ona MFANYABIASHARA HUYU Alivyomvunja JPM Mbavu
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- ona MFANYABIASHARA HUYU Alivyomvunja JPM Mbavu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli leo juni 7 Amekutana na kufanya mazungumzo na wafanyabiashara wakubwa 1000 ikulu jijini Dar es Salaam na kusema kuwa changamoto za ukwamishaji wa biashara kwa upande wa serikali nikutokana na utitiri wa taasisi za udhibiti.
Aidha ameongeza kuwa zipo taasisi nyingi za udhibiti ambazo zinaingiliana kimajukumu mfano TBS, NEMC, WAKALA WA VIPIMO, TUME YA USHINDANI, EWURA, SUMATRA, TFDA, OSHA, OFISI YA MKEMIA MKUU, Na kadhalika.
Jeremiah Mahenge ni mfanyabiashara kutoka mkoani Mbeya ambaye ameamua kuvunja ukimya mbele ya JPM nakueleza jinsi ambavyo wafanyabiashara wamekuwa wakitoa Rushwa kwa baadhi wa maafisa wa Serikali, hali iliyopelekea watu wote kuangua vicheko kutokana na aina yake ya uwasilishaji wa changamoto zake.
#jpm #WAFANYABIASHARA
/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Mnagawana kama vile mlichanga. Mzee mahenge has killed it 😂😂😂😂
Haaahaaaa
Sio hiyo tu kakubali mbele ya Rais rushwa, rushwa kweli tunatoa uyu baba amenimaliza. Hataki dhambi ndogo ndogo 🤣🤣🤣
Mheshimiwa Dr John Joseph Pombe Magufuli mkutano huu umekufunua kuwa wataka Tanzania ipi katika biashara. Long Live Your Excellency the President
Safi sana magufuli ,kuna raha sana kukaaa na kusikjliza watu.tunacheka lakini pia tunaielewa nchi yetu inavyokwenda.maana hapo lugha rahiisi inatumika. We love you Mr president
mzeeeee....sema.....waponeeee....haoooo.....TRA.....wanaturudishaaaa...nyuma....sana
Mbeya wako makini Sana... Big Up mbeya city
Nakupenda sana rais wng mungu akujaalie maisha marefu
Shikamoo Mzee, anayezungumza...
HILI BUNGE LA IKULU NI BORA ZAIDI YA LILE LA DODOMA,
MJADARA HURU KABISA, SPIKA WA HILI BUNGE MSIKIVU NA HAKUNA MIONGOZO YA HAPA NA PALE... nashauri hawa wapitishwe kuwa wabunge tu maana wako vizuri mno na sipika wao😆😆😆
Hahahaha,kabisa
Kwa kweli maana unapata majibu ya papo kwa papo
Natamani hili ndio liwe Bunge la Tanzania.
Kwenye mambo kama haya rais wetu mungu akuongoze ktk mikono salama maamuz yako hpo nisahihi mzee wangu
@@daluhardware9383
Hebu mimi binafisi nikumbushe ni lipi kaliamua hapo
Sina cha kulipa kwa magufuli MUNGU akupe maisha marefu
swala la T,R,A ni tatizo kubwa saana Tanzania inapelekea kuwapa nafasi nchi za jilan kutumia madhaifu ili kukuza uchumi wao. contena la spare za magari kutoka china linatoka bandarini kwa ushuru mkubwa mnoo. inapelekea hata wengine contena linaandikwa transit nchi za jilan likifika mpaka linalipiwa ushuru wa nchi hiyo ya jilan likivuka linafunguliwa watu wanavusha mzigo roli zinarudisha mzigo dar. ushuru wa kulipiwa tanzania utakuta unalipiwa nakonde zambia. na asaiv watu wanaenda zambia kununua mzigo ulipitia bandari ya tanzania kwamba kwetu bei kubwa kutokana na ushuru lkn kule bei ndogo ila wametumia bandari yetu. T,R,A mnatumia kauli.mbui ya mzee vibaya saana. kueni na uzalendo na nchi yetu
Proud of u DADY!
Mshua kanifurahisha aisee
Nimecheka kweli aisee😀😀kumbe huwa anaongea hivi,You must be very proud of him kabisa Jessam.
@@gracios1324 anaongeaaa ni muwazi huwa hakwepeshii kwa kweli
Hahahaaaaaa mnagawana km mmechanga,nimecheka haki ya Mungu
Safi sana mzee mahenge we are moving go go mr president
Wote tumwogope Mungu.Tukiwa na hofu na Mungu kuoneana hakutakuwepo,wivu,Chuki,wizi husuda vimetutawala binadamu.T umwogopeni Mungu kwanza.
Umeongea point Mzee wangu wenyewe wanaangalia mauzo masikini hawaangalii faida tunafanya biashara kweli hatukatai ila faida ni ndogo sanaaa. Sasa wanataka hata kidogo tunacho kipata wachukue chote masikini watoto wanataka Wale waende shule yani shida tupu
Bora ukweli kuliko kupakana mafuta big up mzee wa mbeya
🤣🤣 dah mzee wa Mbeya hatar sana umejua kufunguka.mzee❤
hongera sana mzee
Mie mtazamaji tu lakini nimecheka mpaka , mweshimiwa rais alivyosema huyu mzee ni kweli kabisa.
Cheka baba mh Rais hii ndio tz , kazi unayoifanya ni kubwa mno, hongera sana hii ndio tz tuliokuwa tunaitaka, na Rais tuliekuwa tunamtaka.kura yanguuuuuuuuu 2020 woooote wa nyumbani tutakupa tu tuombeane uzima.
kwa kweli watanzania lazima tuwe wakweli na tumuogopeni mungu, tumepata mkomhozi wa wanyonge, mungu azidi kukupa nguvu raising wetu,
Amen Amen.Barikiwa nyote. Amen.
Hili ndio bunge sahihi muheshimiwa @ahsante Mh Jpm
Njoo kila mkoa rmheshimiwa rais wetu ndo utajua madudu yanayofanyika secter zote utashangaa kwa wafanyakazi hawa hawa wa serikali yako wanavyopiga hella za wananchi na wafanyabiashara
Eee mwenyezi mungu mumba wa mbingu na nchi ulie simika kila kitu kwenye dunia hii nakuomba usimike nguvu mpya kwa Rais wetu mpendwa John Josefu Magufuri ili astahimili vilivyo kukabiliana na changamoto zinazo kwaza watu wako , zinazo letwa na wasio wadirifu ktk nchii hii Eee Mungu utusaidie Amina
Unaweza mzee upewe nyadhifa serikalini"""Hongera kwa hoja nzuri!!!!!
Na bungen wangekuwa wanajadili mambo yenye tija tungefika mbali mapema sana sasa wanajali posho zao tu zikiguswa wanalalamika huku wananchi wao wanaumia.
UDUMU MILELE MH RAISI WETU J.P.M. MUNGU MWENYEZI AKULINDE NA NJIA ZOTE NA MAOTEO YA SHETANI. SISI WANANCHI WAKO HATUNA ZAWADI NZURI YA KUKUPA ZAIDI YA KUKUOMBEA KWE MWENYEZI MUNGU KAMA LILIVYO OMBI LAKO LA KILA MARA UKISEMA, "WATANZANIA MNIOMBEE".
Jinga
Bunge la ndugai lifutwe tuu,libakie hili la JPM,JPM oyee!Laiti la ndugai lingekua nusu ya hili
Julius Kitomari sawsaw
Jamani hii ndo tanzania
Endapo bunge letu lingeendeshwa kwa unahiri kama mheshimiwa raisi wetu alivyofamya kwenye vikao vyake huko ikulu tungenufaika sana sisi watanzania, ingefaa vikao vya bunge letu kuiga mfano huo kuliko kuendelea kuona mipasho, vurugu nk maana hali hiyo haitaweza kulifikisha taifa letu popote kwa kwani.
kuna vingne mh rais anavifanya viwe sheria lkn wengne nyuma yake wanafanya dili LA upigaji ndio tatzo linaloturudisha nyuma
Napenda magufuli akicheka maana daah
Magufuli tunakupenda bure! Mambo yako yanaleta matumaini sana. Huenda tukafika pazuri. Sijutii kura yangu kwako na nyingine inakusubiri wakati ukifika.
Kwa kweli tumepata Rais
Mjadala nimzuri sana jpm uwe unawaita kila wakati na uwaite na madereva wa malori kidogo huo ndio uzalendo mkuu
Nmekuja hapa baada ya Kifo cha mhe Rais Magufuli RIP
Mnagawana kama vile Mlichanga???!!
Magufuli Ni rais wa ukweli. Mungu amuongezee hekima Na busara zaidi ya apo
Nakuomba mweshimiwa spika inga kwa mweshimiwa rais mambo anavyo endesha kwa kutumia akili Na maarifa
Magufuli HOYOEEEE . Anaskiza vilio vya wafanyibiashara. HONGERA Mkuu. Kwetu Kenya, Rais nikuchoma bidhaa za wafanyibiashara bila kutoa sababu .
Ahsante sana baba kwa kujiamin. Mungu wangu wa upendo akutunze
Umesema yote niliokua ninayoyasemaga nikialikwa kwenye vikao vya wafanyabiashara tunaokaaga na maafisa wa tra mzee ubarikiwe
Daah Mzee huyu ni noma nakubali
Mungu akubarik Rais wetu
Ahahah nakufurahia Sana Rais wangu kwel Mungu ametupatia Rais
Tungeomba kila mkoa uwe na Ikulu na vikao vya namna hii. Mungu ambarii sana raisi wetu
i like this bless up Tanzania lets say no to hongo.
Mh.rais tunaomba kuhusiana na hoja hizi ungepita kila mikoa pamoja na wilaya zote ili upate taarifa zote kwa kweli hawa TRA wanatuuwa sana.
Nikwel kabsa namaranying weng wanataman kuwa katika sekta hii wanasema kunashavu kubwa, asilimia kubwa ya rushwa ipo hukoooo! Mweshimiwa kaza kamba apo
Mh unajua kucheka😁😁😁😁
Safiii sana nimekupenda gafra
Idara hizi Mungu asimamie jamani kitu pesa ni kazi sn.Hata mm mwl. nina vita na raia wakati pesa sina hii dunia tuiache tu.Watanzania tumrudie Mungu wote tumeacha uzalendo.
Mzee wa mbeya amenifurahisha sana
Hili ndo lilikuwa "BEST BUNGE LA 2015-2020"
Kaongea very technical
Mbeya oyee
mzee ananamba ya canali dadek
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu wote kwa mwenyez MUNGU
Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Raisi wetu amefanya jambo zuri sana
Uko vizuli rais wetu
😂😂😂😂😂 babu inakudanjisha thanaaaa
Kweli kaliakoo wameja sana TRA wapo wengine wanashinda jangwani wanakula sana lusha
Nimekupenda bureeeeeee
Safiii sana mzee umeongea kweli kama wamechanga
Asante sana mzee wangu
MH.Raisi tunashukulu kwa kuwapa nafasi wafanya biashara kuzungumza kile waliocho Nacho hakika ni democrasia mungu akubaliki sana kwa Kazi yako nzuri
Very smart
Magufuli nakukubar sana
Hataree sana asee
Asantee rais
Duuu aise Mh umewasikia wananchi wako,acha waseme wanayokutana nayo uwasaidie.Watenda kazi wasio waaminifu ni shida tupu.
Kweli Mzee kuongea asilimia 10 ya mauzo hii huwa inanipa shida sana na mimi wangelikuwa wanachukua kwenye faida ukilalamika wanasema.leta mahesabu na mahesabu yanatakiwa ya kitaalamu. Wanaotengeneza mahesabu wanataka milioni moja sasa si bora nipigwe tu huko TRA. Ni shida
Sema baba....
tena hayo ma tra n mijiti ya ajabu kabisa.hayo yapo.yanafunga maduka ovyoo kisa umechelewa kulipa kod
Nimeipenda sana hiii
bunge likiambiwa ni dhaifu halitaki sasa Rais amechukua usipika wa bunge.
Duh mambo mengi kweli jamani!!!!
Kweli nimeamini simba hata awe mkali vp, lkn anazaa, yaani pamoja na ukali wooote wa JPM, wa kutumbua na kutengua bado tu watu wanapiga rushwa???? Kweli kiumbe mzito!! Hatarii sana!!! 😎😎😎
Kweli kabisa mzee njoo na oman utu hoji mashaghara
Mzeee Mahenge nouma saaaana
Hawa ndio wazalendo Wa nchi yetu
kazi tu
Magufuli kashika tama🤣🤣🤣🤣 wafanyakazi wa TRA, mmeona maisha yenu mnaajiriwa mnaenda kufanya wizi wa digital mkitumbuliwa mnasema Magu mbaya asikilizi mtu sijui anafanya maamuzi ya kidikteta.
Congtrations Brazir
Hahaahaaaa Tanzania Revenue Authority, mnagawana kama vile mlichanga !
Kama kungekua na kitu kinapendwa zaidi badala ya mpira ni bunge hili huru lisilokua na vipengele vingi vya kupata nafasi ya kuongea na mkuu wa nchi na mi natamani kusema kua Ally Hepi wa mkoa wa Iringa ni mtoto wa kwanza wa muheshimiwa kwa kushuhudiwa kuwa na raia nyakati za usiku kusikiliza kero na matatizo yao,ningejua siku maalum ya bunge hili ningetenga mda wangu kulisikiliza.
JPM LEO AMEFURAHI
Magufuli pole sana. Hiyo ndo hali halisi mheshimiwa.
Maenge noma
yaan baba umesema ukweli kabisa ,wafanya biashara tunakatwa sana
Nimeipenda hiyo, Kama na wewe umeipenda gonga like hapa
Hawa TRa ni mtihani mkubwa wapo kws masilahi yao tu
Yaan hawa ndio wanaofanya biashara kua ngumu kabisa
Baba kachungulie na kule bungeni . Wanadai Vitambi ? Huku wananchi tuliwatuma wakatusaidie kutengeneza bei nzuri za pembejeo za kilimo .Babaaa
Safi sana brother
saf sana kanena ya ukweli tra wanasumbua sana makadirio makubwa tena bila kuangalia biashara kuna kuyumba sio kila sku unaingiza kipato kizur
Raha sana
Asante baba vamponji
sawa
Good
mweishimiwa ili bunge la ikulu tunaomba tunaomba na xx wa uweso wa chini tuje uko tupasuke madude
😂😂😂😂😂
Mnagawana kama vile mlichanga hahahahahah
Na wajasiliamali wanawake na sisi sijui tatasemea wapi
Hawa tra sio wema kabisa ndo wanafanya hivo
Denis Mapugilo nchi hii mwenye nayo anamaono mazuri kuifikixha mahala lakn wanaomzunguka pasua kichwa
RIP JPM
Huwa napenda sana Magufuli akicheka.....yaani mimi naweza nisitake kucheka. Ila akicheka nacheka pia.....hahaha Magufuli love you nyan'ganyan'ga
,,nimeipenda hiyo, mnagawana Kama mlichanga
Yan magufuli angekuwa na uwezo angezunguka amsikilize kila.mtu walahi angejuta maan hakuna kitu 😏wat wanawazag kula hela tu za masikin mxeeeew
hahahahahaha,mzee anaeleza kuwa wanatoaga rushwa
Nimpenda bure
Mzee ya maana kabisa.....hhhhhhhhhjhhhhhhhh
Xaxa kwanini ndugai usijifunze kwaraisi wako? Hunaga lolote unalolifanya kwenye kiti chako zaidi yamipasho.
RAIS KAMA HUYU HAKUNA AFRICA