DADA WA KAZI 💞 Love story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 619

  • @TuyajengeYaishe-q8v
    @TuyajengeYaishe-q8v 6 месяцев назад +35

    Lovely unanifulahisha kwel ndg yang unavyo mlalamikia dada ako

  • @gracejames-o7
    @gracejames-o7 5 месяцев назад +6

    Jamanii kalvin nimekupendaa coz uko na good content am proud for listen u

  • @PaulKamanu
    @PaulKamanu 6 месяцев назад +34

    kelvin na watu wako na waoenda xna kwa KAZI nzuri from kenya

  • @MichaelGeorge-hr4dk
    @MichaelGeorge-hr4dk 5 месяцев назад +4

    Loveness nakupenda San naomba naomba yako❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stephanomgallah6358
    @stephanomgallah6358 6 месяцев назад +6

    Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..

  • @IssaYassin-y2t
    @IssaYassin-y2t 6 месяцев назад +25

    uko makini kaka me nakukbar sana mjombaa enderea kufanya kaz nzr san

  • @drinnerfuraha1161
    @drinnerfuraha1161 6 месяцев назад +22

    Imeweza kma kawa❤❤❤

    • @DAUDICHALO
      @DAUDICHALO 6 месяцев назад +2

      Mambo dada 💖

  • @BarakaBoniface-yb6yj
    @BarakaBoniface-yb6yj 6 месяцев назад +8

    Kelvin nakukubal sana sema movie zako nyingi unazitoa hazifiki mwisho zinaishia njiani inakuwa cyo poa

  • @ClaraMunisi
    @ClaraMunisi 6 месяцев назад +14

    Loveness wajina wangu, nakupenda sana unafanya reality ya jina mpaka kwenye movie❤❤❤

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq 6 месяцев назад +243

    Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲

    • @emmanuelgwanchele4168
      @emmanuelgwanchele4168 6 месяцев назад +17

      Ata mm nmewachoka mwishowe tunasahau hatujifunzi Tena hatujui tufatilie ipi Sasa!! Wameanza kuboa

    • @yasirhassan7438
      @yasirhassan7438 6 месяцев назад +18

      Nilijua naliona hii pekeyangu. Halaf kuna zingine hawazimalizii kama ile Vampaya mpaka leo

    • @zai-q2e
      @zai-q2e 6 месяцев назад +5

      Hata mm mh

    • @busimebiringanine5800
      @busimebiringanine5800 6 месяцев назад +8

      Hata na Mimi nimeyaona

    • @Almostaphiq
      @Almostaphiq 6 месяцев назад +9

      Yaani mpaka kero walah

  • @Ali_Ngabwe
    @Ali_Ngabwe 6 месяцев назад +5

    Nyie wot mnataka nin sasa 🇨🇩🇨🇩

  • @jaromeedward781
    @jaromeedward781 6 месяцев назад +31

    Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤

    • @JumaRashidy-r5x
      @JumaRashidy-r5x 6 месяцев назад +1

      Kwaiyo we unafurahishwa na mwenendo wa hawa jamaa yaan hawamalizi move wanatoa nyingine mi naona wanatuchanganya tu

    • @happyfania9384
      @happyfania9384 6 месяцев назад

      Hajui hata kutega

    • @HillaryKeraryo-yb1oy
      @HillaryKeraryo-yb1oy 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂haelew😊​@@JumaRashidy-r5x

    • @DeusAlphonce-mo9bw
      @DeusAlphonce-mo9bw 5 месяцев назад

      Kwel ​@@JumaRashidy-r5x

    • @HassanMwachili-lp2gj
      @HassanMwachili-lp2gj 5 месяцев назад

      @@JumaRashidy-r5x 00)

  • @KHADIJAMASIGA-d7m
    @KHADIJAMASIGA-d7m 6 месяцев назад +5

    Kelvin uko pw sana bro

  • @YussufuYussufu-xo6we
    @YussufuYussufu-xo6we 6 месяцев назад +12

    Nakubali movie Zeni yussuph kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥

  • @sadiomane124
    @sadiomane124 6 месяцев назад +5

    Ngamia wang anifaaye jangwani nmemuombea dua 2siishie njian

  • @BabyvisterMjeni
    @BabyvisterMjeni 6 месяцев назад +13

    Mbona brown umekonda

  • @BrunoMuyumba
    @BrunoMuyumba 2 месяца назад +7

    Mi na chekanga tu 😂😂😂😂

  • @Dicky576
    @Dicky576 6 месяцев назад +6

    Mambo ni 🔥 Nakubaree sanaa hii fmlier ❤

  • @TobiasLazaro
    @TobiasLazaro 6 месяцев назад +3

    Muko vizuri

  • @KenedyMusonda
    @KenedyMusonda 6 месяцев назад +1

    It's really good I really like it even every part I have to like

  • @bazuriomari
    @bazuriomari 6 месяцев назад +6

    Movie zenu zinazidi kunimaliza yani ni zuri lakini ninahamu yakumaliza movie moja moja

  • @ZakaboyMusa
    @ZakaboyMusa 6 месяцев назад +6

    Sawa bana loveness.

  • @Abera662
    @Abera662 6 месяцев назад +5

    Hapo Sasa nadhani itakuwa tamu kama Dada wa kazi na kijana tajiri maua🌹🌹🌹Kalvim from Kigali🇷🇼🇷🇼

  • @HamiduKabondo
    @HamiduKabondo 6 месяцев назад +8

    Ndugu zangu akina kevi ntawapenda sana ila jitaidini kidogo kuitoa kwawakati firam yenu ya kesho yangu naipenda sana

  • @SamweliPhanueli
    @SamweliPhanueli 6 месяцев назад +12

    Hahaha jamani hata kama nikutega sio hivo

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 6 месяцев назад +45

    Wa4 naombeni like zangu 🎉🎉

  • @AhadiBwanyungu-j6s
    @AhadiBwanyungu-j6s 6 месяцев назад +5

    wadada nihatari munapenda wawapelekeye moto saana yaani mudada kamahaujapelekewa moto hamujisikiyagi vizuri nawapa polezaidi

  • @bennimubona6105
    @bennimubona6105 6 месяцев назад +4

    Is this new one? Waooo please washe motooo

  • @hafidhyussuf7245
    @hafidhyussuf7245 6 месяцев назад +8

    ❤ mbona mumifanya fupi ilioisha na utam lengo limeelieka ila mbona ingekua poa Zaid kujua mengi tukajifunza zaid

  • @Nadzuamwatsenze
    @Nadzuamwatsenze 6 месяцев назад +6

    Wooooh, kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @utukufu133
    @utukufu133 6 месяцев назад +35

    Donta Family naombeni namba ya loveness nampenda

  • @SosiSaeed-y6i
    @SosiSaeed-y6i 2 месяца назад

    Congratulations to all of you, you are doing a good job

  • @MineniAbedialphonce
    @MineniAbedialphonce 6 месяцев назад +3

    Lovess mtoto wakike mtamu kama hasali,Donta mmetowa wapi uyu kwa wamasai au usukumani au hiringa kabisa jameni mniambie

  • @simonmchilo1032
    @simonmchilo1032 6 месяцев назад +20

    Hawezi kutega watu huyo😂😂😂 mimi angeweza kula hata mitama

  • @marxk1186
    @marxk1186 6 месяцев назад +33

    Aliyetengeneza Hilo beat la mbosso naomba namba zake😂😂😂😂😂

  • @AndreSartos-z8n
    @AndreSartos-z8n 6 месяцев назад +1

    Good Job 👍👍❤

  • @catherinechristopher4825
    @catherinechristopher4825 5 месяцев назад +2

    Nimeipenda sana

  • @madamlina-nf7ed
    @madamlina-nf7ed 2 месяца назад +1

    Napenda kweli kazi zako tatizo mnatuchanganya

  • @MariamWanguu-f8p
    @MariamWanguu-f8p Месяц назад

    Kazi nzuri sanaaa more blessing nyote ❤❤

  • @RammyanLewah
    @RammyanLewah 6 месяцев назад +4

    Wana donta family nawakubali kwa movie zenu, ❤❤❤

  • @ShukuCalu
    @ShukuCalu 6 месяцев назад +29

    Like zangu naomben

  • @Matridadominic
    @Matridadominic 6 месяцев назад +1

    Kelv pangilia kazi zako vizuri,, unapoteza ubora wa kukufatilia aisee

  • @MwahijaKhatibu
    @MwahijaKhatibu 6 месяцев назад +6

    Locatio imebadilikaaa nice

  • @OBARIOSCAR
    @OBARIOSCAR 12 дней назад

    Munanifunza mengi sana..Nawapa Swadakta..Shukrani sana,Kevin,Loveness...na wengine

  • @PasiaJamba
    @PasiaJamba 6 месяцев назад +1

    I'm very interested with your talent bro

  • @HassanJaffar-qt1eh
    @HassanJaffar-qt1eh 5 месяцев назад

    Congratulation brother kelvin 🎉. You are so talented

  • @NezaMerry434
    @NezaMerry434 5 месяцев назад +1

    My like from Rwanda 👍👍👍🇷🇼

  • @hellenrobi5775
    @hellenrobi5775 23 дня назад +2

    Kama mm hapa mnanichanganya sana panga kazi DONTA TV nawapenda kutoka 🇰🇪 Kenya

  • @CharlesMikipi
    @CharlesMikipi 2 месяца назад +1

    Mwajina mwenzangu Victoria nimekupenda bule❤❤❤ kaka kelvi pia ❤❤❤

  • @AishaSalem-g2v
    @AishaSalem-g2v 6 месяцев назад +4

    Kk kelvin na bro braun mko vizur sana aki mungu awabarik❤

    • @MoodyAbdallah-t5d
      @MoodyAbdallah-t5d Месяц назад

      Wanaume wote wangekuwa kama kelvin ingekuwa sawa kweli

  • @GraceVISAMAYANI-gj1xm
    @GraceVISAMAYANI-gj1xm 6 месяцев назад +6

    Asante,Ila muendelezo wa kesho Yangu

  • @Annwanjiroombati
    @Annwanjiroombati 2 месяца назад +2

    Wou, Huyo ni kevin na love nes, mnabamba sana

  • @CharityGilla
    @CharityGilla 6 месяцев назад +2

    Waoh donta tv mnajua be blessed sana ❤❤❤❤ngamia wang anifae jangwan nimemuombea dua tusiishie njian😅😅

    • @FricoStore
      @FricoStore 6 месяцев назад

      Ngamia wako kasha anza kulewa sifa huyu

  • @RebekaKulwa
    @RebekaKulwa 6 месяцев назад +1

    Hongereni sana mtafika mbali mungu awatangulie

  • @CosmasSengenge
    @CosmasSengenge 6 месяцев назад +10

    Ebu tupeni series ya kesho yangu tuimalize kwanza ndo muachie kazi nyingine. Mnashusha mvuto wa chaneli yenu kuachia muvi nuinginyingi

  • @FaridaJumanne-s3j
    @FaridaJumanne-s3j 2 месяца назад

    Hongereni sana kwa kazi zenu nzuri

  • @ahmadjuma5677
    @ahmadjuma5677 6 месяцев назад +2

    aisee Hii movie ya dada wa kaz inafaa iendelee maaana inamafunzo sana but mmpo vizuli na mungu azidi kuwapigania inshallah

  • @RuthMakungu-x3j
    @RuthMakungu-x3j 19 дней назад

    Wow Kevin u aren't giving up so easily continue bro ❤❤❤❤

  • @MatabishiMuzangwa
    @MatabishiMuzangwa 27 дней назад

    Asante sana kukututolea mashauri mazuri kama haya.

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 6 месяцев назад +1

    aaaaaah mixer uku donta plus uku donta family mmmh soon naleft

  • @DAUDICHALO
    @DAUDICHALO 6 месяцев назад +1

    oya broo muwwe uyo mzuli sana duu

  • @CharlesMikipi
    @CharlesMikipi 2 месяца назад +1

    Kazi iko pow🎉🎉

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 6 месяцев назад +3

    😂😂😂😂nitakufaa kwa kuchekaa Loveness ❤❤

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 6 месяцев назад +3

    Nawapenda sana ❤❤❤❤

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад +10

    Makusudiii ayooo sasa calvin fanyaaaa yako😅😅😅😅usiache nyamaaaa

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 6 месяцев назад +2

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @GetrudaSanga-d7l
    @GetrudaSanga-d7l 6 месяцев назад +3

    Khelvin uko serious jaman khaaaah 😂😂😂😂 hatar sana

  • @LovenesMichael-pn7fm
    @LovenesMichael-pn7fm 29 дней назад

    Jamani movie zen ni nzur mnafany kazi nzur

  • @FrolahRubunda
    @FrolahRubunda 3 месяца назад +1

    Mmmmh lovenes duuh umetish unasaut nzur

  • @FridayMwilinga
    @FridayMwilinga 4 дня назад

    Kelvin mwamba Sana big up mkuu ,ongeza juhudi kaka

  • @Fadhila0-x7c
    @Fadhila0-x7c 6 месяцев назад +4

    Kazi nzuri kelvin

  • @FabriceMuzungu-x7w
    @FabriceMuzungu-x7w 2 месяца назад

    Nipo USA Arizona Kevin we love you 🎉 here much more 🎉

  • @JoylinePeter
    @JoylinePeter 6 месяцев назад +1

    well done nawapenda Bure💪💪Daah kesho yangu vepy inachelewa mno daaaaaaah so pw tunakwazika xx😢😢

  • @malikahiribae
    @malikahiribae Месяц назад

    Hongera kelvin kwa kumfukuza loveness amepata funzo 😊😊

  • @user-ex8tk4fl8z
    @user-ex8tk4fl8z Месяц назад

    ❤❤nawapenda wote recho apa broo nakukubali sana na ninawapenda sana

  • @edsonipaulo
    @edsonipaulo 6 месяцев назад +10

    tunawapenda natunapenda mnachofanya. ombi binafsi naomba muwe na utaratibu mzuri wakuachia vipande kwautaratibu mzuri tujue tunafuatiliaje tusibahatishe mana tunapenda kaz zenu❤

    • @MirshuuMakame
      @MirshuuMakame 6 месяцев назад +2

      Ni kwel kbsa munafany vzr ad tunawaz tuanglie wap

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 6 месяцев назад +6

    Napenda Kevin akiigiza na blauni na hao wadada so MTU mwengine

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 6 месяцев назад +1

      Hhhhh atmm pia nampenda san kev na wat wak

  • @maulidipingika4452
    @maulidipingika4452 6 месяцев назад +2

    Donta mmekuwq wababaishaji

  • @hafsahmassemoh3598
    @hafsahmassemoh3598 6 месяцев назад +2

    TAMAA MBAYA

  • @LucshukuruLuc
    @LucshukuruLuc 2 месяца назад +1

    Kevin unanikumbusha kanumba kila kutizama filam zako yaani napata mashauri

  • @MinaniChristian-jm3nk
    @MinaniChristian-jm3nk 2 месяца назад +1

    Hongela nyote kwa jumla

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 6 месяцев назад +7

    Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂

  • @TontonKapafule
    @TontonKapafule 2 месяца назад +1

    ce filme et vraiment belle leçon pour tout le monde

  • @GloriaLizy
    @GloriaLizy 2 месяца назад +2

    Napenda hizi moves nikiwa Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AgueroBoaz-ei5qt
    @AgueroBoaz-ei5qt 6 месяцев назад +2

    Uyo sijui vicky nae avaage vi jola analiumbo libaya daaah na misuluali hiyooo

  • @NasraJuma-u9u
    @NasraJuma-u9u 6 месяцев назад +3

    😂😂lovenesss upewe mauwa yako🎉🎉

  • @GerrardNdola-l1v
    @GerrardNdola-l1v 6 месяцев назад +57

    Kuhusu Kelvin weweeeeh wote nimewamwagia like zakutosha ila na mm msiniche bure jaman Kelvin anawezag sana uyu mkaka
    JERRY from United ❤❤❤

    • @Kambachurchgal-hg4zx
      @Kambachurchgal-hg4zx 6 месяцев назад +2

      💯💯

    • @hilamvicent6720
      @hilamvicent6720 6 месяцев назад

      Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa
      Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa

    • @GradnessMarico
      @GradnessMarico 6 месяцев назад

      Leteni kesho yangu bana

  • @MalengaAsende-h9u
    @MalengaAsende-h9u 6 месяцев назад +1

    Mnazingua sana ,mnatoa movies nyingi alafu hazifiki mwisho

  • @SaleheNjimbwi
    @SaleheNjimbwi 6 месяцев назад +1

    Nakubalii❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @KelvinRaphaeli-c9o
    @KelvinRaphaeli-c9o Месяц назад +1

    Ongez kelvin me nakukubali

  • @kadzojamesjameskadzo3950
    @kadzojamesjameskadzo3950 6 месяцев назад +3

    Mashallah ❤️❤️,hutaki ushauriwe sio

  • @JuliasMfuru
    @JuliasMfuru 6 месяцев назад +1

    Jaman donta tv mnaanza kuzingua achieni kazi Kwa mtiririko

  • @ambroschibu7961
    @ambroschibu7961 5 месяцев назад

    Asante kwa kazi yako broo.

  • @Joksmart
    @Joksmart 6 месяцев назад +9

    Kesho yangu vip Boss

  • @jumambato5492
    @jumambato5492 5 месяцев назад

    Aki mnaweza acheni hao wanaopiga midomo kawaida ya binadam. Mimi na familia nawakubali Juma Mbato from Kenya big up Donta TV.Loveness Victoria nawahitaji

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 6 месяцев назад +3

    Wow 😲❤❤❤

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j Месяц назад

    😂😂😂😂 loveness aliambiwa ajiongeze bc wee Kelvin hapumui aki nawapenda ❤❤❤

  • @DimaillOfficial
    @DimaillOfficial 6 месяцев назад +3

    Kwani ukicoment mara mbili dhambi!😃😃😃
    Brown ni chawa hatari😁😁😁

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 4 месяца назад

    Aweeeeee lovness

  • @edsondomino8573
    @edsondomino8573 6 месяцев назад +2

    Yaan movie yeyote akiwepo loveness na kelvin naeinjoi kinoma yaaan🎉🎉❤❤