Mandondocha hayo, yanavoonekana tu ni mijitu isojitambua. Taswira yao tu inaonesha ni Chama kilichojaa wezi na wababaishaji na wasojitambua. Wao wenyewe wanaibiana hawaaminiani watu wa vurugu. Wamegaiwa Kadi bila kupewa Elimu ili mradi wakavuruge Uchaguzi lakini Mungu mkubwa wameanza kuvurugana wenyewe. Hawa Vijana ndo hawa wanaotumiwa kuumiza na kujeruhi na wakati mwengine hata kua watu nyakati za Uchaguzi.
Tatizo ya kuleta mamluki bila kuwapa semina elekezi.ninachokiona hapo hakuna wanachama orijino hapo.hizo ni kadi za kugawiwa fasta ili kuongeza kura.kuna wengine hapo wanajua ndiyo uchaguzi wenyewe,kumbe ni uchaguzi wa ndani ya chama
dada kathibitisha kwa kauli yake kuna udanganyifu kwenye uchaguzi wa CCM. amesema kachana kura za uongo mwenyewe vilevile hakukuwa na wino wa kuweka kidole gumba. Lazima tuwe makini.
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Nawaombea Mungu Awasaidiye Bado madiwan na wabunge hakika kutakuwepo kuuana mtazamo wangu na maono kulogana Yan hiinimwanzo yesu isaidiye Tanzania
Ccm ccm mungu atawaumbua tu uuizi mwingiiii
Kweli ss ccm atujitambu acheni watu wafanye yanayo takiwa
Mnawaza ugari 2
Kweli naona vijana wengi nimafala naona hao wote wanalipwa
Mandondocha hayo, yanavoonekana tu ni mijitu isojitambua. Taswira yao tu inaonesha ni Chama kilichojaa wezi na wababaishaji na wasojitambua. Wao wenyewe wanaibiana hawaaminiani watu wa vurugu. Wamegaiwa Kadi bila kupewa Elimu ili mradi wakavuruge Uchaguzi lakini Mungu mkubwa wameanza kuvurugana wenyewe. Hawa Vijana ndo hawa wanaotumiwa kuumiza na kujeruhi na wakati mwengine hata kua watu nyakati za Uchaguzi.
Mhm!! Ila CCM kweli ina mambo ya kupindua pindua mambo.
Hiyo ndio ccm
Sina mume tenaaaa😂😂😂😂😂khaaaa bibi kachomoa betri😅😅😅😅😅
ujanjaujanja mwingi mzoea vya kunyonga 😂😂😂😂
Mmeanza kukulana wenyewe na babado
Duh acheni chama cha wahuni
Bada mtasema
Tatizo ya kuleta mamluki bila kuwapa semina elekezi.ninachokiona hapo hakuna wanachama orijino hapo.hizo ni kadi za kugawiwa fasta ili kuongeza kura.kuna wengine hapo wanajua ndiyo uchaguzi wenyewe,kumbe ni uchaguzi wa ndani ya chama
Mnatolewa uchaguzi umenunuliwa huo
dada kathibitisha kwa kauli yake kuna udanganyifu kwenye uchaguzi wa CCM. amesema kachana kura za uongo mwenyewe vilevile hakukuwa na wino wa kuweka kidole gumba. Lazima tuwe makini.
Ukizoea wizi wew ni mwiztu ona Sasa wameanza kujiibia wap wakiongea wapinzani ety wachochez haya Sasa pambanen
Ama kweli chadema kazi mnayo
😮😮 tena 😮😮😂😂😂 kimeumana mtatoana macho wenyewe
Sasa hiyo ni chadema au ccm
C . C . M mnanyonyana wenyewe kwa wenyewe Kila Moja anahitaji madalaka
🤣🤣 😂😂 ubaya ubwela