The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 659

  • @abuubilal2646
    @abuubilal2646 2 года назад +45

    Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 2 месяца назад

      kwani wareno walitawala Tanganyika ?

    • @FahdiSultan
      @FahdiSultan 2 месяца назад

      Walitawala Kwa muda mfupi hapo kilwa na Nchi za Kusini mwa Africa ​@@magigesabai8674

    • @husnakalumba2578
      @husnakalumba2578 18 дней назад

      Waleno 😂kasome tena historia

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana382 2 года назад +55

    Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema

    • @perujumah1422
      @perujumah1422 2 года назад +1

      Ameen thuma ameen

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 2 года назад

      @@perujumah1422 Allahumma Aaaameen

    • @SamirBSam
      @SamirBSam 2 года назад

      Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 2 года назад +23

    Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia.
    Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 7 месяцев назад +1

      Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.

    • @sarastephano3409
      @sarastephano3409 2 месяца назад +1

      ​@@SilaMinandaHata uislam pia uliletwa na waarabu ko wenyeji hawakuwa waislam Ila waliletewa hiyo dini na waarabu

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 2 года назад +54

    Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale

    • @saidibinur9743
      @saidibinur9743 2 года назад +2

      Kwl kpnd hik kinakuwa siku gan na saa ngap

    • @neemamwita9733
      @neemamwita9733 Год назад

      Kilwa jamani ipo kama unaenda wap

  • @perujumah1422
    @perujumah1422 2 года назад +12

    There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲

  • @arapninja_things
    @arapninja_things 2 года назад +13

    Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana

  • @michaelliungo7811
    @michaelliungo7811 2 года назад +52

    kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 2 года назад +37

    Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌
    Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪
    Ila, nina ka advice kadogo.
    Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili.
    Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi.
    Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy.
    Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo.
    Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!!
    Congrats guys!💪💪💪
    MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤

    • @philipbonhour4987
      @philipbonhour4987 2 года назад +5

      Wajifunze kiswahili

    • @muxxerju7532
      @muxxerju7532 2 года назад +6

      my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад +2

      @@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....

    • @sadanahimana7193
      @sadanahimana7193 2 года назад

      wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад +1

      @@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 2 года назад +26

    Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia

  • @leonardpeter3953
    @leonardpeter3953 2 года назад +9

    Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.

  • @samwelthomas239
    @samwelthomas239 2 года назад +8

    Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊

  • @selemannaoda2027
    @selemannaoda2027 2 года назад +4

    Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.

  • @hassansaidhajji001
    @hassansaidhajji001 2 года назад +55

    Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother

  • @HusseinAllih-Arsenalke
    @HusseinAllih-Arsenalke 2 года назад +2

    umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 2 года назад +3

    Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah

  • @abdallahmwanjile471
    @abdallahmwanjile471 2 года назад +9

    M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah

  • @aliisaid854
    @aliisaid854 Год назад +4

    Nyerere ameua mambo yote

  • @Homeofrhumba
    @Homeofrhumba 2 года назад +9

    Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад +2

    Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro8845 2 года назад +5

    Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako

  • @oswaldmwihavapaul8517
    @oswaldmwihavapaul8517 2 года назад +13

    Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz

    • @bonita329
      @bonita329 2 года назад +2

      yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽‍♀️

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 2 года назад +1

      Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 2 года назад

      Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid

  • @alimzee
    @alimzee 2 года назад +5

    Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 2 года назад +17

    PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Год назад +3

    Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo

  • @Sautiyamajini
    @Sautiyamajini 2 года назад +7

    Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed

  • @zalendo
    @zalendo 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.

  • @filbertivo1988
    @filbertivo1988 2 года назад +3

    Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi

  • @hassanpande9915
    @hassanpande9915 2 года назад +18

    Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 2 года назад +2

    Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro

  • @asaadboy
    @asaadboy 9 месяцев назад +1

    Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.

  • @mishekimbuba8260
    @mishekimbuba8260 2 года назад +2

    Asante sanaaa umetuelemishaaa

  • @rubenmatley9552
    @rubenmatley9552 2 года назад +23

    🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 2 года назад +4

    Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 2 года назад +1

      Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara

  • @ismailkizito5692
    @ismailkizito5692 2 года назад +9

    Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 2 года назад +7

    Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania

  • @athuman6223
    @athuman6223 2 года назад +7

    from Philadelphia watching storybook 👏

  • @blasiusrweyemamu5052
    @blasiusrweyemamu5052 2 года назад +6

    Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 2 года назад +2

    Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali

    • @irenewile
      @irenewile 2 года назад

      Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....

    • @ahmadsaid4878
      @ahmadsaid4878 2 года назад

      @@irenewile 👩🏿‍💻Jambo zuri kuijua Tanzania yetu

  • @littletv3177
    @littletv3177 2 года назад +2

    Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 2 года назад +7

    Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.

  • @shabaniramadhani714
    @shabaniramadhani714 2 года назад +2

    Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa

  • @AgostinhoCosmeNambanga-t1g
    @AgostinhoCosmeNambanga-t1g 3 месяца назад

    Asante sana akika wewe n professor

  • @brunokalunga4552
    @brunokalunga4552 2 года назад +8

    Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 года назад +12

    our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld Год назад +3

    Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 2 года назад +5

    Fantastic Professor J.April keep it up 💪🇹🇿

  • @ramadhanjaphet2976
    @ramadhanjaphet2976 2 года назад +2

    Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET

  • @robinmuganda7690
    @robinmuganda7690 2 года назад +22

    You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад +2

      Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....

    • @masupildula
      @masupildula Год назад

      @@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali
      Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад

      @@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 года назад +10

    The great professor of all time

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 2 года назад +2

    Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi

  • @muddytupa6688
    @muddytupa6688 2 года назад +2

    Unatisha sana my Brother

  • @richbird.123
    @richbird.123 2 года назад +6

    Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba

  • @frankmsigwa153
    @frankmsigwa153 2 года назад +2

    Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana

  • @DisBes
    @DisBes 6 месяцев назад

    Asante kwa historia ya kilwa

  • @abdallahmbwana4135
    @abdallahmbwana4135 2 года назад +1

    Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.

  • @evansnchimbi7992
    @evansnchimbi7992 2 года назад +3

    Professor Nina request unaweza kuandaa storybook ya safari ya Jerusalem kuanzia egypt Kwa farao ukapitia israel na miji mikubwa ya kihistoria ya biblia tukaona ilivyo kama vile hekalu la MWENYEZI MUNGU alilolijenga mfalme Solomon n.k

    • @gh7naa
      @gh7naa 2 года назад +1

      Ni msiiti wa na bee seleman uko mpka leo na mitume wote walisali na mtume muhammda saw ) walisali kwa pamoja woote wote mtume alipo toka miraj mbinguni

  • @crispuskasanga8487
    @crispuskasanga8487 2 года назад +1

    UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254

  • @oscarboniface9690
    @oscarboniface9690 2 года назад +2

    Asante Jamal...this is among the best video you have produced

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 2 года назад +4

    Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋

  • @saidkaim768
    @saidkaim768 2 года назад +11

    "tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 года назад +1

      Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад +2

      @@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад +2

      Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 2 года назад

      @@mpendakiswahili3053 mpango tu

    • @shaujimpota7202
      @shaujimpota7202 2 года назад +1

      @@ahmedzahor2975 pashia ndo nini?
      Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k

  • @awadhbuya9649
    @awadhbuya9649 2 года назад +15

    U always inspire me prof.

  • @hassanhamis7730
    @hassanhamis7730 2 года назад +2

    We babaa wee hiv umesoma course gan mbon genius san

  • @shamilamuhamedi7904
    @shamilamuhamedi7904 2 года назад +1

    Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo

  • @jaypmunyamaofficial3488
    @jaypmunyamaofficial3488 2 года назад +20

    I really like your storytelling

  • @haslyhasly7945
    @haslyhasly7945 2 года назад +4

    Nice story big up prof. Jamali April

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 года назад +1

    Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea

  • @salhandembo2480
    @salhandembo2480 2 года назад +1

    Mashallah wangewacha warabu jaman

  • @teaminfinity4995
    @teaminfinity4995 2 года назад +53

    Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 года назад +8

    Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.

  • @nasramuhammad2404
    @nasramuhammad2404 2 года назад +7

    Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani

  • @bakaribakari9792
    @bakaribakari9792 2 года назад +1

    Ni vyema mamlaka husika sikaendeleza haya majengo kwa kukarabati ikiwa pamoja na kuezeka na kirejesha muonekano wa asili, hongera Sana kazi nzuri

  • @bintrobert4952
    @bintrobert4952 2 года назад +1

    Shukran kwa historia ya kilwa

  • @hassanilimbega9121
    @hassanilimbega9121 2 года назад +9

    Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph2971 2 года назад +2

    Asante sana professor

  • @brmtvtibaasili8289
    @brmtvtibaasili8289 2 года назад +5

    Upo sahihi kaka ila Alu badili sio dua kama wengi wanavyo zani albadili nishirki kwa mujibu wa qur an ana sunna

    • @mohammedbinjumaabinaweisal9188
      @mohammedbinjumaabinaweisal9188 2 года назад +1

      Kwenye hii Dua in kwamba Kilwa ilikuwa na miskiti 99 idadi sawa na majina ya Allah.(mwenyezi mungu)
      99 na kila msikiti uliitwa Kwa jina moja miongoni mwa majina ya Allah.
      Siku MAKAFIRI Wa Kikiristo walipo kuja kuuvamia Kwa mara ya kwanza wenyeji waliamua kusoma adhana Kwa pamoja miskiti yote 99 Kwa pamoja na kuomba kupitia majina 99 ya Allah na kuangamizwa makafiri wote kwa kugeuzwa mwamba wa jiwe.

    • @mushimadege
      @mushimadege 2 года назад +1

      Kumbukumbu zangu ilikuwa ni adhana kwa jinsi tulovyosomeswa na masheikh zetu na sio albadil

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 года назад +7

    Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla

  • @gwakisamatingo4861
    @gwakisamatingo4861 2 года назад +4

    Nakubali prof...

  • @emmanuelshija7032
    @emmanuelshija7032 2 года назад +1

    Kaka huwa nakuelewa sana simlizi zako ila leo umenikosha mungu akulinde jamaali mustafa

  • @farajkibinda6151
    @farajkibinda6151 2 года назад +10

    Love it kikwa boy

  • @fundileani1007
    @fundileani1007 2 года назад +1

    Naipenda sana brother 🇨🇩

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Год назад +1

    Kumefanana na pemba🥺🥰

  • @mudarrisumuhangia7576
    @mudarrisumuhangia7576 2 года назад +1

    ubarikiwe ndugu kwakazi unayoifanya

  • @platvinlover6508
    @platvinlover6508 2 года назад +1

    Nimeipenda hii😃

  • @salumkudrakihulo7613
    @salumkudrakihulo7613 2 года назад +10

    Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 2 года назад +1

      😂
      Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 2 года назад

    Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti

  • @mohamedally1594
    @mohamedally1594 4 месяца назад

    Sehemu nzuri sana kutembelea 👏 👏 👏

  • @jacquelinefrank6257
    @jacquelinefrank6257 2 года назад +3

    Jamaal your so intelligent blessed

  • @julianakafuruki2495
    @julianakafuruki2495 2 года назад +10

    Amazing work and adventure...for this to go international wise and adding more viewers please add English subtitles on the video clips........#wcb4life

    • @lewinmukui70
      @lewinmukui70 2 года назад +1

      Let the English speaking people sort themselves.
      It's our Swahili Prof
      And our history.
      Did they put Swahili subtitles in their story?

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад +1

      @@lewinmukui70 napenda waafrica kama wewe, upo vizuri kabisa....and that's what I'm always telling our kenyan utubers, waache kupigania lugha na maslahi za wengine....

  • @elrainswilson4820
    @elrainswilson4820 2 года назад +1

    Amazing Thanks for this video

  • @hajikombo1220
    @hajikombo1220 2 года назад +2

    Haya majengo yanatakiwa yafanyiwe renovation itaongeza sana na kuchochea utalii kama walivyofanya nchi za wenzetu. Mtu kwenda na kuangalia magofu haimake sense viongozi wa afrika wengi wengi hawajitambui.

  • @dullyhaleem6962
    @dullyhaleem6962 2 года назад +2

    PWANI YETU🌴❤❤

  • @PresenterSilah
    @PresenterSilah 2 года назад +1

    This is the best educational channel walahi

  • @masoudsuleiman4623
    @masoudsuleiman4623 2 года назад +3

    Naipenda Kilwa yangu

  • @novotechenterprises8747
    @novotechenterprises8747 2 года назад +2

    Nikiona haya naumia sana. Huu ni urithi na utajiri mkubwa. Hakika watanzania hatujaipa hadhi inayo stahili. Nchi nyingine zinapata utajiri mkubwa kutokana na historia yao. Naomba viongozi wetu watembelee utajiri huu na tukubali kuwekeza ili tuchume.

  • @victormneney1475
    @victormneney1475 2 года назад +1

    Huku unaweza okota Dhahabu Shaba
    Historia nzuri sana tuendeleze huo mji kwa kujenga majengo yanayoenda na michoro ya 13s au 14s

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 года назад +1

    ivi vitu kama tunavifanyia adivatazimet tena duniani tutapata turist wangi kupita Africa yoyote tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @khatibaliy4738
    @khatibaliy4738 2 года назад +1

    Big up nakubali sana the story book

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Год назад +1

    Majengo ya kiarabu ukiyaona UtIjuw tu mie nipo Omani ila hiyo ndio mijengo yao halisi🥰

  • @ObedSaimon-j5y
    @ObedSaimon-j5y 3 дня назад +1

    You are the big narater

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 Год назад +1

    Allahu akbari kumbee aya mambo mazuri yalikuwa tangia zamani