BALAA..!!Rais JPM Ampokonya Ardhi Mfanyabiashara Huyu Hadharani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июн 2019
  • BALAA..!!Rais JPM Ampokonya Ardhi Mfanyabiashara Huyu Hadharani
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli leo Juni 7 2019 amekutana na Wafanyabiashara kutoka kila mkoa Ikulu jijini Dar es salaam.
    Miongoni mwa wafanyabiashara waliofika Ikulu ni Mohammed Kiluwa ambae amejikuta akinyang'anywa ardhi ya Heka 1000.
    #JPM #WAFANYABIASHARA
    /GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 129

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 5 лет назад +58

    Kama umesikia viwanda vipo kwenye makontena twende sawa gonga like zakutosha

  • @moshimipene4101
    @moshimipene4101 5 лет назад +20

    Nakukubari mzee wangu lukuvi upo vizuri auteteleki mzee kwenye haki

  • @willysamwel6091
    @willysamwel6091 5 лет назад +34

    lukuvi uko vizuri sana mzee

    • @geraldbenjamin9302
      @geraldbenjamin9302 5 лет назад +1

      Moja Kati ya Mawaziri Bora kuwahi kuwashuhudia Tangu nijitambue na kuanza kuyajua mambo ya nchi yangu. Live long Lukuvi

  • @hasaniwaziri9672
    @hasaniwaziri9672 5 лет назад +22

    Mh.Rais hakika mungu amekujalia akili sana.Familia yako inajivunia kuwa na wewe sana akili mingi sna

  • @bafastarseed479
    @bafastarseed479 5 лет назад +7

    Safi sana , now days ufatiliaji unaonekana pongezi kwako waziri !

  • @dinahnyagosaima1259
    @dinahnyagosaima1259 5 лет назад +9

    Mungu akubariki Magufuli.Lukuvi Rais wa 2025

  • @ngox100
    @ngox100 5 лет назад +12

    Lukuvi is very smart amweza kujua Raisi anataka nini

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 5 лет назад +23

    unajishauwa kumbe tapeli mtakoma huyu mzee hataki mchezo

    • @audifasmassera1289
      @audifasmassera1289 5 лет назад +1

      Huyu jamaa hajui zama zimebadilika!!! Bado anaishi enzi zileee!😁😁😁😁

  • @rajabugoa5585
    @rajabugoa5585 5 лет назад +7

    umetisha mh Rais upo vzr

  • @gracegrace3087
    @gracegrace3087 5 лет назад +5

    Mwangalie mwizi alifikiri Magufuli ni mujinga. Hawa ndiyo waliokuwa wakivuna bila shamba.

  • @finiaselias6227
    @finiaselias6227 5 лет назад +16

    Kama umeona mdomo wa lukuvi akiongea point unasonga mbele kama tarumbeta nyoosha mkono

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 5 лет назад +2

    Ee Mwenyezi Mungu tunakuomba umbariki rais wetu na Watanzania wote

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 5 лет назад +10

    Nyarubanja amekiona cha moto leo. Kajishauwa shauwa weee mwishowe kapigwa chini!!!!!!!

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 лет назад +14

    Lukuviiiiiiiiiiiiiii Pambana Mzee nakuelewa saana watu wamaalifa wataisoma namba.

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад +9

    Duh majanga haya! Ila nakereka sana sana Watanzania kutumiwa na wachina na kusaliti nchi yao jamani kisa unapokea Cha juu. Hao wajukuu zako wataishi wapi? Watajenga wapi?

    • @chumizola1847
      @chumizola1847 5 лет назад +3

      Umesema vyema ndugu! Tuwaunge mkono viongozi wetu wenye uchungu wa nchi hii

    • @clarakalepo1338
      @clarakalepo1338 5 лет назад +3

      Mmm mungu atusaidie wanadamu tukumbuke hapa duniani maisha ni mafupi tuishi katika ukweli tuu

    • @godlovekasaka4166
      @godlovekasaka4166 5 лет назад +1

      Dah!! unachowaza ni kama mimi huwa nawaza sana hawa watu wanawaza nn?? hebu pata picha spika wa bunge kiongozi wa muhimili mikuu ya serikali alikuwa anaenda kuuza nchi kwa manufaa yake binasfi.. kiukweli Mungu atusaidie sana awape macho yakuona jamani

    • @mawazomawazo959
      @mawazomawazo959 5 лет назад

      Huyu mfanyabiashara uchwara,atakuwa Dalali wakimataifa. Mtaji Billion 1 faida billion 3.

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 5 лет назад

      Kweli kizazi hiki ubinafsi umezidi
      Mtu anafikiria leo tu bila kujua kuna kesho ya Watoto wako

  • @stellariwa2723
    @stellariwa2723 5 лет назад +10

    magufuli oyeeee oyeeee

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 5 лет назад +2

    Rais mwenyewe alikuwa ardhi halafu chezea wewe.!!!! Hongereni Waziri na mh Jpm,mna akili sana

  • @generalkidola2155
    @generalkidola2155 5 лет назад +1

    Moja Kati ya mawaziri ambao mheshimiwa Rais anapaswa kujivunia ni waziri wa ardhi mheshimiwa lukuvi safi sana

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 5 лет назад +16

    Mie nakuaminia mgufuli huwa hutafuni maneno

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 5 лет назад +4

    Hata sheria ya dini hairuusu hivyo unahangamiza nchi yako kwa ajil ya tumbo lk kuw mzalendo kk

  • @happybalama3591
    @happybalama3591 5 лет назад +6

    Mweee angenyamaza tu

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 лет назад +6

    Magufur ww sio fitina wala sio muongo.karua kapatwa na shetani😁😁😁magufuri ww ninoma

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 лет назад +6

    Magu Nakukubali Cna Yan 2mepata Raisi Haswa 🙏👏🙏👏

  • @rosemarymsulwa203
    @rosemarymsulwa203 5 лет назад +4

    Ulipeleka utapeli ikulu. Leo umekomeshwa.

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 5 лет назад +3

    Lakini kwani shida ipo wapi yeye kuwa na ubia na wawekezaji halafu akamiliki ardhi anayo taka bila kuvunja sheria!! Naona kuna figisu figisu ya kuona atafanikiwa cha msingi anunue ardhi kwa bei sahihi na alipe kodi Inavyo takiwa. Maana kama kutakuwa na shida yeye ndiyo atawajibika na si mwingine. Ikumbukwe amesafiri mabara kwenda kutafuta watu atakao fanya nao biashara.

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 5 лет назад +5

      Hujaelewa labda tatizo sio hilo tu ndio mana hata magu alisema yeye anachojali viwanda vifunguliwe watanzania wapate ajira sasa yeye anawatumia watu wenye vyeo serikalini akiwemo mkuu wa mkoa ili anunue heka 1000 kwa milioni moja halafu yeye kachukua bilioni nne sasa huoni kama alikua anaidhulumu serikali yetu kuendelea kuwa masikini pesa zote anakula yeye mambo haya ymefanywa sana ma viongozi waliopita ndio maana tanzania ina kila kitu lakini bado masikini sababu ya watu kama hawa

    • @msuredesigner1206
      @msuredesigner1206 5 лет назад +1

      Kalua????¿?

    • @dicksonjohn4141
      @dicksonjohn4141 5 лет назад +1

      Kazi kwelikweli

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +6

    Kumbe kiwanda huwa inasafirishwa kwenye kontena?

    • @matzvlog4364
      @matzvlog4364 5 лет назад

      adeni Halisi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 5 лет назад

    Aisee ila Waziri Lukuvi amenyooka mno...Hongera Mh Rais

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 лет назад +5

    Mimi pia ni TEAM LUKUVI JAMANI

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 5 лет назад +7

    Safi sana magufuli. Watakuelewatu taratibu.

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 5 лет назад +7

    Hii jamaa mmmh ati itajenga viwanda......alisema kama ni uongo afukuzwe nchini.....timuaaaaa huyo

    • @streetview3045
      @streetview3045 5 лет назад

      Fanuel Kanalo sasa aende wapi nakati ni mtanzania ? hakuna wa kuweza kumfukuza mtu nchinii

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад +1

      Trust channel
      Aliahidi kama hata janga viwanda afukuzwe. Kama viwanda viko kwenye makontena na sio vyake basi alichoomba apewe. Tatizo watanzania tumezoea maisha ya uongo uongo. Amechelewa angefanya utapeli huo huko nyuma wakati serikali ilipo kuwa imelala kila Mtu anajifanyia yake

    • @streetview3045
      @streetview3045 5 лет назад

      Aggi Bibi Angel haahaha kweli

  • @estargabriel8362
    @estargabriel8362 5 лет назад +3

    kiwanda chakujengwa miezi mi4 mmm

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 10 месяцев назад

    Wamrudishe kwenye wizara ya ardhi ...namheshimu sana abarikiwe

  • @reynjau5985
    @reynjau5985 5 лет назад +7

    Viwanda vipo kwenye makontena vinaliwa na mapanya🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 4 года назад

    kwa kweli lukuvi hafanyi kazi kwa sifa afanya kwa kujua wajibu wake anafit vizuri sana kwenye hii position

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 10 месяцев назад

    Wazir making sana huyu....

  • @sidinimwakajila3226
    @sidinimwakajila3226 5 лет назад

    Hongera sana Raisi wetu mwenyezi mungua azidi kuku linda

  • @barakmazigo8945
    @barakmazigo8945 5 лет назад +7

    Upon vzr magu

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 5 лет назад +2

    very authoritative remarks from honourable lukuvi

  • @lukmanihamadi3617
    @lukmanihamadi3617 5 лет назад

    Hakika mungu akubariki Sana mh rais uweze kutenda haki kira siku tunakuombea san mh rais

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 10 месяцев назад

    Gwiji Magufuli kweli tulimpoteza ...tumpate wapi tena Magufuli II???

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 5 лет назад +9

    Ungekua rais miakajapo50 ndo raha sasa vimiaka10tu vichache ayupo atakaeiweza nchi hii. ilikua km dodoki liloochakaa

  • @davidmahenge5511
    @davidmahenge5511 5 лет назад +1

    Huyo lukuvi mnafiki tu

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 5 лет назад +6

    Hahaha! Dalali kaumbuka

  • @jemahaonga727
    @jemahaonga727 5 лет назад +1

    😂😂😂 jamaa alijiamini sana yaani kujitamba eti viwanda vipo kwenye kontena

  • @JesseAkabwogi
    @JesseAkabwogi 5 лет назад +2

    Hii inatwa Governance......

  • @felisterapornary2612
    @felisterapornary2612 5 лет назад +1

    Hahaha ungewaapisha Tu Hao wafanya biashara wawe wabunge maana kumenoga hatali

  • @nwntz
    @nwntz 5 лет назад

    lukuvi anajiamini mno sio yule prof kabugi

  • @adrianvandervalk6734
    @adrianvandervalk6734 5 лет назад

    safi mzee magu

  • @yudatadei9303
    @yudatadei9303 5 лет назад

    Asante sana Rais wetu haki zetu zilikuwa zimeshapotea tupo tunakuombea kila siku

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 5 лет назад +3

    Duh kaumbuka jamaa

  • @fredyndenga
    @fredyndenga 5 лет назад +1

    👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

    • @khadijamanzi670
      @khadijamanzi670 5 лет назад

      Duuh karua angekaa kimya tu Lukuvi msema kweli Mungu wa awape maisha marefu

  • @omaruledijuma9293
    @omaruledijuma9293 5 лет назад

    Hongera my president magufuli

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 5 лет назад

    Likuvi anajikomba sana kwa raisi kwa sababu akipoteza uteuzi hana atakachofanya elimu yake darasa la saba

  • @robertdaud9894
    @robertdaud9894 5 лет назад +2

    God forgive me l know it is wrong to declare this: Jpm is a black Jesus

    • @theleo3899
      @theleo3899 5 лет назад

      Blasphemy!!😥 please delete your comment

  • @tumainiellyimo5276
    @tumainiellyimo5276 5 лет назад

    Huyu jamaa alidhani mkuu ni mwepesi kwa vijisifa alivyokuwa anampa mkuu.JPM the president hakuja kimchezomchezo watz tuliumizwa Sana na watu Kama Hawa wakina kiru...wa.

  • @joemartin8246
    @joemartin8246 5 лет назад

    Kalua Dalali aliejimix ktk ya watu makini wamemuumbua😀😀😀

  • @peteramini6126
    @peteramini6126 5 лет назад +3

    saf sana mh William Lukuvi na mh magufuli

  • @fredrickrugina7830
    @fredrickrugina7830 5 лет назад

    lukuvi nomaaaaa

  • @mercyherbert8978
    @mercyherbert8978 5 лет назад +4

    lukuvi uko vizur Hata mie nakuelewa

  • @ErickMkinga
    @ErickMkinga 5 лет назад +1

    Magufuli is smart!

  • @spkaprotas
    @spkaprotas 5 лет назад

    Kwakweli Rais tunaye. Kwa mtu kama Lukuvi siku akiingia kwa skendo atanisikitisha sana. Ni waziri wa mfano katika mawaziri wa JPM.

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily 5 лет назад +10

    Tatizo kujipendekeza kumezidi.
    Masifa mengi hadi anamfanya kama Mungu, hata Mungu hajaeah kumsifu hivyo.
    Mh. Kamuonesha kuwa yy si wa misifa ya kijinga.
    piga chini.

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 5 лет назад

    Upo vyema mkuu safii

  • @thomasshimba4312
    @thomasshimba4312 5 лет назад +2

    Safi sanaaaaaaaaaaaaaaa

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 5 лет назад

    Matapeli bado wapo wengi

  • @rashidmalilo3657
    @rashidmalilo3657 5 лет назад +12

    Jpm tunaomba utawale mpaka uchoke mwenyewe mzee wetu

    • @elimishanyamoga1301
      @elimishanyamoga1301 5 лет назад

      Una akili ww yaani huo mda ulizaliwa ww bora yangetikea hata mafuriko

    • @elimishanyamoga1301
      @elimishanyamoga1301 5 лет назад

      Yaani wew jamaaa huna akili kaka

    • @zittotv9972
      @zittotv9972 5 лет назад

      Rashid Malilo weeechizinn

    • @susanraphael5894
      @susanraphael5894 5 лет назад

      elimisha monga usidwe kwa jina la Yesu nahuyo pepo mchafu akutoke haraka amen

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 5 лет назад

    mi sijaelewa

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 5 лет назад

    Uhujumu uchumi in anamsubiri pakashume mkubwa

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 5 лет назад

    Duuuuu

  • @gracegrace3087
    @gracegrace3087 5 лет назад

    Watu kama hawa ndiyo walikuwa wana sauti, na walikuwa wanachanuwa kwa wizi wao.kwenye serikali zilizopita. Smart men in suits wanaiuza nchi bila ya mutaji. Ukiwagusa wanahamia upinzani kwa kukwama kuendelea na uwongo na wizi wao. Takukuru ifanye kazi pesa alizopata kwa udanganyifu ziende kwa wazawa. Huu ni wizi kabisa wa udanganyifu.

  • @mwilesimbeye9486
    @mwilesimbeye9486 5 лет назад +4

    Lukuvi na Magufuli hoyeee mdumu mdumu

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +2

    Huyu mzee hajui hata anachoongea eti "alikuwa anazunguka kuiuza nchi" sasa sijui alikuwa anaenda kumuuzia nani nchi na sisi tupo wenye nchi! Pole sana mzee dili limeungua! Duh!

  • @rizikisamwel9904
    @rizikisamwel9904 5 лет назад

    Mzee wanyooshe

  • @faithphanuel9972
    @faithphanuel9972 5 лет назад

    nishida mtanyoka 2 utawala wa magu

  • @salvatoryboniface1089
    @salvatoryboniface1089 5 лет назад +3

    Kiluwa hvyo viwanda cyo vyako kama Ni vyako mbona hata kwenu mtwara haupeleki hata2 acha kuzingua kibaraka mtwara hata nyumba hauna hapo kwenu chikongola

  • @omarmuhammed9655
    @omarmuhammed9655 5 лет назад +1

    Watanzania mujue km awamu hii ndio wanaoimba kuliko awamu zote

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 5 лет назад +2

      WEWE MWENDAWAZIMU SANA, SASA HIYO KODI ILIYOONGEZEKA ZAIDI YA MARA MBILI YA KIKWETE IMETOKEA WAPI?

    • @salimamri9488
      @salimamri9488 5 лет назад +1

      @@godfreymbwambo4460 Achananae huyo jamaa jingasana

    • @omarmuhammed9655
      @omarmuhammed9655 5 лет назад

      Tatizo la watanzania

    • @omarmuhammed9655
      @omarmuhammed9655 5 лет назад

      Wajinga nyie munao itwa wanyonge.unyonge nilaana kubwa ndio tukafika hapa hakuna mradi hata moja awamu hii uliyofanya zaid ya kuweka majiwe ya msingi tu et viwanda munajua umeme ngani unaohitajika musiwe watu wakulishwa uongo wa kisiasa tu

    • @godlovekasaka4166
      @godlovekasaka4166 5 лет назад

      Omar Muhammed nyie ndoo wale wale kila tra na karua kaeni na njia yenu... unataka kunambia ile flyover ya tazara jiwe uliweka wewe na ujenga wewe.. msitufanye watu kama hatuna akili kila kitu tunakiona kwa macho hakuna mtakachotushawishi tuone awamu zilizopita ni bora kuliko hii... hapo mmefeli

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 5 лет назад +2

    Hawa wanaoendelea na njia panya wakishapatikanan amkono wa serikali utasikia wakiilaum serikali kwa kila jambo hata kama zuri ila tulio na utimamu tumeshajua kwanini watu wengine huwa hawaoni mema ila kuponda tu ndio kama huyu kalua baadae anaweza kuanza kuilaum serikali

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa kaingia mtegoni kijinga sana

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 5 лет назад

    Aibu yaani bora ungenyaaza acheni utapeli unaamua kuwafanya watanzania wajinga magu sio mjinga njaa itakuweka pabaya na most matapeli ni waislam sijui kwa nn uwo ndio ukweli

    • @abuuhafsah9630
      @abuuhafsah9630 5 лет назад +1

      Sijakuelewa hapo uislam unaingiaje ...?...jibu tafadhali

  • @aishasaidchekeche9262
    @aishasaidchekeche9262 5 лет назад

    ALLAH akulinde Rais wetu ,he tumuulize hiyo jamaa akienda china atakuwa ardhi.. Asante the Lukuvi

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 5 лет назад +1

    Ahaha hii inaitwa kumualika mgeni nyumbani kwako kisha unaanza kumwambia hili ndo jiko hapa ni toilet ya watoto wangu wakati huyo mgeni mwenyewe anajua mpk chumbani kuwa una kapeti la njano na pia mwenye mjengo halali yuko Zimbabwe😀😀

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 5 лет назад

      Ndio kumbe rais ana habari zake zoooote yeye hana habari😀😀😀😀

  • @rizikibakar3186
    @rizikibakar3186 5 лет назад

    Lukuvi c alikuwa na beef na Kiluwa au anamlipa? Maana alimsingizia kampa rushwa

    • @leopoldkaswezi9780
      @leopoldkaswezi9780 5 лет назад

      Kiluwa mmwaga mpunga kinoma namfahamu ila mambo ya mahakamani lazima uthibishe. Wengi wanashindwa mahakamani si kwa sababu hawana haki Bali ushahidi ndo shughuli. Na hata kama ana bifu naye bado ni kweli Kiluwa analeta udalali kinyume na sheria za nchi.