Maombi ya kuomba MUNGU akuinulie watu sahihi wakukusaidia by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Maombi ya kuomba MUNGU akuinulie watu sahihi wakukusaidia by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Amina ihi histoliy inaniusu nimewasadia ndugu lakini wamenisaau naamini kuanzia sasanikumbukwe kwa jina la yesu
Amen ubarikiwe Sana mtumishi Kwa maombi MUNGU akubariki
Ameen
Mungu wangu Yesu kristo winazaleti nafurahi kwambabunayenda ni connect nawatu wabaraka na mafanyikiyo Amen 🙏
Amen mtumishi mungu niletee msaidizi,mtu wa kuniinua nimekua Nikipata watu wa kunirudusha nyumba ki maisha
Ameen ameeen
Asante roho wa Mungu naamini nimepokea kila nilichokihitaji katika Jina la Yesu kiristo mwana wa Mungu🙏
Amen Mungu wangu naomba niinulie watu sahihi wa kunisaidia napokea watu sahihi
Ameen ameeen
Mungu wangu nitoe ktk uvuli wa mauti, nipe kibali cha kulea watoto wangu, nimewavusha watu kwenye biashara zao, Lkn Leo nimeyumba wameniacha naja kwako baba niinulie watu wanaoweza kuniinua kwenye kila eneo la maisha yangu
Asante yesu nimeamini umetenda jambo jipya kwenye maisha yangu nakupenda Yesu kwa moyo wangu wote..
Amen. Asante Bwana Yesu kuni-connect na watu walio sahihi na asante Bwana Yesu kwa kuni-disconnect na watu wasio sahihi, watakaonifanya nijute kuwa nao katika maisha yangu
Barikiwa sana mtumishi kwa naombi haya mazuri, I really needed this kind of prayers. It is God timing. Amen
Amen 🙏 kubwa
Najiungamanisha na watu sahihi waliobeba hatma ya maisha yangu. Ni katika jina la Yesu Kristo.
Naomba Mungu ukaniinulie watu sahihi katika kazi yangu
Bwana wangu niinuriewatu. Wakunisaidia nipate. Kazinzuri nitakushukuru. Amene
EE Mungu niinulie mke atakaye nipa faraja katika maisha yangu pia niishi maisha matakatifu pia niinulie maisha yenye furaha na amani, pia niinulie marafiki wema na watumishi wa mungu.
Amen pokea mke mwema kutoka kwa bwana
Malango yangu ya baraka yatakua wazi daima hayatafungwa mchana wala usiku kwa jina la Yesu
Bwana yesu nitumie watu sahihi wakuni saidia .kwa kila jambo.Amen
Mungu naomba unipe wafanyakazi sahihi,
Nakupenda eeh mungu ninulie watu wakunisadia katika maisha yngu na family yngu
Mungu Nisaidie Nipate Watu Sahihi Wa Kunisaidia.
mungu naomba niinulie watu sahihi
Naomba mungu aniinulie watu sahihi wa kuwasaidia watoto katika Kila eneo la maisha Yao.Amen
Napokea uzima Mimi na familia yangu naomba riziki na mazuri yaliokuwa nohoni nwangu
Mungu apewe sifa Amen 🙏🙏🙏
Mungu niinulie watu sahihi
Naomba mungu anisaidie watu wanipe mtaji
Amina Mungu aniinulie uyu mwanaume awemtusahh kangu
Mungu ninulie Mtu wakunisadia 🙏😥
Mtumishi nakushukuru kwa maombi kijana wangu hana kazi lakini kupitia maombi ninaimani atapata kazi naomba kupitia maombi yako ukampatie mume mwema binti yangu.
Asante Bwana Yesu
Asante mungu Kwa kutenda miujiza 🙏🙏
Mungu nakuomba uniinuliye watu sahihi ktk maisha yangu
Nimebarikiwa kwa Maombi
Mungu naomba uniinulie MTU wa kunisaidi au kuniinua hapa nilipo.
Ameen
Asante kwa hili somo nimebarikiwa
Ameeen🙏🙏🙏🙏
Ninamini mungu utafanya injia pasipo kua najia amina🙏
Mungu mkuu sikuzote
Nakunganisha na madhabahun ktk Jina la Yesu
Ameen
Amen
🙏🙏🙏
Ameen
Eh Mungu naomba uniinulie watu sahihi nilipe madeni yangu na nilipwe na ninaowadai
Ameen
Amen 🙏
Amen Amen
Ee mun gu wangu naomba unisaidie mtu au watu sahihi wakunisaidia katika yaliyoko mbele yangu nakutegemea na kutumainia
Ni Connect Bwana na wanao watakao nisaidiya wajitolee Kwa moyo mkunjufu Eee BWANA YESU CHRISTO WA NAZARETH Uliye Hai
Ameni
Ninaamini Mungu ametenda jambo kubwa ktk maisha yangu na familia yangu. Haleluya!
niatie watu sahihi
May God bless you, man of God, in Jesus Christ name
Yesu christo wa Nazareth Uliye Hai ni disconnecte na watu wabaya yaani watesi waangu
Nimepokea watu wa kunisaidia katika kila eneo
Amen 🙏🙏🙏🙏👏
9mins
Naomba namba zako za cm
+255652796450 (WhatsApp)
Amen
Amen 🙏
Amen namshukuru Mungu ameniinulia mtu ambae amenisaidia kufanikisha bihashara zangu..namtukuza Mungu kwa ukuu wake Amen🙏
Ameen
@@holyspiritconnect aaaaaaa sur les photos des aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Aaa
@@holyspiritconnect aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@@holyspiritconnect sur les aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@@holyspiritconnect sur les aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen!
Amen 🙏🏻
Napokea miujiza in Jesus name
Lkwa maombi haya nirazima nitomboqe
Nilithanu nimepata mtu sahihi kumbe ni mtu mnbaya sana naomba mungu aniinulie watu sahihi
Naomba Mungu uniinulie watu sahihi wa kunisaidia katika maisha yangu na katika kipindi hiki kigumu
Ameen. Mungu akupe haja ya moyo wako katika jina la Yesu Kristo
Eeeehhh Yehova Mungu Uniiinuliye mutu sahihi wakunisaidiya.
Bwana Yesu christo wa Nazareth Uliye Hai Unifunguliye milango unisaidiye.
Nashukuru mungu nimepata amani moyoni mwangu bahada ya maombi aya na amini kupokea Kulipa madeni yote yanayo msumbua mume wangu
Ameen
Eee Bwana Yesu naomba uniconect na watu sahihi ambao sitajutia kuwa nao,na unidisconnect na wale wote nitakojutia kuwa nao kwenye kila Kona ya maisha yangu
Ameen
Mwenyez mungu naomba niinulie watu wa kuniinua katika biashara zana na anisaidie watoto wangu wazidi kumtumikia mungu kila siku
Naomba Mungu aniinulie mtu sahihi wa kunisaidia
Mungu anatenda Sana na anazidi niinua nampenda mungu mwema sana Kwa Kila mtu🙏
Mungu niinulie watu sahihi wa kunisaidia
Imekua, namtukuza Mungu kwakua chukk zimeisha katika jina la Yesu mimi na familia yetu,na tuongeseke kiwango cha Imani na kumpenda Mungu na kumtumikia
Na hatuna Adui katika jina la Yesu
Napenda kumshuru Mungu kwa nisaidia siku hii ya leo
Ameen
Amen mtumishi mungu niletee msaidizi,mtu wa kuniinua nimekua Nikipata watu wa kunirudusha nyumba ki maisha
Ameen
Mungu nakushukuru Sana Kwa miujiza yako katika familia yangu. Mungu wewe unatisha Sana. Asante Kwa kunipa watu sahihi wa kunivusha katika kila hatua ngumu ya maisha yangu.
Ameen
Mungu ninakuom ba nipe watu sahihi wakunisaidi. Ktk biasharayangu kazi zangu zote. Amen
Ameen
Amein Mungu nakuomba unipe watu wa kuniinua
Amen kuhusu io story of Joseph... naipenda...the story ya Joseph ni the same na ya baba yangu... Amina
Mungu katika kununulia watu sahihi niguse bwana nipate kumushuhudia huyu kristo
Ameen
Amen naomba Mungu aniinulie mtu atakae niinua ktk kipindi hiki kiimani na kwa matatizo yangu ya kuumwa
Asante yesu naamini na ninakwenda kupokea watu sahihi na kupoteza watu wasio sahihi
Ameen
Amen🙏🙏mungu anaenda kunifungua na kunipa mtu sahihi ambae ni kassim mohamedy mgoro
Ameen ameeen
Amen Eeeeh Mungu ninulie mtu sahii wakunisaidia.nipate mtaji Mungu wangu nifanye byashara. Nileye watoto wangu.ninapo omba najuwa waskia katika shida zangu waweza kunilinda mimi namateso yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲Napokea barazaka zangu kwajina la Yesu 🙏🙏🙏🙏
Asante mungu kwa kuniinulia rafiki yangu Gisela aendelee kunisaidia na anifanyie mambo makubwa zaid
Nninapo tembea niinulie watu sahii Eeeh Mungu wangu asante kwakuskia kilio changu 🤲🤲🤲🤲🙏🙏Mungu ondoa pepo chafu katika maisha yangu nipe nyota yenye baraka yahajabu nipate mtu sahii wakuniinua🙏🙏🙏🤲🤲🤲
Asante mtumishi wa Mungu kwa maombi ya asubuhi. Mungu azid kutumia.
Ee Mungu naomba muinulie bint yangu janeth watu sahihi kwenye maisha yake
Ameen
Eeee Bwana Yesu christo Vunja zinazo zuwiya nisisaidiwe Vunja Vizuwizi vyote vyote vile, Ahksante Yehova , Ahksante Yesu christo wa Nazareth Uliye Hai, Amina
Ubarikiwe sana mtumishi🙏🙏🙏
Mungu nimechoka kukaa bila kazi Eeeh mungu nionekania n nimechoka kukaa bila kazi mungu nikumbike🙏😥
Ehee mwenyezi Mungu naomba🙏 nisaidie nipate mtu wa kunitoa apa nilipo niweze kuisadia familia yangu 😭🙏
Ameen
Amen Wajina Najiambatanisha nawe mpendwa Bwana akatufanyie njia pasipo na njia ameen🙏
Amen 🙏 ninaimani ombi yili inakweda kubadiri maitaji yangu. Mungu akubariki
Amen 🙏🏾
Amen
Ameni mtumishi
Mungu aniinulie watu sahihi wa kunisaidia
Mungu naomb uniinulie mtu sahih wa kunisaidia kam ulivyomuinulia mama mjane nyakati za elia
Naamini Mungu ametenda Ameen
Nakushukuru mtumishi wa Mungu Kwa maombi ambayo unaendelea kutufundisha, barikiwa xana na Mungu azidi kukutunza a kukupa baraka tele.Ameen
AMEN Mungu wangu inakuomba unisamehee dhambi zangu zoooote kwa jina lya Yesu baba Mungu unisaitie uniinulie watu wanaweza kunisaitia katika jina lya Yesu