HIVI NDIVYO WACHAWI WANAVYOCHEZEA NYOTA YAKO NA KUKUFANYA UWE NA MIKOSI, NA KUKUFANYA MSUKULE HAI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • HUYU HAPA MGANGA AKITOA SIRI YA JINSI WACHAWI WANAVYOIBA NYOTA YAKO BILA WEWE KUJUA NA KUSABABISHA UWE MTU WA MIKOSI

Комментарии • 67

  • @saimonijonas1471
    @saimonijonas1471 Год назад +5

    Yanayoshindikana kwa wanadamu kwa Mungu yanawezekana.Hivyo hakuna jini wala nini ambalo litashindikana kwa Mungu.Kwa Mungu ninaye mwamini katika Jina la Yesu namtumikia hakuna lisilo wezekana.

    • @abdulsambi9011
      @abdulsambi9011 Год назад

      Na ukiumwa malaria unaenda sipitali. Yesu wako hawezi😂😂

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 Год назад +2

      @@abdulsambi9011 Nimeishi miaka Sasa toka nimemjua huyu Yesu sijui tiba nyingine Ila ni Yesu tu.

    • @sophiakipeto4436
      @sophiakipeto4436 5 месяцев назад

      Amina

  • @kakuutoenterprises1672
    @kakuutoenterprises1672 Год назад +6

    una akili sana .
    dah safi sana hela upate wewe kafara umtoe mtu mwingine???🤣🤣🤣🤣

  • @shilakodeni7839
    @shilakodeni7839 Год назад +1

    Nakukubali sana doctor.wangu mungu akuzidishie maisha mema

  • @mengilemburis6418
    @mengilemburis6418 Год назад +3

    Uko sawa na kazi yako dr

  • @michaelicastor3685
    @michaelicastor3685 Год назад +1

    Mungu akusaidie kukumbuka mungu alikuumba na alkupa walnzi wako malaika wa kulinde vp unakubal mitego ya majn na anakwambia anakulnda kuwa makin braza unapotezwa

  • @kassimshomali790
    @kassimshomali790 Год назад +1

    muongo hujamaa jini akiaidiwa dam ya mtuu ww umpe kuku juni amuachee mgonjwa hhh😂😂😂 muongo sana jini akiaidi diwa buzi ww unamuaidi kituu kikuwa zaidi ya kile ndiyo anaweza kumuachia mgonjwa

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 6 дней назад

    Pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo la dhambi halafu damu ya mafahali haiwezi odoa chochote wala jini

  • @GasparMwandoe
    @GasparMwandoe 4 месяца назад

    Kweli Bro

  • @neserianmolllel8882
    @neserianmolllel8882 Год назад +1

    Weww kakaaaaa looohhhh iyo risasi vippiiii

  • @user-iw6ut6sp8f
    @user-iw6ut6sp8f 5 месяцев назад

    Namba bro

  • @neemamaulidi4444
    @neemamaulidi4444 Год назад +4

    Mungu ndiye mwenye nguvu acha kuabudu majini

    • @mystfog8769
      @mystfog8769 Год назад

      Ye yupo akusaidie, ata Mungu hapendi kuona Binadam tunateseka

    • @vincentmunyao4911
      @vincentmunyao4911 11 месяцев назад

      Huyo Mungu ulimuona wapi?

  • @user-iw6ut6sp8f
    @user-iw6ut6sp8f 5 месяцев назад

    Naitaji tiba

  • @emadani1335
    @emadani1335 Год назад

    acha utapeli wew

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад +2

    Hao kwenye visomo labda hao wasomaji hawana imani ya Mungu na hawajuwi aya gani za kuangamiza majini na mashetani.usifanye masihara na Quran.kila kitu kina tiba yake huwezi kuuma na tumbo ukenda kula dawa ya mafuwa huwezi kupona.

  • @adammwaura-en3vo
    @adammwaura-en3vo Год назад +1

    Je kwa uchawi wa nyota na Jini mwenye anakutesa ilhali hakai mwilini lakini anakusumbua kimaisha je Ina Tiba

  • @Thomcainda
    @Thomcainda 4 месяца назад

    Mshindwe ktk jina la yesu

  • @NdjipuJacque-qh4jw
    @NdjipuJacque-qh4jw Год назад

    Mganga Nina sikiliza salama sana neno lako alakini ni Congo nitakupata je.

  • @rahmamosa2320
    @rahmamosa2320 Год назад +1

    Naomba namba

  • @cosmustinga5130
    @cosmustinga5130 2 года назад +6

    Watu wengi kwenye chanel hii wame omba number ya mawasiliano na huyu mtalaam, vipi mbona mpaka sasa hatupati?

  • @agneskwamboka110
    @agneskwamboka110 Год назад +2

    Uko wapi Tanzania

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Год назад

    Riziki mimi naomba uje nikutibu hizo ruhani zipotee kabisa ziache kukutumia

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Год назад

    Unafanya kazi nzito Sana naomba utusaidie Kuna mtu analalamika Kuna kitu Kuna kitu kina dunda dunda kinazunguka ndani y mwili hakiumi hi ni kitugani naumba utusaidie kutuambia

  • @robertjoseph4196
    @robertjoseph4196 Год назад +1

    Uko wp mganga unisaidie

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад

    Najuta kuingia kwenye hii chaneli nimesoma kichwa Cha habari nikajua jambo la maana

  • @sixmakota-vy8wc
    @sixmakota-vy8wc Год назад +1

    Doctor naku penda ila na okopa majini

  • @zuhuraathumani5022
    @zuhuraathumani5022 8 месяцев назад

    Naomba namba za dokta riziki

  • @musavyaemedi7498
    @musavyaemedi7498 2 года назад +1

    👋E

  • @jamalshariff7859
    @jamalshariff7859 Год назад +3

    Number simu

  • @user-ib1ce5qv6e
    @user-ib1ce5qv6e 7 месяцев назад

    Naitaji namba

  • @user-ib1ce5qv6e
    @user-ib1ce5qv6e 7 месяцев назад

    Naomba namba zake

  • @AlexDitto-qz1hn
    @AlexDitto-qz1hn Год назад

    Acha uongo

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Год назад

    Kuna mtu analalamika Kuna kitu kinadunda ndani kw ndani kinatembea ndani y mwili du du du hakiumi Nini?

  • @user-hc9yy9xd4k
    @user-hc9yy9xd4k 11 месяцев назад

    Uyo taperi tu mganga anae toa pesa ataki pesa

  • @AlexDitto-qz1hn
    @AlexDitto-qz1hn Год назад

    Kwanini asipitie ovyo vikwazo alafu akipata izopesa akupe izo ela

  • @selemanhassan3604
    @selemanhassan3604 Год назад

    Dokta naomba namba zako ninashida pls

  • @mukarwegoassuma9809
    @mukarwegoassuma9809 Год назад +1

    Nataka number ya muganga pls

  • @abbastahir8819
    @abbastahir8819 7 месяцев назад

    Naomba namba zenu simulizi zone

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад

    Ndio uganga ni uchawi kwani ni uwongo

  • @fredrickilla7335
    @fredrickilla7335 Год назад

    Hamna contact

  • @AnnaMangombe-tr5yo
    @AnnaMangombe-tr5yo Год назад

    Uko wap

  • @georgewamwea2028
    @georgewamwea2028 Год назад +2

    Huyu mganga ni WA wapi hasa Tanzania au Zanzibar

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад

    Shetani unafanya nae urafiki

  • @mwingwamaina8219
    @mwingwamaina8219 Год назад +2

    nataka jini bei gani

  • @jchebetsusan
    @jchebetsusan Год назад +2

    Nipee number please

  • @bellabiyaka4370
    @bellabiyaka4370 Год назад +1

    His number needed

  • @owagatonny6558
    @owagatonny6558 Год назад +1

    huu ni upumbavu mtupu

  • @seletonsolomon7084
    @seletonsolomon7084 Год назад +1

    Huyu ametokea sehemu gani ya Tanzania mimi ni mkenya?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Год назад +1

      Yupo Dar es salaam

    • @seletonsolomon7084
      @seletonsolomon7084 Год назад +2

      @@SIMULIZIZONE sehemu ipi dar.. ako na mashauri mema sana 😍

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Год назад +2

      @@seletonsolomon7084 Kawe

    • @seletonsolomon7084
      @seletonsolomon7084 Год назад +1

      @@SIMULIZIZONE shukran, na anapatikana kwa mitandao ya jamii..?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Год назад +1

      @@seletonsolomon7084 Hapana, na bahati mbaya namba yake niliipoteza, but nafanya mpango niwe nayo

  • @AbuubakarJuma-bf8yg
    @AbuubakarJuma-bf8yg Год назад

    Acha shirk pumbavu wewe ALLAH ndo mwenye uwezo

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад

    Ucha kudanganya watu wewe mwenye nguvu ya kurudisha nyota yako ni maombi na kufunga na sadaka huu ni wizi tu haya yameshakatazwa kwenye biblia.Eti jini mzuri acheni kudanganya watu eti spidi ya 4G 😃😃😃😃😃😃Unashauri watu wawe urafiki na majini