PIGA UONE! Huu ndio mfumo mpya IRAN imeuboresha kujilinda na shambulio la ISRAEL na Maadui wengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 171

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar 6 месяцев назад +27

    Wakwanza hapa munipe mauwa yanguu ❤napenda sana simulizi yasauti hakuna kipindi chochote mutatowa niyache kukifatiliya

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 11 дней назад

      Napenda sana huu ushindani sjui Huwa nachelewa wap had NAMI nakosa no1 aloooh INABIDI nijitukane kwanza pumbavu zangu Kila siku nakosa no1 👍👍👍👍

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 6 месяцев назад +8

    Ewe mwenyezi mungu azidi kuwangamiza waiziraili na washilika waoo pamoja sana kila aduwi waisilam amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 6 месяцев назад +8

    Safi Sana sky unazidi kwenda vailo ongeza bidii zaidi

  • @Joshuajereman
    @Joshuajereman 6 месяцев назад +9

    Sky uko very smart ok take %100 nawapa ninyiii sns

  • @RamadhanRamdhan-i2c
    @RamadhanRamdhan-i2c 6 месяцев назад +16

    Iran upo vizuri huyo myaudi atafute pakwenda kuishi hapo alikaribishwa tuu

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 6 месяцев назад +12

    Irani super power

    • @tommorara8031
      @tommorara8031 6 месяцев назад +2

      wewe hivi unaelewa maana ya superpower

    • @fatumambaruku963
      @fatumambaruku963 6 месяцев назад

      Jamn😂😂😂​@@tommorara8031

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 9 дней назад +1

      ​@@tommorara8031aelewe wapi ushabiki plus udin ndo vimemjaa😅😅😅😅

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 6 месяцев назад +30

    Nimefrah Sana kuona iinchi ya kiislam Ina tecnolojia kubwa namna hii

    • @godfreypaul251
      @godfreypaul251 6 месяцев назад +4

      Huu udini ni tatizo kubwa sana ..mara uislam mara ukristo ni ujinga mtupu ndo maana vita haviishi

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 6 месяцев назад

      Mimi ni muislam ila Saudi Arabia ndo kibaraka mkubwa wa unyonyaji,nchi zinazojiita za kiislam ndo nchi katili zaidi.Tofautisha uislam na nchi zenye waislam,Iran ni sect ya uislam baada ya mapinduzi yani ni nchi ambayo inaingozwa na "Shia" tukija kwenye "Sunni"Iran sio nchi ya kiislam. Jifunzi au soma kabla hujatia hoja,kwenye mambo makini kua makini.

    • @YOUSUFHUGUGU
      @YOUSUFHUGUGU 6 месяцев назад

      ​@@homeboybeyondtheborders4935hujielew ww

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 6 месяцев назад

      Iran ni Waislamu mashia wanaoruhusu Wanawake kulawitiwa.

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 17 дней назад +1

      Hata iweje mwarabu hataweza kumzidi mzungu 😂😂😂😂 pia subiri Israel iamuwe kupiga ndiyo mtaelewa huu mfumo uko sawa au hauko sawa.

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 6 месяцев назад +1

    Habari nzuri kwa irane.ila nami nafurahiya hiyo kujitaidi ya techilogies ya iran...

  • @MuhamadJuma-l8h
    @MuhamadJuma-l8h 16 дней назад +2

    Kwa huruma za Wapalestina waliwakaribisha kumbe ni maadui zao masikini Mungu wape uvumilivu Wapalestina kwenye nchi yao wanateseka

  • @mkande
    @mkande 6 месяцев назад +22

    Hii nihatari Israel watajuta

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 6 месяцев назад +6

    Iran ndo nchi yenye wanasanyansi bora zaidi duniani.Afrika tumefumbwa snaa na washirika wetu wa ulaya na Marekani,Iran ni miongoni mwa nchi 5 hatari sana ktk Medani za kivita.Yaani Iran inaingia top 5 kwa nchi zenye uwezo mkubwa wa kivita duniani.

    • @MustafaChinanda
      @MustafaChinanda 6 месяцев назад +1

      N🎉🎉🎉 🎉🎉 🎉 i

    • @tinejuxfrancis729
      @tinejuxfrancis729 6 месяцев назад

      Haiwezi kua ya 5 Kaka.. namba 1 marekani 2 Russia Ila Kati ya marekani na Russia hapo sijajua kwa sasa Nani anakamata namba moja 3. China 4. Korea kaskazini 5. France 6. England 7. Germany ko huku na kuendelea ndo anaweza ingia Iran

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 16 дней назад

      ​@@tinejuxfrancis729siku nyingi Russia ni namba moja. SEMA marekani ana bajeti kubwa sana kwa sbb kambi anazo nyingi sana duniani kwa hio ni lazima azihudumie

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam 3 дня назад

      Korea Kaskazink ukiachia kuwa na tishio la kinyuklia hawezi kuwa hata katika kumi bora. Korea Kusini yupo vizuri Kijeshi ingawa hana nyuklia. Usiwasahau India na Pakistan, Itali na Canada​@@tinejuxfrancis729

  • @AbdallahHassan-vq9wq
    @AbdallahHassan-vq9wq 2 месяца назад +1

    safi sana Iran kama ulusi mpige uyo myaudi

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 19 дней назад +2

    Mrusi yuko nyuma ya hili na mfumo huu unayeyusha kila kitu!!

    • @hashimjumahassani5268
      @hashimjumahassani5268 16 дней назад

      iran amwekeza kwenye viwanda vya silaha tangu 1979...urusi anatumia drone alizouziw na Iran ukrain na Iran ndo nchi yenye best drone dunian...Iran Yuko vzr kaka, Israel mwenyewe anamjua

  • @LeilaKeni
    @LeilaKeni 3 дня назад

    ❤❤Iran

  • @TeacherBoda
    @TeacherBoda 6 месяцев назад +9

    Sisi bhana huku kwetu tunalindwa na mungu

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 6 месяцев назад +1

      😂sure

    • @MariaDaniel-qj1eu
      @MariaDaniel-qj1eu 6 месяцев назад +1

      😂😂kwakweli

    • @YOUSUFHUGUGU
      @YOUSUFHUGUGU 6 месяцев назад

      Ulinzi wa Mungu kwa waja wake ni Bora na hakuna wa kuufikia ndiyomana tuma amani zaid yao.
      Tujifunze kumshukuru MWENYEZI MUNGU MTUKUFU kwa neema kubwa ya maisha yenye amani na furaha anayotuj

    • @YOUSUFHUGUGU
      @YOUSUFHUGUGU 6 месяцев назад

      Anayotujalia katika nchi zetu

  • @emmanuelbusuti8800
    @emmanuelbusuti8800 5 дней назад +1

    hataweza kuishinda Israeli kwa sababu hayuko kiunabii

  • @mussawaziri4702
    @mussawaziri4702 6 месяцев назад +4

    Huyu mwamba yupo vizuri zaidi kwenye kuelezea mada, hana michambo😅😅😅

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 6 месяцев назад +4

    Wenzetu wako mbele sana,sie huku muda wote "mama,mama aendelee,mama,mara ufisadi,wenzetu kila siku wanafanya vitu vya maana,dah sie ni hovyo sana

    • @MuasitiAboBakri-ew5mu
      @MuasitiAboBakri-ew5mu 6 месяцев назад +1

      Yani hata silaha hatuna

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 16 дней назад

      ​@@MuasitiAboBakri-ew5muachana na siraha maji umeme barabara na matibabu ni shida

  • @millionsofreasons9806
    @millionsofreasons9806 8 часов назад

    Leo tumeamini iran ni super power

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 4 дня назад +1

    Huu mfumo hata ISRAEL wanao mmesahau wakati Palestina wanaishambulia Israel waliyazibiti makombola ya Palestina yakiwa angani au mmesahau?

  • @hamywaya3732
    @hamywaya3732 6 месяцев назад +2

    🔥🔥

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 6 месяцев назад

    Ok tuongelee kwetu na sisi

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 6 месяцев назад

    From Bujumbura to ponanyi

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 10 дней назад

    Marekan mwenyew anamuhofia Iran,maana nyuma ya Iran Kuna urusi na Korea kusini.hivyo marekan anashindwa jinsi ya kumsadia Israeli kuipiga Iran maana anajua Iran washirika wake ni wababe pia

  • @frankrowland2884
    @frankrowland2884 6 месяцев назад

    Km 75 ni sawa na miles 46.6 embu rekebisha hapo

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 6 месяцев назад +2

    Hayaaaaa

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 6 месяцев назад

    Sns Sina mpya

  • @kingcole60
    @kingcole60 6 месяцев назад +1

    Sawa endeleeni kumjaza yetu macho

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 6 месяцев назад

    Jamani sis afrika hatuna silaha yeyote

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад

      Silaha ye2 sisi ni Mangi Kimambi anatosha

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 6 месяцев назад +1

    Iran sio waarabu hakuna nchi ya kiarabu zote ni wanafki,iran ni waajemi(Persians).wana historia ya elimu duniani kuna Dola iliitwa "Mesapotamia" teknologia nyingi sana na hesabu zilianzia Iran,kwa hiyo kahiyo kama ilivyo Israel ambayo sio waarabu hata Iran sio waarabu vilevile,waarabu kwa mashariki ya kati hawana historia ya tekinologia.

  • @tsitingilembombo9995
    @tsitingilembombo9995 6 месяцев назад +1

    Israel ni taifa la Mungu, hao Iran wataangamia.

    • @salimsiri1183
      @salimsiri1183 6 дней назад

      😂😂😂 mbona mashoga wengi sasa kama kweli taifa la Mungu

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 6 месяцев назад

    Ulinzi wa uongo kaeni kimya ushabiki bila kujitasimini amepigwa amili jeshi haminei watu nikushangilia achen ujinga wapingwa iran watanza wameonewa acheni utani hakuna chochote

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 месяцев назад

    👍👊✌️.

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 11 дней назад

    Mosad wata uzima wakati wa mashambulizi ya IDF

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 6 месяцев назад +2

    Israel ngoja tuone sasa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 6 месяцев назад

    Iran airbase yake zipo chini ya arizi ktk milima ndioko lran lnayokoficha ndege zake za kivita

  • @HassanBashir-qn5jh
    @HassanBashir-qn5jh 6 месяцев назад

    Dunia ime badilika wale wanajuita police wa Dunia mambo yanaenda ku chenche

  • @MfalancaMomade
    @MfalancaMomade 6 месяцев назад

    Poa sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 6 месяцев назад

    Sio teknolojia bali Iyo inaitwa uchawi wa kidhungu

  • @AlexGwiha
    @AlexGwiha 18 дней назад

    Ila nimeamin afric tuna akir ndogo sana. Kwahiyo hapo ninyi munaona tayar iran amepata ubav wa kusimama na islael.

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 18 дней назад

    Waongo irani ngojea wangojee kichapo kutoka kwa wajukuu wa Ibrahim

    • @MuhamadJuma-l8h
      @MuhamadJuma-l8h 16 дней назад

      Hapana hawa sio wale waisraeli wa enzi zile,hawa ni wajerumani walioletwa na umoja wa mataifa baada ya holocaust mauaji ya waisraeli yaliyo fanya Adolph Hitler

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 6 месяцев назад +1

    Kwani Iran hana technology? Sisi waafrika tumeanishwa kila kitu ni mzungu ndio maana mnatia shaka kwa Iran lkn Iran ipo juu sana kwa technology kwa sababu wao hawana propaganda za media kama magharibi

    • @BakariZaid
      @BakariZaid 6 месяцев назад +1

      Bro we unaelewa vizuri mjinga ni mjinga they don't understand we ..Iran ni moto bwana

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 6 месяцев назад

      @@BakariZaid unajua bro mambo mengi sisi tunaangalia juu juu tu kumbuka Iran wanatengeneza hata drones hatari sana duniani lkn hawasemi...siku hizi uongo umebadilika kuwa ukweli lkn ukweli kuwa uongo...Lkn kwa mtu mwenye akili anaona nani ni mkweli na nani ni muongo kila siku propaganda heti Israel ina mifumo ya kivita kuliko yote duniani kwa kuwa media zao ndio zinatusemea bila hata uhakika na pia tunaaminishwa sisi ni maskini wakati sio kweli mwisho wao ndio huo sasa

  • @tsitingilembombo9995
    @tsitingilembombo9995 19 дней назад

    Huwezi kupambana na Israel

  • @sirpaza8513
    @sirpaza8513 13 дней назад

    Wanapiga mkwara hamna kitu.

  • @Muddy11mudMuddy
    @Muddy11mudMuddy 16 дней назад

    Wewe nimzushi nanimuongo na chaneli yako

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 6 месяцев назад

    Umelipuliwa

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 6 месяцев назад +2

    let wait and see maana mimi ninacho jua IRAN analeta siasa

    • @EmmyRowland-ir5gh
      @EmmyRowland-ir5gh 6 месяцев назад

      True kabisa Iran inadanganywa na urusi 😅

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 6 месяцев назад

      @@EmmyRowland-ir5gh USA kachezeshwa na USA ili apunguze kasi ya kuuza sirahaa URUSI na ndio maana kambi za iran zimepigwa na Israel kwa kushirikiana na USA ,na USA kaongeza Budget kwa Ukraine huu mchezo autaki hasira

  • @iroohassan8361
    @iroohassan8361 5 месяцев назад

    Waiziraely watengwe Dunia nzima kw ukatily wanavyofa nya

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 6 месяцев назад

    Mwaka 1991 tulisikia Iraq ikisifiwa hivihivi na makombora yake ya scud, kwamba Iraq ina uwezo mkubwa na askari wake Republican Guards eti walikuwa hodari kuliko jeshi lolote. Lakini walipoingia medani tulipata habari zote za kilichotokea, wakaufyata wakaondoka Kuwait.
    Mwaka 2003 Saddam akaja tena na propaganda zake tukasikia sifa nyingi za jeshi lake na silaha, lakini pale ndio akazimishwa kabisa.
    Vita ni mbaya. Ni bora wazungumze wayamalize. Lakini mazungumzo yakishindikana hakuna kiasi cha sifa kinachowezesha kushinda vita, meenye nguvu atashinda yatabakia madhara.

    • @cosmasjoshua1973
      @cosmasjoshua1973 6 месяцев назад

      Sasa nchi moja inapigana na marekani na ulaya nzima we kuweza?Iraq lazima ishindwe .Silaha kubwa ya wazungu vitani wanaungana

  • @shabanimgaya5621
    @shabanimgaya5621 6 месяцев назад

    Awa jamaa ni hatar ila ngoja tuone matukio yajayo...

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 6 месяцев назад +1

    Be blessed Israel

    • @MansorJr-z3i
      @MansorJr-z3i 6 месяцев назад +1

      Hahahah

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 6 месяцев назад +1

      😂😂😂kitawaramba taifa teule mtaacha kuua raia

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 6 месяцев назад

    We mzee Acha uongo km75 zinakuaje mile200?
    Mile ni kubwa kuliko km

    • @paschalmusa1721
      @paschalmusa1721 16 дней назад

      hujaelewa hajamanisha hvyo sikiliza vzr.

  • @kkhalifairumba2932
    @kkhalifairumba2932 6 месяцев назад

    Ww unaona hao wa iran wanaongeaga uwongo

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 6 месяцев назад +1

    IRAN AMNA KITU APO, NA URUSI SHOGA YAKE JUZI WAPEGWA BOMU KWENYE MAFUTA NA MFUMO UPO, WENYEWE WAKAE KWA KUTULIA KIPIGO KIPO PALE PALE

    • @MachinjaShabani-c2f
      @MachinjaShabani-c2f 6 месяцев назад

      Kajifunze kuandika vizuri kwanza

    • @johannesssamsonambogo4125
      @johannesssamsonambogo4125 6 месяцев назад

      @@MachinjaShabani-c2f Nilichokiabdika kina maana sana ndomaana umekosa cha kujibu, Ukaingia kwenye makosa ya kuandika, Sawa nitajifunza ila ukweli utabakia ivo uwezi kusema unauwezo wa vita na ujawai kupigana vita, Ndo kinampoza Iran Baba yenu Wa Duniani

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 6 месяцев назад +2

    Naurusi ilipo ingia kwenye mtego wakuiingia urken ndio nikajuwa ndio mwanzo namwisho waukreni akuna misheni yoyote ambayo uingereza ilishawai kuikomaria ikashindikana maurusi imeingia kwenye 18 zafree mason uingereza na kitoto chake marekani ufaransa maujerumani Sasa apo razima urusi isambaratike TU ngojea mtaone wenyew

    • @wolinet1
      @wolinet1 6 месяцев назад +1

      Hamna kitu kama hicho

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 6 месяцев назад

      unaishi dunia ya zamani sana, Dunia hiyo ilishapita haipo tena, huoni afrika wanavyowatimua wamagharibi ..? Israel kuua raia mpaka leo hii miezi 7 kashindwa kukomboa mateka..😅

    • @MuasitiAboBakri-ew5mu
      @MuasitiAboBakri-ew5mu 6 месяцев назад +1

      Unacheza na urusi wabaya kama jina lao wananyuklias hatari ya kuharibu dunia

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 6 месяцев назад

    Convert ya Km Mile haiku ivo mkuuKm 75 haiwez kuw saw na mail 200 duh umetupiga hapo Mile zilitakiwa zines chin ya 75 bana

  • @mbogelabairo4722
    @mbogelabairo4722 6 месяцев назад

    Naitaji kuuliza hii mifumo ya kuzuia inapokuwa imetoa kombola kwenda kuzuia mashambulizi ya adui inazuia angazi yan kulipuka? Sasa baada ya kulipuka yake makombola siyanashuka chin ya Ardhini kwamba ayalete madhara kama chuma chakavu baada ya kulipuliwa kudongokea watu au makazi?

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 6 месяцев назад

    Uongo tupu juzi ndo kapigua na israeli na awakijinu na walisema wakipigua watajibu kimya kimezidi

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 6 месяцев назад +2

    Hakuna mfumo Bora hapa duniani zaidi ya iron dome,acheni upuuzi

  • @tolbartkishamba3772
    @tolbartkishamba3772 6 месяцев назад

    Laminitis nanyie mnatudanganya sana katika Musiala ya kijeshi ni arepa I pekeyake ndo imebobea na nibajeti kubwa sana tusidanganyane wewe f35 umesikia lini imetumika katika mashambulizi maana ni Ndebele amblyopia haina Munda mrefu

  • @Michael-nl5nq
    @Michael-nl5nq 6 месяцев назад

    Hakuna mfumo hapo ni.mabpmba tu.

  • @RobertBitambaOfficial
    @RobertBitambaOfficial 18 дней назад

    Israel wamesha rusha

  • @raymrash
    @raymrash 6 месяцев назад +1

    Iran anajitekenya. Yeye kapiga makombora yake zaidi ya miatatu yakawa neutralized kwa asilimia 99. Israel kapiga drones hazizidi 10 na zimehit ground tena Karibu na maeneo nyeti ya nyukilia. Iran aliahidi angejibu mashambulizi haraka kama Israel angeshambulia. Sasa mpaka saivi kimya Irani amesanda 😂😂😂😂

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 6 месяцев назад

      Wew itakuwa hujielewi

    • @raymrash
      @raymrash 6 месяцев назад

      @@JamesJastin-bg1rx tulia hivyo hivyo na kujielewa kwako

    • @JumaNgeni-ld5yb
      @JumaNgeni-ld5yb 6 месяцев назад

      wasema 99% wameyazuia sasa unalipiza kisasi cha nini wakat hujapigwa

    • @raymrash
      @raymrash 6 месяцев назад

      @@JumaNgeni-ld5yb hela imetumika kuzuia hayo mabomu

    • @kingcole60
      @kingcole60 6 месяцев назад

      ​@@JumaNgeni-ld5ybakikuosa mmalize ndo wanachokifanya Israel

  • @Zenny89
    @Zenny89 6 месяцев назад

    Wabongo ni mashabiki maandazi kwenye hizi comments 😆😆.. na sisi Tanzania tuna mfumo gani??? Sababu tunachoka kushangaa ya watu.

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 6 месяцев назад

    Tanzania makomando wetu wanabeba kilo 70😅😅😅

  • @TygaBusiness
    @TygaBusiness 6 месяцев назад +3

    WaIran bhn sas ilikuaje waka ingiliwa ile majuzi😅 wanambwembwe kinoma

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 6 месяцев назад +1

      Aujulizi idf yani jeshi la israel kudanganya dunia wawao wakubwa vita miezi kazaa tu msaada.

    • @TygaBusiness
      @TygaBusiness 6 месяцев назад +1

      @@jumamussantuiche wa Palestine wanapigwa na hakuna msada unahisi nikwanini hakuna ane saidia😂 watoto wanavyouliwa kule gaza

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 6 месяцев назад +1

      Kwani mmarekani mwenyewe hakuwahi kuingiliwa na magorofa yakaporomoshwa? Urusi Mwenyewe hakuwahi kuingiliwa Nyumbani kwake? Huyo muisrael hajawahi kuingiliwa na kikundi kidogo cha Palestina bila kukamatwa hadi Leo? Wewe amini wanayosema acha mbwa mbwa mbwaa

    • @TygaBusiness
      @TygaBusiness 6 месяцев назад

      @@annassuleiman4508 mbona km umepanik hivi hata huelewek unaongea nn😂

    • @adamkibiego779
      @adamkibiego779 11 дней назад

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 6 месяцев назад +1

    Mnagundua kitu ambacho wenzenu washavuka iyo level

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 6 месяцев назад

    Sio kaboresha kapewa na urusi

    • @rajabhamis3494
      @rajabhamis3494 6 месяцев назад

      Na China 🇨🇳 mkuu usisahau

  • @California9451
    @California9451 6 месяцев назад

    Hauna maajabu

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 6 месяцев назад +1

    Iran inanunua technology wkt Yaudi anatengeneza hapo ndo tofauti na utaona nani yupo na kujiamini na Yaudi amezuia na kupiga kirahisi na Iran amepata hasara haelewi ilivyokuwa

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 6 месяцев назад

      Ndugu Yngu Umesahau Ata Makombora Ya Iran Kwenda Israel Ukuona Israel Imepata Hasara Viwanja Ndege Za Kijeshi Na Miundo Mbinu Yake Pamoja Na Kambi Za Kijeshi Zinapata Hasara Kwa makombora Ya Iran Ama Ukuuona Wacha Kutetea Mahayahudi Ili Hali Mayahaudi Ni Mpinga Kiristo AMA Ujui😂😂😂 Na Ata Makombora Ya Israel Yakisababisha Hasara Hakuna Anae Bisha Ilo Japo Kila Mmoja Hakupata Hasara Kubwa Ni Hasara Ndogo Ndogo Tu

    • @ayoubali-x6n
      @ayoubali-x6n 6 месяцев назад +2

      Iran silaha zake nyingi wanazalisha wenyewe tofauti na Israel fatilia vzr kwa umkini

    • @hansiselemani8025
      @hansiselemani8025 6 месяцев назад

      ​@@ayoubali-x6n
      Hajui sisi tunaona ana vinu vya kizalisha ila anafany Siri sana

    • @RamadhaniJumanne-ox3pr
      @RamadhaniJumanne-ox3pr 6 месяцев назад +1

      Ukiweza kukopi technology Kwa mtu yeyote jua una uwezo mkubwa sana. Note that

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 6 месяцев назад +1

      Israil kama si marekani na jordan na uwengereza na ufaransa na ujerumani aaaa wewe acha kudanganya watu juzi hapa alisaidiwa na tena juzi iran alitowa stork ya zamani makombora ya kizamani 😂 na makombora matano yaliiingia

  • @JumaLulanje-i2o
    @JumaLulanje-i2o 6 месяцев назад

    Sumbawanga watu wanalindwa nandumba

  • @EmmyRowland-ir5gh
    @EmmyRowland-ir5gh 6 месяцев назад

    Iran ni drama tu unawasifu bure hawana lolote, vitisho huwa vingi all those ballistic missiles, 5 countries wali targets Israel na waka fails wtf 😒🤣🤣🤣

  • @DaudPius-e8y
    @DaudPius-e8y 6 месяцев назад

    Hakuna kitu hapo mifumo yote ya ilani analetewa na urusi na ndiyo maana anakuwa jeuli mwache Irani ajitutumue ila siku akikung"utwa msianze kulalamika kuwa anaonewa nyie twendeni tu

  • @Michael-nl5nq
    @Michael-nl5nq 6 месяцев назад

    Iran kelele wataendelea kupigwa kila siku na magaidi wake F.35, F.22 NA B2 Haziweziangushwa ma makopo hayo kwani s 300 ya urusi imefeli hata s 400 haiweziangusha us na israel made f 35
    Stealth bomber..

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 6 месяцев назад

    Izi Irani cjui china nakorea izi kwamarekani nitaka takata TU cc hii urusi atuiachii ngo Tena ngo tukiisambaratisha izi punje punje nivitu vyakupangusa tu

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 6 месяцев назад +3

      Sawa ngja nikuone ww na mashoga wenzako ila ni ivi the end of America and Israel and UN

    • @AlexChonanga
      @AlexChonanga 6 месяцев назад

      Usijidanganye hata siku Moja urusi sio Libya Wala sio Iraq sawa wale ni hatar kwa kutengeneza silaha na pia ni wataalamu wa vita sio kama hao mashoga wenzio na wewe unaounga mkono uchoko

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 6 месяцев назад

    Iran kwa Israeli ni kama mkojo tu....

  • @papamukulu1045
    @papamukulu1045 6 месяцев назад

    Iran hamna kitu hapo izo na f 16 hazioni kitu

  • @zedekiahjulius6
    @zedekiahjulius6 6 месяцев назад

    Hakuna mifumo ilio testiwa kama za israel

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 6 месяцев назад +1

      Mifumo ya israil inatunguwa makombora local ya akina hamas😂

    • @kunuzaljannah506
      @kunuzaljannah506 6 месяцев назад

      Kumalamamako wewe na Israel wako wauaji watoto kenge wewe

    • @zedekiahjulius6
      @zedekiahjulius6 6 месяцев назад

      @@kunuzaljannah506 nenda shule kwanza mmejaa mashetani nyie na mtapigwa tu kazi kuandamana na kupiga kelele kama mijinga