Yanayoshindikana kwa wanadamu kwa Mungu yanawezekana.Hivyo hakuna jini wala nini ambalo litashindikana kwa Mungu.Kwa Mungu ninaye mwamini katika Jina la Yesu namtumikia hakuna lisilo wezekana.
Mungu akusaidie kukumbuka mungu alikuumba na alkupa walnzi wako malaika wa kulinde vp unakubal mitego ya majn na anakwambia anakulnda kuwa makin braza unapotezwa
muongo hujamaa jini akiaidiwa dam ya mtuu ww umpe kuku juni amuachee mgonjwa hhh😂😂😂 muongo sana jini akiaidi diwa buzi ww unamuaidi kituu kikuwa zaidi ya kile ndiyo anaweza kumuachia mgonjwa
Hao kwenye visomo labda hao wasomaji hawana imani ya Mungu na hawajuwi aya gani za kuangamiza majini na mashetani.usifanye masihara na Quran.kila kitu kina tiba yake huwezi kuuma na tumbo ukenda kula dawa ya mafuwa huwezi kupona.
Unafanya kazi nzito Sana naomba utusaidie Kuna mtu analalamika Kuna kitu Kuna kitu kina dunda dunda kinazunguka ndani y mwili hakiumi hi ni kitugani naumba utusaidie kutuambia
Ucha kudanganya watu wewe mwenye nguvu ya kurudisha nyota yako ni maombi na kufunga na sadaka huu ni wizi tu haya yameshakatazwa kwenye biblia.Eti jini mzuri acheni kudanganya watu eti spidi ya 4G 😃😃😃😃😃😃Unashauri watu wawe urafiki na majini
Yanayoshindikana kwa wanadamu kwa Mungu yanawezekana.Hivyo hakuna jini wala nini ambalo litashindikana kwa Mungu.Kwa Mungu ninaye mwamini katika Jina la Yesu namtumikia hakuna lisilo wezekana.
Na ukiumwa malaria unaenda sipitali. Yesu wako hawezi😂😂
@@abdulsambi9011 Nimeishi miaka Sasa toka nimemjua huyu Yesu sijui tiba nyingine Ila ni Yesu tu.
Amina
una akili sana .
dah safi sana hela upate wewe kafara umtoe mtu mwingine???🤣🤣🤣🤣
Nakukubali sana doctor.wangu mungu akuzidishie maisha mema
Uko sawa na kazi yako dr
Mungu akusaidie kukumbuka mungu alikuumba na alkupa walnzi wako malaika wa kulinde vp unakubal mitego ya majn na anakwambia anakulnda kuwa makin braza unapotezwa
muongo hujamaa jini akiaidiwa dam ya mtuu ww umpe kuku juni amuachee mgonjwa hhh😂😂😂 muongo sana jini akiaidi diwa buzi ww unamuaidi kituu kikuwa zaidi ya kile ndiyo anaweza kumuachia mgonjwa
Pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo la dhambi halafu damu ya mafahali haiwezi odoa chochote wala jini
Kweli Bro
Weww kakaaaaa looohhhh iyo risasi vippiiii
Namba bro
Mungu ndiye mwenye nguvu acha kuabudu majini
Ye yupo akusaidie, ata Mungu hapendi kuona Binadam tunateseka
Huyo Mungu ulimuona wapi?
Naitaji tiba
acha utapeli wew
Hao kwenye visomo labda hao wasomaji hawana imani ya Mungu na hawajuwi aya gani za kuangamiza majini na mashetani.usifanye masihara na Quran.kila kitu kina tiba yake huwezi kuuma na tumbo ukenda kula dawa ya mafuwa huwezi kupona.
Je kwa uchawi wa nyota na Jini mwenye anakutesa ilhali hakai mwilini lakini anakusumbua kimaisha je Ina Tiba
Mshindwe ktk jina la yesu
Mganga Nina sikiliza salama sana neno lako alakini ni Congo nitakupata je.
Naomba namba
Watu wengi kwenye chanel hii wame omba number ya mawasiliano na huyu mtalaam, vipi mbona mpaka sasa hatupati?
du kwel mwanangu
Uko wapi Tanzania
Riziki mimi naomba uje nikutibu hizo ruhani zipotee kabisa ziache kukutumia
Unafanya kazi nzito Sana naomba utusaidie Kuna mtu analalamika Kuna kitu Kuna kitu kina dunda dunda kinazunguka ndani y mwili hakiumi hi ni kitugani naumba utusaidie kutuambia
Uko wp mganga unisaidie
Najuta kuingia kwenye hii chaneli nimesoma kichwa Cha habari nikajua jambo la maana
Doctor naku penda ila na okopa majini
Naomba namba za dokta riziki
👋E
Namb jaman naunapatikana wp
Uongo mboña aweki no.
Number simu
Naitaji namba
Naomba namba zake
Acha uongo
Kuna mtu analalamika Kuna kitu kinadunda ndani kw ndani kinatembea ndani y mwili du du du hakiumi Nini?
Uyo taperi tu mganga anae toa pesa ataki pesa
Kwanini asipitie ovyo vikwazo alafu akipata izopesa akupe izo ela
Dokta naomba namba zako ninashida pls
Nataka number ya muganga pls
Naomba namba zenu simulizi zone
0714611711
Ndio uganga ni uchawi kwani ni uwongo
Hamna contact
Uko wap
Huyu mganga ni WA wapi hasa Tanzania au Zanzibar
Shetani unafanya nae urafiki
nataka jini bei gani
😂😂
🤣🤣🤣
😂😂
Nipee number please
His number needed
huu ni upumbavu mtupu
Huyu ametokea sehemu gani ya Tanzania mimi ni mkenya?
Yupo Dar es salaam
@@SIMULIZIZONE sehemu ipi dar.. ako na mashauri mema sana 😍
@@seletonsolomon7084 Kawe
@@SIMULIZIZONE shukran, na anapatikana kwa mitandao ya jamii..?
@@seletonsolomon7084 Hapana, na bahati mbaya namba yake niliipoteza, but nafanya mpango niwe nayo
Acha shirk pumbavu wewe ALLAH ndo mwenye uwezo
Ucha kudanganya watu wewe mwenye nguvu ya kurudisha nyota yako ni maombi na kufunga na sadaka huu ni wizi tu haya yameshakatazwa kwenye biblia.Eti jini mzuri acheni kudanganya watu eti spidi ya 4G 😃😃😃😃😃😃Unashauri watu wawe urafiki na majini