KINANA NA SIRI NZITO CCM| PINDA NA WASIRA WATAJWA| KASI IMEMZIDI GWIJI LA CHAMA, ANYOOSHA MIKONO JUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 43

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema9727 2 месяца назад +1

    Shibe mbaya sana

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад

    Hivi kweli Mzee wetu mpinda na wasila Bado mutaka kazi mungu anawaona mumefanya kazi nzuli munataka kuishiya pabaya acha vijana wafanye kazi

  • @godwinabuto4695
    @godwinabuto4695 2 месяца назад

    Habari ni nzuri sasa mapepe yakuitangaza sasa hadi inakua nimipasho punguzeni sasa

  • @MonoMono-q7s
    @MonoMono-q7s 2 месяца назад +3

    Kirefu cha ccm .C. Chukua. C. Chako. M mapema

  • @MagomaPato
    @MagomaPato 2 месяца назад +2

    CCM imejaa uchawi...Mzee Popo Harmonize😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 5 дней назад

    kwani huyo wasira bado yupo?

  • @ObediKinkusha-gq8fw
    @ObediKinkusha-gq8fw 2 месяца назад

    Hakuna mtu clear ndani ya CCM

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 2 месяца назад

    Makonda ndo anafaa kuwa makamu mwenyekiti bara

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад +1

    Kinana yupo sawa si bora utoke kulikoyakukute ya kukukuta kisa hata ningekua mimi ningetoka

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 2 месяца назад

    Mnanifurahisha sana😅😅

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 месяца назад

    😂😂😂😂nyieee nyieeee❤❤❤🎉🎉

  • @MwakasegeShukuru
    @MwakasegeShukuru 2 месяца назад +1

    Dr Bashiru anastahili kuwa makam

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 2 месяца назад

    Kinana yupo sw amechoka zuluma ya ccm

  • @SaluMaige-sc8bm
    @SaluMaige-sc8bm 2 месяца назад +3

    Ccm wahuni wote. anakula huyu anatoka anakuja mwingine anakula anatoka hivyo hivyo wanabadilishana

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 2 месяца назад

    Watangazi si wema kabisa

  • @jacobmathew475
    @jacobmathew475 2 месяца назад

    Jinsi mnavyosoma magazeti mnakuwa kama mipasho nawaomba mjirekebishe lasivyo kunawatu mtawakosa...ni ushauri tu✋

  • @JamesMisalabaPalu
    @JamesMisalabaPalu 2 месяца назад +1

    Mrithi ni Wasira au Shigela

  • @HemedyLukindo-y9h
    @HemedyLukindo-y9h 2 месяца назад +1

    Apewe mzee wetu Wasira amekidhi vigezo vyote .

    • @erastuskajuna812
      @erastuskajuna812 2 месяца назад

      Kama ni suala la umri huoni umri umekwenda sana? Mbona wako vijana? Makonda anaweza sana!

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 месяца назад

    NDUGUZAGU ZAGU WASAFI HASWA KITENGE POLE POLE MDOGOWAGU KITEGE USIGILIE SANA SIYASA ITAKUHARIBIA MUSTAKABAWAKO ISIJE IKAWA YA WATU WANAOTAFUTWA HAWAONEKANI UKAWA MOJAWAPO IYO KURUKA NAKUFURAHI KUSOMA MAGAZETI ITAKUPOZA KUNA WATUKWEYE CHAMA CCM HAWANA FURAHA NA KINANA WEWE UNAFURAHI

  • @Irenediana-g5b
    @Irenediana-g5b 2 месяца назад +3

    Mbona mnatangaza kishari shari kifujo hebu tangazeni kistaarabu.l

  • @godwinabuto4695
    @godwinabuto4695 2 месяца назад

    Martini shegela imefika muda wa huyu mzee kushika chama

  • @ashirafumohamadalibarughah301
    @ashirafumohamadalibarughah301 2 месяца назад

    Wasira Jamani,mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni mpeni Mzee wasira Jamani hata akidumu 1/4 muhula mpeni wasira awe makamu inatosha.

  • @RamaMdoe
    @RamaMdoe 2 месяца назад +1

    Mzalendo namba moja niwanajeshe

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 месяца назад

    Akuna kasi yeyote ,watu wanajuwa mw kiti anakibomoa chama Cha ccm kidogo kidogo watu mashuhuli kwenye chama na wanapenda na wananchi anawatoa anaweka

  • @alexbitakwate
    @alexbitakwate 2 месяца назад

    Ngoja yaumane,ili waelewane!

  • @SeveriniTemu
    @SeveriniTemu 2 месяца назад

    Kwani siasa ya ujamaa na kujitegeme na wote ni. Ndugu zangu na tuache kuitana majina ya kuzauliana jina mheshimiwa. Tuliliacha tukaitana ndugu asanteee sasa tupo wapiiiii ujamaa na kujitegemea utaifishaji mali za umaa na viwanda vya uma usafiri wa. Uma uda 😢😮 mabasi ya ralwe ; mbasi ya kamata

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 2 месяца назад

    Mpeni mzee Wassira ni mzoefu na mkongwe kazini

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 2 месяца назад

    kama kajiudhuru mwenyewe bila kuwa na mpasuko asingefanya muda ambao wanaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. kuna jambo hko

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 2 месяца назад +1

    Hando umeanza uongo

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 2 месяца назад +1

    Chuya na pumba maji mafuta ya taa hayakai pamoja ubepari na ujamaaa

  • @jumamtiliga4484
    @jumamtiliga4484 2 месяца назад

    mnavyooo ongea ivyo mnazani sisi ni viziwi

  • @hamisiHamza-q8l
    @hamisiHamza-q8l 2 месяца назад

    Hahaha, injury

  • @alexbitakwate
    @alexbitakwate 2 месяца назад

    Hamna lolote,ccm hawana jipya Majungu tu , unafiki tu!

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 2 месяца назад

    Wasira hafai kabisa😂na mizengwe pinda ndio kabisa hafai mavi ya jibwa😂hilo jina lake pekeyake latosha

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 месяца назад

    Kamtoa makonda chama kilikuwa na mvuto kila anapokwwnda kama Rais wanachama wanaongezeka kamtoa kwenye nafasi kampa makala

  • @kungugeni
    @kungugeni 2 месяца назад

    Mama mrudishe makonda kwenye uwenezi atakusaidia na pia atsafisha chama

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 2 месяца назад

    Wanaoweza kuivusha ccm na kuiongezea radha CCM hasswa kwa kipindi hiki cha chaguzi...
    >> Kwanza asiwe na upande wala makundi wa ngome furani
    >>Pili awe na mvuto na anaeweza kueleweka na vijana na watu wa umri wa kati...
    >>Awe na uzoefu au uwezo wa kuweza kusimama na kukivusha chama kwenye nyakati zinazo hitaji maamuzi magumu hasa dhidi ya wanaccm wa ngaz za juu...
    Hawa wanaelekea kuwa na hizo sifa...
    1.WASIRA
    2.PINDA
    3.BASHIRU
    4.MTAKA
    5.KANAL RUBINGA

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад

    Hahahhahahaa hiyo ndo ccm

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 2 месяца назад

    Ujinga ujinga tu!

  • @jestonmwaisaka
    @jestonmwaisaka 2 месяца назад

    Wasira shujaa anastahili umakamu mzalendo nambali Moja mwenye asili ya utaifa wa mwl JKN,na JPM Kiboko Yao!!!!!!!!!!!

  • @godwinabuto4695
    @godwinabuto4695 2 месяца назад

    Habari ni nzuri sasa mapepe yakuitangaza sasa hadi inakua nimipasho punguzeni sasa

  • @godwinabuto4695
    @godwinabuto4695 2 месяца назад

    Habari ni nzuri sasa mapepe yakuitangaza sasa hadi inakua nimipasho punguzeni sasa