CHADEMA WAJA JUU MADAI YA KUONGEZWA MAJINA UANDIKISHAJI SERIKALI ZA MITAA - MKURUGENZI AJIBU...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 23

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  25 минут назад

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 20 минут назад

    Mkurugezi usisahau kuna maisha baada ya kazi mungu hadhihakiwi

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 9 часов назад +1

    Ccm ni nomaa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 8 часов назад +1

    Tanzania nchi yangu mnwakosea sana wapinzani 😢

  • @jamaldaud-e4d
    @jamaldaud-e4d 8 часов назад +2

    Tanzania yangu tunaelekea wapi haya mambo yamefika mpaka mkoani kwetu dah

  • @MakameAly
    @MakameAly 2 часа назад

    CCM bila kuiba hawawezi na nchi hawawezi kutowa bila mapinduzi vyama vya siyasa lazima muwe na umoja na msimamo bila hivyo kila siku mtaongeya tuu🎉🎉

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 5 минут назад

    Nenda kwa mahakama

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Час назад

    Chadema mnaangaika na majina

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 5 минут назад

    Wewe ni mjinga sana huna jipya kabisa

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 52 минуты назад

    Ccm tumewachoka

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j 27 минут назад

    Nawanao husika na wizi huu nawalimu wanahusika pia mm naona Hawa walim msiwasemee kwenye vikokotoo viwatese ndo mana yanakufa na plesha kwa kuntokuwa waminifu muda wote wanaokuwa na msongo wa mawazo

  • @salama1113
    @salama1113 4 часа назад

    Shelia wametunga wenyewe nabado hawajiamini nakuzivunja wenyewe aibu

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 23 минуты назад

    Ety mnamwomba mkurugenzi wakati ndo kazi yao kodi zetu zinatumia vibaya huyu mama hafai mbona bara tuna watu wazuri kidogo kama Buteko ingalau anauchungu kidogo

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Час назад

    Mtego huwo unaangaika na majina wezenu wanapiga kampeni

  • @mwaget0815
    @mwaget0815 8 часов назад +1

    Tatizo tukiongea tunatekwa

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Час назад

    Munaongea tu bila evidence , tamka jina ili na ili hatulifaham..

  • @MarryMwamwezi
    @MarryMwamwezi 16 минут назад

    Chadema hamkosagi kulialia. Sababu kibao. Pisheni hukooo

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 53 минуты назад

    Sasa ndiyo unaweza kuona ccm imekufa kama hamjuwi ccm imekufa ni majina hewa majina ya watu waliyo kufa .

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Час назад

    Unamalaka ya kutoa tamko hakiki majina na wasilisha malalamiko kama unaevidence

  • @B23-i8p
    @B23-i8p 6 часов назад

    yani karatasi zimebandikwa ki mtego

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 5 часов назад

    Ccm muwe na aibu Huwo mpango wenu umegundulika sasa ambacho kitaji kwa watannzania mmtakipata watu wamechoka watendaji ndiyo wakulaumiwa sana hawa ndiyo wakuwashughulikia Amna haki hapo tuamke

  • @abdallahkaskas6168
    @abdallahkaskas6168 9 часов назад

    Hawa ambao Leo wanawapitisha VIONGOZI ktk madaraka kwa WIZI , ndio hawa ambao kesho wanakuja kulia hakuna maendeleo , viongozi wanakula pesa za Umma kienyeji....WANASAHAU kwamba wao kwa ushiriki wao TIMAMU pia wanahusika ktk DHAMBI zote hizo