NDUGUZAGU ZAGU WASAFI HASWA KITENGE POLE POLE MDOGOWAGU KITEGE USIGILIE SANA SIYASA ITAKUHARIBIA MUSTAKABAWAKO ISIJE IKAWA YA WATU WANAOTAFUTWA HAWAONEKANI UKAWA MOJAWAPO IYO KURUKA NAKUFURAHI KUSOMA MAGAZETI ITAKUPOZA KUNA WATUKWEYE CHAMA CCM HAWANA FURAHA NA KINANA WEWE UNAFURAHI
Kwani siasa ya ujamaa na kujitegeme na wote ni. Ndugu zangu na tuache kuitana majina ya kuzauliana jina mheshimiwa. Tuliliacha tukaitana ndugu asanteee sasa tupo wapiiiii ujamaa na kujitegemea utaifishaji mali za umaa na viwanda vya uma usafiri wa. Uma uda 😢😮 mabasi ya ralwe ; mbasi ya kamata
Wanaoweza kuivusha ccm na kuiongezea radha CCM hasswa kwa kipindi hiki cha chaguzi... >> Kwanza asiwe na upande wala makundi wa ngome furani >>Pili awe na mvuto na anaeweza kueleweka na vijana na watu wa umri wa kati... >>Awe na uzoefu au uwezo wa kuweza kusimama na kukivusha chama kwenye nyakati zinazo hitaji maamuzi magumu hasa dhidi ya wanaccm wa ngaz za juu... Hawa wanaelekea kuwa na hizo sifa... 1.WASIRA 2.PINDA 3.BASHIRU 4.MTAKA 5.KANAL RUBINGA
Shibe mbaya sana
Hivi kweli Mzee wetu mpinda na wasila Bado mutaka kazi mungu anawaona mumefanya kazi nzuli munataka kuishiya pabaya acha vijana wafanye kazi
Habari ni nzuri sasa mapepe yakuitangaza sasa hadi inakua nimipasho punguzeni sasa
Kirefu cha ccm .C. Chukua. C. Chako. M mapema
CCM imejaa uchawi...Mzee Popo Harmonize😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
kwani huyo wasira bado yupo?
Hakuna mtu clear ndani ya CCM
Makonda ndo anafaa kuwa makamu mwenyekiti bara
Kinana yupo sawa si bora utoke kulikoyakukute ya kukukuta kisa hata ningekua mimi ningetoka
Mnanifurahisha sana😅😅
😂😂😂😂nyieee nyieeee❤❤❤🎉🎉
Dr Bashiru anastahili kuwa makam
Kinana yupo sw amechoka zuluma ya ccm
Ccm wahuni wote. anakula huyu anatoka anakuja mwingine anakula anatoka hivyo hivyo wanabadilishana
Watangazi si wema kabisa
Jinsi mnavyosoma magazeti mnakuwa kama mipasho nawaomba mjirekebishe lasivyo kunawatu mtawakosa...ni ushauri tu✋
Mrithi ni Wasira au Shigela
Apewe mzee wetu Wasira amekidhi vigezo vyote .
Kama ni suala la umri huoni umri umekwenda sana? Mbona wako vijana? Makonda anaweza sana!
NDUGUZAGU ZAGU WASAFI HASWA KITENGE POLE POLE MDOGOWAGU KITEGE USIGILIE SANA SIYASA ITAKUHARIBIA MUSTAKABAWAKO ISIJE IKAWA YA WATU WANAOTAFUTWA HAWAONEKANI UKAWA MOJAWAPO IYO KURUKA NAKUFURAHI KUSOMA MAGAZETI ITAKUPOZA KUNA WATUKWEYE CHAMA CCM HAWANA FURAHA NA KINANA WEWE UNAFURAHI
Mbona mnatangaza kishari shari kifujo hebu tangazeni kistaarabu.l
Martini shegela imefika muda wa huyu mzee kushika chama
Wasira Jamani,mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni mpeni Mzee wasira Jamani hata akidumu 1/4 muhula mpeni wasira awe makamu inatosha.
Mzalendo namba moja niwanajeshe
Akuna kasi yeyote ,watu wanajuwa mw kiti anakibomoa chama Cha ccm kidogo kidogo watu mashuhuli kwenye chama na wanapenda na wananchi anawatoa anaweka
Ngoja yaumane,ili waelewane!
Kwani siasa ya ujamaa na kujitegeme na wote ni. Ndugu zangu na tuache kuitana majina ya kuzauliana jina mheshimiwa. Tuliliacha tukaitana ndugu asanteee sasa tupo wapiiiii ujamaa na kujitegemea utaifishaji mali za umaa na viwanda vya uma usafiri wa. Uma uda 😢😮 mabasi ya ralwe ; mbasi ya kamata
Mpeni mzee Wassira ni mzoefu na mkongwe kazini
kama kajiudhuru mwenyewe bila kuwa na mpasuko asingefanya muda ambao wanaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. kuna jambo hko
Hando umeanza uongo
Chuya na pumba maji mafuta ya taa hayakai pamoja ubepari na ujamaaa
mnavyooo ongea ivyo mnazani sisi ni viziwi
Hahaha, injury
Hamna lolote,ccm hawana jipya Majungu tu , unafiki tu!
Wasira hafai kabisa😂na mizengwe pinda ndio kabisa hafai mavi ya jibwa😂hilo jina lake pekeyake latosha
Kamtoa makonda chama kilikuwa na mvuto kila anapokwwnda kama Rais wanachama wanaongezeka kamtoa kwenye nafasi kampa makala
Mama mrudishe makonda kwenye uwenezi atakusaidia na pia atsafisha chama
Wanaoweza kuivusha ccm na kuiongezea radha CCM hasswa kwa kipindi hiki cha chaguzi...
>> Kwanza asiwe na upande wala makundi wa ngome furani
>>Pili awe na mvuto na anaeweza kueleweka na vijana na watu wa umri wa kati...
>>Awe na uzoefu au uwezo wa kuweza kusimama na kukivusha chama kwenye nyakati zinazo hitaji maamuzi magumu hasa dhidi ya wanaccm wa ngaz za juu...
Hawa wanaelekea kuwa na hizo sifa...
1.WASIRA
2.PINDA
3.BASHIRU
4.MTAKA
5.KANAL RUBINGA
Hahahhahahaa hiyo ndo ccm
Ujinga ujinga tu!
Wasira shujaa anastahili umakamu mzalendo nambali Moja mwenye asili ya utaifa wa mwl JKN,na JPM Kiboko Yao!!!!!!!!!!!
Habari ni nzuri sasa mapepe yakuitangaza sasa hadi inakua nimipasho punguzeni sasa
Habari ni nzuri sasa mapepe yakuitangaza sasa hadi inakua nimipasho punguzeni sasa