Magufuli akiwafungukia watanzania kuhusu uzazi wa mpango
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2018
- Rais John Magufuli amepigia debe watanzania kuchapa kazi na kuzalisha mali kuendana na uwezo wa kuhudumia vizazi vyao.
Msikilize akifafanua kwa mifano
#MagufuliMeatu
Who misses JPM like me ?? Nipe like
I'm here bro! Big up
Nimemusssii JPM
I miss him a lot RIP Magufuli
Hotuba zake mtu ukiwa na muda unaweza kuchukua siku nzima kuzisikiliza bila kuchoka.mungu akulaze mahali pema peponi.kwetu tuna msemo usemao kuwa hili ni due la mbegu,kweli JPM kama ni dume la mbegu basi ulistahili.
Effectivement
Amina
Kweli kabisa
Me nikiwa mmiss tyu na sikiliza tyuu clip zake
Saana kwakweli mi kunamasiku namfataga siku nzima yaani...
"Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi"...
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Rais wangu Kipenz mungu akulaze mahali pema peponi. One love 🇹🇿
JPM rest in peace
You came and conquered the country and ÿou did an amazing job! Pumzika kwa amani Papa!
Nikukumbuka sana mzee wangu mungu ailaze roho yako mahali pema
Hivi nikitu kilitokea tar 17/03/21 😭😭
Hadi sasa hatujaelewa.
Huyu Baba alikua mtu tofauti na wengine.
Mimi sijakielewa kifo chake, kilitokeaje
anaongea na kisukuma ili watu wa eneo hilo wamuelewa ukizingitia alikuwa anaongea na wasukuma kuna wengine hawaelewi kiswahili
Da wewe nitakukumbuka ktk moyo wangu
Rais mkali kwa Mali za umma
Hivi huyu Rais Daah Ila mipango ya Mungu daah😭😭
From Burundi : namkumbuka sana huyu bulldoze ! Africa imehasarika!
Kwa kweli baba yetu wewe ulitumwa na Mungu uje utukomboe watanzania rest in peace JPM
Mungu akulaze maali pema pepon
Mungu akurehemu
Nataman urudi ufafanue hicho kilugha maana walifaidi Sana watu wa lugha hiyo, daaa rip magu
Anachekesha sana huyu mzee
Kabisa mkuu
Mpendwa wangu nilikupenda sana Magu lala sana
Nabii aliyetumwa kusema ukweli ambao si rahisi ku uelewa kwa elimu tulizo fundishwa darasani...he live forever.
Nakukubali sana mkuu lakni yote maisha tu
Huku tumekubari tozo, lakini bado na mikopo wanazidi kukopa 🤔
Baba tangu atutoke tozo zimekuja nyingi sana,imebakia moja tu tozo ya roho😭😭😭
Pumzika kwa amani mzee wetu
😀😀 dah mzee alikuw na story zuri sana yaani za ukweli hapa nimecheka
Rais wa mfano hakuna kama wewe tunakukumbuka mnooooo
Umemwachia mam tukajua atatupenda lakin Sasa anacho tufanya asee sas hamna kufanya kazi tumefukuzwa k Koo km kuku
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.
Asante baba nashukuru basi tuu mungu
Baba wewe na nkurunziza waburundi murazwe Pahari pema tutawakumbuka mirere
Mungu tunaomba mbadala wa
R.l.P. 🤧🤧 Father mangu mungu akurehemu salama yale uliyoyapinga kwasasa yanaruhusiwa hali ni tete 😭😭😭😭
Hii brain haikuwa ya kawaida....Tungejua ungekuwa kuwa Rais kabla ya wengine....
Ni watu wachache kama Huyu kutokea Dunian
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
Jembe letu endelea kupumzika kwa amani
Mungu muweke huyu mtumishi wko panapostahili Amina😭😭😭😭
Haya magufuli wetu tunakukumbuka Sana baba unafurahisha ila upo serious ,,tulia kwa amani huko uliko big daddy
Jamani zaeenitu
Ulifata mpango wa MUNGU jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwa kweli hili la uzazi wa mpango lifanyiwe utafiti wa kina maana wanawake wengi waliowahi kutumia uzazi wa mpango Wana matatizo ya kushika mimba na wengine hawana watoto kabisa waziri wa afya ummy mwalimu naomba ulifanyie kazi.
Uzazi wa mpango ndo chanzo kikubwa cha saratani kwa akina mama.
na inasababisha kancer
nakumbuka saiti yako uliyotoa ukiwa kagera ukasema shule ya msimgi kingongo ya.Dar es salaam ambayo omeonyeshwa watoto wakiwa chini yamti na mwalimu walijifinza ukasema kabla ujamaliza ziara yako mkoani kagera ukute watoto wako madarasani siyo chini ya mti kweli yalijegwa madarasa tisa na.choo cha kisasa chenye matundu 24 kwa muda wa mwezi mmoja R.I.P.JPM
We all will miss our dear leader
We Remembering JPM, Rest In Peace
Alikua na upendo wakweli
Huku wanafanya Happy birthday Iliku
Taifa ya Italia mimi nimekusaidia anko
Kweli?
Watanzania tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi. Mungu akulaze mahali pema. Amina
Baba bora wa muda wote
Tunakukumbuka sana jpm mwanga wa milele ukuangazie
Sawaaaaaaaaaa baba nmekuelewa 😭😭😭😭
Utuombee tupone wa Tz kwa sasa tuko hali tete
Aisee kizuri hakidumu jamn
Mwenyez mungu akupmzshe kwaa aman amina
Kazi ya mungu haikosolewi
R.I.P Daddy
Mungu ulimupenda zaidi
Rest In Possible our hero president, every hour, every day, every minute, we remember you, 🇹🇿🙏😭♥️.
Tuzae bwana umeona ukrane wanavyotesekana viya lakini tukiwa wengi tutaweza kuilinda nchi yetu!
Nimekubali
Lala salama pia pumzika kwa Aman mwenyez Mungu akupe ulinzi wa nilale AMEN
Naenjoy spich ya hayati magufuli kweli Ni mafundisho yasiyopoteza wakati.pumzika Rais wangu nitakukumbuka daima.
Safi
Rip my president
Mh Àllha akurehemu unatupa shida sana kukusahau sielewi hata nasema nn basi Allha ndy mkuu zaidi
Magufuri Baba lao ,huu ni UKWELI kabisa mwanamke akishajihusisha na maswala ya uzazi wa Mpango hana uwezo mzuri wa kufanya kazi zenye nguvu.Tuishi tukimuelewa Mzee wetu.Pumziko la milele umjalie Dr.Magufuri.Amina.
Hotuba za huyu mwamba inabida ziwe mnazirusha kwenye tv mara kwa mara ili watu wazidi kuzienzi fikra zake .
Huu ndiyo ukuu wa mwafrika. Japo hatupo pamoja ila tunakupenda sana mioyoni mwetu. Na Imani ipo siku Mungu atakuleta kivingine. Pumzika kwa amani mzee
Uyu mpuuz alokuwa anacheka kanivunja mbavu
Asante JPM...rip ...Dad
Rip raisi wetu
I miss y
Bado siamin hata kidogo bado sana
Baba nitakukumbuka daima tutakukumbuka Sana Sana,Mungu akuweke mahali pema peponi amina
Hakuna wa kuziba pengo lako kamwe
Tutakukumbuka sana mkuuu
Yaan inabidi utengenezewe sanam hata posta au morogoro maana haijawaitokea rais kama wew na ningum kuja kutokea mwingine kama ww
Chuma
Nimependa
Sasa haupo tena ila Elimu yako tuko nayo love you .RIP JPM
Sasa usipo zaa unategemea nn
Nimesikia tu maziwa yanatoka
Kweli kabisa
😅
Atali uku baba peter anatu maliza
RIP JPM
Pumzika kwa amani baba hakika umepiga kaz
Nakukubali Sana mzeee wangu jpm
Maneno yake ni kweli kabisa..
Very good teacher.
Thnks fthr
Pumzka kwa Aman Baba yetu tulikupenda San lakn mungu kakupend zaid
Msema kweli sema baba, tutakukumbuka milele 🙏🙏🙏
Eeeee MUNGU wangu,utuzawadie WATANZANIA kumuona tena ktk ulimwengu ujao,,
Ulitupenda sana watanzania,ukatuzawadia kiongozi mwenye sauti,akili,na maamuzi kipekee,,kwa kipindi kifupi mno,,RIP JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI
Amen
Kweli Mzee zaeeni sana
Alwayz remember you father of the dvt
Tuseme nini Basi baba kwa kukupoteza ww bado tuna kulilia maumivu bado hayajatuisha kwa kukupoteza mungu tusamehe tulishindwa kumlinda rais wetu mpendwa
Jaman JP n nan alikuua rais wang kipenz kila nikikukumbuka machoz yananifumba macho nakuombea heri kwa mwenyez mungu akupe pumzko jema huko mbinguni
Man of the match, my dream president, one day God he will rise again president like you
I Remember jpm
Aliongea kilugha ili baadhi ya maneno wazungu wasiyaelewe
Ndiyo maana yake.
Daah magu, pumzika kwa Amani baba
Pumzika bb yetu
Huyo ndo alikuwa raisi achana na samia malaya mtembeza uchi
I wish I could be him
Tutamkumbuka sana
I m apresiont magu
Sahihi kabisa mzee baba
Ahsante babaaaaaaa