Jinsi ya Kupika Ugali Laini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • kupika ugali huu nimetumia unga wa sembe vikombe 2 pamoja na maji vikombe 3. kikombe nilichotumia kupimia unga ndio hiko hiko nilichotumia kupimia maji

Комментарии • 20

  • @salehsuley3593
    @salehsuley3593 5 дней назад

    Asante nimejifnza na nimepika ugali fast time

  • @IbraFareed
    @IbraFareed 6 месяцев назад

    Mpe hongera mkwe wako… kwa elimu nzuri alotupa

  • @what8339
    @what8339 14 часов назад

    I did it thanks to you

  • @AnifaKomba-q8f
    @AnifaKomba-q8f 27 дней назад

    Hahahahaaaaa😂 Kama mayele

  • @mrteacher1639
    @mrteacher1639 4 месяца назад

    Kama Mayele 😊

  • @LauraFaustin-l7g
    @LauraFaustin-l7g 2 месяца назад

    Nice

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 6 дней назад

    Mimi nilifundishwa hivi ;
    Ukishatia unga usitie mwiko , acha ule unga vile vile uchemkee haya dk 5 au 10 alafu tia mwiko anza kuuchanganya unga wako na kusonga , hatua zinazofuata ni kama hivyo ulivyoeleza , ukishafanya hivyo huna haja ya kufunika mwishoni .
    Njia yajo na yangu inatoa matokea sawa , ugali mlaini , wamotooo .

  • @kingmustaofficial7309
    @kingmustaofficial7309 2 месяца назад

    Nitajaribu na mm

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 Год назад +1

    Dada nimependa sana unavyoelezea na sauti yako ni nzurii sana. Nina swali. Leo nimebaki home mwenyewe nikajitahidi kupika ugali ila nimeshindwa. Dada ulisema umechukua vikombe viwili vya Unga na Vikombe vitatu vya maji. Baada ya hapo ukasema unaweka maji kwenye sufuria na sasa unga unachota kwenye vile vikombe viwili vya unga ulivyoanda?
    Na unachota kipimo gani cha Unga ili kupata uji?
    Nakuomba unisaidie Dada

    • @lilyanapika
      @lilyanapika  Год назад +2

      unachota unga kidogo tu kama vijiko 3-4 vya kulia chakula

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Год назад +1

      @@lilyanapika ahaa asante Dada. Unafundisha vizuri sana. Nakuomba uendele hivihivi. Usikate tamaa..

    • @severinaseverinanyoni707
      @severinaseverinanyoni707 Год назад +1

      Hivi ni kweli.tanzania kuna watu awajui kupika ugar au mnatania jmn

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Год назад

      @@severinaseverinanyoni707 hahaha sasa housegirl si ndiye anayepika. Ndiyo tupo...

    • @VictorNgoka
      @VictorNgoka 10 месяцев назад

      Thanks asante

  • @ShahAhmed-nr2sn
    @ShahAhmed-nr2sn 4 месяца назад

    Nime subscribe ulipo tetema kama mayele 😂😂😂

  • @alfrednyoni3629
    @alfrednyoni3629 9 месяцев назад +1

    was mayele necessary 😂😂

  • @malongosilvanolujegi210
    @malongosilvanolujegi210 Год назад +2

    Hivi unaweza kuongeza maziwa ya moto kwenye kupika ugali

    • @severinaseverinanyoni707
      @severinaseverinanyoni707 Год назад +1

      Huo utakuwa sio ugari ni uji wa maziwa uliochanganya na unga 😂ugar original ni huo anaoupika huyu mdada ndio kwetu songea tunasonga ivyo kitu original wengine nimeshangaa wanatia na sukali nyie hawa wamjini wanamambo😅

  • @LauraFaustin-l7g
    @LauraFaustin-l7g 2 месяца назад

    Nice