Nampenda sna yericko sna, tunavijana wachache wenye maono makubwa sna yeye mdogo wake joram mkumbi hawa watu ni vichwa sna. Tutumie mawazo yao kulijenga taifa letu pendwa tz tusiangalie vyama vyao tuangalie vitu vzr hawa watu wanamambo mazur kwa taifa
Mm nawashangaa sana wanao leta udini kwenye vita ya Israeli na palestrina na wanasoma vitabu vya dini inashangaza sana mungu awape mapatano mema damu zisizo na atia ziache kumwagika
Kuna baadhi ya watu ni wajinga wajinga hasa hawa watu wanaojifanya wanadini zao, wakidhani dini zao zitawafikisha mahali; basi kili kitu kikitokea hata kufikiri hawafikirii utashangaa wanaanza kuleta mambo ya udini, utadhani udini wao unamanufaa yeyote.
Huyu jamaa ameandika vizuri, lkn skywalker umeipa nguvu nzuri sana.. inavutia.. Nyerere kaeleza vema sana. Huu mgogoro ni mgumu sana. Na watu tutapishana sana kwenye mitazamo.
Nabii Ibrahim (baba wa imani) yeye ni muarabu na kazaliwa iraq na hao waisrail kwenye qur'an hawana radhi kwani wamemuasi mungu kupita kiasi na hawamkubali nabii Issa wala Nabii Muhammad SAW na hawa wanaojiita JUDAISAM ndio wafuwasi wa shetani wametokana na mtoto wa nabii Yakuub yule kaka mkubwa alomtumbukiza Nabii Yusuf kisimani na ndio wao wanaowaongoza us,uk na ufaransa na ndio walokuja Africa wakawapiga na kuwauwa waafrika na kuwatia kwenye dini yao ya ukristo kwa nguvu tuhitahidi kuwa mbali na wamarekani na uk hawa watu ni vaiki ndio historia yao wanatugombanisha ili watutawale waafrika tuwamke nchi za us,uk kwisha zake wanafanya mipango ya kukimbilia nchi za Afrika tusiwe wabishi kama tulovozowea tuwe kitu kimoja hawa watu hawatupendi kabisa kutuona duniani
Ukitaka kuzungumzia historia ya Taifa la Palestina unawajibika kutumia vitabu vi 5vya Allah SW. Mnakosea sana kutumia vitabu vyenye mikono ya waandishi wa kizayuni
Ajii chochote eliko Nyerere nimpumbavu 1 tu mgogoro wawayaudi na warabu umlianzia pale mtume wawaislam alipotaka wayaudi wamuamini waripokataa tu ndipo wakaanza kusumbuliwa tokea apo ndio mzozo mpaka Leo hii
Wewe hujui lolote. Kasome kitabu kinaitwa The Secret of Terrorist by Bill Hughes na The national Sunday Law by Jan Marcusen utatoa huo uchafu kichwani humo.
UKIMKARIBISHA MYAHUDI KWAKO, JIANDAE KILASIKU ATAMEGA KIDOGOKIDOGO HADI APATE ENEO. MAANA HAWANA ENEO LA KIASILI. DUNIANI . UKIZIBAATU ATAAMKA ATA MAFASI YA CHOO HUNA.
Mungu hatumi watu. Sisi watu tunatumana. Au unaweza kutumwa na viumbe wengine. Hawa walikua wanatumwa na wafalme wa kwao. History hakuna watu wa Israel waliofanywa watumwa pale Misri. Mkishindwa kuelewana msimuuingize Mungu kwenye ushenze wenu wenye akili mkashindwa kuzitumia
Mpango wowote wa mungu kwa binadam hutumia watu mfano musa kuwatoa wana wa israel alitumwa musa Mungu katika garika alitumika nuhu mungu sodoma na gomora alitumika rutu kasema upya bible
Aibariki kwa lipii?haya sasa nendeni mkazike 600 hundreds down 👇 nahizo ni hesabu za faster faster Ukiwa shetani Mungu analipa hapa hapa duniani Israel inauwa wapalestina kila siku hakuna anaeongeaa Acha waipate joto ya jiwee
@@konshazikonsha6180wew unaongea hivo mbona walibya na waturuki na siria walikufa maefu kwa kwa mjanga ya Mafuriko na matetemeko hakuna alieshangilia Bali tuliwambea .. hata Palestine wamekufa 400 hio ni hesabu ya faster .. subiri utapata majibu mapema tu .. hio ni Israel .😊😊
Tatiizo wabongo wanajua ety Israel ni wakristo, hao wayahud hata hawaamin yesu, na wanawapinga wakristo vibaya mno,, wewe unasema Mungu ibarik Israel wakat inawapinga wakristo,. Sema tu Israel ina wakristo 2%,,,, ila waislam wengi 18% wayahud wa dini 70% ,,,,
I trust Benjamin Netanyahu lazima kazi ifanyike uki ua Israel 1, tegemea kwako 10 watakufa, Alaaniwe anaye ilaani Israel na Abarikiwe anye ibariki Israel 🇮🇱 ❤
Uteule walishakataa hakuna anaepinga kuwa Israeli lilikua taifa teule ila kwa sasa sio teule tena acheni kukariri maandishi Yaan mfano wake baba ampe mtoto kila kitu alf mtoto akatae ataendelea kubembeleza kwaiyo ule uteule ulikua kipindi cha moses na walipewa kila kitu ila mwishowe wakavunja again na Mungu
kila mtu anawaza kivyake. huo ndio ukweli. nashangaa kwa nn watu wanakuwa na lugha chafu dhidi ya wale wanaowaza tofauti na wao. hapo kwa kweli Yeriko Nyerere umeniangusha. ni lazima tuheshimu mawazo ya watu wengine. na sio lazima wewe unavyowaza ndio sahihi. asiekosea kuwaza ni Mungu peke yake. alafu naona kama maPro Putin wengi ni watu wanaotumia lugha kali sana. nimeona mara nyingi youtube. alafu kama kifo ni adhabu basi wote kuna siku tutaadhibiwa kwa sababu wote kuna siku tutakufa.
Ni kweli. lkn ukichunguza chanzo cha huu mzozo wao kuna mambo mengi sana ndani yake. Na fun enough ni vita ya. ndugu wawili wa baba mmoja mama mbalimbali
Unabii ni ule ule... "No peace until the true nation of Israel i.e Bantus are restored to their hidden identity." Now the fake jews/israelis (as written in Revelation 2:9 & 3:9) are in War. Hawa ndio wezi walioiba Kitambulisho chetu na kujifanya wao ndio wanaisraeli na kutunga taifa la Israeli la uwongo mwaka 1948, tofauti na taifa la kweli la Israeli lililokimbilia sub sahara Afrika baadaya ya Yesu alivyosulubiwa na 70 A.D Hekalu letu likabomolewa bila kubaki jiwe juu ya jiwe kama alivyotabiri Yesu kwenye Luka 21:6 🕎
Wewe hujui lolote. Kasome kitabu kinaitwa The Secret of Terrorist by Bill Hughes na The national Sunday Law by Jan Marcusen utatoa huo uchafu kichwani humo.
Israel ni taifa takatifu, hakuna awezaye kulifuta taifa hilo kwenye ramani ya dunia. Israel lazima ishinde tu vita hivyo, maana vita vyake ni sawa na kupigana na Mungu mwenyewe. Mungu ibariki Israel. Tuiombee Israel na watu wake.
@@mzalendomzalendo2567hawajielewi hawa watu. Wanasherekea warabu kufa, sababu wanadhani wapalestina ni waislamu kumbe wako wakristo na wayahudi ambao ni wapalestina. Hawajui Yesu mwenyewe alizaliwa palestine. Taifa takatifu halifai kuleta uhasama duniani. Hao ni wahamiaji haramu kutoka ulaya wanaojiita wayahudi
Mungu akubariki sana sana jericho ...unajua watu wengi wameidharau historia sasa wengi hawajui chochote...wanafuata mkumbo tu
SMS ni Media bora sana ongezeni bidii
Ni SNS kaka
Asante saana Mr SKY kwaaa Habari muurwa kwakweli unatufafanulia vyema saana GOD BLEES U
Free Palestine 🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
Viva Palestine🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
Mungu ibariki Tanzania
Historia nzuri sana inayoeleweka🎉 live from Nairobi
Nampenda sna yericko sna, tunavijana wachache wenye maono makubwa sna yeye mdogo wake joram mkumbi hawa watu ni vichwa sna. Tutumie mawazo yao kulijenga taifa letu pendwa tz tusiangalie vyama vyao tuangalie vitu vzr hawa watu wanamambo mazur kwa taifa
Yitzhak Rabin ndiyo Waziri Mkuu pekee wa Israel aliekuwa na hekima ya kuzuia vita visivyo vya lazima
Mwenyezi mungu tunakuomba marekani uiwashe moto na ulaya magharibi zinatesa nchi nyingi.
Nilikua nasubiri sana hii Video
Ukiwa umesoma au unasoma dini yako na history, utaelewa bila kumsikiliza mtu yoyote,,,,,hata wapelestina wana haki ya kujiinda
Mungu ibariki Africa
Asante sky kwa habari
Pasipo kujua hii simulizi .mtu asi comment kuhusu hii vita .sns juu
Historia nzuri ninaelewa sasa.
Free Palestinian
Mm nawashangaa sana wanao leta udini kwenye vita ya Israeli na palestrina na wanasoma vitabu vya dini inashangaza sana mungu awape mapatano mema damu zisizo na atia ziache kumwagika
Kuna baadhi ya watu ni wajinga wajinga hasa hawa watu wanaojifanya wanadini zao, wakidhani dini zao zitawafikisha mahali; basi kili kitu kikitokea hata kufikiri hawafikirii utashangaa wanaanza kuleta mambo ya udini, utadhani udini wao unamanufaa yeyote.
Ni wapuuzi sana, na wajinga kutumikia nembo ya taifa na sawa na kuabudu sanamu
Africa tume laaniwa kama c Din na ukabila hakuna kingine tunapigania
@@abdullyathuman1425 yani kitu kidogo Udini, cjui nani katuloga
Asante kutupa habari muda kwa muda
Huyu jamaa ameandika vizuri, lkn skywalker umeipa nguvu nzuri sana.. inavutia.. Nyerere kaeleza vema sana. Huu mgogoro ni mgumu sana. Na watu tutapishana sana kwenye mitazamo.
Uyi yericko ma mizimu yake huwaga yuko vizuri sana yani sasa ndio nimeelewa vizuri kwann hii vita haijawahi kuisha 😢😢😢
Na haitakaa iishe
Yupo upande wa Israel
Tumekuelewaa
Nabii Ibrahim (baba wa imani) yeye ni muarabu na kazaliwa iraq na hao waisrail kwenye qur'an hawana radhi kwani wamemuasi mungu kupita kiasi na hawamkubali nabii Issa wala Nabii Muhammad SAW na hawa wanaojiita JUDAISAM ndio wafuwasi wa shetani wametokana na mtoto wa nabii Yakuub yule kaka mkubwa alomtumbukiza Nabii Yusuf kisimani na ndio wao wanaowaongoza us,uk na ufaransa na ndio walokuja Africa wakawapiga na kuwauwa waafrika na kuwatia kwenye dini yao ya ukristo kwa nguvu tuhitahidi kuwa mbali na wamarekani na uk hawa watu ni vaiki ndio historia yao wanatugombanisha ili watutawale waafrika tuwamke nchi za us,uk kwisha zake wanafanya mipango ya kukimbilia nchi za Afrika tusiwe wabishi kama tulovozowea tuwe kitu kimoja hawa watu hawatupendi kabisa kutuona duniani
😂
Mmh historia Gani hio ndugu😅😅
Si kweli Nabii ibrahim hakuwa muarabu, na mitume waarabu walikuwa 4 tu,
1: Muhammad saw
2: Hud
3: Saleh
4: Shuhayb
@@annasolomon9855 soma utaifahamu
@@shadiidinyo1657 alikuwa mtanzania hii ni asili yetu mbumbumbu halafu wakaidi ndipo yanapotufika
Good bro❤❤
Ukitaka kuzungumzia historia ya Taifa la Palestina unawajibika kutumia vitabu vi 5vya Allah SW.
Mnakosea sana kutumia vitabu vyenye mikono ya waandishi wa kizayuni
Marekani ndiyo chanzo cha migogoro
Wayahudi wacjipe moyo eti watageuza gaza vifusi. Hapo hatoki mtu wala kusalimu bora kufa kuliko kadhia y wayahudi.
Ajii chochote eliko Nyerere nimpumbavu 1 tu mgogoro wawayaudi na warabu umlianzia pale mtume wawaislam alipotaka wayaudi wamuamini waripokataa tu ndipo wakaanza kusumbuliwa tokea apo ndio mzozo mpaka Leo hii
Swadakta Yericko,, ila hapa Utaonekana wewe ni mchochezi
Sns ibrahimu hajua muhebrew umekosea
PALESTINA ndo taifa la Mungu japo ukweli hawataki kuusema
Njoo na fact sasa tuamini
Bajeti ya Misri, Marekani inachangia fungu tangu siku hizo za Abdunasir, Hiyo ilikuwa Movie tu ya Kuigiza
Wamekuwa ni waoga izrael mpaka wasaidiwe na makafiri wezao allah awasaidie palestina
Jamani mbona mnapotosha? Mnatumia vitabu gani ?
Taifa teule la Bwana. Nitabariki wote watakao kubariki.
Oh Yes, Naibariki Israel pia
Nailani Israel
Taifa la mchongo kazi kuwaonea palestina🇵🇸 🇵🇸
@@starlily07akili mavi ww
❤❤❤❤❤
Israel haijawahi kuwa peke yake, Hata siku moja
Dini na Siasa haziwezi kutenganishwa abadani
Wewe hujui lolote. Kasome kitabu kinaitwa The Secret of Terrorist by Bill Hughes na The national Sunday Law by Jan Marcusen utatoa huo uchafu kichwani humo.
@@kenansyprian6954 Ww unavyobisha unadhani Crusade War na Jihad War zilikuwa zina lengo la Kidini pekee yake?
@@kenansyprian6954wewe akili mavi
Kwaio myahudi ni mzee wa kupora
Wakati wa kuuwawa waisrael umefika huu ni ushindi mkubwa Kwa wapalestina alhamdlillah
Sio kirahisi,itakuwa vita kuu ya Dunia ikiwa Israel itazidiwa
Hakuna kitu kama hiyo kaka
Taifa la MUNGU lile hakuna Taifa linaiweza Israel... Lile ni Taifa Teule... Kitakacho wakuta hao Wapalestina utaniambia
Israel wamepewa na mungu ndio maana hao warabu hua wanashindwa ,,wanatetewa na mungu Wana Wana Israel.
Ata wakiungana na Put Israel is beg nations
Huyo yeriko nyerere ni mbwa kama mbwa wengine tu Hana anachokukijua
Skay nimependa san iyihabali munguakubaliki san from 🇧🇮👊❤️
We hauna uchambuzi.hauko neutral maana umeshajitanbulisha unayemuunga mkono
TUSUBIRI tuone ,auaye Kwa upanga atakufa Kwa upanga
ASANTE SANA
UKIMKARIBISHA MYAHUDI KWAKO, JIANDAE KILASIKU ATAMEGA KIDOGOKIDOGO HADI APATE ENEO. MAANA HAWANA ENEO LA KIASILI. DUNIANI . UKIZIBAATU ATAAMKA ATA MAFASI YA CHOO HUNA.
Hata wachaga asiliyao huko 😂😂😂
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇰🇼🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩
kk tafadhali sana tena sana kk nakuomba sasa tena tafadhali kaka yangu ninacho kuomba ni hiki kwanini hiyo historia Iran haimo
Huyo yeriko nyerere ni nani na US na urusi wanamfahamu akae kimya asitafute kiki anajifanya mjuaji kumbe anasoma vitabu vilivyotungwa na wazungu.
Vita vya Siku6 ni Maigizo
May God bless world may God bless Tanzania 🇹🇿🙏🙏
Vita vya Mwaka 1967 na Mwaka 1973 ni Maigizo tu
Hivi hatokei kiumbe akawasha vyombo pale WDC na wao wafurahi pamoja na wanyonge
Israel Baba lao
Andika na.hizo kwenye msg
Nasema hivi sijawahi fika huko mimi alafu sina ndungu kwahiyo piganeni muheshimiane tu mimi nimechoka kusuluhisha sasa
😂😂😂
Mdogo wangu yupo Israel
😂😂😂😂😂dhaa
Mungu hatumi watu. Sisi watu tunatumana. Au unaweza kutumwa na viumbe wengine. Hawa walikua wanatumwa na wafalme wa kwao. History hakuna watu wa Israel waliofanywa watumwa pale Misri. Mkishindwa kuelewana msimuuingize Mungu kwenye ushenze wenu wenye akili mkashindwa kuzitumia
Kuhusu watu kutumwa na Mungu,mfano uko Kwa mitume wa yesu kristo.walitumwa sehemu mbalimbali kuifikisha injili .Yona alitumwa na Mungu ninawi n.k
Mpango wowote wa mungu kwa binadam hutumia watu mfano musa kuwatoa wana wa israel alitumwa musa
Mungu katika garika alitumika nuhu mungu sodoma na gomora alitumika rutu kasema upya bible
👊✌️👍.
Yani ww kweli unafatilia kiundani zaidi
Nitapataje vitabu vya huyo jamaa Yeriko nyerere
Basi wachokozi ni waarabu na wakigwa wasilie
Subhanallah
Walimu wa history sec na vyuo tufahamiane, yeriko katisha mbaya
Kwani vita vile vya zamani wafilisti na Israel kwenye Bible ndo ivi vya leo ao ?
story imenzia mwisho !!
Aache uongo huo vita tunaijua tangia enzi za mababu zetu
Free Palestine
Muite DjSma asikilize na huku,
Lakini israel ipo tangu enzi kabla ya uislam
Huyu sindo aliesem waisrael wana haki ya kuuwa watu ambao hawan hatia Palestine, hajielewi huyu.
Nasubiri mwiso wa mchezo tu hapa
Halafu tukutane hapa tena
SASA NIMEELEWA KUMBE ISRAEL ILIWAPIGA WAARABU KWA KUVIZIA KWA MSAADA WA MAREKANI
Israel bila kusaidiwa na nchi kubwa haina uwezo wowote
Nawata wapiga tena kwa kusaidiwa mpaka waarabu wa pizzy
Huna bando
Sasa nimeiyelewa vizuri Sana hii story nilikua naifaamu ndivyo sivo kwa TV yanu 👋Bravo Sasa kama tupo mbari tutapata kitabu vipi ndugu????? 🇹🇿🇬🇷👍👋✌️
Allaah atasimama na Wapalestine simama na Mashetani wenzako
Palestine is down
Yani uyu jamaa yuko sahii kabisa
Watusaidie kuuwa Samia na kikwete tutawashukuru sana
Umeshiba makande sio
daaah sasa wewe upo hapa hapa kwa nini huwauwi tu mara moja
Ata ukianza kuuliwa ww pia itakua vzur 2
Hekma na busara muhimu zikaongoza
@@fatmafatu1128ameongea kitu chema Sana hujui hao watu wanayolitesa Taifa la Tanzania 😂
Ninacho hiki kitabu
Hakuna uchambuzi wa Kisomi humo, aliyoaandika ni yaleyale yanayotangazwa na BBC na CNN
Hii mbona ni story ambayo inatukiwa na kila muandishi hivi kaandika nani. Kila mtu anakopy exactly kile kile. Yani wanatudia mule mule kama msm.
Maandiko matakatifu
Mungu Ibariki Israel
Aibariki kwa lipii?haya sasa nendeni mkazike 600 hundreds down 👇 nahizo ni hesabu za faster faster
Ukiwa shetani Mungu analipa hapa hapa duniani
Israel inauwa wapalestina kila siku hakuna anaeongeaa
Acha waipate joto ya jiwee
@@konshazikonsha6180wew unaongea hivo mbona walibya na waturuki na siria walikufa maefu kwa kwa mjanga ya Mafuriko na matetemeko hakuna alieshangilia Bali tuliwambea .. hata Palestine wamekufa 400 hio ni hesabu ya faster .. subiri utapata majibu mapema tu .. hio ni Israel .😊😊
Tatiizo wabongo wanajua ety Israel ni wakristo, hao wayahud hata hawaamin yesu, na wanawapinga wakristo vibaya mno,, wewe unasema Mungu ibarik Israel wakat inawapinga wakristo,. Sema tu Israel ina wakristo 2%,,,, ila waislam wengi 18% wayahud wa dini 70% ,,,,
Lakini utashangaa unakuta mtanzania anawasaport waisrael akidhani ni Wakristo
@@faisaloaljabry6400 😂, umeona eeh, watu elimu hawana, ety nchi ya ahad wakat hata wakristo huko hakuna ni asilimia mbili tu Israel nzima,
Haya malipuko ya weekend yametokea kwa ghafla sana bila kutarajia, mpaka sasa watu watu 1000 wamekufa
Wote mabeberu tu sitaki ushabiki wakijingq
Jamaa kaandika yaleyela yanayo zungumzwa na BBC na CNN hakuna Uchambuzi wa Kisomi humo
Kwhy
Hawez kuja na cha kwake peke yake lazima akopi tu
this history shows you how israel will never be taken down no matter what, if you know you know
Imagine Kabisa nchi ya Yesu inapigana vita???? Kwanini wayahudi wasiombe mungu?!? Kwani hawasomi vitabu???
😂😂😂
Free Palestine 😢
Ninasimama na waisraeli, na kamwe haitadondoka ndoto zenu kamwe hazitatimia hivyo ndivyo ilivyo na historia ndio ilivyo na ndivyo itakavyokuwa
Israel hii inayowapinga na kuwafukuza wakristo kisa wao hawamwamini Yesu Kristo?
Akili wengine hawana
@@lulanjamd3886wapo wakristo na hawajafukzwa .. muongo wew😊
Hao sio waisraeli bali wamchongo
Sawa muisraeli wa buza
I trust Benjamin Netanyahu lazima kazi ifanyike uki ua Israel 1, tegemea kwako 10 watakufa, Alaaniwe anaye ilaani Israel na Abarikiwe anye ibariki Israel 🇮🇱 ❤
Udini mwingi unyama
@@furahisana7733 ukweli ndio huo
Lana ya mungu iwashukie Wana wa israeli na wanao waunga mkono mayahudi
Russia anaunga upande hupi
ilo ni taifa teule
Uteule walishakataa hakuna anaepinga kuwa Israeli lilikua taifa teule ila kwa sasa sio teule tena acheni kukariri maandishi
Yaan mfano wake baba ampe mtoto kila kitu alf mtoto akatae ataendelea kubembeleza kwaiyo ule uteule ulikua kipindi cha moses na walipewa kila kitu ila mwishowe wakavunja again na Mungu
@@namkunarashidi6738ahadi yake Mungu Huwa haibadiliki daima.. sisi tunajua Bado ni Taifa teule kwa kuwa Mungu hajaitengua hio Kauli .. 😅😅
Niteule
Historia ninayo itaka unipe sababu Iran haikuwemo haya asante nipo kigali
kila mtu anawaza kivyake. huo ndio ukweli. nashangaa kwa nn watu wanakuwa na lugha chafu dhidi ya wale wanaowaza tofauti na wao. hapo kwa kweli Yeriko Nyerere umeniangusha. ni lazima tuheshimu mawazo ya watu wengine. na sio lazima wewe unavyowaza ndio sahihi. asiekosea kuwaza ni Mungu peke yake. alafu naona kama maPro Putin wengi ni watu wanaotumia lugha kali sana. nimeona mara nyingi youtube.
alafu kama kifo ni adhabu basi wote kuna siku tutaadhibiwa kwa sababu wote kuna siku tutakufa.
Sasa unipe sababu Iran haikua kwenye hiyo vita ambayo ili jumuisha nchiii za kiarabu
Kaka wairan sio waarabu
Wa Iran sio waarabu wao ni wa Farsi
Palestine washachok kunyanyasw kwaio acha ajitetee
Ewe molla tunusulu
Naam kabisa na watakwenda kama wao wanavyo wauwa Wafalestine kila mara na watu kimnya lakini leo kapigwa firimbi nyingi
Kila mtu moyo wake upo Israeli.. na ujue unapoambiwa Taifa la Mungu kubali😊
Hamas wamefanya kosa kubwa Sana watagogwa kweli kweli.
Ni suala lamuda
Wataomba pooo
jamaa wameanza
wao
@@Jerie-q1chamujui mateso wanayopitia tangia 1948. Israeli ndio magaidi
Ni kweli. lkn ukichunguza chanzo cha huu mzozo wao kuna mambo mengi sana ndani yake.
Na fun enough ni vita ya. ndugu wawili wa baba mmoja mama mbalimbali
Tuliopita na kitabu cha shibitali history2 tujuane
Israel will not be defeated in any means.! Wait the time will tell.
Unabii ni ule ule... "No peace until the true nation of Israel i.e Bantus are restored to their hidden identity." Now the fake jews/israelis (as written in Revelation 2:9 & 3:9) are in War. Hawa ndio wezi walioiba Kitambulisho chetu na kujifanya wao ndio wanaisraeli na kutunga taifa la Israeli la uwongo mwaka 1948, tofauti na taifa la kweli la Israeli lililokimbilia sub sahara Afrika baadaya ya Yesu alivyosulubiwa na 70 A.D Hekalu letu likabomolewa bila kubaki jiwe juu ya jiwe kama alivyotabiri Yesu kwenye Luka 21:6 🕎
Wewe hujui lolote. Kasome kitabu kinaitwa The Secret of Terrorist by Bill Hughes na The national Sunday Law by Jan Marcusen utatoa huo uchafu kichwani humo.
Upo sahihi Mtaalamu
😂😂we muisrel nenda kwenu
@@kenansyprian6954ata sijuwi yupi ni sahii
Upo sahihi asilimia 💯 %
Israel 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱 ❤❤❤🤝🤝🤝
Wezio hawaamini yesu wala nini Pole kwa kusapoti
Mbona kimbelembele nimemtaja yesu,mbona unanyege mshindo ivyo
@@kautharsalat6449sasa Yesu kafanyaje we mwehu nini? Islael chapeni kabisa hao magaidi parestina
Wew ndiyo hauna akili ndugu yangu
@@anastaziamathias8861 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NONSENSE ...
Israel ni taifa takatifu, hakuna awezaye kulifuta taifa hilo kwenye ramani ya dunia. Israel lazima ishinde tu vita hivyo, maana vita vyake ni sawa na kupigana na Mungu mwenyewe. Mungu ibariki Israel. Tuiombee Israel na watu wake.
Taifa takatifu la watu gani? Kama hao hao ndio mnao amini walimsulubu yesu, na hakuna ukristo huko tafuta bando kubwa ndugu ujifunze mengi.
@@mzalendomzalendo2567hawajielewi hawa watu. Wanasherekea warabu kufa, sababu wanadhani wapalestina ni waislamu kumbe wako wakristo na wayahudi ambao ni wapalestina. Hawajui Yesu mwenyewe alizaliwa palestine. Taifa takatifu halifai kuleta uhasama duniani. Hao ni wahamiaji haramu kutoka ulaya wanaojiita wayahudi
Taifa takatifu 😢 kweli nina uwa watoto hapana kwani mungu anasema watu wauliwe ambao wahana makosa kweli inauma sana