EXCLUSIVE: MAZITO KUHUSU MIZIMU YA NGENDE NA SIMBA WANAOSINDIKIZA WATU Part: 01
HTML-код
- Опубликовано: 22 фев 2020
- NOTE: Tumeshindwa kuonesha picha za eneo husika linaloaminika kuwa ndio la mizimu kutokana na miiko ya eneo hilo.
Tutakuwekea sehemu ya pili inayoelezea Ngende ya Pili ambapo utamuona Bibi mwenye maajabu.
#mashujaatv
Follow us
mashujaatv...
Mungu akuweke Babu yangu 🙏🙏
HABARI ZA SAIZI NDUGU MTANGAZAJI WA MASHUJAA.
💐💐💐♥️
Namba tunaomba
Thanks
Mmh htr San
Allah ndie muokozi pekee hakuna mwanadamu ambae anawe muokozi wa haki Bali huo ni USHIRIKINA tu
Mtakuja
Naomba namba
Mh kwakweli bongo kaz ipo
Huu ujinga mpaka lini
Naomba number niko na brother ngu ame paralize naomba mnisaidie ilo swala plz
nenda liwale mpigamiti
Nyinyi wenyewe muko masikin tuwajua wadanganyeni ulio kuwa mbali na liwale sio sis tuli liwale
Mmulike na kamera tuone kama camera itachomeka
Morogoro sehemu gani
Rashidi chande manyinja
Watu wakiacha dini ndo hayo yatakuwa Yao ya kuabudu mizimu
Hakuna namba?
Tunataka mamba zangende
Hakuna lolote ni ujinga tu
Huo ni USHIRIKINA tu
Siwezi amini kitukama iko namuamini mungu watu wataangamiya kwa kukosa maalifa ujinga huo munamwacha Muumba mwamfata shetani
Mbona wenyewe hawana pesa wachovu afazali ya mimi
Wanae kuja wajinga waliwao wanamsaidiya shetani waingiye jahanamu
NANI KATIKA UKOO WA MANJINJA TAYAR??? KAMA SI UONGO
Huuu ukoo noma mm naufaham yani wee
Tunataka number
Mimi ni mtu wamasasi nipo dar hapo napafahamu vzr hakuna lolote nimepoteza nauli kibao lakin sijafanikiwa nahayo masharit niliyatimiza lakin hakuna chochote .mbona hakuna hata mteja mmoja mpowenyewe tuu achaa uwongo kwaiyo kassim majaliwa alikuja hapo ??
Nipe no yko tuwasiliane nataka unielekeze uko nataka niende ila spajui sjui nielekee wp semgn
💐💐💐♥️
Namba tunaomba