Magufuli akiwafungukia watanzania kuhusu uzazi wa mpango

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2018
  • Rais John Magufuli amepigia debe watanzania kuchapa kazi na kuzalisha mali kuendana na uwezo wa kuhudumia vizazi vyao.
    Msikilize akifafanua kwa mifano
    #MagufuliMeatu

Комментарии • 255

  • @sheiykingtv3713
    @sheiykingtv3713 2 года назад +126

    Who misses JPM like me ?? Nipe like

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 2 года назад +84

    Hotuba zake mtu ukiwa na muda unaweza kuchukua siku nzima kuzisikiliza bila kuchoka.mungu akulaze mahali pema peponi.kwetu tuna msemo usemao kuwa hili ni due la mbegu,kweli JPM kama ni dume la mbegu basi ulistahili.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +21

    "Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi"...
    éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga8051 2 года назад +17

    Rais wangu Kipenz mungu akulaze mahali pema peponi. One love 🇹🇿

  • @jumakimawa3633
    @jumakimawa3633 Год назад +7

    You came and conquered the country and ÿou did an amazing job! Pumzika kwa amani Papa!

  • @leonardcharles9654
    @leonardcharles9654 2 года назад +23

    Nikukumbuka sana mzee wangu mungu ailaze roho yako mahali pema

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 года назад +10

    Hivi nikitu kilitokea tar 17/03/21 😭😭
    Hadi sasa hatujaelewa.
    Huyu Baba alikua mtu tofauti na wengine.

  • @danielcosmas5194
    @danielcosmas5194 5 лет назад +22

    anaongea na kisukuma ili watu wa eneo hilo wamuelewa ukizingitia alikuwa anaongea na wasukuma kuna wengine hawaelewi kiswahili

  • @ashahamza2822
    @ashahamza2822 2 года назад +15

    Da wewe nitakukumbuka ktk moyo wangu

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 2 года назад +22

    Rais mkali kwa Mali za umma

  • @khamislisso9137
    @khamislisso9137 2 года назад +8

    Hivi huyu Rais Daah Ila mipango ya Mungu daah😭😭

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise2256 2 года назад +8

    From Burundi : namkumbuka sana huyu bulldoze ! Africa imehasarika!

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 2 года назад +10

    Kwa kweli baba yetu wewe ulitumwa na Mungu uje utukomboe watanzania rest in peace JPM

  • @nuratkalinga581
    @nuratkalinga581 2 года назад +8

    Mungu akurehemu

  • @nassoroshaaban7279
    @nassoroshaaban7279 2 года назад +14

    Nataman urudi ufafanue hicho kilugha maana walifaidi Sana watu wa lugha hiyo, daaa rip magu

  • @festinamwakipale6446
    @festinamwakipale6446 2 года назад +6

    Mpendwa wangu nilikupenda sana Magu lala sana

  • @agventure_tz8928
    @agventure_tz8928 2 года назад +13

    Nabii aliyetumwa kusema ukweli ambao si rahisi ku uelewa kwa elimu tulizo fundishwa darasani...he live forever.

  • @robertchuri3222
    @robertchuri3222 2 года назад +8

    Nakukubali sana mkuu lakni yote maisha tu

  • @laurinfred2931
    @laurinfred2931 2 года назад +9

    Huku tumekubari tozo, lakini bado na mikopo wanazidi kukopa 🤔

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 года назад

      Baba tangu atutoke tozo zimekuja nyingi sana,imebakia moja tu tozo ya roho😭😭😭

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Год назад +2

    Pumzika kwa amani mzee wetu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 года назад +1

    😀😀 dah mzee alikuw na story zuri sana yaani za ukweli hapa nimecheka

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 года назад +6

    Rais wa mfano hakuna kama wewe tunakukumbuka mnooooo

  • @josephellytemu9645
    @josephellytemu9645 2 года назад +4

    Umemwachia mam tukajua atatupenda lakin Sasa anacho tufanya asee sas hamna kufanya kazi tumefukuzwa k Koo km kuku

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 2 года назад +2

    Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.

  • @augustintumbwe8809
    @augustintumbwe8809 2 года назад +3

    Asante baba nashukuru basi tuu mungu

  • @vsaintburundi9616
    @vsaintburundi9616 2 года назад +3

    Baba wewe na nkurunziza waburundi murazwe Pahari pema tutawakumbuka mirere

  • @gwakubionga5428
    @gwakubionga5428 2 года назад +4

    Mungu tunaomba mbadala wa

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 2 года назад +7

    R.l.P. 🤧🤧 Father mangu mungu akurehemu salama yale uliyoyapinga kwasasa yanaruhusiwa hali ni tete 😭😭😭😭

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 года назад +2

    Hii brain haikuwa ya kawaida....Tungejua ungekuwa kuwa Rais kabla ya wengine....

  • @isayamganule1741
    @isayamganule1741 2 года назад +4

    Ni watu wachache kama Huyu kutokea Dunian

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba5331 2 года назад +28

    RIP mzee wetu JPM 😭😭😭

  • @williammooshemollel7102
    @williammooshemollel7102 2 года назад +4

    Jembe letu endelea kupumzika kwa amani

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 2 года назад +1

    Mungu muweke huyu mtumishi wko panapostahili Amina😭😭😭😭

  • @chumanondochuma1535
    @chumanondochuma1535 2 года назад +8

    Haya magufuli wetu tunakukumbuka Sana baba unafurahisha ila upo serious ,,tulia kwa amani huko uliko big daddy

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 лет назад +10

    Jamani zaeenitu

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 2 года назад +3

    Ulifata mpango wa MUNGU jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 2 года назад +4

    Kwa kweli hili la uzazi wa mpango lifanyiwe utafiti wa kina maana wanawake wengi waliowahi kutumia uzazi wa mpango Wana matatizo ya kushika mimba na wengine hawana watoto kabisa waziri wa afya ummy mwalimu naomba ulifanyie kazi.

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 года назад

      Uzazi wa mpango ndo chanzo kikubwa cha saratani kwa akina mama.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад

      na inasababisha kancer

    • @fransicmushenyera9302
      @fransicmushenyera9302 2 года назад +1

      nakumbuka saiti yako uliyotoa ukiwa kagera ukasema shule ya msimgi kingongo ya.Dar es salaam ambayo omeonyeshwa watoto wakiwa chini yamti na mwalimu walijifinza ukasema kabla ujamaliza ziara yako mkoani kagera ukute watoto wako madarasani siyo chini ya mti kweli yalijegwa madarasa tisa na.choo cha kisasa chenye matundu 24 kwa muda wa mwezi mmoja R.I.P.JPM

  • @joneskavoi3966
    @joneskavoi3966 2 года назад +14

    We all will miss our dear leader

  • @sharifujita7815
    @sharifujita7815 2 года назад +24

    We Remembering JPM, Rest In Peace

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 2 года назад +5

    Alikua na upendo wakweli

  • @noelswai172
    @noelswai172 2 года назад +2

    Huku wanafanya Happy birthday Iliku

  • @emanuelfissoo3700
    @emanuelfissoo3700 2 года назад +9

    Taifa ya Italia mimi nimekusaidia anko

  • @patrobaselestine9017
    @patrobaselestine9017 2 года назад

    Watanzania tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi. Mungu akulaze mahali pema. Amina

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 2 года назад +5

    Baba bora wa muda wote

  • @husseinhamiss6538
    @husseinhamiss6538 2 года назад +1

    Tunakukumbuka sana jpm mwanga wa milele ukuangazie

  • @sadickponera2464
    @sadickponera2464 2 года назад +3

    Sawaaaaaaaaaa baba nmekuelewa 😭😭😭😭

  • @suzanmbilinyi5169
    @suzanmbilinyi5169 2 года назад +2

    Utuombee tupone wa Tz kwa sasa tuko hali tete

  • @vivianlucas6389
    @vivianlucas6389 2 года назад +2

    Aisee kizuri hakidumu jamn

  • @barakamafulu8660
    @barakamafulu8660 2 года назад +1

    Mwenyez mungu akupmzshe kwaa aman amina

  • @nehemiatesha5763
    @nehemiatesha5763 2 года назад +2

    Kazi ya mungu haikosolewi

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 2 года назад +6

    R.I.P Daddy

  • @gatabazitheogene322
    @gatabazitheogene322 2 года назад +1

    Mungu ulimupenda zaidi

  • @barakawatu9226
    @barakawatu9226 Год назад +2

    Rest In Possible our hero president, every hour, every day, every minute, we remember you, 🇹🇿🙏😭♥️.

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 2 года назад +2

    Tuzae bwana umeona ukrane wanavyotesekana viya lakini tukiwa wengi tutaweza kuilinda nchi yetu!

  • @osamaabdallah4648
    @osamaabdallah4648 2 года назад

    Nimekubali

  • @atrick.
    @atrick. 2 года назад

    Lala salama pia pumzika kwa Aman mwenyez Mungu akupe ulinzi wa nilale AMEN

  • @gabrielgodwin2698
    @gabrielgodwin2698 2 года назад

    Naenjoy spich ya hayati magufuli kweli Ni mafundisho yasiyopoteza wakati.pumzika Rais wangu nitakukumbuka daima.

  • @claudfute1047
    @claudfute1047 2 года назад +2

    Safi

  • @gaspermganga8900
    @gaspermganga8900 2 года назад +4

    Rip my president

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 2 года назад

    Mh Àllha akurehemu unatupa shida sana kukusahau sielewi hata nasema nn basi Allha ndy mkuu zaidi

  • @ibrahimjohnace1663
    @ibrahimjohnace1663 2 года назад

    Magufuri Baba lao ,huu ni UKWELI kabisa mwanamke akishajihusisha na maswala ya uzazi wa Mpango hana uwezo mzuri wa kufanya kazi zenye nguvu.Tuishi tukimuelewa Mzee wetu.Pumziko la milele umjalie Dr.Magufuri.Amina.

  • @agathaandrew403
    @agathaandrew403 2 года назад

    Hotuba za huyu mwamba inabida ziwe mnazirusha kwenye tv mara kwa mara ili watu wazidi kuzienzi fikra zake .
    Huu ndiyo ukuu wa mwafrika. Japo hatupo pamoja ila tunakupenda sana mioyoni mwetu. Na Imani ipo siku Mungu atakuleta kivingine. Pumzika kwa amani mzee

  • @leonardkambona3608
    @leonardkambona3608 2 года назад +1

    Uyu mpuuz alokuwa anacheka kanivunja mbavu

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu5300 2 года назад +1

    Asante JPM...rip ...Dad

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga1052 2 года назад +1

    Rip raisi wetu

  • @etemesiedward1508
    @etemesiedward1508 Год назад +1

    I miss y

  • @floraladislaus1142
    @floraladislaus1142 2 года назад +2

    Bado siamin hata kidogo bado sana

    • @caritaspascal906
      @caritaspascal906 2 года назад

      Baba nitakukumbuka daima tutakukumbuka Sana Sana,Mungu akuweke mahali pema peponi amina

    • @caritaspascal906
      @caritaspascal906 2 года назад

      Hakuna wa kuziba pengo lako kamwe

  • @mhebaniemmanuel932
    @mhebaniemmanuel932 Год назад

    Tutakukumbuka sana mkuuu

  • @michaelmuhando1461
    @michaelmuhando1461 2 года назад +1

    Yaan inabidi utengenezewe sanam hata posta au morogoro maana haijawaitokea rais kama wew na ningum kuja kutokea mwingine kama ww

  • @hermanndongolo1550
    @hermanndongolo1550 2 года назад +3

    Chuma

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 5 лет назад +4

    Nimependa

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 2 года назад +1

    Sasa haupo tena ila Elimu yako tuko nayo love you .RIP JPM

  • @shinjegadala9092
    @shinjegadala9092 2 года назад +2

    Sasa usipo zaa unategemea nn

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 2 года назад +2

    Nimesikia tu maziwa yanatoka

  • @user-jq9zg1lh4m
    @user-jq9zg1lh4m 4 месяца назад

    Kweli kabisa
    😅

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 2 года назад

    Atali uku baba peter anatu maliza

  • @isayamganule1741
    @isayamganule1741 2 года назад +3

    RIP JPM

  • @khalidmwinyi1981
    @khalidmwinyi1981 2 года назад +1

    Pumzika kwa amani baba hakika umepiga kaz

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 2 года назад

    Nakukubali Sana mzeee wangu jpm

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 Год назад

    Maneno yake ni kweli kabisa..

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 2 года назад

    Very good teacher.

  • @suzanajulius6653
    @suzanajulius6653 2 года назад +1

    Thnks fthr

  • @angelpaulopaulovivan7325
    @angelpaulopaulovivan7325 2 года назад

    Pumzka kwa Aman Baba yetu tulikupenda San lakn mungu kakupend zaid

  • @alphoncemaganga5887
    @alphoncemaganga5887 2 года назад

    Msema kweli sema baba, tutakukumbuka milele 🙏🙏🙏

  • @ndewariopeter1370
    @ndewariopeter1370 2 года назад

    Eeeee MUNGU wangu,utuzawadie WATANZANIA kumuona tena ktk ulimwengu ujao,,
    Ulitupenda sana watanzania,ukatuzawadia kiongozi mwenye sauti,akili,na maamuzi kipekee,,kwa kipindi kifupi mno,,RIP JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI
    Amen

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 лет назад +5

    Kweli Mzee zaeeni sana

  • @cosmasjustus4135
    @cosmasjustus4135 Год назад

    Alwayz remember you father of the dvt

  • @justinkisinza3505
    @justinkisinza3505 2 года назад

    Tuseme nini Basi baba kwa kukupoteza ww bado tuna kulilia maumivu bado hayajatuisha kwa kukupoteza mungu tusamehe tulishindwa kumlinda rais wetu mpendwa

  • @mrpeace8974
    @mrpeace8974 2 года назад

    Jaman JP n nan alikuua rais wang kipenz kila nikikukumbuka machoz yananifumba macho nakuombea heri kwa mwenyez mungu akupe pumzko jema huko mbinguni

  • @samwelmushi1783
    @samwelmushi1783 2 года назад

    Man of the match, my dream president, one day God he will rise again president like you

  • @kenedythomasi9478
    @kenedythomasi9478 2 года назад +1

    I Remember jpm

  • @scorpiondastan1179
    @scorpiondastan1179 2 года назад +7

    Aliongea kilugha ili baadhi ya maneno wazungu wasiyaelewe

  • @salimnjowoka4357
    @salimnjowoka4357 2 года назад

    Daah magu, pumzika kwa Amani baba

  • @dicksonnoel1004
    @dicksonnoel1004 2 года назад +1

    Pumzika bb yetu

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 2 года назад

    Huyo ndo alikuwa raisi achana na samia malaya mtembeza uchi

  • @nassorozawiya5778
    @nassorozawiya5778 2 года назад +2

    I wish I could be him

  • @wanzokiwanene7931
    @wanzokiwanene7931 Год назад

    Tutamkumbuka sana

  • @rashidwaziri1715
    @rashidwaziri1715 2 года назад

    I m apresiont magu

  • @mwanamatofali6981
    @mwanamatofali6981 2 года назад

    Sahihi kabisa mzee baba

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 2 года назад

    Ahsante babaaaaaaa