Ndiyo ndiyo ndiyo. Mimi sio msabato lakini huyu ndiye mchungaji sahihi ktk kipindi hiki cha mwisho huku tukimtarajia YESU KRISTO TU wakati wowote. Be blest paster D. Mbaga.
Hakika Mungu mwenyewe ndiyo Tabibu Mkuu Specialist wa aina yake, naam nami naamini na Hakika ataniponya maradhi yangu yote ajilia mbali madaktari wa ngap wa dunia hii wameshindwa kunitibu. Tumain langu ni kwa Mwokozi wa ulimwengu. Hongera Pasta usinisahu katika maombi yako.
Mwenyez mungu akupe maisha marefu pastor mmbaga iliuendelee kutusaidia kwa njia ya maombi.
Jambo mtumishi wa Mungu, niko South Africa nakufata sana na mme wangu. Akika ukweli uko katika maneno yako, Mwenyezi Mungu akuzidishie
Ndiyo ndiyo ndiyo. Mimi sio msabato lakini huyu ndiye mchungaji sahihi ktk kipindi hiki cha mwisho huku tukimtarajia YESU KRISTO TU wakati wowote.
Be blest paster D. Mbaga.
Amina mtumishi wa mungu naomba pia bint yangu umkumbuke ktk maombi hatembei kwa miaka 9
amina mtumishi kumbuka maisha yangu
amina mtumishi wa MUNGU
Naitwa Gabriel William ryoba naomba mniombee watu wa Mungu naumwa japo cjui naumwa nn naombeni mniombee Mungu awabariki sanaa watu wa Mungu
Mungu akutendee
Hakika Mungu mwenyewe ndiyo Tabibu Mkuu Specialist wa aina yake, naam nami naamini na Hakika ataniponya maradhi yangu yote ajilia mbali madaktari wa ngap wa dunia hii wameshindwa kunitibu.
Tumain langu ni kwa Mwokozi wa ulimwengu.
Hongera Pasta usinisahu katika maombi yako.
Amina naamini pia muombee mke wangu Eva apone kifua kinamsumbua kwa mda mrefu
Amina mtumishi Ubarikiwe sana🙏🙏
Amen 🙌🙏
Naomba Mungu amponye mamangu.... mwenye amekuwa mgonjwa zaidi ya mwaka naamini kuwa Mungu atamponya Amina
Aminaaaa
Naomba Mungu aniponye mgongo na miguu zinauma sana, na wanangu pia ugongwa wa macho kifua tupone katika jina la Yesu
Bwana ni mwema ,
Amen namebarikiwa na somo zuri la asubuhi muchungaji ubrikiwe San tunakuombea MUNGU akupe Afya njema
Nabarikiwa sana nikiwa Saudi Arabia..
Namshukuru Mungu kwa uponyaji..
Ninabarikiwa sana na maneno ya uzima. Yesu atusaidie sana tubaki miguuni pake. Plaster Bwana azidi kukutumis
Amina
Ansante kwa somo
Mungu akubariki sana Mchungaji
Nabarikiwa sana na vpindi vyenu
Bwana akubarikiii
Ubarikiwee sana pastor
Amen
Aminaaaaa,Mungu atukuzwe.
Ubarikiwe pia.
ubarikiwe pastor.
❤
Nipeni vifungu plz
🕊🕊🕊 mung akubalik sna
MUNGU amponya mama yangu cancer ya mapafu na nyoga
Ninaweza kupata dawa za hizo miti za kuponya mgongo?
No nm
Amina
Mungu akubari
Amen