The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri
kwani wareno walitawala Tanganyika ?
Walitawala Kwa muda mfupi hapo kilwa na Nchi za Kusini mwa Africa @@magigesabai8674
Waleno 😂kasome tena historia
Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema
Ameen thuma ameen
@@perujumah1422 Allahumma Aaaameen
Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.
Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia.
Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.
Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.
@@SilaMinandaHata uislam pia uliletwa na waarabu ko wenyeji hawakuwa waislam Ila waliletewa hiyo dini na waarabu
Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale
Kwl kpnd hik kinakuwa siku gan na saa ngap
Kilwa jamani ipo kama unaenda wap
There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲
Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana
kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu
Kabisa😭
Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌
Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪
Ila, nina ka advice kadogo.
Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili.
Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi.
Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy.
Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo.
Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!!
Congrats guys!💪💪💪
MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤
Wajifunze kiswahili
my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika
@@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....
wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana
@@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...
Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia
God not god
Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.
Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊
Absolutely yes 👍
Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.
Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother
umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi
Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah
M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah
Nyerere ameua mambo yote
Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.
Not the same
Kuna mji mwingine kule lamu, wa kitambo kuliko hata fort Jesus ...nimesahau jina lake....
Ndio ni kweli
Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏
Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako
Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz
yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽♀️
Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour
Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid
Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe
PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏
Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo
Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed
Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.
Kama Peter wa Royal Tour 🇹🇿
Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi
Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍
Tupo pamoja bro.
Nipo apa
Pamoja kaka
Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro
Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.
Asante sanaaa umetuelemishaaa
🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge
Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja
Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara
Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa
Kwel KABC
Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania
from Philadelphia watching storybook 👏
Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa
Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali
Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....
@@irenewile 👩🏿💻Jambo zuri kuijua Tanzania yetu
Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.
Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.
Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa
Asante sana akika wewe n professor
Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.
our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏
God not god
Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.
Fantastic Professor J.April keep it up 💪🇹🇿
Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET
You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.
Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....
@@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali
Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.
@@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....
The great professor of all time
Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi
Unatisha sana my Brother
Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba
Wapi uko dear hadi raha wallah
Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana
Asante kwa historia ya kilwa
Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.
Professor Nina request unaweza kuandaa storybook ya safari ya Jerusalem kuanzia egypt Kwa farao ukapitia israel na miji mikubwa ya kihistoria ya biblia tukaona ilivyo kama vile hekalu la MWENYEZI MUNGU alilolijenga mfalme Solomon n.k
Ni msiiti wa na bee seleman uko mpka leo na mitume wote walisali na mtume muhammda saw ) walisali kwa pamoja woote wote mtume alipo toka miraj mbinguni
UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254
Asante Jamal...this is among the best video you have produced
Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋
"tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother
Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui
@@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu
Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...
@@mpendakiswahili3053 mpango tu
@@ahmedzahor2975 pashia ndo nini?
Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k
U always inspire me prof.
We babaa wee hiv umesoma course gan mbon genius san
Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo
I really like your storytelling
Nice story big up prof. Jamali April
Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea
Mashallah wangewacha warabu jaman
Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built
T
Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.
Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani
Ni vyema mamlaka husika sikaendeleza haya majengo kwa kukarabati ikiwa pamoja na kuezeka na kirejesha muonekano wa asili, hongera Sana kazi nzuri
Yani yanjengwe majengo makubwa wallah
Kutapendeza wallah
Tufanyani ibada tukainjoi uku kwa mola wetu
Shukran kwa historia ya kilwa
Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii
Asante sana professor
Upo sahihi kaka ila Alu badili sio dua kama wengi wanavyo zani albadili nishirki kwa mujibu wa qur an ana sunna
Kwenye hii Dua in kwamba Kilwa ilikuwa na miskiti 99 idadi sawa na majina ya Allah.(mwenyezi mungu)
99 na kila msikiti uliitwa Kwa jina moja miongoni mwa majina ya Allah.
Siku MAKAFIRI Wa Kikiristo walipo kuja kuuvamia Kwa mara ya kwanza wenyeji waliamua kusoma adhana Kwa pamoja miskiti yote 99 Kwa pamoja na kuomba kupitia majina 99 ya Allah na kuangamizwa makafiri wote kwa kugeuzwa mwamba wa jiwe.
Kumbukumbu zangu ilikuwa ni adhana kwa jinsi tulovyosomeswa na masheikh zetu na sio albadil
Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla
Very nice...
Hakika✊
Ndio kunavyoitwa atakua amechapia Jamal
Nakubali prof...
Kaka huwa nakuelewa sana simlizi zako ila leo umenikosha mungu akulinde jamaali mustafa
Love it kikwa boy
Naipenda sana brother 🇨🇩
Kumefanana na pemba🥺🥰
ubarikiwe ndugu kwakazi unayoifanya
Nimeipenda hii😃
Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,
😂
Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!
Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti
Sehemu nzuri sana kutembelea 👏 👏 👏
Jamaal your so intelligent blessed
Amazing work and adventure...for this to go international wise and adding more viewers please add English subtitles on the video clips........#wcb4life
Let the English speaking people sort themselves.
It's our Swahili Prof
And our history.
Did they put Swahili subtitles in their story?
@@lewinmukui70 napenda waafrica kama wewe, upo vizuri kabisa....and that's what I'm always telling our kenyan utubers, waache kupigania lugha na maslahi za wengine....
Amazing Thanks for this video
Haya majengo yanatakiwa yafanyiwe renovation itaongeza sana na kuchochea utalii kama walivyofanya nchi za wenzetu. Mtu kwenda na kuangalia magofu haimake sense viongozi wa afrika wengi wengi hawajitambui.
PWANI YETU🌴❤❤
This is the best educational channel walahi
Naipenda Kilwa yangu
One blood
Nikiona haya naumia sana. Huu ni urithi na utajiri mkubwa. Hakika watanzania hatujaipa hadhi inayo stahili. Nchi nyingine zinapata utajiri mkubwa kutokana na historia yao. Naomba viongozi wetu watembelee utajiri huu na tukubali kuwekeza ili tuchume.
Huku unaweza okota Dhahabu Shaba
Historia nzuri sana tuendeleze huo mji kwa kujenga majengo yanayoenda na michoro ya 13s au 14s
ivi vitu kama tunavifanyia adivatazimet tena duniani tutapata turist wangi kupita Africa yoyote tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Big up nakubali sana the story book
Majengo ya kiarabu ukiyaona UtIjuw tu mie nipo Omani ila hiyo ndio mijengo yao halisi🥰
You are the big narater
Allahu akbari kumbee aya mambo mazuri yalikuwa tangia zamani