Mimi ni muislam ila Saudi Arabia ndo kibaraka mkubwa wa unyonyaji,nchi zinazojiita za kiislam ndo nchi katili zaidi.Tofautisha uislam na nchi zenye waislam,Iran ni sect ya uislam baada ya mapinduzi yani ni nchi ambayo inaingozwa na "Shia" tukija kwenye "Sunni"Iran sio nchi ya kiislam. Jifunzi au soma kabla hujatia hoja,kwenye mambo makini kua makini.
Iran ndo nchi yenye wanasanyansi bora zaidi duniani.Afrika tumefumbwa snaa na washirika wetu wa ulaya na Marekani,Iran ni miongoni mwa nchi 5 hatari sana ktk Medani za kivita.Yaani Iran inaingia top 5 kwa nchi zenye uwezo mkubwa wa kivita duniani.
Haiwezi kua ya 5 Kaka.. namba 1 marekani 2 Russia Ila Kati ya marekani na Russia hapo sijajua kwa sasa Nani anakamata namba moja 3. China 4. Korea kaskazini 5. France 6. England 7. Germany ko huku na kuendelea ndo anaweza ingia Iran
@@tinejuxfrancis729siku nyingi Russia ni namba moja. SEMA marekani ana bajeti kubwa sana kwa sbb kambi anazo nyingi sana duniani kwa hio ni lazima azihudumie
Korea Kaskazink ukiachia kuwa na tishio la kinyuklia hawezi kuwa hata katika kumi bora. Korea Kusini yupo vizuri Kijeshi ingawa hana nyuklia. Usiwasahau India na Pakistan, Itali na Canada@@tinejuxfrancis729
iran amwekeza kwenye viwanda vya silaha tangu 1979...urusi anatumia drone alizouziw na Iran ukrain na Iran ndo nchi yenye best drone dunian...Iran Yuko vzr kaka, Israel mwenyewe anamjua
Ulinzi wa Mungu kwa waja wake ni Bora na hakuna wa kuufikia ndiyomana tuma amani zaid yao. Tujifunze kumshukuru MWENYEZI MUNGU MTUKUFU kwa neema kubwa ya maisha yenye amani na furaha anayotuj
Marekan mwenyew anamuhofia Iran,maana nyuma ya Iran Kuna urusi na Korea kusini.hivyo marekan anashindwa jinsi ya kumsadia Israeli kuipiga Iran maana anajua Iran washirika wake ni wababe pia
Iran sio waarabu hakuna nchi ya kiarabu zote ni wanafki,iran ni waajemi(Persians).wana historia ya elimu duniani kuna Dola iliitwa "Mesapotamia" teknologia nyingi sana na hesabu zilianzia Iran,kwa hiyo kahiyo kama ilivyo Israel ambayo sio waarabu hata Iran sio waarabu vilevile,waarabu kwa mashariki ya kati hawana historia ya tekinologia.
Ulinzi wa uongo kaeni kimya ushabiki bila kujitasimini amepigwa amili jeshi haminei watu nikushangilia achen ujinga wapingwa iran watanza wameonewa acheni utani hakuna chochote
Hapana hawa sio wale waisraeli wa enzi zile,hawa ni wajerumani walioletwa na umoja wa mataifa baada ya holocaust mauaji ya waisraeli yaliyo fanya Adolph Hitler
Kwani Iran hana technology? Sisi waafrika tumeanishwa kila kitu ni mzungu ndio maana mnatia shaka kwa Iran lkn Iran ipo juu sana kwa technology kwa sababu wao hawana propaganda za media kama magharibi
@@BakariZaid unajua bro mambo mengi sisi tunaangalia juu juu tu kumbuka Iran wanatengeneza hata drones hatari sana duniani lkn hawasemi...siku hizi uongo umebadilika kuwa ukweli lkn ukweli kuwa uongo...Lkn kwa mtu mwenye akili anaona nani ni mkweli na nani ni muongo kila siku propaganda heti Israel ina mifumo ya kivita kuliko yote duniani kwa kuwa media zao ndio zinatusemea bila hata uhakika na pia tunaaminishwa sisi ni maskini wakati sio kweli mwisho wao ndio huo sasa
@@EmmyRowland-ir5gh USA kachezeshwa na USA ili apunguze kasi ya kuuza sirahaa URUSI na ndio maana kambi za iran zimepigwa na Israel kwa kushirikiana na USA ,na USA kaongeza Budget kwa Ukraine huu mchezo autaki hasira
Mwaka 1991 tulisikia Iraq ikisifiwa hivihivi na makombora yake ya scud, kwamba Iraq ina uwezo mkubwa na askari wake Republican Guards eti walikuwa hodari kuliko jeshi lolote. Lakini walipoingia medani tulipata habari zote za kilichotokea, wakaufyata wakaondoka Kuwait. Mwaka 2003 Saddam akaja tena na propaganda zake tukasikia sifa nyingi za jeshi lake na silaha, lakini pale ndio akazimishwa kabisa. Vita ni mbaya. Ni bora wazungumze wayamalize. Lakini mazungumzo yakishindikana hakuna kiasi cha sifa kinachowezesha kushinda vita, meenye nguvu atashinda yatabakia madhara.
@@MachinjaShabani-c2f Nilichokiabdika kina maana sana ndomaana umekosa cha kujibu, Ukaingia kwenye makosa ya kuandika, Sawa nitajifunza ila ukweli utabakia ivo uwezi kusema unauwezo wa vita na ujawai kupigana vita, Ndo kinampoza Iran Baba yenu Wa Duniani
Naurusi ilipo ingia kwenye mtego wakuiingia urken ndio nikajuwa ndio mwanzo namwisho waukreni akuna misheni yoyote ambayo uingereza ilishawai kuikomaria ikashindikana maurusi imeingia kwenye 18 zafree mason uingereza na kitoto chake marekani ufaransa maujerumani Sasa apo razima urusi isambaratike TU ngojea mtaone wenyew
unaishi dunia ya zamani sana, Dunia hiyo ilishapita haipo tena, huoni afrika wanavyowatimua wamagharibi ..? Israel kuua raia mpaka leo hii miezi 7 kashindwa kukomboa mateka..😅
Naitaji kuuliza hii mifumo ya kuzuia inapokuwa imetoa kombola kwenda kuzuia mashambulizi ya adui inazuia angazi yan kulipuka? Sasa baada ya kulipuka yake makombola siyanashuka chin ya Ardhini kwamba ayalete madhara kama chuma chakavu baada ya kulipuliwa kudongokea watu au makazi?
Laminitis nanyie mnatudanganya sana katika Musiala ya kijeshi ni arepa I pekeyake ndo imebobea na nibajeti kubwa sana tusidanganyane wewe f35 umesikia lini imetumika katika mashambulizi maana ni Ndebele amblyopia haina Munda mrefu
Iran anajitekenya. Yeye kapiga makombora yake zaidi ya miatatu yakawa neutralized kwa asilimia 99. Israel kapiga drones hazizidi 10 na zimehit ground tena Karibu na maeneo nyeti ya nyukilia. Iran aliahidi angejibu mashambulizi haraka kama Israel angeshambulia. Sasa mpaka saivi kimya Irani amesanda 😂😂😂😂
Iran inanunua technology wkt Yaudi anatengeneza hapo ndo tofauti na utaona nani yupo na kujiamini na Yaudi amezuia na kupiga kirahisi na Iran amepata hasara haelewi ilivyokuwa
Ndugu Yngu Umesahau Ata Makombora Ya Iran Kwenda Israel Ukuona Israel Imepata Hasara Viwanja Ndege Za Kijeshi Na Miundo Mbinu Yake Pamoja Na Kambi Za Kijeshi Zinapata Hasara Kwa makombora Ya Iran Ama Ukuuona Wacha Kutetea Mahayahudi Ili Hali Mayahaudi Ni Mpinga Kiristo AMA Ujui😂😂😂 Na Ata Makombora Ya Israel Yakisababisha Hasara Hakuna Anae Bisha Ilo Japo Kila Mmoja Hakupata Hasara Kubwa Ni Hasara Ndogo Ndogo Tu
Israil kama si marekani na jordan na uwengereza na ufaransa na ujerumani aaaa wewe acha kudanganya watu juzi hapa alisaidiwa na tena juzi iran alitowa stork ya zamani makombora ya kizamani 😂 na makombora matano yaliiingia
Hakuna kitu hapo mifumo yote ya ilani analetewa na urusi na ndiyo maana anakuwa jeuli mwache Irani ajitutumue ila siku akikung"utwa msianze kulalamika kuwa anaonewa nyie twendeni tu
Iran kelele wataendelea kupigwa kila siku na magaidi wake F.35, F.22 NA B2 Haziweziangushwa ma makopo hayo kwani s 300 ya urusi imefeli hata s 400 haiweziangusha us na israel made f 35 Stealth bomber..
Izi Irani cjui china nakorea izi kwamarekani nitaka takata TU cc hii urusi atuiachii ngo Tena ngo tukiisambaratisha izi punje punje nivitu vyakupangusa tu
Usijidanganye hata siku Moja urusi sio Libya Wala sio Iraq sawa wale ni hatar kwa kutengeneza silaha na pia ni wataalamu wa vita sio kama hao mashoga wenzio na wewe unaounga mkono uchoko
Wakwanza hapa munipe mauwa yanguu ❤napenda sana simulizi yasauti hakuna kipindi chochote mutatowa niyache kukifatiliya
Napenda sana huu ushindani sjui Huwa nachelewa wap had NAMI nakosa no1 aloooh INABIDI nijitukane kwanza pumbavu zangu Kila siku nakosa no1 👍👍👍👍
Ewe mwenyezi mungu azidi kuwangamiza waiziraili na washilika waoo pamoja sana kila aduwi waisilam amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
Safi Sana sky unazidi kwenda vailo ongeza bidii zaidi
Sky uko very smart ok take %100 nawapa ninyiii sns
Iran upo vizuri huyo myaudi atafute pakwenda kuishi hapo alikaribishwa tuu
Irani super power
wewe hivi unaelewa maana ya superpower
Jamn😂😂😂@@tommorara8031
@@tommorara8031aelewe wapi ushabiki plus udin ndo vimemjaa😅😅😅😅
Nimefrah Sana kuona iinchi ya kiislam Ina tecnolojia kubwa namna hii
Huu udini ni tatizo kubwa sana ..mara uislam mara ukristo ni ujinga mtupu ndo maana vita haviishi
Mimi ni muislam ila Saudi Arabia ndo kibaraka mkubwa wa unyonyaji,nchi zinazojiita za kiislam ndo nchi katili zaidi.Tofautisha uislam na nchi zenye waislam,Iran ni sect ya uislam baada ya mapinduzi yani ni nchi ambayo inaingozwa na "Shia" tukija kwenye "Sunni"Iran sio nchi ya kiislam. Jifunzi au soma kabla hujatia hoja,kwenye mambo makini kua makini.
@@homeboybeyondtheborders4935hujielew ww
Iran ni Waislamu mashia wanaoruhusu Wanawake kulawitiwa.
Hata iweje mwarabu hataweza kumzidi mzungu 😂😂😂😂 pia subiri Israel iamuwe kupiga ndiyo mtaelewa huu mfumo uko sawa au hauko sawa.
Habari nzuri kwa irane.ila nami nafurahiya hiyo kujitaidi ya techilogies ya iran...
Kwa huruma za Wapalestina waliwakaribisha kumbe ni maadui zao masikini Mungu wape uvumilivu Wapalestina kwenye nchi yao wanateseka
Hii nihatari Israel watajuta
Nani anajuta sasa?
@@sarahgaula2220wewe shoga utajuta
Iran ndo nchi yenye wanasanyansi bora zaidi duniani.Afrika tumefumbwa snaa na washirika wetu wa ulaya na Marekani,Iran ni miongoni mwa nchi 5 hatari sana ktk Medani za kivita.Yaani Iran inaingia top 5 kwa nchi zenye uwezo mkubwa wa kivita duniani.
N🎉🎉🎉 🎉🎉 🎉 i
Haiwezi kua ya 5 Kaka.. namba 1 marekani 2 Russia Ila Kati ya marekani na Russia hapo sijajua kwa sasa Nani anakamata namba moja 3. China 4. Korea kaskazini 5. France 6. England 7. Germany ko huku na kuendelea ndo anaweza ingia Iran
@@tinejuxfrancis729siku nyingi Russia ni namba moja. SEMA marekani ana bajeti kubwa sana kwa sbb kambi anazo nyingi sana duniani kwa hio ni lazima azihudumie
Korea Kaskazink ukiachia kuwa na tishio la kinyuklia hawezi kuwa hata katika kumi bora. Korea Kusini yupo vizuri Kijeshi ingawa hana nyuklia. Usiwasahau India na Pakistan, Itali na Canada@@tinejuxfrancis729
safi sana Iran kama ulusi mpige uyo myaudi
Mrusi yuko nyuma ya hili na mfumo huu unayeyusha kila kitu!!
iran amwekeza kwenye viwanda vya silaha tangu 1979...urusi anatumia drone alizouziw na Iran ukrain na Iran ndo nchi yenye best drone dunian...Iran Yuko vzr kaka, Israel mwenyewe anamjua
❤❤Iran
Sisi bhana huku kwetu tunalindwa na mungu
😂sure
😂😂kwakweli
Ulinzi wa Mungu kwa waja wake ni Bora na hakuna wa kuufikia ndiyomana tuma amani zaid yao.
Tujifunze kumshukuru MWENYEZI MUNGU MTUKUFU kwa neema kubwa ya maisha yenye amani na furaha anayotuj
Anayotujalia katika nchi zetu
hataweza kuishinda Israeli kwa sababu hayuko kiunabii
Huyu mwamba yupo vizuri zaidi kwenye kuelezea mada, hana michambo😅😅😅
😢❤
Wenzetu wako mbele sana,sie huku muda wote "mama,mama aendelee,mama,mara ufisadi,wenzetu kila siku wanafanya vitu vya maana,dah sie ni hovyo sana
Yani hata silaha hatuna
@@MuasitiAboBakri-ew5muachana na siraha maji umeme barabara na matibabu ni shida
Leo tumeamini iran ni super power
Huu mfumo hata ISRAEL wanao mmesahau wakati Palestina wanaishambulia Israel waliyazibiti makombola ya Palestina yakiwa angani au mmesahau?
🔥🔥
Ok tuongelee kwetu na sisi
From Bujumbura to ponanyi
Marekan mwenyew anamuhofia Iran,maana nyuma ya Iran Kuna urusi na Korea kusini.hivyo marekan anashindwa jinsi ya kumsadia Israeli kuipiga Iran maana anajua Iran washirika wake ni wababe pia
Km 75 ni sawa na miles 46.6 embu rekebisha hapo
Hayaaaaa
.l
Sns Sina mpya
Sawa endeleeni kumjaza yetu macho
Utaelewa t in shaa Allah
Jamani sis afrika hatuna silaha yeyote
Silaha ye2 sisi ni Mangi Kimambi anatosha
Iran sio waarabu hakuna nchi ya kiarabu zote ni wanafki,iran ni waajemi(Persians).wana historia ya elimu duniani kuna Dola iliitwa "Mesapotamia" teknologia nyingi sana na hesabu zilianzia Iran,kwa hiyo kahiyo kama ilivyo Israel ambayo sio waarabu hata Iran sio waarabu vilevile,waarabu kwa mashariki ya kati hawana historia ya tekinologia.
Israel ni taifa la Mungu, hao Iran wataangamia.
😂😂😂 mbona mashoga wengi sasa kama kweli taifa la Mungu
Ulinzi wa uongo kaeni kimya ushabiki bila kujitasimini amepigwa amili jeshi haminei watu nikushangilia achen ujinga wapingwa iran watanza wameonewa acheni utani hakuna chochote
👍👊✌️.
Mosad wata uzima wakati wa mashambulizi ya IDF
Israel ngoja tuone sasa
Iran airbase yake zipo chini ya arizi ktk milima ndioko lran lnayokoficha ndege zake za kivita
Dunia ime badilika wale wanajuita police wa Dunia mambo yanaenda ku chenche
Poa sana
Sio teknolojia bali Iyo inaitwa uchawi wa kidhungu
😳
Ila nimeamin afric tuna akir ndogo sana. Kwahiyo hapo ninyi munaona tayar iran amepata ubav wa kusimama na islael.
Ungesema ubavu wa kusimama USA!!
Waongo irani ngojea wangojee kichapo kutoka kwa wajukuu wa Ibrahim
Hapana hawa sio wale waisraeli wa enzi zile,hawa ni wajerumani walioletwa na umoja wa mataifa baada ya holocaust mauaji ya waisraeli yaliyo fanya Adolph Hitler
Kwani Iran hana technology? Sisi waafrika tumeanishwa kila kitu ni mzungu ndio maana mnatia shaka kwa Iran lkn Iran ipo juu sana kwa technology kwa sababu wao hawana propaganda za media kama magharibi
Bro we unaelewa vizuri mjinga ni mjinga they don't understand we ..Iran ni moto bwana
@@BakariZaid unajua bro mambo mengi sisi tunaangalia juu juu tu kumbuka Iran wanatengeneza hata drones hatari sana duniani lkn hawasemi...siku hizi uongo umebadilika kuwa ukweli lkn ukweli kuwa uongo...Lkn kwa mtu mwenye akili anaona nani ni mkweli na nani ni muongo kila siku propaganda heti Israel ina mifumo ya kivita kuliko yote duniani kwa kuwa media zao ndio zinatusemea bila hata uhakika na pia tunaaminishwa sisi ni maskini wakati sio kweli mwisho wao ndio huo sasa
Huwezi kupambana na Israel
Nyakati zimeshafika na hata Uwe mbabe vipi IPO ck utapigika tu
ISRAEL
Wanapiga mkwara hamna kitu.
Utasema t siku
Wewe nimzushi nanimuongo na chaneli yako
Umelipuliwa
let wait and see maana mimi ninacho jua IRAN analeta siasa
True kabisa Iran inadanganywa na urusi 😅
@@EmmyRowland-ir5gh USA kachezeshwa na USA ili apunguze kasi ya kuuza sirahaa URUSI na ndio maana kambi za iran zimepigwa na Israel kwa kushirikiana na USA ,na USA kaongeza Budget kwa Ukraine huu mchezo autaki hasira
Waiziraely watengwe Dunia nzima kw ukatily wanavyofa nya
Mwaka 1991 tulisikia Iraq ikisifiwa hivihivi na makombora yake ya scud, kwamba Iraq ina uwezo mkubwa na askari wake Republican Guards eti walikuwa hodari kuliko jeshi lolote. Lakini walipoingia medani tulipata habari zote za kilichotokea, wakaufyata wakaondoka Kuwait.
Mwaka 2003 Saddam akaja tena na propaganda zake tukasikia sifa nyingi za jeshi lake na silaha, lakini pale ndio akazimishwa kabisa.
Vita ni mbaya. Ni bora wazungumze wayamalize. Lakini mazungumzo yakishindikana hakuna kiasi cha sifa kinachowezesha kushinda vita, meenye nguvu atashinda yatabakia madhara.
Sasa nchi moja inapigana na marekani na ulaya nzima we kuweza?Iraq lazima ishindwe .Silaha kubwa ya wazungu vitani wanaungana
Awa jamaa ni hatar ila ngoja tuone matukio yajayo...
Be blessed Israel
Hahahah
😂😂😂kitawaramba taifa teule mtaacha kuua raia
We mzee Acha uongo km75 zinakuaje mile200?
Mile ni kubwa kuliko km
hujaelewa hajamanisha hvyo sikiliza vzr.
Ww unaona hao wa iran wanaongeaga uwongo
IRAN AMNA KITU APO, NA URUSI SHOGA YAKE JUZI WAPEGWA BOMU KWENYE MAFUTA NA MFUMO UPO, WENYEWE WAKAE KWA KUTULIA KIPIGO KIPO PALE PALE
Kajifunze kuandika vizuri kwanza
@@MachinjaShabani-c2f Nilichokiabdika kina maana sana ndomaana umekosa cha kujibu, Ukaingia kwenye makosa ya kuandika, Sawa nitajifunza ila ukweli utabakia ivo uwezi kusema unauwezo wa vita na ujawai kupigana vita, Ndo kinampoza Iran Baba yenu Wa Duniani
Naurusi ilipo ingia kwenye mtego wakuiingia urken ndio nikajuwa ndio mwanzo namwisho waukreni akuna misheni yoyote ambayo uingereza ilishawai kuikomaria ikashindikana maurusi imeingia kwenye 18 zafree mason uingereza na kitoto chake marekani ufaransa maujerumani Sasa apo razima urusi isambaratike TU ngojea mtaone wenyew
Hamna kitu kama hicho
unaishi dunia ya zamani sana, Dunia hiyo ilishapita haipo tena, huoni afrika wanavyowatimua wamagharibi ..? Israel kuua raia mpaka leo hii miezi 7 kashindwa kukomboa mateka..😅
Unacheza na urusi wabaya kama jina lao wananyuklias hatari ya kuharibu dunia
Convert ya Km Mile haiku ivo mkuuKm 75 haiwez kuw saw na mail 200 duh umetupiga hapo Mile zilitakiwa zines chin ya 75 bana
Wewe kwani mjeda rudi Tz
Zinatakiw ziwe 46 miles
hakumaansha hvyo msikilize vzr utaelewa
Naitaji kuuliza hii mifumo ya kuzuia inapokuwa imetoa kombola kwenda kuzuia mashambulizi ya adui inazuia angazi yan kulipuka? Sasa baada ya kulipuka yake makombola siyanashuka chin ya Ardhini kwamba ayalete madhara kama chuma chakavu baada ya kulipuliwa kudongokea watu au makazi?
Kombola linayeyushwa juu angani
Uongo tupu juzi ndo kapigua na israeli na awakijinu na walisema wakipigua watajibu kimya kimezidi
Jifunze kuandika ndo uje tena kwa ground
Hakuna mfumo Bora hapa duniani zaidi ya iron dome,acheni upuuzi
haifiki Kwa patriot na s.400
😂😂😂😂Myahudi wew na kuona
Wewe umelala endelea kulala hivohivo
Ohooo upo Dunia gani ww ,
Hizo ni propaganda
Laminitis nanyie mnatudanganya sana katika Musiala ya kijeshi ni arepa I pekeyake ndo imebobea na nibajeti kubwa sana tusidanganyane wewe f35 umesikia lini imetumika katika mashambulizi maana ni Ndebele amblyopia haina Munda mrefu
Hakuna mfumo hapo ni.mabpmba tu.
Israel wamesha rusha
Iran anajitekenya. Yeye kapiga makombora yake zaidi ya miatatu yakawa neutralized kwa asilimia 99. Israel kapiga drones hazizidi 10 na zimehit ground tena Karibu na maeneo nyeti ya nyukilia. Iran aliahidi angejibu mashambulizi haraka kama Israel angeshambulia. Sasa mpaka saivi kimya Irani amesanda 😂😂😂😂
Wew itakuwa hujielewi
@@JamesJastin-bg1rx tulia hivyo hivyo na kujielewa kwako
wasema 99% wameyazuia sasa unalipiza kisasi cha nini wakat hujapigwa
@@JumaNgeni-ld5yb hela imetumika kuzuia hayo mabomu
@@JumaNgeni-ld5ybakikuosa mmalize ndo wanachokifanya Israel
Wabongo ni mashabiki maandazi kwenye hizi comments 😆😆.. na sisi Tanzania tuna mfumo gani??? Sababu tunachoka kushangaa ya watu.
Tanzania makomando wetu wanabeba kilo 70😅😅😅
WaIran bhn sas ilikuaje waka ingiliwa ile majuzi😅 wanambwembwe kinoma
Aujulizi idf yani jeshi la israel kudanganya dunia wawao wakubwa vita miezi kazaa tu msaada.
@@jumamussantuiche wa Palestine wanapigwa na hakuna msada unahisi nikwanini hakuna ane saidia😂 watoto wanavyouliwa kule gaza
Kwani mmarekani mwenyewe hakuwahi kuingiliwa na magorofa yakaporomoshwa? Urusi Mwenyewe hakuwahi kuingiliwa Nyumbani kwake? Huyo muisrael hajawahi kuingiliwa na kikundi kidogo cha Palestina bila kukamatwa hadi Leo? Wewe amini wanayosema acha mbwa mbwa mbwaa
@@annassuleiman4508 mbona km umepanik hivi hata huelewek unaongea nn😂
Mnagundua kitu ambacho wenzenu washavuka iyo level
😂😂😂😂😂
Sio kaboresha kapewa na urusi
Na China 🇨🇳 mkuu usisahau
Hauna maajabu
Iran inanunua technology wkt Yaudi anatengeneza hapo ndo tofauti na utaona nani yupo na kujiamini na Yaudi amezuia na kupiga kirahisi na Iran amepata hasara haelewi ilivyokuwa
Ndugu Yngu Umesahau Ata Makombora Ya Iran Kwenda Israel Ukuona Israel Imepata Hasara Viwanja Ndege Za Kijeshi Na Miundo Mbinu Yake Pamoja Na Kambi Za Kijeshi Zinapata Hasara Kwa makombora Ya Iran Ama Ukuuona Wacha Kutetea Mahayahudi Ili Hali Mayahaudi Ni Mpinga Kiristo AMA Ujui😂😂😂 Na Ata Makombora Ya Israel Yakisababisha Hasara Hakuna Anae Bisha Ilo Japo Kila Mmoja Hakupata Hasara Kubwa Ni Hasara Ndogo Ndogo Tu
Iran silaha zake nyingi wanazalisha wenyewe tofauti na Israel fatilia vzr kwa umkini
@@ayoubali-x6n
Hajui sisi tunaona ana vinu vya kizalisha ila anafany Siri sana
Ukiweza kukopi technology Kwa mtu yeyote jua una uwezo mkubwa sana. Note that
Israil kama si marekani na jordan na uwengereza na ufaransa na ujerumani aaaa wewe acha kudanganya watu juzi hapa alisaidiwa na tena juzi iran alitowa stork ya zamani makombora ya kizamani 😂 na makombora matano yaliiingia
Sumbawanga watu wanalindwa nandumba
Iran ni drama tu unawasifu bure hawana lolote, vitisho huwa vingi all those ballistic missiles, 5 countries wali targets Israel na waka fails wtf 😒🤣🤣🤣
Hakuna kitu hapo mifumo yote ya ilani analetewa na urusi na ndiyo maana anakuwa jeuli mwache Irani ajitutumue ila siku akikung"utwa msianze kulalamika kuwa anaonewa nyie twendeni tu
Iran kelele wataendelea kupigwa kila siku na magaidi wake F.35, F.22 NA B2 Haziweziangushwa ma makopo hayo kwani s 300 ya urusi imefeli hata s 400 haiweziangusha us na israel made f 35
Stealth bomber..
Izi Irani cjui china nakorea izi kwamarekani nitaka takata TU cc hii urusi atuiachii ngo Tena ngo tukiisambaratisha izi punje punje nivitu vyakupangusa tu
Sawa ngja nikuone ww na mashoga wenzako ila ni ivi the end of America and Israel and UN
Usijidanganye hata siku Moja urusi sio Libya Wala sio Iraq sawa wale ni hatar kwa kutengeneza silaha na pia ni wataalamu wa vita sio kama hao mashoga wenzio na wewe unaounga mkono uchoko
Iran kwa Israeli ni kama mkojo tu....
Iran hamna kitu hapo izo na f 16 hazioni kitu
Hakuna mifumo ilio testiwa kama za israel
Mifumo ya israil inatunguwa makombora local ya akina hamas😂
Kumalamamako wewe na Israel wako wauaji watoto kenge wewe
@@kunuzaljannah506 nenda shule kwanza mmejaa mashetani nyie na mtapigwa tu kazi kuandamana na kupiga kelele kama mijinga