MZOZO WAZUKA DAR UCHAGUZI CCM - POLISI WAFIKA KUHAKIKISHA USALAMA - ''WANATAKA KUMUWEKA MTU WAO''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 23

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 часов назад

    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 39 минут назад

    Nawaombea Mungu Awasaidiye Bado madiwan na wabunge hakika kutakuwepo kuuana mtazamo wangu na maono kulogana Yan hiinimwanzo yesu isaidiye Tanzania

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 31 минуту назад

    Ccm ccm mungu atawaumbua tu uuizi mwingiiii

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j 11 часов назад +1

    Kweli ss ccm atujitambu acheni watu wafanye yanayo takiwa

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 10 часов назад +1

    Mnawaza ugari 2

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha 5 часов назад

    Kweli naona vijana wengi nimafala naona hao wote wanalipwa

  • @binsherbal6089
    @binsherbal6089 9 часов назад +3

    Mandondocha hayo, yanavoonekana tu ni mijitu isojitambua. Taswira yao tu inaonesha ni Chama kilichojaa wezi na wababaishaji na wasojitambua. Wao wenyewe wanaibiana hawaaminiani watu wa vurugu. Wamegaiwa Kadi bila kupewa Elimu ili mradi wakavuruge Uchaguzi lakini Mungu mkubwa wameanza kuvurugana wenyewe. Hawa Vijana ndo hawa wanaotumiwa kuumiza na kujeruhi na wakati mwengine hata kua watu nyakati za Uchaguzi.

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 6 часов назад

    Mhm!! Ila CCM kweli ina mambo ya kupindua pindua mambo.

  • @HonestMchau
    @HonestMchau 3 часа назад

    Hiyo ndio ccm

  • @HappinessMwainyekule
    @HappinessMwainyekule Час назад

    Sina mume tenaaaa😂😂😂😂😂khaaaa bibi kachomoa betri😅😅😅😅😅

  • @salama1113
    @salama1113 9 часов назад

    ujanjaujanja mwingi mzoea vya kunyonga 😂😂😂😂

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 2 часа назад

    Mmeanza kukulana wenyewe na babado

  • @BungeyiSaiboku
    @BungeyiSaiboku 11 часов назад

    Duh acheni chama cha wahuni

  • @ElishaLaizer-d8s
    @ElishaLaizer-d8s 11 часов назад

    Bada mtasema

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197 9 часов назад

    Tatizo ya kuleta mamluki bila kuwapa semina elekezi.ninachokiona hapo hakuna wanachama orijino hapo.hizo ni kadi za kugawiwa fasta ili kuongeza kura.kuna wengine hapo wanajua ndiyo uchaguzi wenyewe,kumbe ni uchaguzi wa ndani ya chama

  • @SmilingAnacondaSnake-sp8ct
    @SmilingAnacondaSnake-sp8ct 10 часов назад

    Mnatolewa uchaguzi umenunuliwa huo

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 8 часов назад

    dada kathibitisha kwa kauli yake kuna udanganyifu kwenye uchaguzi wa CCM. amesema kachana kura za uongo mwenyewe vilevile hakukuwa na wino wa kuweka kidole gumba. Lazima tuwe makini.

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje 34 минуты назад

    Ukizoea wizi wew ni mwiztu ona Sasa wameanza kujiibia wap wakiongea wapinzani ety wachochez haya Sasa pambanen

  • @KalundiJuma
    @KalundiJuma 9 часов назад

    Ama kweli chadema kazi mnayo

    • @NkondokayaJoe
      @NkondokayaJoe 8 часов назад

      😮😮 tena 😮😮😂😂😂 kimeumana mtatoana macho wenyewe

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 50 минут назад

      Sasa hiyo ni chadema au ccm

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 46 минут назад

      C . C . M mnanyonyana wenyewe kwa wenyewe Kila Moja anahitaji madalaka

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo 8 часов назад

    🤣🤣 😂😂 ubaya ubwela