#mahubiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 37

  • @LuckyJohn-oz8kf
    @LuckyJohn-oz8kf Месяц назад +1

    Mwenyez mungu akupe maisha marefu pastor mmbaga iliuendelee kutusaidia kwa njia ya maombi.

  • @ChantalBinwa
    @ChantalBinwa 8 дней назад

    Jambo mtumishi wa Mungu, niko South Africa nakufata sana na mme wangu. Akika ukweli uko katika maneno yako, Mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @georgekauma6432
    @georgekauma6432 Год назад +4

    Ndiyo ndiyo ndiyo. Mimi sio msabato lakini huyu ndiye mchungaji sahihi ktk kipindi hiki cha mwisho huku tukimtarajia YESU KRISTO TU wakati wowote.
    Be blest paster D. Mbaga.

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 5 месяцев назад +2

    Amina mtumishi wa mungu naomba pia bint yangu umkumbuke ktk maombi hatembei kwa miaka 9

  • @newiceubson
    @newiceubson 2 месяца назад

    amina mtumishi kumbuka maisha yangu

  • @kinsman-mx6qh
    @kinsman-mx6qh 2 месяца назад

    amina mtumishi wa MUNGU

  • @GabrielWarioba-co8qg
    @GabrielWarioba-co8qg Год назад +2

    Naitwa Gabriel William ryoba naomba mniombee watu wa Mungu naumwa japo cjui naumwa nn naombeni mniombee Mungu awabariki sanaa watu wa Mungu

  • @kabembokijigo6454
    @kabembokijigo6454 Год назад +3

    Hakika Mungu mwenyewe ndiyo Tabibu Mkuu Specialist wa aina yake, naam nami naamini na Hakika ataniponya maradhi yangu yote ajilia mbali madaktari wa ngap wa dunia hii wameshindwa kunitibu.
    Tumain langu ni kwa Mwokozi wa ulimwengu.
    Hongera Pasta usinisahu katika maombi yako.

  • @samwelmtonyi8203
    @samwelmtonyi8203 8 месяцев назад

    Amina naamini pia muombee mke wangu Eva apone kifua kinamsumbua kwa mda mrefu

  • @Officialkashein-Arika
    @Officialkashein-Arika Год назад +1

    Amina mtumishi Ubarikiwe sana🙏🙏

  • @linetohuru348
    @linetohuru348 29 дней назад

    Amen 🙌🙏

  • @Vanillah-lg3pn
    @Vanillah-lg3pn Год назад

    Naomba Mungu amponye mamangu.... mwenye amekuwa mgonjwa zaidi ya mwaka naamini kuwa Mungu atamponya Amina

  • @joharissa2020
    @joharissa2020 10 месяцев назад

    Aminaaaa

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 Год назад

    Naomba Mungu aniponye mgongo na miguu zinauma sana, na wanangu pia ugongwa wa macho kifua tupone katika jina la Yesu

  • @ModesterShokolo-mr6km
    @ModesterShokolo-mr6km Год назад +1

    Bwana ni mwema ,

  • @lydiamapenzi2152
    @lydiamapenzi2152 Год назад +1

    Amen namebarikiwa na somo zuri la asubuhi muchungaji ubrikiwe San tunakuombea MUNGU akupe Afya njema

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 Год назад

    Nabarikiwa sana nikiwa Saudi Arabia..
    Namshukuru Mungu kwa uponyaji..

  • @mariammwita8216
    @mariammwita8216 Год назад

    Ninabarikiwa sana na maneno ya uzima. Yesu atusaidie sana tubaki miguuni pake. Plaster Bwana azidi kukutumis

  • @fgdt6453
    @fgdt6453 Год назад

    Amina

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi6807 Год назад

    Ansante kwa somo

  • @Boreshandotoyako
    @Boreshandotoyako Год назад

    Mungu akubariki sana Mchungaji

  • @GabrielWarioba-co8qg
    @GabrielWarioba-co8qg Год назад

    Nabarikiwa sana na vpindi vyenu

  • @CYPRIANJOSEPHBOKE-je1rm
    @CYPRIANJOSEPHBOKE-je1rm Год назад

    Bwana akubarikiii

  • @pendomollel-oy7gm
    @pendomollel-oy7gm Год назад

    Ubarikiwee sana pastor

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m 9 месяцев назад

    Amen

  • @anisagervasjumanne116
    @anisagervasjumanne116 Год назад

    Aminaaaaa,Mungu atukuzwe.
    Ubarikiwe pia.

  • @mamalaozphilemonmtawali.8467
    @mamalaozphilemonmtawali.8467 Год назад

    ubarikiwe pastor.

  • @YohanaLazaro-rj7cp
    @YohanaLazaro-rj7cp Год назад

  • @FlisterKazungu
    @FlisterKazungu Год назад

    Nipeni vifungu plz

  • @editarwaetson4475
    @editarwaetson4475 Год назад

    🕊🕊🕊 mung akubalik sna

  • @annetmbwambo9369
    @annetmbwambo9369 Год назад

    MUNGU amponya mama yangu cancer ya mapafu na nyoga

  • @happyperson3016
    @happyperson3016 Год назад

    Ninaweza kupata dawa za hizo miti za kuponya mgongo?

  • @subiransonda6608
    @subiransonda6608 Год назад

    No nm

  • @mborawakiche7564
    @mborawakiche7564 Год назад

    Amina

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад

    Amen