MAOMBI YA KUNG'OA MAPANDO YA ADUI by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 7 мар 2022
- MAOMBI YA KUNG'OA MAPANDO YA ADUI by Innocent Morris
Omba Mungu aondoe kitu chochote kilicho kaa ndani yako ambacho kinakuzuia usisonge mbele katika eneo lolote la maisha yako.
MSTARI:
"Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa."
Mathayo 15:13
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Naomba kila pando lililokinyume kwenye maisha yangu na family yangu likapate kung'olewa Kwa jina la Yesu na presha inayoni sumbua itoweke Kwa jina la Yesu Amen.🙏🙏
Eee Mungu babayangu ondoa mapando ya magonjwa, ulafi,kucheleweshwa haki , ndoa kwa ajili yangu na wanangu, wanangu wafunguliwe; kimasomo, kikazi , kiafya n ktk safari zao
Naomba adui chochote alichopanda katika maisha yangu leo naing'oa kwangu kwa mumewangu kwatoto wangu
Niko
Burundi naomba muniombee mungu aniponye niko naugonjwa wakuvunjika kichwa nina maumi mingi sana na nina stress mingi kwaju ya kichwa hiki sasa nataka Mungu aniponye katika jina Yesu Kristo
Nang'oa Kila mapando ya majini mahaba katika mawili wangu kwa jina ya Yesu kristo na kwa Damu ya Yesu kristo iliyomwagika pale msalabani. Amen🙏
Mungu ondoa kizuizi kincho fanya watoto wangu anywe pombe kwa jina la Yesu
Mapando yote yachomoke from my life in Jesus name, spirit of rejection, relationships dont stay, sickness vitoke in Jesus name amen
Ninang’oa mapando yaliyopandwa kwangu, kwa watoto wangu n familia yangu… Yang’oke yote kwa jina la Yesu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nang'oa kizuizi kicho fanya tusibariki ndoa kwajina la Yesu
Naomba ning'oe ulemavu nakupiga keleleusku kwajina la Yesu
Nang'oa pando lilompandwa kwenyefamilia yangu isiendelee
MUNGU niondolee Kila kizuizi kinacho zuia mafanikio yangu Kwa damu ya YESU Aminaa
Eee mungu naomba kile kilicho pandwa kwa ndoa yangu na watoto wangu wanikatae eee Mungu naomba ukaweza kung'oa
Mungu aondoe pando la chuki kwa baba ya mtoto wangu , agape ministry wache Kunichukia waniajiri.... roho yakukataliwa ikufe
Mungu naomba uondoe udhaifu na kutokujiamini ndani ya mwili wang ammen
yesu damu yako inene mema juu ya maisha yangu
Kila pando alilo aslolipanda MUNGU ndani yangu naliamuru litoke katika Jina la YESU krito
Naomba Kila kilicho kinyume na maisha yangu na kwa familia yangu kiondoke kwa damu ya Yesu kristo..
Ameen Ameen Asante Sana Mchungaji kwa ajili ya haya maombi nna imani kua babangu ambaye anagonjeka magonjwa ambavyo hayajulikani atapona kwa Jina la Yesu kristo
Pando lolote aduu alilo panda kwenye maisha yangu au family yangu Nina ngwoa kwa jina la Yesu kristo wanazareti naachilia damu ya Yesu
Bwana yesu mapando yote yaliyo pandwa kwa nguvu za Giza toka kwa jina la yesu
Naondoa mapando ya hofu na uoga ndani yangu ndani ya akili yangu na ndani ya nafsi yangu kwa Jina la Yesu
Nanga mapando yote mabaya kwa Jina la Yesu
Made yanan subuwa sana katika maisha yangu Kwa jina la YESU kristo amen
Mungu niondoree roho ya umasikini kwenye maisha yangu
Ee Mungu niondolee maumivu ya mikono yanayonsumbua kwajina la Yesu
Naomba Tapia ya kusengenya wengine iniondokee kwa Jina la yesu
Ameen
Asante bwana Yesu kwa kunifungua,. This is such a powerful prayer I've ever had/heard
Mateso katika maisha yangu nakikata kwa jina la YESU kristo amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
Amen and Amen hallelujah 🙌 🙏 👏🏻 napokea ushidy
Mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana niombee sana utabarikiwa na mungu ❤❤umenibariki saaana namushukuru mafundisho Yako yanaponya hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤
Mungu naomba uondowe vyote vinavyo nisumbua
Mpando iliopandwa kwa mwili ya yangu na damu yangu vitoke zote
Mapando yaliyopandwa kwenye maisha yangu .....nayangoa kwa jina la yesu
Nang'oa mapando yote yaliyo pandwa kwa nguvu za Giza toka kwa jina la yesu
Mungu aniteee duka langu lizidiwe na wateja na nipate mme sahihi
Amen nasonga mbele kuanzia leo jina la YESU kristo amen
Mungu niondolee vidonda vya tumbo nataka niwe Dada wa kufunga na kuomba lakini hali hii inanirudisha nyuma hali ya kuhailisha vitu vya KiMungu.
Mtumishi nimempokea yesu kwenye maisha yangu amina
Natoa mapando ya wadeni wote wasionilipa,lakini nadhirumiwa kwa damu ya Yesu kristo mapando yaondoke leo.
Alichiokipanda adui katika ndoa yangu naking'oa kwa jina la YESU
Kweli mngu ningome wakalam2 awe mbaya au muzur ila mungu unastahili imani angu ipo kwake
Ameen
Nataka tabia mbayajuu yangu nawatoto iondoke leo kwa jina la Yesu aliyehai
Mungu niondolee mikosi yote iliyowekwa na adui ili nisifanikiwe niwe mtu wa kuhangaika
Naomba baba ya mtoto wangu na mamake wache Kunichukia
Amina pastor kwa kunifungua na Kila aina ya mapando kupitia damu ya yesu
Ngome zivunjike kwadamu yayesu naamini mapando yatoke
Ameen
Jambo mtumishi.mtoto huyu ame uuguwa na ugonjwa wa kifafa naomba msaada kwa maombi.
Tutamuombea
Asante Bwana YESU Kwa kuniweka huru. 🙏
asante mungu kwa zawadiii hiii ya uzma
Naondoa kila kifungo klicho wekwa kinyume namapenzi ya mungu
Nasikilizasana maombi yako nafunguliwasana ubarikiwe
Ameen
Bwana naomba ondoa magonjwa yote mwilini mwanangu 😢😢😢😢
BNmempokea YESU Leo JINALABWANa
Ameen ameeen
Kila pando la shetani ninaling'oa kwenye kila rneo la maisha yangu
Niondolee roho zote chafu kwa jina Yesu
Amen roho ya miscarriage inaondoka Leo katika jina la yesu kristo
Eeeh MUNGU 🙌🧎🙌🧎🙌🧎🙌🧎🙌🙏🙏🧎🧎🧎🧎🧎😭😭😭😭😭😭😭yaondoe mapando ndani yangu na Kwa watu wangu wa katibu pia familia yangu
Ameeeeeen
Pando katika kifua changu ishindwe kwa damu ya yes🙏🙏
Bwana yesu wewe ni bwana katk jina la yesu krsto
Mtumishi nimemupokea bwana yesu leo
Mungu anisaidie nipate mtoto ndoa yangu inakoxa aman kwaajil yamtoto😢
Ameen
Mwenye nyumba anipende mm na asinitoe chumbani kwa jina la yesu🙏
Mashemeji wabadilike ma father in law mungu tenda yaliyo ya ko🙏🙏🙏
Ameen
eeee!!! bwana yesu nalomba ongowa mapando ya aduyi katika maisha yangu.
Roho ya madeni iniachie kwa jina la yesu kirisho
Àmina
Mipango yote mliopanga kuja kuninyang,anya funguo chumba nilitafuta mm bataka tuu ndio mnisemee maneno machafu nayavunja maneno yenu machafu kwa jina la yesu
Asante yesu kwa kuniweka huru
Kila pando lilopandwa na adui katika Familia yangu namwambia Yesu ayaondoe kwa damu yake Takatifu Amina
Asante Yesu nimepona
Ameen
Pando lolote lililopanda kwenye Maisha yangu,Ninalingoa kwa damu ya yesu
Ameen
Kila pando alilolipanda adui kwenye maisha yangu ili nisisonge mbele kiuchumi nalingoa Kwa damu ya Yesu
Bwana yesu asifiwe mtumishi kwa majina naitwa chrsitina Charles mm mtumishi nimesumbuka kwa mda murefu nikibeba miba zinaharimbika
Mungu akupe haja ya moyo wako katika jina la Yesu Kristo
Naomba naomba zako mtumishi
+255652796450 (WhatsApp)
Naomba Yesu uondoe mapandikizo ya magonjwa yanayozuka ghaflaghafla ili nisisonge mbele lakini kwa imani nitashinda kwa sababu najua Yesu kristo ndiye jibu la maisha yangu,na familia yangu Ameeen
Mapando yote yaondoke katika biashara yangu
Nataka mwanangu emanuel kila nikimpa biashara analewa anakula msingi
Hakuna miximu itakayo kaa ngoka kwa jina la Yesu
Ubarikiwe Mtumishi Sana Sana Asante Yesu Kwa kunifungua 🙏🙏
asante kwa damu ya yesu kwa kuniocha
Amen kwajina la yesu mim juditi nang'oa kila pando lililo pandwa na kila adui ndan ya maisha yangu nang'oa pando la opaleshen katika tumbo langu langu nan'goa kwa watoto wangu yusra na samia miliamu timotheo ezekieli kwa wazazi wangu na ndugu zangu iwe kwenye uchumi kwenye ndoa kwenye elimu kwenye afya kwe kazi za mikono yetu yote nang'oa pando la magonjwa pando la kupata ela nakuisha bila mafanikio nan'goa kitu chochote adui anakitumia nisisonge mbele ninaamulu kwa jina la yesu kwa damu ya yesu liondoke dabodabo amen
Ameni nimebarikiwa na somo
Amen napokea kwa jina la yesu
Mungu Nakuomba Nisaidie Kuondo Katika Maisha Yangu Mapamdo Ya Magonjwa Mapamdo Ya Kukataliwa Katika Mahusiamo Kwa Watoto Wamgu Vipele Vyeusi Vyeusi Vitoke Vitoke Kwa Wangu
Na Vyote Magojwa Na Kila Magonjwa Yaliyopandwa Na Shetani Yashindwe Katika Jina La Yesu Kristo.Na Katika Familia Pia Na Wagonjwa Wote Mahospitalini Na Walio Majumbani Mungu Awapomye Katika Jina La Yesu Kristo Amém Amem Amen.
Amen, nashukuru kwa aye maombi❤
Ameen
Amina Mungu azidi kukutumia kwa Viwago Vya juu na barikiwa sana🙏🙏🙏
Ameen ameeen
Niondolee mapando bwana nipe kibali bwana nikaonekane bwana Yesu nikaketishwe na wakuu bwana
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Niombee kwadoa yangu
Nitakuombea
Naombea mume wangu afunguke apate kazi ,kudharauliwa,magonjwa kwa watoto wangu ,kiburi pia naomba iniondokee in jesus name
Ameen
Nataka nipone uvimbe tumboni upande wa kulia chini in name Jesus Amen 🤲🤲🤲🤲
Mtumishi biashara yangu..😢😢🤲🤲
@@juditholoo8809❤
Naomba dam ya yesu inilinde Nina kuwa na hofu kila Mara na kunitengenezea pressure. Mungu niguse na Naomba uiondoe hofu, wasiwasi
Ameen
Bwana yesu mapando yote yaliyo pandwa kwa nguvu za Giza katika ibada ya leo nenda kabadilishe maisha yangu Kwa jina la yesu kristo napokea mujiza wangu ukafunguke yesu niondolee watu mungu pigananaye
Nang'oa mapando yote yaadui aliopanda ndan yangu magojwa yote
Ameen
Ameeen amen amen nakataa watoto wangu kutoeleweka ktk jina la yesu nakataa magonjwa ya kuridhi Mimi ni mteule ukoo WA abrahamu nakataa roho za kushindwa kazi nakataa umaskini nakataa ndoto mbaya mafuta Kwa damu ya yesu kristo huna mamlaka juu ya watoto wangu familia yangu mafuta Kwa damu ya yesu
Ameen
Asante yesu mungu nisaidie
Alléluia mungu akubariki akujaze tena mafuta télé
Eeeee menii barikiwa sana baba
Ameen
Amennn Asante YESU KRISTO
Nuru ya yesu iangaze kwa maisha yangu,damu yake nayo ikaniongoze
Nimempokea bwana Yesu kristo Leo