivyo

  • @AndrewKess-w1m
    @AndrewKess-w1m 10 дней назад +1

    DAAAA! Kazi nzuri sheishei daaa ila jitahidini kutuwahishia jaman mungu awalinde na awape nguvu❤❤❤❤❤❤

  • @LeahCosmasNzoka-po3dr
    @LeahCosmasNzoka-po3dr 21 день назад +12

    😂😂Mzee likomaaaa ❤❤ nakupenda bure😂😂😂

  • @user-hu5qw6tk7c
    @user-hu5qw6tk7c 21 день назад +5

    Waah kp wewe ni mwizi atari😂😂😂😂 Evo ndiyo unafanya wanaokupenda wakuchukie 😂😂❤

  • @UmbalicheMabusness
    @UmbalicheMabusness 19 дней назад +2

    Wengi si sio mastaa kwaiyo wewe pita tu Mungu anakuona ❤❤❤ bhana

  • @RosaJoãoBacar
    @RosaJoãoBacar 21 день назад +12

    Sheila we ni noma,I'm Ploud For you. Sijui vizuli kingeleza hila nakipenda atari.

  • @rufinamtenda2415
    @rufinamtenda2415 21 день назад +6

    Mnachelewa sana kutoa mwendelezo mnatukata vibe mashabiki

  • @user-sx2uj4xi2s
    @user-sx2uj4xi2s 21 день назад +4

    Wueh Nora ameshuku kitu❤❤❤mambo inazidi kuwa moto

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 21 день назад +5

    Watching from Lusaka Zambia

  • @PatrickNakashanja
    @PatrickNakashanja 20 дней назад +3

    kp harakisha sehemu ya 13 ya plan B nimetokeya kuipenda bwana natokeya congo bwana
    ✅☑☑☑♥♥♥♥♥

  • @Agyy628
    @Agyy628 21 день назад +4

    Ukienda na hizo beat za movie zako na udhoefu wako utamfikia kipenz cha wengi kanumba hakika utapita mlemle alimo pitia yeye 🎉🎉🎉🎉chukua maua yako🎉🎉

  • @Getu560
    @Getu560 21 день назад +4

    Mnachelewesha mno kp jitaidi kutuwah shia utamu huu ❤❤ kwaleo Mzee likoma kanifurahisha na nyimbo zake 😂😂😂😂😂

  • @Olepachu1182
    @Olepachu1182 21 день назад +2

    Big up Sana shee she nakukubali at on 💯🎉🎉🎉🎉 umecheza nafasi yako vizuri 🎉

  • @LeonMsambya
    @LeonMsambya 21 день назад +22

    Bonjour je suis le première d'avoir ce film

  • @CAPTAIN_GALAXY13
    @CAPTAIN_GALAXY13 20 дней назад +6

    KP hapo umetupiga Zebuu ufupi wake angewezaje kuwasha main switch yote tisa norah alikuwa standby umeme umekata flashlight ipo on au mi nimekosea chief 😹😹

  • @johnmombo34
    @johnmombo34 21 день назад +12

    Napeperusha bendera huku kenya🇰🇪🇰🇪

  • @CruzMelody
    @CruzMelody 21 день назад +18

    Wa kwanza kutoka Kenya naomba mnipe like zangu

  • @AsaniAnsufati-jc3yv
    @AsaniAnsufati-jc3yv 21 день назад +6

    Kazi nzuri sana KP 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @meryanagenes9163
    @meryanagenes9163 21 день назад +5

    Zebuu nakupenda kazi nzuri saaana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Yoramusindotuma
    @Yoramusindotuma 21 день назад +4

    Sheyisheyi Mungu asidi kukupa miaka mingi ya kuishi dunian

  • @AnnaEugen
    @AnnaEugen 21 день назад +18

    Na mimi leo jamaniii naombeni like

  • @user-yx1uo9nf7h
    @user-yx1uo9nf7h 21 день назад +8

    Wa kwanza leooo naombeni like zangu😂kazi nzuri kp na zebuu

  • @abuwatako8282
    @abuwatako8282 21 день назад +4

    Shida ni wanachukua muda sana kuweka kazi hadi mtu anaboeka

  • @AsmaAsma-hy7wp
    @AsmaAsma-hy7wp 21 день назад +21

    Na mimi Leo nimewahi like kumi jamani

  • @Claragesaidisfamily
    @Claragesaidisfamily 21 день назад +24

    Wale wanapendezwa na likoma mnipee likes 😅😅

  • @ibrahimmartine9185
    @ibrahimmartine9185 21 день назад +4

    Hongeren san movie nzur nmeipenda

  • @DeborahFuraha-ho4yk
    @DeborahFuraha-ho4yk 20 дней назад +2

    Basi nakupenda shaiala unachievable macheko yawuchimbi sanaawewe nimuizi waguvu kabisa

  • @AzizaSaid-mi4ck
    @AzizaSaid-mi4ck 21 день назад +38

    Kama unawakubali kp na zebuu ngonga like hapo ❤❤

  • @user-iq6fz6uw7x
    @user-iq6fz6uw7x 21 день назад +13

    Jaman tatizo munachelewesha San Kaz nzurii jaman

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 21 день назад +13

    Wa kwanza nipo hapa ilaa tuangalie movie kwanza,like mpeni mwenye movie yake

  • @NyemboBenjamin
    @NyemboBenjamin 21 день назад +16

    Na mimi yule kutoka 🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu jamani

    • @LucyPeter-sp6ez
      @LucyPeter-sp6ez 18 дней назад +1

      Kumbe wacongo mnaelewaga

    • @NyemboBenjamin
      @NyemboBenjamin 18 дней назад

      @@LucyPeter-sp6ez 𝙮𝙚𝙨 𝙢𝙮 𝙗𝙧𝙤𝙩𝙝𝙚𝙧

  • @mobastian5050
    @mobastian5050 21 день назад +4

    Suraji tangu arudi nyumbani kwao na baba ake KP kwenye last card hajarudi mpka saiz😂😂😂

  • @Mummywamulumewe
    @Mummywamulumewe 21 день назад +28

    Woow nimewahi mm jmni like zngu jmni nyinyi 🎉🎉🎉 💃🏽💃🏽 team strong gonga like tukipita ivo ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @juniorkasongoJordy
    @juniorkasongoJordy 16 дней назад +1

    Filamu ni nzuri sana, ile msiwe muna chelewesha kutowe myendelezo.💥

  • @AndrewKess-w1m
    @AndrewKess-w1m 10 дней назад +1

    DAAAA likoma anafulaisha kwenye kamnyweso wivengo naipenda hiyo🎉🎉🎉🎉

  • @mariasimonmuhando-m8x
    @mariasimonmuhando-m8x 21 день назад +3

    Kazi nzuri sana jamani hongela sana 😂😂

  • @JacksonZakaria-w9o
    @JacksonZakaria-w9o 21 день назад +3

    Wow good work from Serengeti,

  • @VinnahSally-yg4ng
    @VinnahSally-yg4ng 21 день назад +8

    Likes jamani,,, much love fro from me. Hata 30 likes

  • @NelcyAfrica
    @NelcyAfrica 21 день назад +6

    Leo mmekawia sana waaaah

  • @saimontimotheo
    @saimontimotheo 21 день назад +8

    Unajitahidi sana KP kazi nzur

  • @aminanaima6899
    @aminanaima6899 14 дней назад

    Swa sana sheishei nakuaminia kwa kweli kazi nzuri wallai nakupenda buree en mob ❤to all tem kp❤❤❤❤❤

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 19 дней назад +5

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team Aquino

  • @charlesboki1825
    @charlesboki1825 21 день назад +4

    From 🇰🇪 series Iko 🔥🔥

  • @MkaseeMkasee
    @MkaseeMkasee 21 день назад +3

    kp na zebuu nawapenda sana good job

  • @AndrewKess-w1m
    @AndrewKess-w1m 10 дней назад +1

    DAAAA! Norra umecheza kama Pele yaani kumpenda mtu Alie kuibia cm hongera sana kazzi nzuli❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @PeaceMindTz
    @PeaceMindTz 19 дней назад +2

    Nakubali sana kazi kubwa iyi

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 21 день назад +4

    Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-hj6in8zg4p
    @user-hj6in8zg4p 21 день назад +3

    Hahahaha zebuu umpata mwanamume mzur ankataa ulale nae c hawa wa uku. mtaan kwetu

  • @adinanzacharia409
    @adinanzacharia409 21 день назад +2

    Kp kazi nzuri sana ❤❤❤

  • @getrudaFransis-zo7kp
    @getrudaFransis-zo7kp 21 день назад +4

    Ila Huwa mnapenda like Kam vil nyie ndo producer

  • @JacksonFaustine-be1gk
    @JacksonFaustine-be1gk 21 день назад +5

    Nakubali kp

  • @johnsonryva6956
    @johnsonryva6956 16 дней назад

    Plan b kazi ni nzuri sana naipenda kiuakika, ila tatizo mnachelewesha Siku nyengi kutowa myendelezo. Tafadhali toweni myendelezo kwa haraka.!!! Nawa penda sana ❤️❤️

  • @TerenaStevelii-1995
    @TerenaStevelii-1995 21 день назад +39

    Mimi nimekua wakwanza akuna pingamizi 🎉🎉🎉❤nipeni likes zangu na mm

  • @LeylaMgaya-og5mm
    @LeylaMgaya-og5mm 20 дней назад +1

    Jamani iyo ni plan B iko fireeeeeee sana

  • @JacobTapwaaLaizer
    @JacobTapwaaLaizer 21 день назад +25

    Kama unamkubali Kp na zebuu gonga like hapa

  • @IssaJuma-e1l
    @IssaJuma-e1l 20 дней назад +3

    Tanzania mnaoangaria hii like wote🎉🎉🎉🎉🎉😮

  • @user-dn8lt5vm4s
    @user-dn8lt5vm4s 20 дней назад

    Tunawapenda sana team kp from Kenya....mnafanya kazi nzuri.... waiting for the next episode

  • @RozaliaSimon-mh6cm
    @RozaliaSimon-mh6cm 21 день назад +11

    wa kwanz naomben like at 10

  • @LeunideMtimbuka
    @LeunideMtimbuka 21 день назад +5

    Kazi nzuri 🎉🎉

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 21 день назад +2

    Wow nampenda sana sheishei

  • @KanezaGlany
    @KanezaGlany 21 день назад +5

    Wa kwanza Leo kutoka iraq🇮🇶

  • @JuliaAyuma-z5w
    @JuliaAyuma-z5w 21 день назад +2

    Shey shey nakupenda kwa utendaji wako wa kazi ukiungana na kp 🧡

  • @AliKhamis-M26
    @AliKhamis-M26 17 дней назад +1

    Nakubali hii video derock 003 new like

  • @PentergonHonesty
    @PentergonHonesty 21 день назад +5

    Wakwanza leo toka tz home like hire

  • @OscarMutharimi-iw1eb
    @OscarMutharimi-iw1eb 21 день назад +11

    Mm wa kwaza nipeeni like zagu

  • @venanceleonce6511
    @venanceleonce6511 19 дней назад

    Kazi nzuri Sanaa kp unajua sanaa kaza endea na ubunifu huo huo

  • @khadija2113
    @khadija2113 20 дней назад

    🤣🤣🤣🤣ila mzee likoma wewe 🎉🎉🎉NAWAPENDA sana sana kp zebuu nola Sheila ❤❤❤❤❤❤