SIJAWAHI Ona MUFTI AMEKASIRIKA Hivi - "MSEMAJI Ni MIMI Tu, MTAINGIZWA Pabaya"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 359

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 5 лет назад +5

    Ma,shaa Allah, shukran jazakaAllahu khair. Allah atuongoze sote, Amiin.

  • @alikirobo141
    @alikirobo141 5 лет назад +1

    Jazakkalwah khairan mufti wetu. Tekeleza majukum ya dini kadri upatapo fursa.

  • @hudishehdadi7790
    @hudishehdadi7790 5 лет назад +3

    Ukiangalia hzi comments utaona waislamu bado tuna kazi kubwa ya kufanya. Sheikh zubeir anafanya kazi kubwa sana kwa hekima kubwa mno. Tuwe na tabia ya kusoma dini yetu badala ya kusoma mawazo ya watu. Allah atuongoze na asafishe vinywa vyetu mbele ya maulamaaa

  • @abdallahhaji3793
    @abdallahhaji3793 5 лет назад +1

    Mufti ni MTU mzuri inshallah ataonyesha jitihada zake ili mashekhee wa uhamsho waachiwe huru nadhani ndicho kilio cha waislamu wengi kwani hakika wamejifunza kwa makosa yao na inshallah kama wakina babu seya waliachiwa basi raisi wetu mpendwa jpm inshallah atawaweka huru mashekhee amina.

    • @athumanimsangi7092
      @athumanimsangi7092 5 лет назад

      WEWE NDIO UMEONGEA BUSARA.SIO HAA WENGINE HAWAMWESHIMU MUFT LAKINI WANATAKA AWAPIGANIE HAO MASHEKHE

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 5 лет назад +10

    Mufti jitathimini ona comment nyingi hazikuungi mkono Allah atakulipa Kwa kupeleka dini kinyume na itakiwavyo.

    • @zaynabnyamsingwa3830
      @zaynabnyamsingwa3830 5 лет назад +1

      Dini haipimwi kwa wingi brother,ndio maana wapo mitume waliopata wafuasi wachache na Allah aliwaridhia.

    • @saidseleman6004
      @saidseleman6004 5 лет назад

      @@zaynabnyamsingwa3830 hebu nisaidie huenda napotea wewe unae jua arafa ni nini.

  • @chanuakihara5186
    @chanuakihara5186 5 лет назад +10

    Sio waislamu wote tunaotambua bakwata tafadhali usitulazimishe

  • @awadhially1384
    @awadhially1384 5 лет назад +5

    Usitutishe usitutishe usitutishe hii nchi haina dini kila mmoja atangaze imani yake bila ya kuvunja katiba ya nchi.

    • @muhsinmwambule9435
      @muhsinmwambule9435 5 лет назад

      Maadamu ume quote sehemu ya sheria(nchi hii haina Dini) niambie huo msemo una maanisha nini ili baada ya hapo tuingie kwenye mjadala vizuri.

  • @jumajembe3570
    @jumajembe3570 5 лет назад +16

    Duh! Tuwe na hofu na Allah.Siku Rais alipokutana na viongozi wa dini, Mchungaji 1 aliomba kurejeshwa kwa mchungaji mwenzao aliye ughaibuni!!!
    Shekhe wew ulishindwa vipi kumwambia Rais awaachie huru Waislam wa UAMSHO???!!!

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 5 лет назад

      Kwa sababu they are COWARDS

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 5 лет назад +1

      Mdomo ulimponza kichwa, uamsho waliponzwa na mdomo, hii nchi ni tofauti na nchi za kiharabu haiongozwi na Islamic sharia kwa hiyo ukitaka kulazimisha Tanzania hii watu wake wafate sheria za kiislamu lazima utaingia pabaya tu ndio kinachowaumiza uamsho. Wanavuka mipaka mpaka wanajisahau wanaona kama vile nchi hii haina serikali hiyo sio sawa lazima tujifunze kuheshimu mamlaka zilizowekwa kisheria hata mungu amearisha hivyo.

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 5 лет назад

      Mungu ameamrisha hivyo

    • @swahibuallymussa154
      @swahibuallymussa154 5 лет назад

      Hao ni mawahabi achana nao,wamewatukana sana masheikh,waache waonje dhambi ya matusi KWA wanawachuoni,washenzi nyinyi MAWAHABI.

    • @twaariqahmad7249
      @twaariqahmad7249 5 лет назад

      Juma jembe allah atujaze iman ya dini
      Nashkuru allah baadhi ya waislam tunayaon kam uloyaon wew

  • @awadhially1384
    @awadhially1384 5 лет назад +9

    Povu lanini Sheikhe? mnazani kuwatisha watu ndio tuwaogope na tuwafuate hilo sahau hii sio nchi ya kidini kila mmoja atangaze imani yake bila ya kutishana.

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 5 лет назад +12

    msemaji ni wewe tu kwani Mungu wewe?huna lolote ni unafiki tu

    • @mohammedjuma6736
      @mohammedjuma6736 5 лет назад

      Kuwa na hesma kwa viongozi wako wa dini,pimbi we kuwa mwelewa

  • @mohammedmuya7532
    @mohammedmuya7532 5 лет назад +1

    Hakika BAKWATA ni chombo pekee cha kuendeleza uislam katika nchi hii mana mpaka kwenye kijiji uongozi wenu upo, lakini bahati mbaya sana hakuna uadilifu na mipango madhubuti ya kuendeleza uislam. Kama mngekuwa mnafanya kazi zenu vizuri kwa mujibu wa sheria za dini kweli, hakika hata omba omba na watoto wa mtaani pengine wasingekuwepo. Waislam wamepoteza imani na BAKWATA, inapaswa kurejesha imani iliyopotea kwa baadhi ya waislam. Msiwe kama viongozi ambao wapo wapo tu madarakani kwa kuwa wanapata maslahi binafsi, tuwe viongozi wenye kujali maslahi ya umma.

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman2436 5 лет назад +7

    mimi nilijua utakua mkali kwa madhila wanayoyapata masheikh na ndugu zetu walioko gerezani.

    • @abubakarmahamudu1503
      @abubakarmahamudu1503 5 лет назад

      hawezi.kuigiiris.wana.siasa.mashehe.wa.zanbar.siasasa.ndo.eme.waponza.warudi.kwa.mungu.wata.toka

    • @twaariqahmad7249
      @twaariqahmad7249 5 лет назад

      Dah we jamaa umeongea point moja ambayo inaumiza san waumin
      Allah akuongoze kaka

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 4 года назад

      @@abubakarmahamudu1503 siasa au kupigania haki ya visiwa vya Zanzibar? Hawakuwa na bunduki wala panga. Wametiwa ndani bila ya kesi. Haki ikiwapi?

  • @radhidimasambiro4620
    @radhidimasambiro4620 5 лет назад +5

    mnapenda sana kuabudiwa Alhah anawaona,university mmeshindwa kujenga,wenzetu upande wa pili wanazo kibao hazihesabiki

    • @ibrahimmbuzi3039
      @ibrahimmbuzi3039 5 лет назад

      Weunasema tuu unajua kinachotokea zaidi katika huo upande wa pili
      Unaujua mkataba wa mou ww acha kujisemea kama hujui japo kweli madhaifu yapo lkn kwa kiasi kikubwa hujuma zimetawala

    • @reginamluviji9405
      @reginamluviji9405 5 лет назад

      huyu shekh vipi

  • @suleimanmwalimu3018
    @suleimanmwalimu3018 5 лет назад

    hongera mufti tumekuelewa ww ni mufti wa kupigiwa mfano wafahamishe mashee wapotoshaji wasitudanganye

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim2663 5 лет назад

    ماشاء الله تبارك الله شيخنا ومفتنا

  • @abdulabass5808
    @abdulabass5808 5 лет назад +9

    Ingali kua ukali huohuo unautoa pale serekali inapowakandamiza waislam ningekuelewa lakini ukali kwetu tu kwa serekali huongei ,acha kutumikia mabwana wawili wewe

  • @hassandeuj2517
    @hassandeuj2517 5 лет назад +8

    Hatuielewi bakwata hata uje na mizinga

  • @hassanboi5906
    @hassanboi5906 5 лет назад +19

    Kauli ya muft wa tz sio kauli ya mwisho kabisa maana hii sio nchi ya kiislam ingekuwa ya kiislam ingekuwa nchi ya kiislam ingekuwa ni kauli ya mwisho, mufti mwenye kauli za ni mufti wa Saudi Arabia, Oman, mascat nk ambako ni nchi za kiislam

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 5 лет назад +2

      Oman ni inchi ya kiislam? Nadhani huijui oman...pia naungananawe kuwa muft sio mtu wa mwisho kwasababu hana mashiko ya kisheria ktk Daru twaahuut

    • @mrimbijumatatu6533
      @mrimbijumatatu6533 5 лет назад +1

      Oman na saudia zote ni nchi za kiarabu sio za kiislam

    • @hassanboi5906
      @hassanboi5906 5 лет назад

      @@ibnhassan9980 mmmmmmh!!!

    • @habibtalib5100
      @habibtalib5100 5 лет назад +1

      A.alykm..ndugu yngu hemu kasome tena qur an ili ujue inasema nn juu ya viongoz wenu ktk nchi...yan uxije kusema kuwa mufti sio mtu wa mwsho katk nchi yetu coz utachekwa wakisikia waliosoma dini...

    • @hassanboi5906
      @hassanboi5906 5 лет назад

      @@habibtalib5100 sheikh tz sio nchi kiislam, kauli ya muft wa tz haiwezi kuwa kauli ya mwisho kwa tz labda ni ya mwisho kwa bakwata wenyewe hili halina hoja

  • @kakuhassan4734
    @kakuhassan4734 5 лет назад

    haya akhy zuberi Allah akuhifadhi mim nafaham utakua sawa in sha Allah.

  • @amananassor524
    @amananassor524 5 лет назад +11

    unge ongelea masheikh wa lio kuwa jela ninge kuelewa sio unaongea mipashu tu apo

  • @bakarabajana3433
    @bakarabajana3433 5 лет назад +18

    Wewe nani kwani umekua Mtume wewe fanya kazi ya serikali ndio waliokuchagua mambo ya uislam waachie waislam wenyewe sio kuitwa sheikh mkuu ww ndio wa2 wasiongee

    • @mohamedalbaiti1423
      @mohamedalbaiti1423 5 лет назад +2

      Muelewe sheikh kabla ya chuki sheikh anaeleza vizuri na amentaja sheikh mzito sheikh hemed bin jumaaa bin hemed mungu amrehemu amin

    • @saidseleman6004
      @saidseleman6004 5 лет назад

      Et mufti

    • @hudishehdadi7790
      @hudishehdadi7790 5 лет назад +1

      Msafishe vinywa vyenu mbele ya maulamaa. Hamtafikia uchamungu wa mamufti wa Tz. Kuweni na heshima na adabu kwa akili hizi albabu ndgu yangu abajana unakoelekea siko

    • @habibtalib5100
      @habibtalib5100 5 лет назад

      Tumia akili ww acha siasa hii dini ina taratibu yake na mipaka yake...usiwe unaropoka tuuuu..

    • @saidseleman6004
      @saidseleman6004 5 лет назад

      @@habibtalib5100 hujui lolote wewe kwenda huko.

  • @amanabdallah9745
    @amanabdallah9745 5 лет назад +7

    Taasisi ya bakwata, inatakiwa ifanye marekebisho ya kiutawala, ishirikishe taasisi zote za dini ya kiislamu.

    • @hudishehdadi7790
      @hudishehdadi7790 5 лет назад +1

      Ndugu yangu fuatilia vizuri kazi za Sheikh Zuberi utagundua unachokisema hujakifanyia utafiti

    • @khudhaifabaalawy9757
      @khudhaifabaalawy9757 5 лет назад

      Hahahahaa Nikweli ndugu yangu

  • @sulemanabbas9955
    @sulemanabbas9955 5 лет назад +2

    Allah akuhifadh, nmekuelewa vzuri.

  • @rajabuhassani4504
    @rajabuhassani4504 5 лет назад +9

    Nikweli wewe ni msemaji wa tanzania mzima kwa tasisi yako, na wengine ni wasemaji wa inchi mzima kwa mujibu wa tasisi zao pia.

    • @salmagulam6619
      @salmagulam6619 5 лет назад

      Asante maan hatuongozwi na serikali Bali ni dini na kitabu

  • @fadhiliharuna1708
    @fadhiliharuna1708 5 лет назад +5

    Mtihani kweli sasa kama nchi ambazo nyinyi mumefungua nazo 56 kama mlivyo sema je nchi zaidi ya 140 zimefungua Eid siku gani? Walifikiri duniani kunanchi 60 nini?

    • @muhsinmwambule9435
      @muhsinmwambule9435 5 лет назад +1

      Wingi ni umoja lakini wingi si hoja. Tupatie dalili sheikh ili kusupport madai yako kwamba funga ya arafa na kisimamo cha arafa zinafungamana.

    • @mohammedjuma6736
      @mohammedjuma6736 5 лет назад

      Hebu kasomeni waislam,unampinga muft huna hata hoja ya dalili,acha kuwa mwehu

  • @abuutheymiin5498
    @abuutheymiin5498 5 лет назад +1

    قال الإمام مالك رحمه الله تعالى :"السنة مثل سفينة نوح من ركبها نجا ومن تخلف عنها غرك "....." نحن غرباء ":أي، الذين يصلحون إذ فسد الناس.

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 5 лет назад

      Nashukuru sana kwa nukuu hiyo sunnah nikweli mfano wa jahazi

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 5 лет назад +1

    Naam uturuki ulingani na Tanzania kwa nn unalingabisha shughuli za serikali na dini kwa kutofautiana kulianza Tanzania kwa nn kuwabana masheikh wengine na wao wana mshango mkubwa wa kuhamasisha watu kwa nn ukataze watu kusema .

  • @junhanbabu1218
    @junhanbabu1218 5 лет назад +12

    Tatizo lenu ni kujigamba bila ya hekima, bakwata ilioudwa na nyerere ndiounayojigamba nayo,

  • @sadikingonyani315
    @sadikingonyani315 5 лет назад +8

    Ili uamike kwa WAISILAM kwanza utuungunishe WAISILAM WOTE, na pia uyarudishe mali zote za WAISILAM ambazo walio kutangulia waliyagujumu hapo tutakuamini

  • @hassanmjebe4703
    @hassanmjebe4703 5 лет назад +10

    Mhhh mm nafikili taasisi hapa tz zip nyingi sasa mzee usijibebeshe mzigo usio uweza wewe ni mufti wa wafuasi wa bakwata sio wa waislam wote Tanzania uo ndio ukweri,,,na usiwalazimishe watu kufuata matakwa yako, kila mtu afuate zehebu lake bila kukashifu lingine

    • @zaynabnyamsingwa3830
      @zaynabnyamsingwa3830 5 лет назад

      Hakuna dhehebu linaloitwa bakwata ktk Uislam. Na Bakwata ni chombo cha kuusemea uislam tanzania.tatizo ni nini nyie na bakwata?

  • @yasinsaid6354
    @yasinsaid6354 5 лет назад +6

    basi uwe unatangaza pande zote ikifika sikukuu ya wenye itikadi ya mwezi wa kimataifa uwatangazie vilevile upande wa kitaifa ndio hautapata shida

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 5 лет назад

    Sh. Hao waliosoma saudi wanadharau mashekhe wetu wa Africa mashiriki na hawataki umoja wetu nahaki ya kuangalia mwezi.

  • @abuutheymiin5498
    @abuutheymiin5498 5 лет назад +1

    Bakwata ni taasisi kama taasisi zingine hivyo haina haki ya kuingilia uhuru wa taasisi zingine, yeye ni msemaji wa taasisi ya Bakwata hivyo awe na busara na hekima katika mambo ya dini, Bakwata ni taasisi ambayo mara nyingi iko kinyume na quran na Sunnah ambayo Ndio mihimili ya uislam popote duniani, bakwata ni wasimamizi wazuri wa bida'a na usufi jambo ambalo liko mbali na uislam wa Mtume swalla llaahu a'laihi wasallam na maswahaba zake, hivyo basi, hoja za mufti haziko kielimu kwani zimejikita zaidi katika jazba, ubabe na vitisho,... Jambo la funga ya arafah nilitarajia kumsikia mufti akisema kwamba ni jambo la khilaf lakini yeye anazungumza kama jambo la kukata, masuala ya khilaf kama ulivo utaratibu wa wanachuoni kwamba watu wapeane udhuru japokuwa katika khilaf Kunakuwa na msimamo /qauli yenye nguvu, kama mufti aombe radhi kwani maneno yake yako kinyume na utaratibu wa khilaf ambapo ziko qauli za wanachuoni wakubwa wenye fatawa mbalimbali ambao yeye bado ni mwanafunzi kwa wanachuoni hao mfano, sheikhul Islami ibn Taymiyyah na wengine miongoni mwa wanachuo wa tafsiir,." Hakuna kumtii kiumbe katika kumuasi Allah ".

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070 5 лет назад +10

    Bakwata na Waislam ni vitu tofauti..
    Wewe unayejiita mufti umechaguliwa nani..?
    Hebu acheni ushenzi wenu..

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 5 лет назад

      Usitukane ndugu yangu mpendwa kweli unatamani haki isimame na fahamu kuwa haki haisimami kwa matusi

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 5 лет назад

      Kauli ya huyu ni ya kipuuzi

    • @hudishehdadi7790
      @hudishehdadi7790 5 лет назад

      Ndugu yangu nakushauri usirudie tena kauili kama hizi hasa kwenye hadhara kubwa km fb unayejaribu kumvunjia heshima sina shaka ni miongoni mwa Wachamungu jirudi ndgu kabla Allah hajakurudi

  • @allyahmed4014
    @allyahmed4014 5 лет назад

    Me ni mpitiaj comment kiukweli bakwata watu hawawapendi na mnajua hampendwi fateni Uislam wa mtume Muhammad (s.w.s)

  • @ibrahimtwaha52
    @ibrahimtwaha52 5 лет назад +3

    Huyu sheikh kavu kweli anajikuta kijukuu cha mtume et bakwata ikisema umeandama bas umeandama

  • @ahamadiali9351
    @ahamadiali9351 5 лет назад +1

    Said miraj kuwa wingi ndiyo unajiona mumeongoka Mimi nakwambia usijifaharishe kwa uwingiwenu aliye waumba ndiye anaetujua kwa iyo usijifaharishe kwauwingi inawezekana haokidogo unaowadharau kwa aliye tuumba wakawa wanathamani kubwa kuliko nyie wengi

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 лет назад +4

    Ingekua nchi ya kiislam mufti ndio msemaji lakini Tanzania mmhh

  • @abdirizakhtuke2882
    @abdirizakhtuke2882 5 лет назад +7

    Ungesoma historia usingesema hayo.
    Waislam hawakutambui wewe kama kiongozi wao.
    Taasisi yako imesajiliwa Rita kama ilivyo almallid au taasisi nyingine yeyote.
    Kwa upande wa wakristo kuna katoliki, Lutheran au SDA.
    Kila mmoja ana mipangilio yake na wana wasemaji wao.
    Acha kutafuta sympathy .
    Hii ni nchi isiyo na dini.

  • @bibazanzibariyyah5043
    @bibazanzibariyyah5043 5 лет назад +4

    Kama wewe kiongozi wa waislam mbona huwatetei waislam wenzetu wapo jela masheikh wa Zanzibar upo kimya kazi unafiki tu subir Allah. Atakavyokuja kukuuliza ..
    Usitupotezee muda hapa huna kimoja bakwata ni taasisi ya ccm kwani hujui ivyo ..
    Washenzi wakubwa Allah atawalipa kwa dhulma zenu

    • @alikirobo141
      @alikirobo141 5 лет назад

      Kwani wewe hutaulizwa?

    • @khalidkibwana3908
      @khalidkibwana3908 5 лет назад

      Bakwata chini Muft Zuber ipo vzuri inajitambua majukumu yake nyie Wahabi mnafahamika ni wapotoshaji wa Dini.Kama leo mnalaumu kuwa Bakwata ni taasisi hyo taass ya Dini mnayoifuata huko Saudia ipo chini ya nani kama cyo chini ya Ufalme unaolindwa na Marekani ,Mayahudi na Uingereza.Tafuteni historia ya Saudia nn kilisababaisha Utawala wa kifalme kuundwa

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 лет назад +1

    BIG BROTHER ALWAYS RIGHT
    TUMEUCHEZEA SANA UISLAM KWA MASLAI YETU BINAFSI NA SASA IANZE KUWA MWISHO NAAM MUFTI MAANA BINADAM WANAANGALIA NETWORK TIME AWAANGALII NYAKATI........TENA UMEONGEA KIDOGO KIONGOZI WANGU ULITAKIWA UKOMESHE KABISA

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 5 лет назад

      Uko kwenye ignorance my brother.

    • @akimmbwego797
      @akimmbwego797 5 лет назад

      @@hamidudongo1879 heri ya wewe ulie na elimu ya ghaibu na kutukana wakubwa na waliopass kukuongoza,kaa hivyo hivyo Wenzako ndio viongozi tayari na huna ulijualo hata vitabu vitatu tuu tofauti vya kuelekeza Uislam sijui kama unavyo ndani kwako.💣💣💣💣💣 wewe

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 5 лет назад

      @@akimmbwego797 Muislam mzima unakuwa Muongo. Kuna TUSI LOLOTE nililotoa hapo?? Tumia akili sio unafuata tu. Wewe mbona haufuati taasisi zengine na huambiwi umetukana?? Uwongo uwongo tu. Niambie TUSI nililotoa hapo kama umesema ukweli. Muislam mzima unazusha maneno maneno tu.
      Ukweli utabakia pale pale kwamba Waislam wengi wanahama kutoka Bakwata. Huo ndio ukweli hata akisema kama wewe unavyo sema angesema zaidi. Kama wewe unavyopenda kuwa Bakwata na wawe msemaji wako mkuu; wengine tunasikiliza Taasisi zetu kama Wasemaji wakuu wetu. Kuikataa Bakwata na kuona haturidhiki na uongozi wao- sio tatizo wala MATUSI. SINA SHAKA WALA WASIWASI NA UCHAMUNGU WAO BAKWATA AU ELUMU YAO HATA KIDOGO. Ila baadhi hatutaki kuongozwa na Bakwata pamoja wanasaidiwa na serikali pamoja na BAADHI ya Taasisi zisizo za kiislam.
      SIJATOA TUSSI LABDA NI WEWE NDIO UNAYETUKANA. ACHA UWONGO UONGO.

  • @khamissmussa2096
    @khamissmussa2096 5 лет назад

    Simama Katika Quran na sunnah sababu umebeba zimaa kubwa sana kuongoza uislam shekh

  • @abuuhudhayfah5108
    @abuuhudhayfah5108 5 лет назад +7

    Ahaa kumbe anaongoza kwa kutumia katiba, siyo kitabu na sunnah,
    Sasa nimejua

    • @salmagulam6619
      @salmagulam6619 5 лет назад

      Mungu hatawifichua taratibu hawa watu

    • @mohammedjuma6736
      @mohammedjuma6736 5 лет назад

      Kama hujui taratibu za uongozi kajifunze ujue nafasi yako,acha kuwa fikra finyu kwanza sikiza upime kwa mizani,acheni unafiki

  • @hassandeuj2517
    @hassandeuj2517 5 лет назад +3

    Tutawaheshim kama wakituheshim lkn sio tuwaheshim kwa kuupoteza uislam wetu hayo labda ufanye ww na kundi lako sio ss

  • @kimangomshamara7278
    @kimangomshamara7278 5 лет назад +2

    Kwanza ww nimufti gani unaeshindwa kuwatetea hata mashekh walikogerezani haija sikilika hata aikumoja sauti yako kuhusu mashekh halafu unatudaganya eti mswmaji wawa Islam hilo siobarza lawa isilam hilo nibaraza LA serekali we tetea tu ugali wako msemaji wawa isilam wote hayupo tena katka DUNIA hii limebaki jina lake na sifa zaketu utakua ww mnafiki WA uwisillam

    • @athumanimsangi7092
      @athumanimsangi7092 5 лет назад

      HAO MASHEKHE WATETEWE ILI NINI NA HUKU NDIO WANAO LETA MGAWANYIKO BAINA YA WAISLAMU? HAO HAO SI NDO WALOKUWA WANAIPINGA BAKWATA?KWENYE MAAMUZI YENU YA HOVYO HAMUMJALI MUFTI,ILA MKIBANWA NA SERIKALI MWAMUONA MUFI NI WAMUHIMU

  • @salimmauly9575
    @salimmauly9575 5 лет назад +7

    Wewe ndio utaingia pabaya kwa kuitwa mufti lakini hufanyi kazi ya Allah unafanya kazi ya siri kali

  • @aliadam4773
    @aliadam4773 5 лет назад +3

    Kwa mjibu wa katiba ya JMT kila mtu ana haki ya kuabudu. Idi itaswaliwa kwa mtu kuamua

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 лет назад +2

    Nimekuelewa sana mufti wangu alhjj abubakar bin zuber Allah akujaalie afya njema

  • @abdulabdl7308
    @abdulabdl7308 5 лет назад +5

    Sasa wewe msemaji wa waislam? Sasa mashekhe akina mselem Ally hawakuhusu mbona hatujakusikia kuwasemea?

  • @omarymohd4990
    @omarymohd4990 5 лет назад +2

    Kweli hatukatai kua namsemaji nakiongozi lakini imani natasisi hiyo hatuna kutokana namamboyenu

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi2971 5 лет назад +4

    Mheshimiwa Mufti huko sahihi kwani hata Biblia katika Kutoka 22: 28 tunakumbushwa kutomtukana MUNGU, wala kumlaani mkuu wa watu wako.

    • @shamiryporoto8732
      @shamiryporoto8732 5 лет назад

      hiyo ipo kanisani kwa wakristo sio kwetu sisi waislam

    • @saidimiraji1903
      @saidimiraji1903 5 лет назад

      Kaishaza Bengesi wewe kafiri mambo ya kiislaam hayakuhusu unatuambia maswala ya bibilia hapa tuachi wenyewe tutayajenga

    • @shamiryporoto8732
      @shamiryporoto8732 5 лет назад

      sheikh tuache mulumbano tumlejee allah sisi ni waislam haifai kulumbana

    • @saidimiraji1903
      @saidimiraji1903 5 лет назад

      hiki ndio cha kusema allah atupe muongozo na tawfeeq ya kuungana wajua tukitukanana haipendez nakushukuru sana wewe ndugu ulio coment muungano

  • @hajisungura1587
    @hajisungura1587 5 лет назад +3

    Mashaallah mufti umeongea,lakini tungependa kujifunza kutokakwako Hakuna wanawazuoni wakubwa kuliko au zaidi ya hao mamufti unao wataja walio toa fatwa zakukubali mwezi wa popote Duniani?kama wapo ndio haowasionaelimu?na wanahaki waliowakubali fatwa zao kuwafata au haifai?.

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 5 лет назад +1

    uturuki na tanzania tofauti na saudia huwezi kuilinganisha na tanzania maana tanzani sio nchi ya kiislam saudia ninchi ya kiislam lazima iwe na msemaji mmoja

    • @saidimiraji1903
      @saidimiraji1903 5 лет назад

      Muhidin Ali kama sio nchi ya kiislaam hama ondoka nenda huko kwenye nchi ya kiislaam

  • @allymnzava3818
    @allymnzava3818 5 лет назад +5

    Asitishe watu. BAKWATA ni taasisi kama taasisi nyingine. Hana mamlaka ya mwisho kwa waislamu wote. Alikuwa anaheshimika lakini sasa nahisi amechoka kuheshimiwa.

  • @abuunajat1164
    @abuunajat1164 5 лет назад +1

    Alhamdulilah Shekh wetu umeongea uliyo yaongea ila tunataka video ya sudeis wakati unamuuliza maswali hayo yamwez atutaki stil picha maana ata mnazi unaweza ukapiganao picha ahaha!!!

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga9134 5 лет назад +2

    Hakuna haja ya kulazimishana ktk dini Kila mtu Ana kaburi lake na atahukumiwa peke yake na ktk NEEMA ya AKILI Kila mtu Ana mgao wake na Kila mtu Ana mafhumu

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +1

    ASLIMIA KUBWA YA WAISLAAM HATUKUPENDI WE ANGALIA TU HATA HAPA COMENT ZINAONESHA WAISLAAM HATUKUTAKI ILA UNAJIPENDEKEZA KWETU ILI TUKUPENDE KAA MBALI NASISI HUNA MASLAHI NA WAISLAAM

  • @biasiomari240
    @biasiomari240 5 лет назад +6

    Acha porojo muogope mola wako unafananisha nchi yakitwaghut na zakiislamu mola hato kuacha salama fanya toba

    • @mohammedjuma6736
      @mohammedjuma6736 5 лет назад

      Soma kwanza ndo mnyoshee kidole muft,unatumika bila kujua

    • @hassanalhakim8401
      @hassanalhakim8401 5 лет назад

      Biasi Omari wewe unafanya utani na masheikh ndugu jihadhari usije ukapata tabu na usije chanzo nini

    • @biasiomari240
      @biasiomari240 5 лет назад

      @@hassanalhakim8401 hapo utani uko wapi unafikiri hiidunia watu wanaweza kua juu yasheria nasio juu yamungu imani yangu nahofu kubwa nikwamola wangu kama wewe nimiongoni mwao nawe muogope allha uislamu hauko hivyo kama unakaelimu kidogo au huna kaakimya au tafuta wasomi wakuonyeshe aya juu yahayo kwakukusaidia

    • @hassanalhakim8401
      @hassanalhakim8401 5 лет назад

      Biasi Omari innalillahi ibaada idha aradu arada sasa endelea kuwazingua tu ndugu

    • @biasiomari240
      @biasiomari240 5 лет назад

      @@hassanalhakim8401 hayo ndo uliojifunza bora uwe mtumwa waallha na mtume wake unakua mtumwa kwabinaadamu wenzio ilichomwa qur-an pia ilikojolewa ilitoka kauli gani sasa vipi uwaamuru waislamu wote naona pia hujui bakwata ipo kwasababu gani kua naakili hujui kusoma hata picha huelewi katafute aya hii yaa ayyuhalladhiina aamanu innakathiiram minal ahbaari wallughubaan layakuuluna amuwala nnasi nilbaatwili wauasuduna aansabiilillah

  • @yahyagonga
    @yahyagonga 5 лет назад +3

    Tumia hekima mzee wanaoipinga BAKWATA wanajulikana na sababu zao so vzr ni kuzungumza, kutumia nguvu pataleta chuki zaidi

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад +5

    Mwezi wa BAKWATA +ARAFA ya BAKWATA,,,,,hahahaaa huo ndio ukweli!!!!

    • @muhsinmwambule9435
      @muhsinmwambule9435 5 лет назад

      @Juma Kapilima. Tuweke mjadala hapahapa tuufanye wa wazi kwa manufaa ya wengi. Unasemaje akhy?

    • @kipumbwipangani7638
      @kipumbwipangani7638 5 лет назад

      @@muhsinmwambule9435 weka anuani ya mada

    • @hamidharunsaid1666
      @hamidharunsaid1666 5 лет назад

      Mimi naeka mada: Je funga ya Arafa ni lazima ioane na kismamo cha Arafa Cha Mahujjaj Makka?
      Binafsi nasema la×

    • @rashidiabdul-aziz4791
      @rashidiabdul-aziz4791 3 года назад

      Enyi mulioamini mtii m,mungu na mumtii mtume na wenye mamlaka juu yenu nyinyi aya hii hawaitaki

    • @rashidiabdul-aziz4791
      @rashidiabdul-aziz4791 3 года назад

      Yas alunaka anil ahilah (wanauliza kuhusu miandamo)umeona Aya hioo kwa iyo miandamo mingi

  • @abduhamzasungura1642
    @abduhamzasungura1642 5 лет назад

    Unapo mkataa kiongozi Wa Uismlam kwa Chuki Na Hasadi tambuwa kiongozi Wako Ni Sheetani Mufti Hongera Hao Wanao Tutenganisha Yafaa Washuhulikiwe Waswali Misikitini Kwao Na Waache Kujipa Madaraka Dhamana Yote Ipo Kwako

  • @neymarsuleyman8602
    @neymarsuleyman8602 5 лет назад +1

    Mwashirikiana na kenya wakati ramadhani kenya wameanza kufunga huku mmechelewa??

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад +6

    Wewe nani mpaka uwakataze waislam wasiyapange mambo yao mpaka wapangiwe na BAKWATA?

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +6

    IKHTILAFU ZILIKUEPO PIA ZITAENDELEA KUEPO KUA MAKINI WEWE NIMTIHAN KWA UMMAH

  • @alsamr554
    @alsamr554 5 лет назад +2

    Bakwata fanyeni kazi ya waislam sio kufanya kazi ya serikali . Waislam wana matatizo mengi sana siyo mwezi muandamo , waislam wamo ndani magerezani kwa tuhuma tu ushahidi hakuna zaidi ya miaka 5 sasa mufti upo kimyaa wale ni watu wana familia zao zinahitaji huduma

    • @hamidharunsaid1666
      @hamidharunsaid1666 5 лет назад

      Kwan wamehukumiwa na koti ya kiislam? Independence of institutions.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 5 лет назад +2

    Haifai kutisha,Allah anakuona,na inshaAllah atawalinda,wale wanaifuata njia ya haki,mnasema Tanzania haina dini,au kuanzia leo ni jamhurui ya kiislamu ya Tanzania,mbona wakristo wana wasemaji wa madhehebu tofauti,kilutheri,kikatoliki,sabato na kadhalika,na kila madhehebu yana msemaji wake,wewe ni msemaji wa bakwata,haifai,kujipa cheo cha ukubwa wa kupindukia,ina maana mabokhora,mathnashiri,kenya hamufuati,ramadhani wao walifunga nyinyi ,hamkufunga,uislamu hauna serikali au chama,bakwata mnaipotosha serikali,kama mnafuata saudia basi msifanye bidaa ya maulidi,saudia hawaifuati hiyo,Allah anakuona na atakuhukumu,kwa kuwachia mamia ya waislamu kuwekwa majela,bila kushitakiwa.

    • @rashidgontta7264
      @rashidgontta7264 5 лет назад

      Nitajie msemaji wa luteran msemaji mkuu wa wakristo wote ni kadinal pengo

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 5 лет назад

      @@rashidgontta7264 Usitetee jambo kwa kusema uwongo,maaskofu Tanzania wanakosoa kila leo,na hatujapata kusikia kukamatwa ama kukosolewa,mfano askofu wa kilutheru amekuwa akitoa maoni kwa kukosoa na kusimmamisha itikadi zake bila kuingiliwa,hilo liko wazi,bakwata haina haki ya kuwaamulia waislamu wote,Tanzania kuna madhebu tofauti ya kiislamu,yenye utikadi tofauti,kuanzia mashia ,ahmadia,sufia,kadaria,na ahlil sunna,sheikh itikadi yake anaijua mwenyewe,na wengi hawakubaliani na mitizamo yake ya madhehebu,kwa hiyo hana haki ya kuingilia wengine katika imani zao kidini,hana haki ya kushurutisha au kuletea vitisho kwa itikadi zingine,huko ni kwenda kinyume na sheria ya Tanzania,ambayo sheria zake kikatiba haina dini,na kila raia ana haki ya kuamini anavyotaka,mfano tumemuona nabii mpya ambaye anafuata Quran na Injili,tunamshauri sheikh asizibe macho/masikio aifuate njia ya haki,kwa Allah anamuona,ikiwa kakalia cheo chake kimaslahi au kwa ajili ya Allah.

    • @rashidgontta7264
      @rashidgontta7264 5 лет назад

      @@sabraham5308 shekh uislam upo wa aina ngapi maana hizi madhehebu tumezitowa wapi mtume alikuwa mdhehebu gani ndiyo maana hata saudia usidhani wote ni wislamu kuna makafiri mashia suni nk lakini msemaji anabaki mmoja tu bc kwa hiyo yoyote atakaye ongea atachukuliwa ni maoni yake lakini akiongea mufti itaonekana ni sheria

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 5 лет назад

      @@rashidgontta7264 wewe unaona upo wa aina ngapi.

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 5 лет назад +1

      @@rashidgontta7264 ingekua saudi arabia tungekubali hili,kwamba ni serikali ya kiislamu ya salafiya,na kauli ya mufti ingekuwa ndio sheria.lakini kwa Tanzania hilo si sheria,kwa sababu haina dini,na hakuna sheria inayomlazimisha mtu,unachokiamini wewe ndio iwe sheria,hapo unajidanganya.kisheria.

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 5 лет назад +1

    Mufti upo sawa makundi 71ni shidaaa. Lakin ALLAH atawaongoza kwa Rehma zake

  • @neymarsuleyman8602
    @neymarsuleyman8602 5 лет назад +1

    Nchi kuwa na khutbah moja kwa wakati tulionao ni kuulaza UMMAH, na ndio maana miongoni mwa mikoa iliyolala usingizi ni Tanga coz khutbah ni moja misikiti karibia yote

  • @SalehSaleh-gr5fo
    @SalehSaleh-gr5fo 5 лет назад

    Dini ya Uislam inaamrisha Akhlaaq, Adaab na Nidham ya hali ya juu kabisa. Kweli Mufti Abubakar ni kiongozi wa Bakwata lakini haimaanishi kua sisi ambao hatukubaliani nae kiitikadi wala kiutendaji basi ndio tumseme kwa maneno yalikosa adabu. Ikiwa unamwona amekosea na wewe ukamkosea hapo panakua na makosa 2, sasa hapo utakua umeongeza makosa au umepunguza.
    Wallahu a'lam.

  • @twaariqahmad7249
    @twaariqahmad7249 5 лет назад

    Kuna mchungaji aliomba mchungaji mwenzao kwa serikali
    Mufti wetu anashindwa hata kuwatolea sauti waislamu wanaodhulumiwa haki zao

  • @amanabdallah9745
    @amanabdallah9745 5 лет назад +4

    Katiba ya wapi.

  • @rajabuseif7713
    @rajabuseif7713 5 лет назад +2

    hakuna alietoa laana acha uzushi wako mufti mtu halaaniwi kwa hilo jmbo sisi tutasimama ktk haqi

  • @yusufismail3116
    @yusufismail3116 5 лет назад +3

    Uniwie radhi sheikh, hakuna nchi kubwa mbele ya nchi nyingine labda ukubwa wa eneo.

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 5 лет назад

    ukweli ni Kwamba Watanzania wengi hawajui Kazi ya Mufti.Yaan Ni Mtu wa Fatwa
    Mim labda niwasaidie Mufti Kazi yake ni Kuuulizwa Maswali Na kuyajibu.
    Sasa Hiyo Kazi Ya Kutangaza Mwezi Au Sijui Sikukuu za Eid Hilo sio jukumu lake Ni Jukumu la Kadhi Ambaye Sisi Kwa Tanzania Hatuna Huyo Mtu.

  • @lugomemtamayaye9508
    @lugomemtamayaye9508 5 лет назад +2

    Hemedi bin Juma alitoka mlango wa nyuma ktk mnakasha wa mwezi sembuse wewe mpiga ramli? Bakwata si msemaji wa waislam wote ila ni msemaji wa taasisi yako.

  • @yasinsaid6354
    @yasinsaid6354 5 лет назад +2

    Kwa nini usikae na viongozi wengine ili muwe mnakubaliana kwa pamoja pia ukumbuke kuna madhehebu mengi

  • @mohamedchobu7252
    @mohamedchobu7252 5 лет назад +4

    kama ndvyo, Baraza lako liwe na wajumbe wa taasisi zote, sio mashehe wa Bakwata wa mikoa au wilaya

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 5 лет назад +2

    Mufti tambua hata ukristo una madhehebu na taasisi na wana Uhuru wakutangaza wanachoaminj....

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 5 лет назад

    Nalamuhimu zaidi Qurani na swala na saumu wanafundishwa na hawa hawa mashekhe wetu.

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 4 года назад

    BAKWATA sio chombo cha waislamu wote bali ni chombo cha wao wenyewe wachache.
    Mimi binafsi sio Bakwata. .
    Wakati wa kuchaguana mnawatenga waislamu mnajifungia wenyewe Dodoma halafu mkishapeana vyeo mnasema nyinyi mnawasemea waislamu wote

  • @hamidkulanga6781
    @hamidkulanga6781 5 лет назад +3

    mufty umeongea maneno makali sana ila nimekuelewa sana ni kweli kabisa waache kuvuruga nchi

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 5 лет назад

      Mbona nyinyi Wakiristo mna TAASISI TOFAUTI TOFAUTI na kila Taasisi ina wasemaji wake wakuu? KWANINI na Waislam WASIWE hivyo hivyo? Bakwata has lost support from majority of Muslim population in Tanzania kutokana na poor management kwa Waislam katika mustakabar wa maendeleo & elimu. Taasisi ZA Kikristo waliwekeza na bado wanawekeza sana katika maendeleo ya Waumini wao kiasi kwamba mpaka sasa unaona Tanzania more than 90% ya wafanyakazi serikalini kuanzia chini mpaka juu ni Wakristo. Hatuwalaumu Wakristo kwa sababu Taasisi zao zimewekeza Mali na ideas kwenye mipango ya kimaendeleo for years kuanzia mashule bora, Mahospitali, vyuo vikuu na SHUGHULI zote ZA kimaendeleo for years. Waislam wanachoikatalia Bakwata kwa sababu hawana maendeleo waliyoyaleta toka Hayati Baba wa Taifa aanzishe hii Taasisi/Chombo.
      Waislam wengi wameikimbia na wanaendelea kuikimbia Bakwata na nobody will stop them. Bakwata ni chombo cha serikali ambacho kinafuata maamlisho ya serikali. Sasa hivi kwa sababu hawana jipya na hawawezi kuongoza Waislam towards progress- wanaitumia serikali. Pretty soon- Bakwata will be isolated institution.
      Kinachotakiwa serikali iwaachie Waislam wachague Taasisi wanazotaka kama vile WAKIRISTO wanavyofanyiwa sio kuleta double standard.
      Kwa hiyo dadaangu don't talk shits that you don't know kwa sababu tu you hate Muslims or you have pre-conceived misconceptions against Muslims. No one will protect Bakwata from gradual free fall. Si serikali wala Bakwata wenyewe kwa mfumo huu wanapokwenda nao. Waislam wa Tanzania wako so wise right now na tuna haki ya kufuata madhoebu tofauti kama Wakiristo wa Tanzania bila kuingiliwa na taasisi au serikali. Kinyume chake ndio kuvuruga amani yetu. We need to be left alone ili tuendelee kufuata dini yetu na madhoebu yetu kama vile WAKIRISTO.

    • @shamiryporoto8732
      @shamiryporoto8732 5 лет назад

      kaa kimya wewe kafir mkubwa hujui chocho kuhusu uislam hivyo basi hauruhusiwi kucoment chochote

  • @athumanitanuke6795
    @athumanitanuke6795 5 лет назад +2

    Dunia Tz ni moja kwa nin kila mwaka Eid zinakuwa mbili
    Viongizi mnatuchanganya waumini kaeni chini viongoz wa taasis zote mpate muafaka kwa hili ,nashanga ,kibra, arafa ,shahada ni moja sasa kwa nn kunakuwa na Eid mbili????? Jaman
    Mfano muda wa saudia na Tanzania ni mmoja sasa nashangaa kwa nin tunapishana nao
    Amaaa kweli huyu aliyegawanya mipaka ya nchi na amefanikiwa kutugawanya waislam

    • @mbishambisha7374
      @mbishambisha7374 5 лет назад

      sahihi kiongozi wetu simama katika kazi yako ya uongozi

    • @mohamedalbaiti1423
      @mohamedalbaiti1423 5 лет назад

      Tatizo wako masheikh hujiona wanajua zaidi ya masheikh wengine jawabu kangu wafate bakatwa siwaoni na makosa ni chuki tu za masheikh wazushi

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 5 лет назад +1

      KWANINI na wewe usisome au kujielimisha? Kwani wewe mwenyewe hauna akili ya kutafakali? Tafakali na halafu sepa ubazi unao kufaa. Dawa ya umbumbu ni kujielimisha.

  • @radhidimasambiro4620
    @radhidimasambiro4620 5 лет назад +3

    kwani wewe nani?taasisi zipo nyingi sana na zinakubalika na wengi,siyo hugo Bakwata ya wazee tena wa miaka 70 na kuendelea

  • @timbulosaid63
    @timbulosaid63 5 лет назад +4

    Wewe ninani ktk dini hii,tatizo nielim mnahadaika na vimilioni kumi

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 года назад

    Aaww_IKHITILAFU_zipo_ila_kutukanana_Ndio_vibaya_hata_mimi_nachukia_wanavyo_tukana_SIPENDI_jaman_,haipendezi

  • @salumseif3824
    @salumseif3824 5 лет назад +1

    mbona unaongea porojo tu hutowi dalili elimu gani unayoongea hapo chamsingi nikufuata haki sheikh ww ni kiongozi wa dini hutakiwi kuleta vitisho wala ubabe lete dalili muongozo wetu ni qur aan na sunnah sheikh kumbuka ww ni binadamu wapo walio kutangulia wakowapi? wameondoka nawew utakufa muogope Allah sheikh hii ni dunia tu.

  • @twaariqahmad7249
    @twaariqahmad7249 5 лет назад

    Ya waislam muwaachie waislam na ya serikali iachieni serikali
    Wewe mufti wa serikali
    Hakuna muumin aliyekuchagua

  • @saidimiraji1903
    @saidimiraji1903 5 лет назад +3

    mufti sema tena sema tunaotambua bakwata tupo wengi kuliko hiki kikundi cha fecbook kilichoandika coment zao hapo

  • @manikanahamisi6520
    @manikanahamisi6520 5 лет назад +3

    Povu la nini kwani lazima tukufuate wewe umekuwa Mungu au mtume wewe? A

  • @rajabuharuna6390
    @rajabuharuna6390 5 лет назад +1

    Nikweli kabisa lakin wewe sio kiongozi wa waislaamu wewe ni kiongozi wa bakwata..hata haya huoni mzee

  • @Daawa-l8s
    @Daawa-l8s 5 лет назад +2

    Uislamu wa bakwata ni upi mbona inaonekana kama mikakati maalum?

  • @mahfoudhmabrouk809
    @mahfoudhmabrouk809 5 лет назад

    Sikutarajia kama bin zuberi angeongea namna hiyo tena kwa mas'ala hayo ! Kuna mambo mengi mno waislam wanatarajia kuyasikia na kupata muelekeo mzuri na sio haya ya khutba nzima anazungumzia khitilafu zinazofahamika miaka yote tena kwa jazba kuubwa na kwa kufoka kukubwa kama vile anazungumza kuwasema makafiri.!!" Inna liy laahi wa inna ilayhi raajiwna"!!!

  • @philipfrankmakutsa9663
    @philipfrankmakutsa9663 5 лет назад +1

    Tunapokua na maneno mengi tunawapa wenzetu waliotofauti kiimani kupata la kuongea inaonekana kama sisi sio wamoja kwanini kama shahada yetu moja tusiwe wa moja Allah atuhifadhi Wallahi ...

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 5 лет назад +1

    Kuna Othman Maalim ktk mashekh wakisuf ni shekh ambae anajitoa zaidi ktk dini chakushangza mtu kma huyu eti !! asiwe muft mtu from no ware twaambiwa huyu ndiye Mufty iko vipi ? hiyo

    • @saidimiraji1903
      @saidimiraji1903 5 лет назад +1

      Adam Makoye mna waponda kisha mnawakubali wewe fuatilia recodi ya sheikh othman maalim utajua pia akiwa yeye mufti hutoacha kusema kwasababu ndo kawaidayenu

    • @adammakoye4198
      @adammakoye4198 5 лет назад +1

      sio kma ndiyo niko ktk msimamo wake Othman Maalim laa ! Ni kutaka kuonyesha tu kwamba vipi ? isiwe hivyo

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 5 лет назад +2

    Tanzania sio nchi ya kiislam kama Saudi Arabia au uturuki

    • @saidnyonzo850
      @saidnyonzo850 5 лет назад

      Jaffar saudia ingekuwa ya kiislam ingekuwa na ufalme

  • @timbulosaid63
    @timbulosaid63 5 лет назад +3

    Kwanini uwe na tatizo lauchumi wakat waislam wapo,tatzo hapo elim hakuna kingine

  • @mohamedmillanzi9070
    @mohamedmillanzi9070 5 лет назад +2

    Bakwata mbona ipo kwenye hafla za kiserikali tu.huku chini kwa waumini haionekani.

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 5 лет назад +2

    kwani uislam huendeshwa kwa katiba? nyinyi mnataka kuleta fitna

  • @hassandeuj2517
    @hassandeuj2517 5 лет назад +1

    Hakuna usimamizi wa uislam wala uongoz bakwata ni chombo cha serekali na mm kama muislam siikubali wala haitatokea siku niikubali bakwata nyie ni sawa na taasisi ya ccm tu watumikieni mabwana zenu mulipwe mishahara.

  • @muhamadkijuu7224
    @muhamadkijuu7224 3 года назад

    fahamisha wat itilafu yamwez acha kukwambia watu hote wafuat mwez wandan Hali yakuw una juwa hayo nimasuala yaitilaf