Bomu la Nyuklia: Nini kitatokea likilipuka? Utashangaa! yaliyotokea Nagasaki na Hiroshima yanatisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 123

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 2 года назад +9

    Wamarekan ndio sos ya yote washenz sana

  • @mussacharles3
    @mussacharles3 2 года назад +3

    Asante Kwa Alimu hiii kaka Mungu Akulide sanaaaa

  • @sebagasper2772
    @sebagasper2772 Год назад +1

    Usimuliaji safi..... ni zaidi ya kuangalia movie barikiwa sana

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 2 года назад +6

    Marekani na Uingeleza ni wabaya sana Duniani

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 8 месяцев назад

    Nimehipenda Sana elimu hii unaongea kiukakamavu Yana kijasiri mwenzi mungu hakulinde,

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri1149 Год назад +2

    yaani kwauovu huu bado japani anamkumbatia marekeni ama kweli hawana akili

  • @peter_boym_drc
    @peter_boym_drc 2 года назад +4

    😭😭😭😭mama eeeeeh ila akuna shida
    Wa Africa tuko juu tunanyuklear yakutopatwa na hasari hiyo ✊✊✊✊✊

    • @ndizindeleti761
      @ndizindeleti761 2 года назад

      Nikwwli lakini endapo utatengeneza hicho kifaa Cha kuzuia au kulipoteza malengo vp kikiwa hakijatimja au kikafeli unazani Mambo yatakuaje dunia hii

  • @shabansamwi9891
    @shabansamwi9891 2 года назад +4

    du kweli binadam tunajimaliza wenyew

  • @benpeter7367
    @benpeter7367 Год назад +1

    Watupige tu make nchi yenyewe ish ashauzwa ii

  • @agnessantony7105
    @agnessantony7105 2 года назад +3

    Huzuni..sijuii Viongozi wa dunia wanapigania nin na kipi wakati maisha yao n mafupi san hap dunia Mungu anasuru kizazi hiki na viongozi wenye uchu ya mali n madaraka n majina

    • @majutomusegu
      @majutomusegu Месяц назад

      Dada shetani yupo kazini na ni zama za mwisho sasa hivi wewe angalia maandiko matakatfu

  • @nishaismail1178
    @nishaismail1178 2 года назад +1

    Mungu akubarik

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 2 года назад +1

    Bro naku Respect sana Mungu akuweke

  • @YohanaMajalu-r4y
    @YohanaMajalu-r4y 24 дня назад

    Mwenyez mungu utulinde utuepushe na hayamajanga ya viti tupe uhuru 😂😢😮😅🎉

  • @ndiiyolazarolemoloo2164
    @ndiiyolazarolemoloo2164 2 года назад +2

    Inatisha sana esee

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj Месяц назад

    Duuuuuu nashukuru mung kuumbwa afrika ila iyu mtangazaji anakipaji sanaaaaaaaa yan km unaangalia mivi vile

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 2 года назад +1

    Noma sana hii

  • @abubakarmsangi1036
    @abubakarmsangi1036 5 месяцев назад +1

    Watumie tu huko wazungu wafe tu wote tubaki wa àfrika wenyewe wanatuletea ushoga kwetu hawa wazungu nawachukia

  • @sakuranitillya6088
    @sakuranitillya6088 Год назад

    Bro nakukubali sana piga kazi mzee

  • @twagiramungu1aboubakari317
    @twagiramungu1aboubakari317 2 года назад +3

    Kuiyangamiza dunia nzima iyo aiwezekani Mungu mwenyewe diye awezaye kuyangamiza dunia zima na viumbe hayi kwaiyo mimi siyamini kuwa mwana damu anaweza kuiyangamiza dunia..!

    • @williamkeita1519
      @williamkeita1519 2 года назад

      Inawezekana sana sema tu hujui nuclear iko na nguvu kiasi gan aise

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 2 года назад

      mwanadamu anaweza kuangamiza ila mungu hawezi kuruhusu

  • @sikitu8957
    @sikitu8957 2 года назад +2

    Ninaweza kutengeneza uchawi wa kupoteza hiki kitu muelekeo sio hiki tu kitu chochote kukipotezea muelekeo wake serekali kama wanakubali wanipe nafasi sema tu serekali zetu hatuamini saana uchawi tu Ila upo Na hayo ni mambo madogo wanaweza kurusha Na yakatua Chini Bila kulipuka

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj Месяц назад +2

      Kasonge ugali na bamia ule ulalee😂😂

  • @Kzm-c9u
    @Kzm-c9u 28 дней назад

    Mwanadamu ameamua kujikaanga kwa Mafuta yake Mwenyewe😢😢😢

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 года назад +1

    Sky simulizi 🏆

  • @emmanueljosephati3192
    @emmanueljosephati3192 2 года назад +8

    Selikari inatakiwa kuwekeza kwa wanafudhi wano soma (phycis) ndo mabingwa wa hizi mambo tunaweza kutengeneza airgraphics ya kuyazuia yasi lipuke na kuyaelekeza bahari au ziwani kila kilicho tengenezwa na mwanadamu kinaweza kuzuirika na mwanadamu mwenyewe!!?

  • @rogatimushi689
    @rogatimushi689 2 года назад +2

    Jiulize kama puting anamwambia marekani kama anapenda dunia iwe na uhai ache uchochezi unajua uko kwenye magala yake kuna nn si maangamizi

  • @desanta.017
    @desanta.017 2 года назад +1

    Series ya The 100 inaenda kua kweli

  • @petronilamtei7470
    @petronilamtei7470 2 года назад +2

    hadi naogopa

  • @darsinana2647
    @darsinana2647 2 года назад +3

    Bado Africa itengeneze nagisi tuko wajuaji tutajiripua wenyewe bira kuripuria😂😂

  • @nishaismail1178
    @nishaismail1178 2 года назад +2

    Yan hii imenigusa kwel jaman mungu atunusuru Sisi waja wake

  • @acimamalingano8556
    @acimamalingano8556 2 года назад +4

    Dunia imeisha 😭

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 года назад

    Noma sanaaa

  • @Kulwakisansa-zk5yg
    @Kulwakisansa-zk5yg 19 дней назад

    Kitu kitakacho ua ulimwengu mzima ni baragumu peke yake ivyo vingine ni vyakufikirika tu

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 2 года назад

    Mungu atusaidie tusikumbwe na hii dhoruba

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 года назад +2

    Je panya au kitu chochote kikiangukia kitovu cha kulipulia nyukilia itakuaje.

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 2 года назад +1

    🏆🏆🥉

  • @nishaismail1178
    @nishaismail1178 2 года назад +2

    Yan mm nakupenda bure jaman

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 2 года назад

      Mimi nakupenda Nisha🥰🥰🥰🥰

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 года назад +2

    Marekani ana roho mbaya sana

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 2 года назад

    Sky 👑

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 2 года назад +4

    TUOMBEN HIZI VITA ZIISHE MAANA DAH JAMAN

  • @wilondjarama1427
    @wilondjarama1427 2 года назад

    Itakueje sasa

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 года назад

    Nalijua sn ilo bomu ni htr sn, nmeishi nalo karbia mwaka mmj na nusu miaka kadhaa nyuma

  • @tuzonyava8306
    @tuzonyava8306 Год назад +1

    Mi napenda walipue nione jinsi yanavyo fanya kazi

  • @tomshiii485
    @tomshiii485 2 года назад +2

    Korea kaskazini ikifanya majaribio yake, ayo mabomu huwa yanalipukia wapi??? Na yakilipuka huwa yanaleta madhala kiasi gani kwenye sehemu walipofanyia jaribio??? Au ayo mobomu ya majaribio huwa ayana nyuklia ndani yake?

    • @amingabonface7298
      @amingabonface7298 2 года назад

      swali nzuri....ama haifanyii duniani😅

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 6 месяцев назад

      Yanadondokeaaga baharini huko japan

    • @NasibuShabani-w8p
      @NasibuShabani-w8p 6 месяцев назад

      Awaweki kiini cha nyuklia ndiyo maana hakuna hasari

    • @happymrema7487
      @happymrema7487 2 месяца назад

      Huwa wanalipua feki.wanatupa baharin Yale halis hawayatumi ila huwa wanapima spidi kwamba watakaporusha kwel itafika kweny bara kingine kwaiyo wanatumia ambay hayan adhari yenyew sim yako stoo

  • @KhamisJumanne-q2l
    @KhamisJumanne-q2l 6 месяцев назад

    iran kwa sasa ndiyo noma dunia haimuwezi muirani

  • @musamoses5123
    @musamoses5123 2 года назад +3

    Siyo uvamizi ni opershini maalumu

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu Год назад

    Hivi mna jua vizuri dunia kweli dunia sio kijiji 😂

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад +1

    😭😭dar to kigoma. Mrusi hafai kabisa kumchokonoa huyu jamaa

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 6 месяцев назад

      😭😭😭nilifikili kagera tutanusulika 😭😭

  • @saidiabas8855
    @saidiabas8855 2 года назад

    Mungu ataidhibu marekani marekani Kwa fedheha

  • @ilhamjonas6986
    @ilhamjonas6986 2 года назад

    Mmmmh

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 2 года назад

    Mungu tunusuluu yaraby

  • @martindepores6309
    @martindepores6309 2 года назад +1

    marekani na urusi kwani wao hawaogopi ,madhara ya hizo siraha , kama wao wanazo na wanataka kuzilipua basi tuwaache wazilipue,sisi tuendeleeni na kazi zetu , ikitokea tuacheni kuwa waoga na mabomu haya, maana ni makali vyakutosha kuwamaliza hata wao

    • @happymrema7487
      @happymrema7487 2 месяца назад

      Wanaogop lakin lazima kila mtu awe na tahadhar marekan amezid Sana kuongea watu

  • @ReganKimaro-kr7nn
    @ReganKimaro-kr7nn 11 месяцев назад

    Kadri sayansi inavyo ongozeka ndivyo na Dunia inavyo zidi kuwa sehemu hatari hatari kwa wanadamu kuishi.
    Ukisoma kitabu cha mwanzo Mungu alimumbia Nuhu "Kwakua mwanadamu ameiharibu Dunia nami nitamuaribu pamoja na Dunia " ndipo alipo shush gharika.
    Sasa safari hii ni Mwanadamu mwenyewe nazidi kuwasha moto nyumba anayo ikaa mwenyewe 😢
    Sasa mnataka tukaishi wapi maana hamna sayari nyingine zaidi ya hii kuishi .
    Hiii inakupa tu kujua HII PLANET IMEFIKA MWISHO.

  • @ReganKimaro-kr7nn
    @ReganKimaro-kr7nn 11 месяцев назад

    Kadri sayansi inavyo ongozeka ndivyo na Dunia inavyo zidi kuwa sehemu hatari hatari kwa wanadamu kuishi.
    Ukisoma kitabu cha mwanzo Mungu alimumbia Nuhu "Kwakua mwanadamu ameiharibu Dunia nami nitamuaribu pamoja na Dunia " ndipo alipo shush gharika.
    Sasa safari hii ni Mwanadamu mwenyewe nazidi kuwasha moto nyumba anayo ikaa mwenyewe 😢
    Sasa mnataka tukaishi wapi maana hamna sayari nyingine zaidi ya hii kuishi .
    Hiii inakupa tu kujua HII PLANET IMEFIKA MWISHO.
    17:03 17:04

  • @selemanthabit5718
    @selemanthabit5718 2 года назад +2

    Kiukweli bado tupo kwenye hatar zaid kwasababu hayo mabom hata wasipo yapiga yanawza xpire yakajilipukia Kama ya goms.

    • @gamma9590
      @gamma9590 2 года назад

      Yanaexpire huku Tanzania sio kwa wazungu wako makini sana

    • @gamma9590
      @gamma9590 2 года назад

      Wasingekua wanafanyia maonesho, Kuna namna wanayahifadhi hadi waamue kuyaruhusu ndio yalipuke

  • @ladislauskabosa3511
    @ladislauskabosa3511 2 года назад +1

    Dah inatisha mbaka najiuliza kwann nimefahamuu

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 года назад +2

    Hivi vitu vikibuma vizazi vyote vitakuwa viwete kila mtoto

  • @alibinali_
    @alibinali_ 6 месяцев назад

    AFRICA hatuna silaha kali kama hizo itabidi tujenge underground Chambers😊 😂😂😂

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 2 года назад +1

    Naogopa Allah tunusuru

  • @LawiNgakala-f1t
    @LawiNgakala-f1t 5 месяцев назад

    URUSI NI BABA WA DUNIA URUSI USIIFANANISHE NA HEROSHIMA NA NAGASAKI URUSI BABA MALIZA WOTE.

  • @ramadhanidaudihaji2174
    @ramadhanidaudihaji2174 2 года назад +1

    hatari Sana 😬😬

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад

    😣😣😣nime tishika m niko hapa karibu yao🤔 mi nadhani na hii corona sio ugonjwa m nahisi wakuna kitu kilikuwa kina tengenezwa

  • @kaginazongori3489
    @kaginazongori3489 2 года назад

    Ni hatari

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +3

    Moto wa Urusi ikiguswa pabaya tutapoteana dunia nzima

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 года назад +3

    Russia anamzigo wa Nuclear ambao akipiga juu unatoa mvua ya acid

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +2

    Hapo Marekani inachukulia poa lakini madhara ni ya dunia nzima

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 года назад +4

    Kulingana na Biblia kitabu cha Ufunuo chasema Yehova kaweka malaika watatu wauzuie upepo katika dunia mpaka pale mavuno yake yatapotimia yaan watumish wake wakishakuwa tayar hao watu wake atawaruhusu waondoke hao malaika wazuiao hasira ya wanadamu hapo dunia ndio watauona uovu mkuu na watamtafta Bwana hawatamuona madhara makuu yatashudiwa katika ulimwengu hali mbaya inakuja Jikabidhi kwa Yehova akuokoe katika dhiki ijayo

  • @hamzacedricole3673
    @hamzacedricole3673 2 года назад

    Usa 🇺🇸 ipo na zaid Kuliko ote hapo

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 2 года назад

    MUNG WA AJABU SAN SS WENYEW ND TUNATK KUJIANGAMIZA DAAH

  • @k.moneytv9053
    @k.moneytv9053 2 года назад

    professor kashiidadavuw vzurii

  • @shebbylovemsafi903
    @shebbylovemsafi903 2 года назад

    😭😭😭🇧🇮🇿🇦🇿🇦👂👂 nihatar

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 2 года назад

    Tuombe mwisho mwema

  • @LawiNgakala-f1t
    @LawiNgakala-f1t 5 месяцев назад

    URUSI BABA PUTINI NA KUUNGA MKONO HATUTAKI USHOGA MALIZA MA SHOGA WOTE NA WASHILIKA WAO WOTE VIVA VIVA VIVA PUTIN RAISI WA URUSI

  • @patrickmulonda9710
    @patrickmulonda9710 2 года назад +1

    Yehova peke yake atakaye iyokowa ulimwengu.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 года назад

    Bomu la ICBM ya Russia, ni bomu mmoja nzito kwelikweli kuliko bomu zote za nuclear ulimwenguni kote. Hii ikitupwa mmoja tu aise cjui kama kesho tutakwepo. Wote tunalala tu.

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas Месяц назад

    Mungu atusaidie tu😢😢😢😢😢

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 2 года назад +1

    mbona kama ni story book jamani😂

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 2 года назад +1

    *Mbona kama the story book washa toaga hii shory*

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 года назад

      Hii ni story ya dunia nzima imeelezewa na vyanzo vingi vya habari

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @RamadhanRamdhan-i2c
    @RamadhanRamdhan-i2c 7 месяцев назад

    Puttin unachelewa kupiga

  • @upendo1020
    @upendo1020 2 года назад

    Watu wenye pua ndefu sio wazuri kabisa

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 2 года назад

    Sns 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 2 года назад

    U

  • @deodatusdeusdelitdeodatus5171
    @deodatusdeusdelitdeodatus5171 2 года назад

    Mzee baba izirael ndo number mmoja

  • @salmaabdalla6029
    @salmaabdalla6029 2 года назад

    upumbavu mtupu

  • @ReganKimaro-kr7nn
    @ReganKimaro-kr7nn 11 месяцев назад

    Kadri sayansi inavyo ongozeka ndivyo na Dunia inavyo zidi kuwa sehemu hatari hatari kwa wanadamu kuishi.
    Ukisoma kitabu cha mwanzo Mungu alimumbia Nuhu "Kwakua mwanadamu ameiharibu Dunia nami nitamuaribu pamoja na Dunia " ndipo alipo shush gharika.
    Sasa safari hii ni Mwanadamu mwenyewe nazidi kuwasha moto nyumba anayo ikaa mwenyewe 😢
    Sasa mnataka tukaishi wapi maana hamna sayari nyingine zaidi ya hii kuishi .
    Hiii inakupa tu kujua HII PLANET IMEFIKA MWISHO.