Nawanao husika na wizi huu nawalimu wanahusika pia mm naona Hawa walim msiwasemee kwenye vikokotoo viwatese ndo mana yanakufa na plesha kwa kuntokuwa waminifu muda wote wanaokuwa na msongo wa mawazo
Ety mnamwomba mkurugenzi wakati ndo kazi yao kodi zetu zinatumia vibaya huyu mama hafai mbona bara tuna watu wazuri kidogo kama Buteko ingalau anauchungu kidogo
Ccm muwe na aibu Huwo mpango wenu umegundulika sasa ambacho kitaji kwa watannzania mmtakipata watu wamechoka watendaji ndiyo wakulaumiwa sana hawa ndiyo wakuwashughulikia Amna haki hapo tuamke
Hawa ambao Leo wanawapitisha VIONGOZI ktk madaraka kwa WIZI , ndio hawa ambao kesho wanakuja kulia hakuna maendeleo , viongozi wanakula pesa za Umma kienyeji....WANASAHAU kwamba wao kwa ushiriki wao TIMAMU pia wanahusika ktk DHAMBI zote hizo
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Mkurugezi usisahau kuna maisha baada ya kazi mungu hadhihakiwi
Ccm ni nomaa
Tanzania nchi yangu mnwakosea sana wapinzani 😢
Tanzania yangu tunaelekea wapi haya mambo yamefika mpaka mkoani kwetu dah
CCM bila kuiba hawawezi na nchi hawawezi kutowa bila mapinduzi vyama vya siyasa lazima muwe na umoja na msimamo bila hivyo kila siku mtaongeya tuu🎉🎉
Nenda kwa mahakama
Chadema mnaangaika na majina
Wewe ni mjinga sana huna jipya kabisa
Ccm tumewachoka
Nawanao husika na wizi huu nawalimu wanahusika pia mm naona Hawa walim msiwasemee kwenye vikokotoo viwatese ndo mana yanakufa na plesha kwa kuntokuwa waminifu muda wote wanaokuwa na msongo wa mawazo
Shelia wametunga wenyewe nabado hawajiamini nakuzivunja wenyewe aibu
Ety mnamwomba mkurugenzi wakati ndo kazi yao kodi zetu zinatumia vibaya huyu mama hafai mbona bara tuna watu wazuri kidogo kama Buteko ingalau anauchungu kidogo
Mtego huwo unaangaika na majina wezenu wanapiga kampeni
Tatizo tukiongea tunatekwa
Munaongea tu bila evidence , tamka jina ili na ili hatulifaham..
Chadema hamkosagi kulialia. Sababu kibao. Pisheni hukooo
Sasa ndiyo unaweza kuona ccm imekufa kama hamjuwi ccm imekufa ni majina hewa majina ya watu waliyo kufa .
Unamalaka ya kutoa tamko hakiki majina na wasilisha malalamiko kama unaevidence
yani karatasi zimebandikwa ki mtego
Ccm muwe na aibu Huwo mpango wenu umegundulika sasa ambacho kitaji kwa watannzania mmtakipata watu wamechoka watendaji ndiyo wakulaumiwa sana hawa ndiyo wakuwashughulikia Amna haki hapo tuamke
Hawa ambao Leo wanawapitisha VIONGOZI ktk madaraka kwa WIZI , ndio hawa ambao kesho wanakuja kulia hakuna maendeleo , viongozi wanakula pesa za Umma kienyeji....WANASAHAU kwamba wao kwa ushiriki wao TIMAMU pia wanahusika ktk DHAMBI zote hizo