Yericko Nyerere aelezea kwa kina chanzo cha vita kati ya Israel na Palestina

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 229

  • @FocusMsimbe
    @FocusMsimbe Год назад +4

    Mungu akubariki sana sana jericho ...unajua watu wengi wameidharau historia sasa wengi hawajui chochote...wanafuata mkumbo tu

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu Год назад +12

    SMS ni Media bora sana ongezeni bidii

  • @shebbylove3140
    @shebbylove3140 Год назад +1

    Asante saana Mr SKY kwaaa Habari muurwa kwakweli unatufafanulia vyema saana GOD BLEES U

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 Год назад +24

    Free Palestine 🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
    Viva Palestine🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Год назад +6

    Mungu ibariki Tanzania

  • @oldwaymajorgeneraldarmis8344
    @oldwaymajorgeneraldarmis8344 Год назад

    Historia nzuri sana inayoeleweka🎉 live from Nairobi

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 Год назад +2

    Nampenda sna yericko sna, tunavijana wachache wenye maono makubwa sna yeye mdogo wake joram mkumbi hawa watu ni vichwa sna. Tutumie mawazo yao kulijenga taifa letu pendwa tz tusiangalie vyama vyao tuangalie vitu vzr hawa watu wanamambo mazur kwa taifa

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Год назад +5

    Yitzhak Rabin ndiyo Waziri Mkuu pekee wa Israel aliekuwa na hekima ya kuzuia vita visivyo vya lazima

  • @yasiniyamamoto8174
    @yasiniyamamoto8174 Год назад +2

    Mwenyezi mungu tunakuomba marekani uiwashe moto na ulaya magharibi zinatesa nchi nyingi.

  • @filamuzeapp
    @filamuzeapp Год назад +3

    Nilikua nasubiri sana hii Video

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад +7

    Ukiwa umesoma au unasoma dini yako na history, utaelewa bila kumsikiliza mtu yoyote,,,,,hata wapelestina wana haki ya kujiinda

  • @shakiramoha9682
    @shakiramoha9682 Год назад

    Mungu ibariki Africa

  • @asyajey3479
    @asyajey3479 Год назад

    Asante sky kwa habari

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en Год назад +2

    Pasipo kujua hii simulizi .mtu asi comment kuhusu hii vita .sns juu

  • @hassanimangare8966
    @hassanimangare8966 Год назад +2

    Historia nzuri ninaelewa sasa.

  • @venerandapeter6222
    @venerandapeter6222 Год назад +3

    Mm nawashangaa sana wanao leta udini kwenye vita ya Israeli na palestrina na wanasoma vitabu vya dini inashangaza sana mungu awape mapatano mema damu zisizo na atia ziache kumwagika

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 Год назад

      Kuna baadhi ya watu ni wajinga wajinga hasa hawa watu wanaojifanya wanadini zao, wakidhani dini zao zitawafikisha mahali; basi kili kitu kikitokea hata kufikiri hawafikirii utashangaa wanaanza kuleta mambo ya udini, utadhani udini wao unamanufaa yeyote.

    • @aquinomsigwa6998
      @aquinomsigwa6998 Год назад

      Ni wapuuzi sana, na wajinga kutumikia nembo ya taifa na sawa na kuabudu sanamu

    • @abdullyathuman1425
      @abdullyathuman1425 Год назад

      Africa tume laaniwa kama c Din na ukabila hakuna kingine tunapigania

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 Год назад

      @@abdullyathuman1425 yani kitu kidogo Udini, cjui nani katuloga

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Год назад

    Asante kutupa habari muda kwa muda

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 Год назад +4

    Huyu jamaa ameandika vizuri, lkn skywalker umeipa nguvu nzuri sana.. inavutia.. Nyerere kaeleza vema sana. Huu mgogoro ni mgumu sana. Na watu tutapishana sana kwenye mitazamo.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +10

    Uyi yericko ma mizimu yake huwaga yuko vizuri sana yani sasa ndio nimeelewa vizuri kwann hii vita haijawahi kuisha 😢😢😢

  • @OmarOmar-vf9dv
    @OmarOmar-vf9dv Год назад +1

    Tumekuelewaa

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Год назад +10

    Nabii Ibrahim (baba wa imani) yeye ni muarabu na kazaliwa iraq na hao waisrail kwenye qur'an hawana radhi kwani wamemuasi mungu kupita kiasi na hawamkubali nabii Issa wala Nabii Muhammad SAW na hawa wanaojiita JUDAISAM ndio wafuwasi wa shetani wametokana na mtoto wa nabii Yakuub yule kaka mkubwa alomtumbukiza Nabii Yusuf kisimani na ndio wao wanaowaongoza us,uk na ufaransa na ndio walokuja Africa wakawapiga na kuwauwa waafrika na kuwatia kwenye dini yao ya ukristo kwa nguvu tuhitahidi kuwa mbali na wamarekani na uk hawa watu ni vaiki ndio historia yao wanatugombanisha ili watutawale waafrika tuwamke nchi za us,uk kwisha zake wanafanya mipango ya kukimbilia nchi za Afrika tusiwe wabishi kama tulovozowea tuwe kitu kimoja hawa watu hawatupendi kabisa kutuona duniani

    • @mnaratailoring6346
      @mnaratailoring6346 Год назад +1

      😂

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      Mmh historia Gani hio ndugu😅😅

    • @shadiidinyo1657
      @shadiidinyo1657 Год назад

      Si kweli Nabii ibrahim hakuwa muarabu, na mitume waarabu walikuwa 4 tu,
      1: Muhammad saw
      2: Hud
      3: Saleh
      4: Shuhayb

    • @salmaabdu5011
      @salmaabdu5011 Год назад

      @@annasolomon9855 soma utaifahamu

    • @salmaabdu5011
      @salmaabdu5011 Год назад

      @@shadiidinyo1657 alikuwa mtanzania hii ni asili yetu mbumbumbu halafu wakaidi ndipo yanapotufika

  • @charleslusekelo
    @charleslusekelo Год назад

    Good bro❤❤

  • @ReunionHope-d7s
    @ReunionHope-d7s Год назад

    Ukitaka kuzungumzia historia ya Taifa la Palestina unawajibika kutumia vitabu vi 5vya Allah SW.
    Mnakosea sana kutumia vitabu vyenye mikono ya waandishi wa kizayuni

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Год назад +2

    Marekani ndiyo chanzo cha migogoro

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Год назад +1

    Wayahudi wacjipe moyo eti watageuza gaza vifusi. Hapo hatoki mtu wala kusalimu bora kufa kuliko kadhia y wayahudi.

  • @Kachelo96
    @Kachelo96 22 дня назад

    Ajii chochote eliko Nyerere nimpumbavu 1 tu mgogoro wawayaudi na warabu umlianzia pale mtume wawaislam alipotaka wayaudi wamuamini waripokataa tu ndipo wakaanza kusumbuliwa tokea apo ndio mzozo mpaka Leo hii

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Год назад +3

    Swadakta Yericko,, ila hapa Utaonekana wewe ni mchochezi

  • @luluamin1388
    @luluamin1388 Год назад

    Sns ibrahimu hajua muhebrew umekosea

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +3

    PALESTINA ndo taifa la Mungu japo ukweli hawataki kuusema

  • @BADILIKA
    @BADILIKA Год назад

    Bajeti ya Misri, Marekani inachangia fungu tangu siku hizo za Abdunasir, Hiyo ilikuwa Movie tu ya Kuigiza

  • @JabirHaji-vj2nf
    @JabirHaji-vj2nf Год назад +5

    Wamekuwa ni waoga izrael mpaka wasaidiwe na makafiri wezao allah awasaidie palestina

  • @ReunionHope-d7s
    @ReunionHope-d7s Год назад

    Jamani mbona mnapotosha? Mnatumia vitabu gani ?

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 Год назад +3

    Taifa teule la Bwana. Nitabariki wote watakao kubariki.

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @BADILIKA
    @BADILIKA Год назад +4

    Israel haijawahi kuwa peke yake, Hata siku moja

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Год назад +5

    Dini na Siasa haziwezi kutenganishwa abadani

    • @kenansyprian6954
      @kenansyprian6954 Год назад

      Wewe hujui lolote. Kasome kitabu kinaitwa The Secret of Terrorist by Bill Hughes na The national Sunday Law by Jan Marcusen utatoa huo uchafu kichwani humo.

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 Год назад

      @@kenansyprian6954 Ww unavyobisha unadhani Crusade War na Jihad War zilikuwa zina lengo la Kidini pekee yake?

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Год назад

      ​@@kenansyprian6954wewe akili mavi

  • @yohana1242
    @yohana1242 Год назад +1

    Kwaio myahudi ni mzee wa kupora

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Год назад +5

    Wakati wa kuuwawa waisrael umefika huu ni ushindi mkubwa Kwa wapalestina alhamdlillah

    • @simonnembomadola7512
      @simonnembomadola7512 Год назад +2

      Sio kirahisi,itakuwa vita kuu ya Dunia ikiwa Israel itazidiwa

    • @raymrash
      @raymrash Год назад +1

      Hakuna kitu kama hiyo kaka

    • @issayarashid9845
      @issayarashid9845 Год назад +4

      Taifa la MUNGU lile hakuna Taifa linaiweza Israel... Lile ni Taifa Teule... Kitakacho wakuta hao Wapalestina utaniambia

    • @neemambotola1139
      @neemambotola1139 Год назад +3

      Israel wamepewa na mungu ndio maana hao warabu hua wanashindwa ,,wanatetewa na mungu Wana Wana Israel.

    • @marklekasango9300
      @marklekasango9300 Год назад +2

      Ata wakiungana na Put Israel is beg nations

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 2 месяца назад

    Huyo yeriko nyerere ni mbwa kama mbwa wengine tu Hana anachokukijua

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td Год назад +2

    Skay nimependa san iyihabali munguakubaliki san from 🇧🇮👊❤️

  • @chrisostomruta-cw3zf
    @chrisostomruta-cw3zf Год назад

    We hauna uchambuzi.hauko neutral maana umeshajitanbulisha unayemuunga mkono

  • @salimothmanhoza
    @salimothmanhoza Год назад +3

    TUSUBIRI tuone ,auaye Kwa upanga atakufa Kwa upanga

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Год назад

    ASANTE SANA

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Год назад +2

    UKIMKARIBISHA MYAHUDI KWAKO, JIANDAE KILASIKU ATAMEGA KIDOGOKIDOGO HADI APATE ENEO. MAANA HAWANA ENEO LA KIASILI. DUNIANI . UKIZIBAATU ATAAMKA ATA MAFASI YA CHOO HUNA.

  • @safarinyama9764
    @safarinyama9764 Год назад +2

    🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇰🇼🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩

  • @BereKimas
    @BereKimas Год назад

    kk tafadhali sana tena sana kk nakuomba sasa tena tafadhali kaka yangu ninacho kuomba ni hiki kwanini hiyo historia Iran haimo

  • @rowlandmcharo5437
    @rowlandmcharo5437 Год назад

    Huyo yeriko nyerere ni nani na US na urusi wanamfahamu akae kimya asitafute kiki anajifanya mjuaji kumbe anasoma vitabu vilivyotungwa na wazungu.

  • @BADILIKA
    @BADILIKA Год назад

    Vita vya Siku6 ni Maigizo

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Год назад +1

    May God bless world may God bless Tanzania 🇹🇿🙏🙏

  • @BADILIKA
    @BADILIKA Год назад

    Vita vya Mwaka 1967 na Mwaka 1973 ni Maigizo tu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад +1

    Hivi hatokei kiumbe akawasha vyombo pale WDC na wao wafurahi pamoja na wanyonge

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 Год назад

    Israel Baba lao

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 Год назад

    Andika na.hizo kwenye msg

  • @mdl6463
    @mdl6463 Год назад +4

    Nasema hivi sijawahi fika huko mimi alafu sina ndungu kwahiyo piganeni muheshimiane tu mimi nimechoka kusuluhisha sasa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Год назад +2

    Mungu hatumi watu. Sisi watu tunatumana. Au unaweza kutumwa na viumbe wengine. Hawa walikua wanatumwa na wafalme wa kwao. History hakuna watu wa Israel waliofanywa watumwa pale Misri. Mkishindwa kuelewana msimuuingize Mungu kwenye ushenze wenu wenye akili mkashindwa kuzitumia

    • @magangadashina2176
      @magangadashina2176 Год назад

      Kuhusu watu kutumwa na Mungu,mfano uko Kwa mitume wa yesu kristo.walitumwa sehemu mbalimbali kuifikisha injili .Yona alitumwa na Mungu ninawi n.k

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 Год назад

      Mpango wowote wa mungu kwa binadam hutumia watu mfano musa kuwatoa wana wa israel alitumwa musa
      Mungu katika garika alitumika nuhu mungu sodoma na gomora alitumika rutu kasema upya bible

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    👊✌️👍.

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail14 Год назад

    Yani ww kweli unafatilia kiundani zaidi

  • @vononlinetv6396
    @vononlinetv6396 Год назад

    Nitapataje vitabu vya huyo jamaa Yeriko nyerere

  • @DAVIDKISWAGA
    @DAVIDKISWAGA 2 месяца назад

    Basi wachokozi ni waarabu na wakigwa wasilie

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад

    Subhanallah

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 Год назад

    Walimu wa history sec na vyuo tufahamiane, yeriko katisha mbaya

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Год назад +2

    Kwani vita vile vya zamani wafilisti na Israel kwenye Bible ndo ivi vya leo ao ?

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Год назад +2

    story imenzia mwisho !!

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Год назад

    Aache uongo huo vita tunaijua tangia enzi za mababu zetu

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 11 месяцев назад

    Free Palestine

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 Год назад +1

    Muite DjSma asikilize na huku,

  • @ClaudKimario-xy7en
    @ClaudKimario-xy7en Год назад

    Lakini israel ipo tangu enzi kabla ya uislam

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 9 месяцев назад

    Huyu sindo aliesem waisrael wana haki ya kuuwa watu ambao hawan hatia Palestine, hajielewi huyu.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад +1

    Nasubiri mwiso wa mchezo tu hapa
    Halafu tukutane hapa tena

  • @saidbakar-qo6ri
    @saidbakar-qo6ri Год назад +2

    SASA NIMEELEWA KUMBE ISRAEL ILIWAPIGA WAARABU KWA KUVIZIA KWA MSAADA WA MAREKANI

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Год назад +1

    Sasa nimeiyelewa vizuri Sana hii story nilikua naifaamu ndivyo sivo kwa TV yanu 👋Bravo Sasa kama tupo mbari tutapata kitabu vipi ndugu????? 🇹🇿🇬🇷👍👋✌️

  • @w4058
    @w4058 Год назад +2

    Allaah atasimama na Wapalestine simama na Mashetani wenzako

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail14 Год назад

    Yani uyu jamaa yuko sahii kabisa

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Год назад +2

    Watusaidie kuuwa Samia na kikwete tutawashukuru sana

    • @mohamedally121
      @mohamedally121 Год назад +2

      Umeshiba makande sio

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +2

      daaah sasa wewe upo hapa hapa kwa nini huwauwi tu mara moja

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Год назад

      Ata ukianza kuuliwa ww pia itakua vzur 2

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 Год назад

      Hekma na busara muhimu zikaongoza

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      ​@@fatmafatu1128ameongea kitu chema Sana hujui hao watu wanayolitesa Taifa la Tanzania 😂

  • @johnmalembeka3546
    @johnmalembeka3546 Год назад +3

    Ninacho hiki kitabu

    • @BADILIKA
      @BADILIKA Год назад

      Hakuna uchambuzi wa Kisomi humo, aliyoaandika ni yaleyale yanayotangazwa na BBC na CNN

  • @aloybuaidi4640
    @aloybuaidi4640 Год назад +1

    Hii mbona ni story ambayo inatukiwa na kila muandishi hivi kaandika nani. Kila mtu anakopy exactly kile kile. Yani wanatudia mule mule kama msm.

  • @peaceofmind7036
    @peaceofmind7036 Год назад +5

    Mungu Ibariki Israel

    • @konshazikonsha6180
      @konshazikonsha6180 Год назад +4

      Aibariki kwa lipii?haya sasa nendeni mkazike 600 hundreds down 👇 nahizo ni hesabu za faster faster
      Ukiwa shetani Mungu analipa hapa hapa duniani
      Israel inauwa wapalestina kila siku hakuna anaeongeaa
      Acha waipate joto ya jiwee

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      ​@@konshazikonsha6180wew unaongea hivo mbona walibya na waturuki na siria walikufa maefu kwa kwa mjanga ya Mafuriko na matetemeko hakuna alieshangilia Bali tuliwambea .. hata Palestine wamekufa 400 hio ni hesabu ya faster .. subiri utapata majibu mapema tu .. hio ni Israel .😊😊

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Год назад +3

      Tatiizo wabongo wanajua ety Israel ni wakristo, hao wayahud hata hawaamin yesu, na wanawapinga wakristo vibaya mno,, wewe unasema Mungu ibarik Israel wakat inawapinga wakristo,. Sema tu Israel ina wakristo 2%,,,, ila waislam wengi 18% wayahud wa dini 70% ,,,,

    • @faisaloaljabry6400
      @faisaloaljabry6400 Год назад +2

      Lakini utashangaa unakuta mtanzania anawasaport waisrael akidhani ni Wakristo

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Год назад +1

      @@faisaloaljabry6400 😂, umeona eeh, watu elimu hawana, ety nchi ya ahad wakat hata wakristo huko hakuna ni asilimia mbili tu Israel nzima,

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Год назад

    Haya malipuko ya weekend yametokea kwa ghafla sana bila kutarajia, mpaka sasa watu watu 1000 wamekufa

  • @jamesmarumbo6820
    @jamesmarumbo6820 Год назад

    Wote mabeberu tu sitaki ushabiki wakijingq

  • @BADILIKA
    @BADILIKA Год назад

    Jamaa kaandika yaleyela yanayo zungumzwa na BBC na CNN hakuna Uchambuzi wa Kisomi humo

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Год назад +2

    this history shows you how israel will never be taken down no matter what, if you know you know

  • @pierrebigirindavyi4378
    @pierrebigirindavyi4378 Год назад

    Imagine Kabisa nchi ya Yesu inapigana vita???? Kwanini wayahudi wasiombe mungu?!? Kwani hawasomi vitabu???

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад

    Free Palestine 😢

  • @samwelmushi6162
    @samwelmushi6162 Год назад +6

    Ninasimama na waisraeli, na kamwe haitadondoka ndoto zenu kamwe hazitatimia hivyo ndivyo ilivyo na historia ndio ilivyo na ndivyo itakavyokuwa

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 Год назад +3

    I trust Benjamin Netanyahu lazima kazi ifanyike uki ua Israel 1, tegemea kwako 10 watakufa, Alaaniwe anaye ilaani Israel na Abarikiwe anye ibariki Israel 🇮🇱 ❤

  • @kevindesigner6795
    @kevindesigner6795 Год назад

    Russia anaunga upande hupi

  • @chengeson
    @chengeson Год назад +1

    ilo ni taifa teule

    • @namkunarashidi6738
      @namkunarashidi6738 Год назад

      Uteule walishakataa hakuna anaepinga kuwa Israeli lilikua taifa teule ila kwa sasa sio teule tena acheni kukariri maandishi
      Yaan mfano wake baba ampe mtoto kila kitu alf mtoto akatae ataendelea kubembeleza kwaiyo ule uteule ulikua kipindi cha moses na walipewa kila kitu ila mwishowe wakavunja again na Mungu

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      ​@@namkunarashidi6738ahadi yake Mungu Huwa haibadiliki daima.. sisi tunajua Bado ni Taifa teule kwa kuwa Mungu hajaitengua hio Kauli .. 😅😅

    • @chengeson
      @chengeson Год назад

      Niteule

  • @BereKimas
    @BereKimas Год назад

    Historia ninayo itaka unipe sababu Iran haikuwemo haya asante nipo kigali

  • @shau78
    @shau78 Год назад +1

    kila mtu anawaza kivyake. huo ndio ukweli. nashangaa kwa nn watu wanakuwa na lugha chafu dhidi ya wale wanaowaza tofauti na wao. hapo kwa kweli Yeriko Nyerere umeniangusha. ni lazima tuheshimu mawazo ya watu wengine. na sio lazima wewe unavyowaza ndio sahihi. asiekosea kuwaza ni Mungu peke yake. alafu naona kama maPro Putin wengi ni watu wanaotumia lugha kali sana. nimeona mara nyingi youtube.
    alafu kama kifo ni adhabu basi wote kuna siku tutaadhibiwa kwa sababu wote kuna siku tutakufa.

  • @BereKimas
    @BereKimas Год назад

    Sasa unipe sababu Iran haikua kwenye hiyo vita ambayo ili jumuisha nchiii za kiarabu

  • @yohana1242
    @yohana1242 Год назад

    Palestine washachok kunyanyasw kwaio acha ajitetee

  • @ndebeukae
    @ndebeukae Год назад

    Ewe molla tunusulu

  • @w4058
    @w4058 Год назад

    Naam kabisa na watakwenda kama wao wanavyo wauwa Wafalestine kila mara na watu kimnya lakini leo kapigwa firimbi nyingi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      Kila mtu moyo wake upo Israeli.. na ujue unapoambiwa Taifa la Mungu kubali😊

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Год назад +5

    Hamas wamefanya kosa kubwa Sana watagogwa kweli kweli.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Год назад +2

      Ni suala lamuda
      Wataomba pooo

    • @Jerie-q1c
      @Jerie-q1c Год назад

      jamaa wameanza
      wao

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 Год назад

      ​@@Jerie-q1chamujui mateso wanayopitia tangia 1948. Israeli ndio magaidi

    • @Jerie-q1c
      @Jerie-q1c Год назад

      Ni kweli. lkn ukichunguza chanzo cha huu mzozo wao kuna mambo mengi sana ndani yake.
      Na fun enough ni vita ya. ndugu wawili wa baba mmoja mama mbalimbali

  • @evancemwanasenga8200
    @evancemwanasenga8200 Год назад

    Tuliopita na kitabu cha shibitali history2 tujuane

  • @myahudi6951
    @myahudi6951 Год назад +1

    Israel will not be defeated in any means.! Wait the time will tell.

  • @kidybenisrael6341
    @kidybenisrael6341 Год назад +13

    Unabii ni ule ule... "No peace until the true nation of Israel i.e Bantus are restored to their hidden identity." Now the fake jews/israelis (as written in Revelation 2:9 & 3:9) are in War. Hawa ndio wezi walioiba Kitambulisho chetu na kujifanya wao ndio wanaisraeli na kutunga taifa la Israeli la uwongo mwaka 1948, tofauti na taifa la kweli la Israeli lililokimbilia sub sahara Afrika baadaya ya Yesu alivyosulubiwa na 70 A.D Hekalu letu likabomolewa bila kubaki jiwe juu ya jiwe kama alivyotabiri Yesu kwenye Luka 21:6 🕎

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад

    Israel 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 ❤❤❤🤝🤝🤝

    • @kautharsalat6449
      @kautharsalat6449 Год назад

      Wezio hawaamini yesu wala nini Pole kwa kusapoti

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 Год назад

      Mbona kimbelembele nimemtaja yesu,mbona unanyege mshindo ivyo

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Год назад

      ​@@kautharsalat6449sasa Yesu kafanyaje we mwehu nini? Islael chapeni kabisa hao magaidi parestina

    • @kautharsalat6449
      @kautharsalat6449 Год назад

      Wew ndiyo hauna akili ndugu yangu

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 Год назад

      @@anastaziamathias8861 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Год назад

    NONSENSE ...

  • @malandojames5151
    @malandojames5151 Год назад

    Israel ni taifa takatifu, hakuna awezaye kulifuta taifa hilo kwenye ramani ya dunia. Israel lazima ishinde tu vita hivyo, maana vita vyake ni sawa na kupigana na Mungu mwenyewe. Mungu ibariki Israel. Tuiombee Israel na watu wake.

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 Год назад +1

      Taifa takatifu la watu gani? Kama hao hao ndio mnao amini walimsulubu yesu, na hakuna ukristo huko tafuta bando kubwa ndugu ujifunze mengi.

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 Год назад

      ​@@mzalendomzalendo2567hawajielewi hawa watu. Wanasherekea warabu kufa, sababu wanadhani wapalestina ni waislamu kumbe wako wakristo na wayahudi ambao ni wapalestina. Hawajui Yesu mwenyewe alizaliwa palestine. Taifa takatifu halifai kuleta uhasama duniani. Hao ni wahamiaji haramu kutoka ulaya wanaojiita wayahudi

    • @rehemaihonde7258
      @rehemaihonde7258 Год назад

      Taifa takatifu 😢 kweli nina uwa watoto hapana kwani mungu anasema watu wauliwe ambao wahana makosa kweli inauma sana