UBABE WA ISRAELI: UCHAMBUZI WA BBC SHAMBULIO LA ISRAELI IRAN KULIPA KISASI. MAKOMBOLA YAMEPENYA IRAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 143

  • @youthmechanics6167
    @youthmechanics6167 7 дней назад +2

    Mungu hawezi kuangamiza taifa lake

  • @allynassoro8448
    @allynassoro8448 6 дней назад +1

    Nyie wazrali wa Tanzania hamjielewi Mbabe aomba usaidizi Marekani

    • @RamadhanRamdhan-i2c
      @RamadhanRamdhan-i2c 12 часов назад

      Hwa waizriel waliopo tanzania uwa wote mashoga hawo kwanza waendee kwao

  • @AthumanKinyange
    @AthumanKinyange 13 дней назад +2

    Eeeee mungu angamiza angamizi Hawa waisrael. Haya ma mbwa koko

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 6 месяцев назад +3

    Ukweli utabaki kuwa ukweli Israel kivita yupo vizuri lakini ameheshimu ushauri wa rafiki zake wa Magharibi. 💕🇮🇱

    • @Kombo2989
      @Kombo2989 6 месяцев назад

      yupo vizuri kwa mujibu wa vyombo vya habari vya magharibi lakini kilichomkuta naona atajifunza kitu

    • @TinasheBeture
      @TinasheBeture 4 месяца назад

      Hivi israel inawuwezo gani kuzidi mwarabu . acha uwone haki mwizi yeyote Hana bahati . Kipindi walivamiya LIBYA waluweza . Kumbe mwarabu nae alifikiri na kujipanga tangu 2011 walijipanga . Punde tu tutawaona wa israel wanaomba hifadhi TZ CONGO BURUNDI .Leo naona nawenyewe wakimbizi 😂😂😂😂😂 subiri umuone mwarabu kwa mafuta yake na zahabu daimond . Vita ni pesa

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 6 месяцев назад +11

    God bless Israel

  • @hanafitotoya7762
    @hanafitotoya7762 19 дней назад +1

    Nchi ya ahadi inayo tetea ushoga jamani mungu atusamehe na alinde vizazi vyetu

  • @masweto
    @masweto 6 месяцев назад +7

    waambie watumie nyukilia waone kibao ktawageuka wairan watakufa kama inzi Israel ni wababe wa vita hata waje waarabu wote hawawezi kitu iko nguvu Mungu nyuma ya Israel jitathimini

    • @Kombo2989
      @Kombo2989 6 месяцев назад

      Kwa mujibu wa maneno yako mungu hatendi haki kwasababu kuna mataifa anamapenzinayo kuliko mengine au siyo mpendwa.

    • @lupaprince1229
      @lupaprince1229 6 месяцев назад

      ​@@Kombo2989 Israel ni Taifa lenye ahadi ya MUNGU, toka kwenye vitabu vitakatifu tunawasoma Israel kuwa wamepiganiwa na MUNGU dhidi ya Maadui zao, hata miaka ya nyuma baada ya kupata uhuru 1948, maadui zao hawakuweza kuwashinda pamoja na kwamb Israel ni Taifa la watu wadogo lakini MUNGU wao ni MKUBWA kuliko miungu yote.

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      unaleta ubishi wa kanisa

  • @Gracemsomba-ic2xp
    @Gracemsomba-ic2xp 12 дней назад +1

    Mungu itetee israer, pigananawanaopigana nao

  • @masweto
    @masweto 6 месяцев назад +5

    mtatukana sana mpaka matusi ya mungu wenu yatakapowaishia lakini Israel iatawaonyesha nani mbabe

    • @Kombo2989
      @Kombo2989 6 месяцев назад +1

      waisrael unaowajua ndio walikaa miaka400 utumwani tena afrika.nandio walikuwakizunguka duniani miaka tele kwa kukosa sehemu ya kuishi. na ndio walitawaliwa na waitali miaka kibao je taifa lamungu lingepata shida yote hiyo?

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад +1

      Uyu sio Yule alimtundika mungu wako msalabani

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 6 месяцев назад +2

    Tuombe Mungu alete amani mashariki ya kati.Tusifurahie vita wala kifo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 месяцев назад +5

    Iran wana nguvu sn kuliko Israel lkn Iran watambue wanapambana na Mungu direct so wajiandae kuumizwa mno.bora wa mute tu. Ile Israel ni nchi ya Ahadi haiwezi kufa wala kuumia mpaka Mungu mwenyewe ataamua

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад +1

      Mungu yupi Yule waukutani au Yule walio mtundika mayaudi msalabani

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 6 месяцев назад +1

      Hawana nguvu yoyote ya kupambana na taifa aliloanzisha Mungu mwenyewe kupitia Ibrahim,soma Yoshua 1:1_18 utaona Mungu na wa israel

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 6 месяцев назад

      Mungu Baba au Mwana ?

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 6 месяцев назад

      @@mombasa0076 Mungu Roho

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 6 месяцев назад

      @@mombasa0076 ukisema baba au mwana ni kitu kimoja ,ndio maana hata Quran inasema Issa ubni mariam ni Neno na ROHO ya Mungu , hata wewe hapo haupo peke yako unakamilishwa na Roho ,nafsi na mwili ndio wewe ,Roho ikitoka unakufa ,nafsi ikiibiwa au kutoka unakua kichaa ,chizi ,taahira kwa hiyo in kamilifu wa Mungu unahusiani na mwili wa YESU KRISTO ,popote kwenye Torati au injili au zaburi ukikuta Neno Bwana akasema basi ujue huyo Ndie Kristo YESU mwenyewe

  • @masweto
    @masweto 15 часов назад

    ❤❤❤❤❤❤❤ Israel

  • @JidawiHaji
    @JidawiHaji 10 часов назад

    Hii ni ya zamani sana

  • @AgustinoKibulungwa
    @AgustinoKibulungwa 20 дней назад +1

    Mungu ibariki islaeli daima

  • @youthmechanics6167
    @youthmechanics6167 7 дней назад +1

    Taja historia ya Irani kivita,Israel walianza kumshinda Farao wa Misri au hujui na Baadae Misri wenyewe.Iran alipigana na nani

    • @JabirHaji-vj2nf
      @JabirHaji-vj2nf 7 часов назад

      Unasahau vita vya hologost na Russia 😂

  • @GodfreyMchiro
    @GodfreyMchiro 6 месяцев назад

    Hali ni mbaya Duniani mungu afutilie mbali matifa makubwa wababe

  • @MagangaAbdallah
    @MagangaAbdallah 2 дня назад

    Vita iishe haraka

  • @AbubakarKhalid-h1z
    @AbubakarKhalid-h1z 9 часов назад

    Ee mungu wape nguvu iran iangamize hawa majibwa ya Israel yanouwa watota wazee na wanawake wa Gaza

  • @AbdullyMtopa
    @AbdullyMtopa 7 дней назад

    and just wait they will soon be known

  • @ridhwanmiraji1386
    @ridhwanmiraji1386 6 месяцев назад +4

    Shida hapo umoja wa mataifa uliopo hautaifanya dunia kuwa na amani na kwa mbaali kuna siku vita ya 3 ya dunia itatokea

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 7 часов назад

    BBC mnapoteza mvuto kwa watu mmekuwa hamueleweki hata kidogo mnaongea uwongo tu mnapendelea upande mmoja

  • @SaidKhamis-q4b
    @SaidKhamis-q4b 4 часа назад

    😅😅😅😅 eti wana pambana na Mungu jamani mungu wenu anashindwa na hamasi

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 6 месяцев назад

    May Peace prevail on Eath🙏

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 6 месяцев назад +2

    Hivi kwanini wafuasi wa Dini fulani wanapenda kutumia neno Shoga au Mashoga kila wakati hasa wanapojadili hoja za Kimataifa😂😂😂

    • @masweto
      @masweto 6 месяцев назад +2

      hao hao ndio mashoga maana wanaoenda hilo neno pia wakiona kitu chochote lazima watukane maana malezi yao ni kutukana pia wanahasira kali sana pia wanshinda mapema wakati vita ni kusubir wansema irani inanguvu san kuliko marekani na Israel hivi hawa kweli wana akili sawa maana ubishi wao na hoja zao zinafanana cha msingi wasngesubiri waone moto wa Israel ndipo watajua kua warabu hawajui vita kua na kamasi nyingi sio unene wa pua kua na siraha nyingi sio ujuzi wa kushinda

    • @EverineCuthbert
      @EverineCuthbert 10 часов назад

      Very true ​@@masweto

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh 5 месяцев назад +2

    Sikweli ilan ilifanya majalibio ilikua full ila ilan haijaamimin kama islael ingeweza kupiga mahali nyeti pailan

  • @drgeraldcubwa481
    @drgeraldcubwa481 6 месяцев назад +2

    Vita hii ipanuke tu Ili Israel iongeze maneno yake na kuweza kutengeneza taifa la Palestine.Hapa Syria , Lebanon na Yemen lazima zichukuliwe.Jordan nayo ijiandae

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      Walimtundika mungu wenu msalabani

    • @drgeraldcubwa481
      @drgeraldcubwa481 6 месяцев назад

      @@HeboniBabu walifanya vizuri sana.maana kwa kupigwa kwake sisi tumepona!!

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      @@drgeraldcubwa481 mbona unakufa Sasa Na mnakesha makanisani ilibidi ulaletu aunazqmbi wejiongopeetu

  • @JaphethMbasaRobert
    @JaphethMbasaRobert 6 месяцев назад +2

    Alieko Iran . Sio mchambuzi ni mshabiki

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 6 месяцев назад +6

    Talizo BIBIC NI NDIMBI LA KUWILI WOTE NI MAGHARIBI

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 6 месяцев назад +1

      Wote ndio hao hao nyie na waharibifu waongo wachochezi lakini Mungu anawaona mnaleta vurugu duniani

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 6 месяцев назад

      @@abduljuma7807 hujasema utaongea baadae

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 6 месяцев назад

      Yaani wewe unasikia na unaelewa kiswahili ila haukijui kiswahili kimaandishi,umejitahidi lkn binafsi nmekuelewa

  • @TUMAINIBAYYO
    @TUMAINIBAYYO 3 часа назад

    Watoa maoni acheni ushamba naona mnaishabikia vita kama mechi ya simba na yanga

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 6 месяцев назад +1

    JUMUIYA YA KIMATAIFA NI PROPAGANDA TUPU. HAINA MAANA YEYOTE BALI IPO KWA MASALAH YA WACHACHE AMBAO NI KUILINDA ISRAELI NA WASHIRIKA WA NATO. WENGINE NI BENDERA TU.

  • @AshaJuma-d9b
    @AshaJuma-d9b 6 месяцев назад +5

    Nakujibu mapunda ni vile ww umechukia uislam ndio maana unatoa tuhuma za kijinga wachana na uislam hujui sawa

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 6 месяцев назад

    Mungu asimamishe kla kitu kilicho pwangwa na wanadamu 😢😢😢 juu wengine wako ichi hzo nanhawana hatiya

  • @AthumanKinyange
    @AthumanKinyange 13 дней назад

    We we unaesema haw a mbwa wako na mungu acheni kuwa mnadanganyana Hawa waisrael ni ma mbwa tu

  • @danielstephen4374
    @danielstephen4374 6 месяцев назад +4

    Naibariki Israel na kuitakia mema na ushindi wa kila vita vijavyo juu yao.

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 6 месяцев назад

      Unaibariki kama nani? Na una uhusiano gani na Israeli ?

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      Mimi nashangaa awasio walimuuwa mungu wenu msalabani

    • @MokiwaKaskaz
      @MokiwaKaskaz 19 дней назад

      Mungu hawezi kuwa pamoja na mashoga, hata kama watashinda mara zote.

    • @JabirHaji-vj2nf
      @JabirHaji-vj2nf 7 часов назад

      Anaibariki kama muizraili tu lkn asahau yagujuuu izrael kushinda vita

  • @AllyIssaathumani
    @AllyIssaathumani 20 дней назад

    Hawa wa marekani na nchi za mangalibu wenzao walikaa kimya pindi Palestrina inavyo angamizwa sasaivi

  • @TinasheBeture
    @TinasheBeture 4 месяца назад

    Watapigwa sawa sawa jinsi walifanya pakestina na libye . Nawawo watapigwa hadi kuwa na adabu hadi mpaka wawombe hifazi inchi zingine .

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 6 месяцев назад +3

    God bless Israel pigahao magaidi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 6 месяцев назад +1

      MKUNDU WA MAMAKO MSENGE MWEUSI WEWE.

  • @hiralyaugustino
    @hiralyaugustino 6 месяцев назад

    iran❤❤❤

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 2 месяца назад +1

    Dunia tuilaani marekani na Israel hamuoni wanavyo uwa watu marekani wanapenda vita sana Dunia Ili itulie marekani isiwepo

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 6 месяцев назад +1

    Waongo nyie, israel hana hiyo nguvu,, Iran Iko vizuri ,, mnapika habari

  • @rashidikhalfani-qt8rp
    @rashidikhalfani-qt8rp 2 месяца назад

    Wasenge hao dume Zima unakuwa papai wameshakong,otwa mara mbili na hizbrolaah Bado kinawawasha watapigwa Tena.

  • @skolastikaelick9693
    @skolastikaelick9693 6 месяцев назад +2

    Mungu asaidie katika hilo

  • @AthumanKinyange
    @AthumanKinyange 13 дней назад

    Ww mapunda mpumbavu sana uislam sio dini ya kigaidi mjinga mkubwa zuzu

  • @ramadhaniabdulabi4035
    @ramadhaniabdulabi4035 6 месяцев назад

    Jaziraa ndo Kila ktu awa fich kitu media nying za ulaya Zina ficha ficha

  • @KakumbaKakumba
    @KakumbaKakumba 6 месяцев назад

    Wanapotengeneza SirahA maana yake ipo siku zitatumika hata iweje hiyo ni lazima

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 5 месяцев назад

    Eti iziraili nitaifa teule taifa la mungu mungu aache kujiteulia mataifa yote ajiteulie taifa la mashoga? Halafu waizirail hawajawah kuish kwa amani toka dunia iumbwe

  • @emmanuelmunuo7529
    @emmanuelmunuo7529 5 месяцев назад

    Hawa wote ni wababe.
    Watumie fedha zao kusaidia nchi masikini

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 19 дней назад

    Iran lnatekenojia nchi za magaribi hawana kitu ambacho kutakuwa kigumu Sana kumpiga lran. Akiwa nchini kwakwe kwanza hata nchi za karibu kirani ni ngumu hata nchi za jirani karibu na lran sasahivi zinaogopa kumpa lzrael eneo la kupigana na nchi za magaribi laran sasahivi anapiga makombpra ya masafa marefu ikiwa nchini kwakwe kitu ambacho ni hatari sana ktk mataifa makubwa wanakuogopa kwa sasa hii juzi alivopiga lzrael military lnsoletion akiwa hiko hiko lran kitu ambacho lzrael ificha hadara kubwa ilipoopata ktk makombora ya juzi

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 6 месяцев назад

    Israel anakombora lakupenye likasumbua irani.uwongo uyo mayaudi kajichanganya na nyinyi watangazi ni ndumila kwili wa mangalibi.

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 3 часа назад

    Usifuate propagader za watangazaji iran wamekwenda kumwuwa rais wao bado nini sasa.

  • @domnickokaro665
    @domnickokaro665 6 месяцев назад

    Soga ninani sina fikiriA usoga panic na wRabu

  • @AshaMalema
    @AshaMalema 6 месяцев назад

    Jidanga nyeni mtaona atakae pingulua hii vita

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 6 месяцев назад

    😂😂😂😂 Hiki chombo kinatumika saaana

  • @francisshimbala1629
    @francisshimbala1629 6 месяцев назад

    🐝 🐝 thee

  • @EzekielTipaa
    @EzekielTipaa 7 дней назад

    OMBI. N LETU. WAFUGAJI. WANAOISHI. KWEDIGOLE. KATA. KWEDIBOMA. W..KILINDI. TANGA. TUOMBA. VYOMBO. VYA. HABARI. KUTANGAZA. MALALAMIKO. YETU. KUHUDHU. UFUNJIFU. WA. AMANI KWEDIGOLE. INAOFANYWA. NA. DIWANI. MAJABU. SEMBURE. WA. KATA. KWEDIBOMA. KUONDOWA. WAKULIMA. KATIKA. ENEO. LA. WAKULIMA. HALALI. KWA. KILIMO. NA. KUPELEKA. KATIKA. ENEO. ILIYOTENGWA. NA. SEREKALI KIJIJI KWAJILI. YA. MALISHO. KINYUME. NA. UTARATIBU

  • @charlesassey5642
    @charlesassey5642 6 месяцев назад

    Wachambuzi wanaegemea upande mmoja , tafuteni wachambuzi wengine watakaoweza kubalance story

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 6 месяцев назад +1

    Ukishambulia ubarozi umetangaza vita,,, Israel ni umbwaaaaa

  • @sumakibonde5152
    @sumakibonde5152 6 месяцев назад

    Eti wachambuzi wote Al.....?

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 6 месяцев назад

    israel wameisha mungu hayupo nao baadaya kiniingiza kwenye ushoga,mtayaonamengisana

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 6 месяцев назад

    Wachambuzi wa BBC wote ni wapinzani wa Israel.

  • @AbuJuhaifah-c8j
    @AbuJuhaifah-c8j 6 месяцев назад

    Hakuna izrail ameshambulia Iran karusha vidroni tu ambiwe kajibu ila hana mbwa kaogopa mchumba uyoo angejibu akaona angefanywa jivuuuu

  • @EzekielTipaa
    @EzekielTipaa 3 дня назад

    OMBI. LETU. KWA. DIRA. YA. DUNIA. SISI. WAFUGAJI. WA. KWEDIGOLE. KATA. KWEDIBOMA. KILINDI. TANGA. KUOMBA. DIRA. YA. DUNIA. ITANGAZE. MALALAMIKO. YETU. AMBAO. TUNALALAMIKIA. DIWANI. MAJABU. SEMBURE. WA. KATA. KWEDIBOMA. KWAKUSABISHA. UFUNJIFU. WA. AMA NI. KWEDIGOLE. KUFANYA. UCFAMIZI. YA. ENEO. YA. MALISHO. KWEDIGOLE. KWAHIYO. TUNAOMBA. DIRA. YA. DUNIA. ITANGAZE. MALALAMIKO. YETU

  • @domnickokaro665
    @domnickokaro665 6 месяцев назад

    Usoga mombasa na warabu sana 😢

    • @AdanHumbe-os8dg
      @AdanHumbe-os8dg 6 месяцев назад

      Ushoga Mombasa nani kapeleka NGO hizo unafumba macho ushoga unatokana na ninyi

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 6 месяцев назад

    Muungaano wa mmarekani na mashoga wenzake muisrael mfaransa mjerumani na mungereza na hao mashoga wakiarabu unaenda kusambaratika Vibaya sasa muungaano wenye nguvu duniani ni muungaano wa Urusi uchina Korea Iran na Afrika kusini na wengine huo ndio muungaano itakavo tawala dunia

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 6 месяцев назад

    Netanyahu ajitiebkidole ajinuse pamoja na hao mashoga wenzake

  • @masweto
    @masweto 6 месяцев назад

    makafiri subilini muone muirani atakavyonyonyolewa

  • @CharlesMlaponi-h6z
    @CharlesMlaponi-h6z 6 месяцев назад

    Wacheni wanunua watu wapigwe tu hata hawa dp tanzania watandikwe tu. Wakiachwa watafanya utumwa na mikataba ya ulaghai

    • @johnsinyinza7450
      @johnsinyinza7450 3 часа назад

      Asante charles mlaponi wewe nimwelewa utumwa unanukia.

  • @AtilioSanga
    @AtilioSanga 5 месяцев назад

    Daaa

  • @JosephBilombelejosbimtungwa
    @JosephBilombelejosbimtungwa 6 месяцев назад +1

    Mmepigika vibaya munoooo
    Tinawajua nyie boya
    Huu ni wakati wa kujeshimiana

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 6 месяцев назад

    Hata kule Israel makombola yalipenya hivyo hivyo

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 6 месяцев назад

    Hakuna wachambuzi hapo ni ushabiki

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 6 месяцев назад +1

    Israeli piga mashoga hao wa kiarabu mupaka waache ushoga na usagaji mbwa hao

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      nawajuwa walimtundika Mugu wawo msalabani

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 6 месяцев назад

    Hakika mfumo uneferi

  • @domnickokaro665
    @domnickokaro665 6 месяцев назад

    😂

  • @SadatiDauda
    @SadatiDauda 6 месяцев назад +1

    Nachukia viongozi wa israil kwa ukatili usio kifani dhidi ya wengine mungu angamiza viongozi wa israil pamaja wafuasi wao.

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu 6 месяцев назад

    Unajua tukiwa tunafuatiria bbc tutakuwa wajinga nikuwacha tu kufuatiria

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 6 месяцев назад

    BBC nyie ni haramia tena nyie ni wanafiki

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu 6 месяцев назад

    Awa sio walimuwa mungu wenu msalabani wapi sio awa

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 6 месяцев назад

      Pepo mchafu wewe kamuombee msamaha marehemu wenu mtume

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 6 месяцев назад

      Huyo wa msalabani ndio mwokozi wako na atakae kupa msamaha wa madhambi yako.

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      @@nicksonlyimo1562 aunipati kihivyo mungu akifa Dunia atamwachia nani

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu 6 месяцев назад

      @@prochesernest5439 mungu akifa Dunia atamwachia nani icho kijiyesu

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 6 месяцев назад

      @@HeboniBabu Sasa wewe hujui kua Mungu hategemei ufahamu wako Ili afanye anavotaka ,,Mungu hufanya apendavyo kwa lengo la kumpata mwanadamu kutoka kwenye Imani za ki baali ,Wewe umeona Mungu kua mwanadamu ni ajabu kwako ,lakini mchawi akigeuka kua paka au mbwa au upepo hiyo haikushangazi lakini ujue hata mwanadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu, hebu kasome Quran 2:97 halafu uone kitabu chako unachodhani ni Mungu uone kilitoka kwa nani.kama sii maajabu .

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 6 месяцев назад

    Kwanini kila usikiapo Ugaidi au Vita basiniwa Silamu. Au ni dini ya magaidi

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 6 месяцев назад +1

      Tatizo hujui historia ivo vita zote uliza nani anazo anzisha kenge wee

    • @AdamPaulo-x2k
      @AdamPaulo-x2k 6 месяцев назад +1

      Wasipofanya hivyo dini yao itakufa hivyo lazima watoe kafala

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 6 месяцев назад

      kila aneonewa duniani abapojitetea na kujilinda huitwa gaidi

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 6 месяцев назад

      ​@@AdamPaulo-x2kMh! mtakufa na chuki zenu uislamu unasonga mbele kadiri mnavyoupaka matope ndivyo ubaya wenu unavyojidhihirisha na watu kuukubali uislamu

    • @AdamPaulo-x2k
      @AdamPaulo-x2k 6 месяцев назад +1

      Waislamu wanaabudu wasichokijuwa na ukita ushahidi sema
      Wengi wenu mumefichwa ukweli na ndiyo maana MUNGU wenu hajui kujitetea mpaka mmutetee ,
      Ulishawahi kujiuliza kuchinja Kuna maana gani kwa mwislamu