Jux - Bado (Official Audio) [Visualizer]
HTML-код
- Опубликовано: 20 мар 2024
- Introducing the Bado Visualizer by Tanzanian sensation Jux!. Experience his third release of the year, "BADO," a soul-stirring ballad produced by BoB Maneck/Foxx Made It. Following the success of "NISIULIZWE" and "UTA DEAD," "BADO" takes listeners on an emotional journey. Dive into the captivating visuals and let the music speak to your soul.
© 2024 AFRICAN BOY REC
JUX - BADO LYRICS
Intro:
It’s Bob Manecky
Aaaaah aaaaah
Verse:1
Nakumbuka sura yako
Nakumbuka jina lako
Nakumbuka tabasam
Uzuri wa pendo lako
Siwezi kusahau
Ila naulaumu moyo (Mmmh)
Kukupenda too much
Ndo kinachoniumiza
Si unajua mazoea
Yana maumivu
Bridge Chorus:
Nimetupa ndoano aaah (La La La)
Nimeambulia patupu (La La La)
Inaniumiza bado
Ila nitamove on bado
Nitakusahau baby oo
Oooh
Homa si homa baby (La La La)
Hata nikilewa pombe hainiingi (La La La)
Naondoa stress bado
Ile kikomando
Nami nitapendwa bado
Bado badoo
Chorus:
Baby we! Nikipenda mtu
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu
Baby we! Nikipenda mtu
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu
Verse: 2
Mmmmh! Yeaah!
Mapenzi kama maji (Babe)
Usipokunywa utaoga
Usitukane mamba
Hujavuka mto, Jahazi likazama
Baby wewe
Chungu kimoja (Aah uh)
Wapishi ni wengi (Aah uh)
Chakula kikiiva
Kinaliwa na wengi
Baby baby baby
Nitapata mwingine aaah
Bridge Chorus:
Nimetupa ndoano aaah (La La La)
Nimeambulia patupu (La La La)
Inaniumiza bado
Ila nitamove on bado
Nitakusahau baby oo
Oooh
Homa si homa baby (La La La)
Hata nikilewa pombe hainiingi (La La La)
Naondoa stress bado
Ile kikomando
Nami nitapendwa bado
Bado badoo
Chorus:
Baby we! (Baby) Nikipenda mtu (Nikipenda)
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu (Eeeh)
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu (Siachi, Mmh siachi yee)
Baby we! (Ooh) Nikipenda mtu (Ooooh Mama)
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu (Siachi, Siachi yee)
Outro:
Siachi
Siachi tu
Mapenzi siachi
Siachi
Siachi
#Jux #Bado #KingOfHearts - Видеоклипы
Hey everyone! I'm diving into your comments and getting activated! Let's keep this engagement going strong. Drop your thoughts below, I'm ready to read and connect with all of you!
Okay my G from Kenya my likes please
Aaah kali sana African boy 💥💥 saa 6 hii
Nakukubali sana kaka big up 🇰🇪🇰🇪
umetisha sana
I'm Sure That The Song Is Good before Listening
Ila nimewai kutoka kenya kwaiyo naombeni like zanu ata kumi
❤
❤
Rudi kwenyu 🤣🤣
Unakula izo like 😂
😂😂😂😂@@Unity6663
Niko wa kwanza kutoka kongo 🇨🇩 RDC nipe like zangu kama unamupenda jux
D.R.C ama RDC😂😂
Mimi hapa kama mnavyonijua maneno kidogo likes nyingi basi nipeni hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤ 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤😂😂😂😂😂😂😂😂
1:36 nikipendaaaa
Mimi uku burundi🇧🇮 Niko wakwanza Kuwona video ya jux munipe like zangu
Nani njo alikudanganya eti uko wa kwanza kk🙄 ebu angaliya commente yangu pale il y a 12h nimekuwa niki ingojea
Sawa 😅
🔥🔥
Kama imekugusa gonga like tukisonga,,,,, usinipite ivo mkuu😢😢
Imenigusa
Ive Listened to this track for like 10 mins ,my new fav for sure.King of Hearts for sure
Miaka mitano sasa tangu tuachane lakin bado nakuwaza na kukumbuka sana na kila nikiskia kuhus neno mapenzi picha ya kwanza hunijia wewe, naweza sema wew ndio mtu niliekupend katika hii Dunia, ila nadiriki kusema mapezi yalizidiwa na maisha ikabidi tuachane ,popote ulipo uwe na kheri katika maisha yako # bado
Dah kupenda pasipo pendeka
Polee
@@AgnessMtikaAsante nimeshapoa ila kusahau ndio kitu nashindwaa
@@adbellar338we Acha tu ndugu yangu
😢Soo touching.....take heart
From 254 nipeni likes za Jux🔥🔥🔥🔥
All Kenyan lovers to Jux come 'n' lets gather here ❤❤
Kama unamkubali AfricanBoy naomba like kutoka kwa shabiki
Wanangu nipeni like ata6 2washi2wewana kijiweni
🔥🔥🔥 Jux Baba Lao
Team jux gonga likes hapa❤❤
From Kenya guys my likes please leo nimewai
Jux amebadilisha mziki sana, anatupea nyimbo poa sana. Nisiulizwe na Bado niko Kenya nimelewa naenjoy.
Hii ndio bongo flava iliyifanya wakenya kupenda mziki wa Tanzania. Keep going 💪🏾
Kabisaa🇰🇪
kumbe tuko pamoja ❤
Kiswahili kinawapagawisha
Walio ngojea iyi ngoma kama mimi wagonge like hapa tujuwane ❤
Nimeurudiq huu wimbo mara buku...❤ hii mziki ni kali jamani. Daah
Jux bado anampenda sana vannesa mdee❤❤
kweli
Saaaana😂
Karen sio Vanessa
Huyu ndo Jux nilomjua mwanzoni ukitesa na Vanessa Mdee🎉🎉❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😊😊😊from Kenya...lets gather here🇰🇪
Jux never disappoint keep on doing the good job👌🫶🫶🫶🫶🫶
Anaejuwa stry ya jux from bottom to here nipe like
Wangapi wanaiskia sauti ya Walter Chilambo kwenye back vocal
Like zangu kutoka Namibia 🎉🎉🎉😂🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Jux the African boy, unakumbuka tabasamu na utamu wa wimbo... Wow you be my guy for life.. Kenya🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 Uganda🇺🇬 likes Africa mzima...🔥🔥🔥
Thank u gonupatta😮
Baby we nikipend mtu uwa napend kwel na nabaki mtu nasahau mapenz ya namaumivu ooh siachi tu kama unamkubali jux gonga like ili twend sawa 😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤
Kutoka Kenya nshakubali african boy💯nipee likes
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sema hii ngoma verse ya pili africanboyJUX ungempa harmonize, ndo mabeat yake aisee🙌🙌. Sema goma lamoto🔥
Bado pekee imeweza kaka🎉🎉
Sure Mwanangu.. umewaza km mimi.. verse ya pili hajaitendea haki.. angempa @KondeBoi au @Vanillah angeuwa sana humu..💪🏽🔥🙌🏽
Harmonize angefanya hii hit kuwa na views million kwa siku mojaa🔥🔥
RnB na harmonize wapi na wapi hamjui muziki
Hata beat lenyewe ni kana la atarudi ya konde
Jux all the way....hit after hit....we love you jux.....❤❤endelea kutupa vitu halwa halwa ...vitu milki milki kama wewe mwenyewe.....unapendwa Kenya
Mapenzi kama maji ukikosa kunywa uta oga. Kenya 🇰🇪 innit
Eeish ebu songeni pia nkae❤❤kenyans in the house tuchukue register
Ila naulaumu moyoo kukupenda too much ndo kinachoniumiza unajua mazea yana maumivu @African_boy like 4 @jux
umetisha kaka nipeni like zangu kama imekugusa hii nyimbo😢
Kazi safi broo big up
Ngoma kalii sanaaa
Huyu Ndooo Yuleeeeee Juma Tuliyemjua Sisi ✊✊
Sanaaa
Ma fans ambao tupo Kwa jux Bado tujuane❤❤🎉
Acheni msi like
Nimeipenda
Wanangu wa Kenya,mpo
Tupo Ndani ya African Boy Family
Likes zangu toka Urusiiii❤❤❤
Shida ni kukupenda sana
Umetishaaaaaa
Haujawai niangusha kaka 💪💪💪🤞🤞
Wakwanza nipeni like zangu😂😂😂😂
Good brother imepit iyo🎉
Waaah.
All the way from Zambia jux from Zambia let’s gang here!!
Dah ngoma kali Sana jux my best artist in tz God bless you
This lady Karen is a blessing in disguise….umekua JUX kweli!!!!
Unajuwa fundi jux good song
Tz music wapi likes
Juma ngoma zako ni.kali sana nimekuwa shabiki wako toka kitambo ngoma zako hunituliza kimawazo na pia motisha kila wakati ...👊👊💥💥
kijana mapenzi yanakutesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
daima mbele pamoja
umeweza mr African
From Kenya. I love this song kindly nipee like ya ii song❤❤❤❤
Jux unazidi kuwa m'bunifu Sana, naamini una malengo yako ila mimi napenda kushauri ukiachia ngoma moja subiri kidogo ili watu waipe thamani kwanza kabla ya kutoa ngoma nyingine...
Kwani ana shida gani tena ndugu yetu😮😮😮😮😮
Hiyi poa sana mzee wangu
JUMA JUX, NI mwamba saana, Co cngeli, Co lege, Co bongo fleva, kwa bongo land msanii wangu wakwanza ni JUX, Cjawahi kataa Wimbo wako wowote ule, wew ni msanii bora wa muda
Brother napenda nyimbo zako kama hizi sasa. naenjoy sna mziki wako huu
Daaah sema ameua sna bro juma jux
Nice song hii moja kali
Kama upo single kama jux for now likes hapa ❤❤
😂😂😂
😂😂😂
Wapi like ya mimi na jux
Bonge moja ya hit song broda juma jux ww ni king🎉❤️❤️
Bonge la ngoma
Jamanii natemba iii sana..mapema ndo best..hello kenyans❤❤❤
Huyu anamwimbia venesa mdee
La. Ni wimbo wa caren. Vanessa ilikuwa mahusiano marefu na biashara. Amependa yule aliyefungwa, yule Thailand na karen sana. Hakutaka kuachsna na has watatu. Amekiri kwa interview ya Millard ayo.
@@bintimkitosi6187 sawa mdaku
Kweli kaka nakubali
pamoja sana bro mapenzi yanaumiza sana
Yaani hii nyimbo Jux kama kaniimbia Mimi kwa kweli😭😭
Jux to the world 🌍 Much love from Gambia 🇬🇲🇮🇹❤️💯
Imeweza mtu mzima
Uko vizuri juma Jux👍👍👍👍👍
Since the beginning the song was 🔥🔥🔥
unyamaaa saana
Upo Sawa bro
Nailed it
Team jux ❤❤❤much love from kenya❤❤
you kill it J❣️❤️We love you
Huyu sasa ndo Wewe😘Sio WA Amapiano
Nyimbo inanikumbusha mbali sana🥰🥰
Naulaumu moyo
much love African boi❤
Wadau...Jux did it again. 2099 kids, Jux was a magical artist of our time🔥
Vizuri
Dear African boy. Indeed this is of another level.. Tupee this kind of song tulie pamoja labda tutapunguza stress kipamoja😂❤
Never disappoint African boy 🔥🔥🔥
Pamoja sana mkuu kabisa. Mzee wa hizi kazi
Nice song ukiimba hivi napnda sana
Huyu ndo jux wetu wa zamani
We love you so much jux I'm from kigali Rwanda 🇷🇼 💖 ❤
Jux will never disappoint ❤❤❤❤
Umeweza wota
Love is a feeling, love is pain and love is sacrifice ❤😊. Jux doing it
Yoooh🎉
Love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hyo nimeipenda bro🎉🎉🎉🎉🎉
African boy, Kwa kwel anajua yaan 💯❤