Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Mzee Wa Upako: Mimi ndiye mchungaji pekee ambaye Watu hata Malofa wakija kwangu wanakuwa matajiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2018
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Комментарии • 174

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 6 лет назад +2

    he has wisdom,he knows when to talk,hapa anazungumza na jamii nzima,sio wakristo tu,na wanaomhoji ni wakawaida siyo wakristo gathering

  • @tematema3101
    @tematema3101 5 лет назад +6

    Mi.niulize.hata kama ni.mzee waupako ndo avae pete tofauti na ya arus au haraf chen hizo kama wakina daimon rozali si rozali ila mnisameh dunia ya ss nzito wapendwa wangu

  • @flaviusbenedict7513
    @flaviusbenedict7513 5 лет назад +1

    Mimi naona mzee Lusekelo yupo sahihi maana Mungu kupitia maandiko matakatifu anasema Fedha na Dhahabu ni mali yake, Naye umpa amtakaye. Kimsingi ni kunyenyekea mbele zake Mungu na kumuomba neema ya umiliki.
    Tusiwaseme vibaya watumishi wa Mungu, nani hatukumkataa, nabii Musa nae alika alikataliwa. Fungua moyo wako omba Mungu akuonyeshe, utaona, utamiliki.

  • @petronyoni8923
    @petronyoni8923 6 лет назад +1

    Mzee chenga hyo na wanaokwenda kanisan kwake cjui wanafuata nn kwake mtumishi wa mungu hawi mbinafsi kama hyu dah camini kama kaongea pumba sana

  • @njeyabox7788
    @njeyabox7788 6 лет назад +1

    Safi mzee.Very straightforward.

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 лет назад +1

    Mzee wa upako huwa ananifurahisha sans

  • @ferdcoast
    @ferdcoast 6 лет назад +13

    Jamani imani ni wajibu wakila mtu but angalieni watu mnaowamini kama wachungaji wenu... huyu sio mchungaji ni mzee mjanja aliyeona fulsa kupitia kanisa...

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      ferdcoast fundi mchungaji ni kama yupi tuambie plz

    • @tumainikyando8803
      @tumainikyando8803 5 лет назад

      ferdcoast fundi Sio mjanja ni mpuuzi anayetumia neno la mungu kujiingizia kipato !

    • @dickaugustino2214
      @dickaugustino2214 5 лет назад

      Kweli kbs

  • @daudi1bashite48
    @daudi1bashite48 6 лет назад +1

    Team kitwanga naona kautwika kisawasawa.

  • @muhammadngwale7052
    @muhammadngwale7052 6 лет назад +1

    Jamani..njaa.mbaya...sana..alafu..ukiwa.una.dhurumu..vya.masikini..lazma.mungu..atakuraani.tu..huyu..mzee.anapagawa..na..dhurma.anazo.dhurumu..wanyonge..naa.bado..atafika.pabaya.zaidi.mungu.amfichi..mnadiki

  • @omaryshaweji3408
    @omaryshaweji3408 6 лет назад +9

    Mbona unaonekana Kama amelewa vile!!toka ameanza kunywa amebadilika kiakili na kimwili pengine na kiroho pia, Mungu amsamehe,

    • @boyhalidunilema5038
      @boyhalidunilema5038 6 лет назад

      mm naisi mnaye mtukana mzee au kumsema vbaya na wasiwasi na elimu yenu na uelewa wenu akuna dhambi mbaya kama usema uongo sasa kwanini mzee wa watu achume zambi anaongea kitu kilicho moyoni mwake kwa iyo mnataka apende asicho kipenda#@boy hali duni

    • @mariamisuja6256
      @mariamisuja6256 6 лет назад

      +boy haliduni lema una akili sana. mimi si muumini wake ila usimuhukumu mtu. Uzuri haubiri watu wakafanye mabaya.

    • @gloriaainekisha4117
      @gloriaainekisha4117 5 лет назад

      Omary Shaweji imeandikwa husihukumu,husije ukaukamiwa

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад

      Leo Mzee kautwika vilivyo du huluma. Jamani

  • @japharikyando9046
    @japharikyando9046 5 лет назад

    Hakika mchungaji uko vizuri sana pia umturivi katika kujibu mungu akubariki sana ghwamyitu ndagha fijho

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 5 лет назад +1

    Dahh, mungu aliweke masiki katika ulimwengu huu ili wawe matajiri katika ulimwengu ujao

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 6 лет назад +1

    I love this guy

  • @emmasillaforever3212
    @emmasillaforever3212 6 лет назад +1

    Mungu hadihakiwi iko siku hayo makongamano mliojaza watu na kuwapeleka jehanamu mtatoa hesabu geukeni mkatubu,

    • @ngometvarusha4030
      @ngometvarusha4030 5 лет назад

      Emmasilla forever kajaze na wewe kama unaona ni rahiz kama umeandikiwa jehanamu utakwenda tu mbona yuda alikwenda moto japo alikula na yesu

  • @felizwanzagi8465
    @felizwanzagi8465 6 лет назад +2

    Piga kazi Baba Mungu azidi kukubariki.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 лет назад +23

    mimi muisilamu lakini nampenda huyu mzee yupo simpo sana hanaga makuu

    • @hassansalehe2383
      @hassansalehe2383 6 лет назад

      Zumbe Shauri achabangi wew

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 лет назад +1

      hassan salehe cmuelewi uyu mzee, kufa umakini ni upumbavu, sasa kwani umakini kauleta nani.

    • @khadijakhadija6547
      @khadijakhadija6547 6 лет назад

      Zumbe Shauri Simuelewi

    • @aliyumakiyu9599
      @aliyumakiyu9599 6 лет назад

      Zumbe Shauri hujielewi

    • @flaviusbenedict7513
      @flaviusbenedict7513 5 лет назад

      Zumbe Shauri upo sahihi
      Sio lazima mumuelewe Zumbe, muelewe MWENYEZI MUNGU na shika maneno yake, itapendeza. Manabii wangapi walipita mkawakataa
      Mungu kuwa na hela ni mpango wake ila umasikini ni sehemu ya adhabu mtu anapewa akiende kinyume na mapenzi ya Mungu

  • @barakasylvester83
    @barakasylvester83 6 лет назад

    uko sahihi pastor mwenzangu.

  • @jacksonkimario1859
    @jacksonkimario1859 6 лет назад

    Nyie mnaekejeli mtumishi wa mungu endeleeeni tuu na matus yenu tu ipo siku mtajuta nawaambia ukwel kama uwez kumkoment acha jaman kwann utumie matus?????????? Kwan kawakosea nn????..mlio tukana mungu anawaona tuu.

  • @nabiiwaisharaonlinetv9863
    @nabiiwaisharaonlinetv9863 5 лет назад +4

    KUFA KIROHO kunachafua MPAKA sura jamani

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 6 лет назад +2

    ukikubali kuwa unakalama ya uchungaji lazima ukubali wapo mitume ongozwa na hofu ya Mungu niwapi ambapo pa meandikwa kuwa niwachungaji tuu wapo YESU AWAHULUMIE MUIJUE KWELI

    • @geraldpeter5761
      @geraldpeter5761 6 лет назад

      mtume na Nabii osca Sikiliza vzr amesema mitume ni waanzilishi wa iman sehem ambayo hakuna iman iyo sasa utasemaje hapa kwetu kuna mitume wakati wao wamefungua tu makanisa imani ilishaletwa mda na wanacho kihubir na walisha ubiriwa

    • @shadracktito6293
      @shadracktito6293 6 лет назад

      mtume na Nabii osca kwao wewe ndo mtume na nabii

  • @paskaziafabiani3752
    @paskaziafabiani3752 5 лет назад +1

    Hahahaha mchngaji ninoma nikimuona huwa nafurahi2 siku nilenda ibadani mm niliona hakuna ibada kamili ilikuwa furu vichekesho nilifurahi alisema watu wanamsema akiombea eti anashika watu maziwa yeye akasema hataki wanawake wa kitanzania maziwa yao yamelala kama kandambili akitaka chombo anachukua mchi za njeee msukuma mm sina mbavuuuuu uwiiii mwisho wa mambo mzeee noma

  • @nebathkalolo723
    @nebathkalolo723 5 лет назад +1

    mm nimemwelewa saana huyu ndugu yy hakutaka kupotosha jamii kubwa anaka awapotoshe hao hao wachache

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 6 лет назад +2

    Mzee wa upako hivi waefeso 4;11 nae ametoa mitume nabii mwalim wachungaji wainjilisti
    kwanini? unakataa mitume manabii wewe baba angu lakin sielewiiiii

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +8

    Mzee wewe ni kambi la wanyang'anyi

  • @regankagya807
    @regankagya807 5 лет назад

    Safi mzee wa upako

  • @agripinaakhani7005
    @agripinaakhani7005 5 лет назад +1

    hapo hakuna mchungaji bali mauzauza tu Mungu hayuko hivyo hata sura na nuru ya kristo haipo kabisa kwanza kabisa ushabiki wa mpira na injili nia maji na mafuta ss ww badala umntangaze yesu unainua mpira hapo hakuna Mungu wa kweli ila mashetani tu.

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 6 лет назад

    mmmmmmm kazi kweli kweli Jmnn.

  • @kassimhashi4092
    @kassimhashi4092 5 лет назад

    Wewe mzee wa upako.

  • @jumaally8297
    @jumaally8297 6 лет назад +5

    Mchungaji hajakosea kitu ila watu wenyevichwa vigumu munakurupuka kumtukana mchungaji yeyekajibu swali kakosea wapi sasa ..

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 5 лет назад +1

    Kwan hapo ulipoanzisha hilo kanisa hakuna makanisa mengine uliyakuta hapo?

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +4

    Huyu mzee cha Arusha na vodka zimemharibu ubongo

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 6 лет назад +1

    Mchungaji aliye Jawa na roho wa kweli ajitukuzi Bali Jina linalo faa kutuzwa Jina la mungu utukufu haumurudii mwanadamu Bali mungu utawajua kwa vitendo na matendo atakayo fanya litajitukuza lenyewe maanaake kazi ya mungu Lakin kujitukuza to me is a NO.

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 6 лет назад +1

    Anamsifu mweny hio TV ili am ajili

  • @maalimtowba5784
    @maalimtowba5784 6 лет назад +1

    Kongole.kile una amini ndicho kinastahili ukitekeleeze.kila mwanadamu anajijuwa nini anafanya.

  • @farajakasikile8846
    @farajakasikile8846 6 лет назад

    Daaaah pole Sana naumia mnooo

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 5 лет назад

    Nakukubar sana mkuu

  • @amiryissa3573
    @amiryissa3573 6 лет назад

    Huyu mzee sio kabisa

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 5 лет назад

    Kwa swala la Kanisa, umejitahidi kujieleza.
    Kama ni mwili wa Kristo basi wewe umeamua kuwa " sikio au pua au kidole " mi naona uko sahihi.

  • @Tutindaga
    @Tutindaga 6 лет назад +2

    eti "UFALA" bado watu wanaenda kusali kwake FOOLS!

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +5

    Uyu mzee ukafir umemzidi mpaka ajielewi anachoongea, Kufa mackini ni upumbavu na ufala je kama Allah amemjalia mtu kuwa mackini maisha yake yote, so aliemuumba ndio hafai?

    • @thobiasliwembe3957
      @thobiasliwembe3957 6 лет назад +3

      jaribu kuelewa, utajir uliotajwa sio Wa kumiliki magar na vitu vingi vya anasa hapana Ila ni ule Wa kukuezesha kupata riziki kuweza kuwaudumia familia ni ule utajir ambao unakupa amani ya moyo. Mungu hapendi mtu yeyote awe maskin wakushindwa ata kupata mkate wake Wa kila siku.

    • @shamilachiwila7488
      @shamilachiwila7488 6 лет назад +1

      Thobias Liwembe mtu anatafri neno kwa Maana ya nje tu na sio Maana ya kimaandishi ya biblia

    • @boyhalidunilema5038
      @boyhalidunilema5038 6 лет назад

      Saumu Hassan mm naisi uja muelewa my jaribu kuskiliza kt kabla ya kukijaj

    • @usanifumaandishi7519
      @usanifumaandishi7519 6 лет назад +1

      Saumu Hassan Allah hawezi kumjaalia mtu umasikini

    • @NoName-mm6gh
      @NoName-mm6gh 6 лет назад

      Saumu Hassan huyo Mungu anapendelea simtaki mimi

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 6 лет назад +1

    Shetani ashindwe kila mtu ni mchungaji
    Watu muogope naona Jesu ako karibu kuja

  • @mc-omoro2366
    @mc-omoro2366 6 лет назад

    Mzee wa upako acha fix unasema umeanza kushabikia Simba mwaka 1973 wakati wakati Omary Mahadhi akichezea Simba ni uongo mwaka 1973 Mahadhi alikuwa bado hajajiunga na Simba.

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 6 лет назад +3

    Huyu mbona kama mlevi tu

  • @salumhusen3482
    @salumhusen3482 6 лет назад +4

    ACHENI KOMENTI ZA MATUSI

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +9

    Mzee wewe siyo mtumishi bali uko kwa kanisa anachumia tumbo hana jipya cha Arusha

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 лет назад

    Kwanini huyu kiba yeye nimuisilamu lkn anafanya yakikafiri pia kufanya batara na kuacha kuwachangamkia wenzake anapenda kuchukia watu na kujiona yeye ni mtu kuliko walio watu pia mbona hamkusema au amekuzibeni macho msiyaona mabaya yke?au anakulisheni majumbani mwenu

  • @steventitus2174
    @steventitus2174 5 лет назад

    Akuna mtu mwenyewe kanisa lake mwenyewe yeye ndio mchungaj yeye ndiye mwenyewe kanisa Kama siujanja nnn ss

  • @nuhukihegulo141
    @nuhukihegulo141 6 лет назад

    mzee wa upako piga hela mzee

    • @nuhukihegulo141
      @nuhukihegulo141 6 лет назад

      mzee upako nyoa nywele zinakuzeesha vibaya sana

  • @ngoshazedonny1720
    @ngoshazedonny1720 6 лет назад +1

    Amekoswa la kufanya!!!Wew ni mchungaji kiki za nn?

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 6 лет назад +2

    mbona jamaaaa kama akili zake ni za ucku

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 6 лет назад +1

    Humu hamna mchungaji

  • @samsonmbise1012
    @samsonmbise1012 6 лет назад +1

    duuu!

  • @mamad1175
    @mamad1175 6 лет назад +1

    Huyo mchungajj au mchumia tumbo ndio maana Ney huw anawapaka

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 6 лет назад

    Mzee mbona kipaza sauti unakikwepa sisi atukusikii vizuri bhana.

  • @o.g.6fml769
    @o.g.6fml769 4 года назад

    Jama kavuta bangi kweli hakuna muchungaji anakuwa shabiki wa mupila 😆😆😆😆😆😆😆Nay kasema kweli

  • @rweyemamueustace1706
    @rweyemamueustace1706 5 лет назад

    Umaskini wetu ni kwasababu tulimlaani alie barikiwa

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 6 лет назад +1

    kazeeka huyu mzee

    • @lucky9285
      @lucky9285 5 лет назад +1

      Siku zinavyokwenda sootee tunazeeka

  • @kingyehoshafatitvbornerys2496
    @kingyehoshafatitvbornerys2496 6 лет назад

    Oya jamani acheni zenu bhana cheko zinaniua huku koment zenu!!!

  • @georgeshija1276
    @georgeshija1276 6 лет назад +2

    choko hilo

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +1

    Wewe babu maombi gani hayo

  • @steventitus2174
    @steventitus2174 5 лет назад

    Kwenye daladala tofaut naibada uyovp minkokwenye ibada mtuanikatishe awezekan uyo nimjanja mjanja2

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад +11

    Huyu.mzee.ni.mchugaji wa.aina hii kuomba pia hajui alafu mtu alie ni.mchungaji haeki chuki na mtu kila.mtu ni rafiki mbona una chukia king kiba unafiki tu ati upako upako

  • @tumainikyando8803
    @tumainikyando8803 5 лет назад

    Hao unaowaita malofa ndio unategemea sadaka zao ! hakuna mchungaji hapo mganga njaa tu huyo . mlevi

  • @christophermartin4572
    @christophermartin4572 6 лет назад +2

    Huyu ni ajent wa freemason hanalolote huyo

    • @nyakitoto5868
      @nyakitoto5868 6 лет назад

      Christopher Martin,...... Ndugu yangu... Unaona eee?.. Chris uko wapi siku hizi?

  • @nyanongwasaid2615
    @nyanongwasaid2615 6 лет назад

    Sura kama lapa la teja unaupako gan mlev ww

  • @aibonkinya2817
    @aibonkinya2817 6 лет назад

    Kamani pesa unaka ungeongea tu na diamond akuambie siri yake ata ww uanze kufanikiwa nakua tajiri ukitaka magari majumba kubwa kubwa uwemazo uache domo domo kwa wa sanii

  • @richardherman7118
    @richardherman7118 6 лет назад

    Daaaah

  • @lazaropatrick3639
    @lazaropatrick3639 6 лет назад

    huyo mzee na mondi n vyeo vimoja hiyo mzee kaanza kuzeheka vibaya injili imemshinda hata mahubir anayo fundisha hayafai kabisa sjui hajistukii kambo ya wasanii yana kuhudu nn w mzee uliana na ney leo unamaliza na kiba kaz imekushinda ww mzee

  • @chidiberbatov3613
    @chidiberbatov3613 5 лет назад

    Yeye mwenyewe katajirika kwa hizo sadaka za masikin ,

    • @tumainikyando8803
      @tumainikyando8803 5 лет назад

      Chidi Berbatov Halafu anawaita mafala , malofa hao wanaojinyima na kutoa sadaka kwenye hiyo biashara yake ya kanisa feki . hili ni shetani sio mchungaji

  • @shabanjuma6730
    @shabanjuma6730 6 лет назад +8

    Uyu mzee bhan kumbe ndo alivyo na akili mbovu ivi yan hata haelewek anajibu nn na ana ulizwa nn

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 лет назад +2

      Shaban Juma Hata mimi cmuelewi

    • @shabanjuma6730
      @shabanjuma6730 6 лет назад

      Saumu Hassan yan kma kalewa ivi au unamuonaje ww soum yan hajielew hata anachoongea ni nn

  • @aishababu4986
    @aishababu4986 6 лет назад

    mmmh kama vipiiiii simuelewi hilo poz

  • @SmartBrainTv2020
    @SmartBrainTv2020 6 лет назад +1

    good

    • @salomenachunga2025
      @salomenachunga2025 6 лет назад

      Hana Hekima huyu baba.

    • @ephrahimngosso3834
      @ephrahimngosso3834 6 лет назад

      aiceeeeee huyu mzeee mjinga kwel anamchukia king kiba asijue watu hatulali tunakesha kumuota Ally kiba tunampenda kama brother

  • @aibonkinya2817
    @aibonkinya2817 6 лет назад

    Ume nifanya kuchukia wa chungaji kama kazi ndo hio tu,kama ww unaleta vita ivi,nani atatubiria neno tufike mbinguni.

    • @queencatherine6591
      @queencatherine6591 6 лет назад

      Waombee uenda kwa maombi yako akabadilika

    • @aibonkinya2817
      @aibonkinya2817 6 лет назад

      Queen Catherine,unajua tunajifunza kwenye agano la kale.musa alikasirisha mungu alipo rudi akapata wanaisrael wamerudi kwenye dhambi akapasua ile ten commandment, ndio maana hakuona the prms lans kuingia kwake mbinguni kulikua kwa.vuta nkuvute. Katiya mungu na.shetani, pia tunaji funza kwa yona.nawengine wengi.na wachungaji pia wanajua hilo,kweli mm cjaokoka lkn cku moja natamani ningeokoka,nawachungaji wa leo kidogo wanatuchanganya sana.mtu wadunia ata akitembea uchi sio shida maana skumoja atakutana na dawa.dawa ni huyu mchungaji,so heri awaombee mondi na kiba kuliko vile ana waongelea

  • @dissartv4806
    @dissartv4806 6 лет назад

    Kakibaa kanajisikia tena sanaa

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 5 лет назад

    Napenda mafundisho yako sana lakin mbona umepoa sana hata sauti sio ile tumeizoea baba hata watangazaj wame adopt.

  • @fredyjohnwaifakaratz6613
    @fredyjohnwaifakaratz6613 6 лет назад +4

    MBONA KAKONDA

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 5 лет назад

    Sasa unaleta mila kwenye swala la imani mzee, hata wenye dhambi hufanya hivyo

  • @jonsinatony3622
    @jonsinatony3622 5 лет назад

    Hakuna cha upako wala mjomba wake naupako huo ni moto tu unao waita

  • @elizabetdaniel2260
    @elizabetdaniel2260 6 лет назад +1

    mtu mzima kisheti huoni ata aibu,mchungaji gn unakua mnafiki ivo mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu miwani ka kobe.embu niombee me npate elaaaaaaa😁😁😁😁😁

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 6 лет назад +3

    My God eti kufa maskini ni ujinga😲😲😲 so km Mungu amekuandikia mtu maisha yako yoote kuwa masikini? Au me sijaelewa jm?

    • @klystry1234
      @klystry1234 6 лет назад

      onlymeruky hujaelewa

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 6 лет назад

      asela aikarua ndiyo unieleweshe

    • @devotadidass3343
      @devotadidass3343 6 лет назад

      ujaelewa nn kwan we ni kilema ufe maskn

    • @marynasimeon
      @marynasimeon 6 лет назад +3

      onlymeruky
      MUNGU ALITUFANYA KWA MFANO WAKE ILI TUTAWALE NA KUMILIKI
      HIVYO MPANGO WA MUNGU KWETU SISI NI KUWA MATAJIRI

    • @elinahlawrancemwaipopo7633
      @elinahlawrancemwaipopo7633 6 лет назад

      onlymeruky utakufaj maskin pambana

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 лет назад

    kilamtu anautashi wake sasa wewe aliyu makiyu usipende kumzarau usie mjua nakuomba sana tafadhari?

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 6 лет назад +1

    namkubal sana

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад

    Uwo mpete wa kichawi siyo bule

  • @basilifrank
    @basilifrank 6 лет назад +3

    Transformer

  • @shyshayagen2733
    @shyshayagen2733 6 лет назад

    Anatakiwa awe na bible yako

  • @khadijakhadija6547
    @khadijakhadija6547 6 лет назад

    No comment

  • @mankialema6490
    @mankialema6490 5 лет назад

    Hiii,kuwa na makanisa temeke,mbagala ni kuuharibu mwili wa kristo😎😎😎😎
    Ama!!!

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      mankia lema kuujenga mwili wa Kristo ni vipi basi twambie

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 6 лет назад

    Wewe mchungaji hata hauna upendo, kama ni mchungaji wa ukweli anasema mimi na penda wote, mchungaji wa ukweli huwa hachagui ai hapana imezidi wewe sio kabisa

  • @bbyjbbyj8064
    @bbyjbbyj8064 6 лет назад

    anatafuta kiki uyo

  • @rogersmasofa3454
    @rogersmasofa3454 6 лет назад +1

    ohooi

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 6 лет назад

    😅😅😅😅😅😅

  • @ndijaibrahim3761
    @ndijaibrahim3761 6 лет назад

    Uyu mzee anatombwa na haogi kiba alimkosea nini au paka atoe hallelujah

    • @vitalissmsalanji2537
      @vitalissmsalanji2537 6 лет назад

      Acha upumbafu weehujahwahi kumchukiamtu aliyekutukana nani

    • @ndijaibrahim3761
      @ndijaibrahim3761 6 лет назад

      Sasa we Malaya umeshaona mchungaji anamchukia mtu kwaajili ya kiburi je mzee waupako angekua raiss sindo angemuua kabisa

    • @godfreysimba9649
      @godfreysimba9649 6 лет назад

      acha kucomment matus ww

    • @necramsonpate
      @necramsonpate 6 лет назад

      Necramsonpate

  • @stylistofficial1405
    @stylistofficial1405 6 лет назад

    Blesd

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 лет назад +2

    kwann mmemute dislike

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 6 лет назад

      Shuweha Omar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona ipo? But umenichekesha

    • @callmangumbo1552
      @callmangumbo1552 6 лет назад

      Shuweha Omar Hahaha IPO Kama una taka kudislike bonyeza Mara mbili 😂😂😂😂😂

    • @flyhigher5393
      @flyhigher5393 6 лет назад

      Shuweha Omar we utakuwa umedislike huku umezima data😂😂😂😂

    • @zakariyasheel395
      @zakariyasheel395 5 лет назад

      Huyu kichwa chake

  • @emmamoke6407
    @emmamoke6407 5 лет назад

    Jameni mzee ameambiliwa kuomba .je maombi aliyo omba ya ki ajabu.

    • @janechengula4270
      @janechengula4270 5 лет назад

      Sijawahi kuona mchungaji anae omba kama mzee wa upako sala yako haieleweki