Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..
Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤
Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂
Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa
Aki mnaweza acheni hao wanaopiga midomo kawaida ya binadam. Mimi na familia nawakubali Juma Mbato from Kenya big up Donta TV.Loveness Victoria nawahitaji
Lovely unanifulahisha kwel ndg yang unavyo mlalamikia dada ako
Jamanii kalvin nimekupendaa coz uko na good content am proud for listen u
kelvin na watu wako na waoenda xna kwa KAZI nzuri from kenya
Loveness nakupenda San naomba naomba yako❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..
uko makini kaka me nakukbar sana mjombaa enderea kufanya kaz nzr san
Imeweza kma kawa❤❤❤
Mambo dada 💖
Kelvin nakukubal sana sema movie zako nyingi unazitoa hazifiki mwisho zinaishia njiani inakuwa cyo poa
Loveness wajina wangu, nakupenda sana unafanya reality ya jina mpaka kwenye movie❤❤❤
Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Ata mm nmewachoka mwishowe tunasahau hatujifunzi Tena hatujui tufatilie ipi Sasa!! Wameanza kuboa
Nilijua naliona hii pekeyangu. Halaf kuna zingine hawazimalizii kama ile Vampaya mpaka leo
Hata mm mh
Hata na Mimi nimeyaona
Yaani mpaka kero walah
Nyie wot mnataka nin sasa 🇨🇩🇨🇩
Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤
Kwaiyo we unafurahishwa na mwenendo wa hawa jamaa yaan hawamalizi move wanatoa nyingine mi naona wanatuchanganya tu
Hajui hata kutega
😂😂😂😂😂😂😂haelew😊@@JumaRashidy-r5x
Kwel @@JumaRashidy-r5x
@@JumaRashidy-r5x 00)
Kelvin uko pw sana bro
Nakubali movie Zeni yussuph kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥
Ngamia wang anifaaye jangwani nmemuombea dua 2siishie njian
Mbona brown umekonda
Mi na chekanga tu 😂😂😂😂
Mambo ni 🔥 Nakubaree sanaa hii fmlier ❤
Muko vizuri
It's really good I really like it even every part I have to like
Movie zenu zinazidi kunimaliza yani ni zuri lakini ninahamu yakumaliza movie moja moja
Sawa bana loveness.
Hapo Sasa nadhani itakuwa tamu kama Dada wa kazi na kijana tajiri maua🌹🌹🌹Kalvim from Kigali🇷🇼🇷🇼
Ndugu zangu akina kevi ntawapenda sana ila jitaidini kidogo kuitoa kwawakati firam yenu ya kesho yangu naipenda sana
Yaani nikweli wanachelewa kutowa sijuwi wanafeli wapi '
Sanaaaa
Hahaha jamani hata kama nikutega sio hivo
😂😂😂
Wa4 naombeni like zangu 🎉🎉
wadada nihatari munapenda wawapelekeye moto saana yaani mudada kamahaujapelekewa moto hamujisikiyagi vizuri nawapa polezaidi
Is this new one? Waooo please washe motooo
❤ mbona mumifanya fupi ilioisha na utam lengo limeelieka ila mbona ingekua poa Zaid kujua mengi tukajifunza zaid
Wooooh, kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Donta Family naombeni namba ya loveness nampenda
😂
Umemtamani umbwa ww😂😂
Umalaya
😂😂😂
Hakuna namba ya cm
Congratulations to all of you, you are doing a good job
Lovess mtoto wakike mtamu kama hasali,Donta mmetowa wapi uyu kwa wamasai au usukumani au hiringa kabisa jameni mniambie
Hawezi kutega watu huyo😂😂😂 mimi angeweza kula hata mitama
Aliyetengeneza Hilo beat la mbosso naomba namba zake😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅
Good Job 👍👍❤
Nimeipenda sana
Napenda kweli kazi zako tatizo mnatuchanganya
Kazi nzuri sanaaa more blessing nyote ❤❤
Wana donta family nawakubali kwa movie zenu, ❤❤❤
Like zangu naomben
Kelv pangilia kazi zako vizuri,, unapoteza ubora wa kukufatilia aisee
Locatio imebadilikaaa nice
Munanifunza mengi sana..Nawapa Swadakta..Shukrani sana,Kevin,Loveness...na wengine
I'm very interested with your talent bro
Congratulation brother kelvin 🎉. You are so talented
My like from Rwanda 👍👍👍🇷🇼
Kama mm hapa mnanichanganya sana panga kazi DONTA TV nawapenda kutoka 🇰🇪 Kenya
Mwajina mwenzangu Victoria nimekupenda bule❤❤❤ kaka kelvi pia ❤❤❤
Kk kelvin na bro braun mko vizur sana aki mungu awabarik❤
Wanaume wote wangekuwa kama kelvin ingekuwa sawa kweli
Asante,Ila muendelezo wa kesho Yangu
Wou, Huyo ni kevin na love nes, mnabamba sana
Waoh donta tv mnajua be blessed sana ❤❤❤❤ngamia wang anifae jangwan nimemuombea dua tusiishie njian😅😅
Ngamia wako kasha anza kulewa sifa huyu
Hongereni sana mtafika mbali mungu awatangulie
Ebu tupeni series ya kesho yangu tuimalize kwanza ndo muachie kazi nyingine. Mnashusha mvuto wa chaneli yenu kuachia muvi nuinginyingi
Hongereni sana kwa kazi zenu nzuri
aisee Hii movie ya dada wa kaz inafaa iendelee maaana inamafunzo sana but mmpo vizuli na mungu azidi kuwapigania inshallah
Wow Kevin u aren't giving up so easily continue bro ❤❤❤❤
Asante sana kukututolea mashauri mazuri kama haya.
aaaaaah mixer uku donta plus uku donta family mmmh soon naleft
oya broo muwwe uyo mzuli sana duu
Kazi iko pow🎉🎉
😂😂😂😂nitakufaa kwa kuchekaa Loveness ❤❤
Nawapenda sana ❤❤❤❤
Makusudiii ayooo sasa calvin fanyaaaa yako😅😅😅😅usiache nyamaaaa
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Khelvin uko serious jaman khaaaah 😂😂😂😂 hatar sana
Jamani movie zen ni nzur mnafany kazi nzur
Mmmmh lovenes duuh umetish unasaut nzur
Kelvin mwamba Sana big up mkuu ,ongeza juhudi kaka
Kazi nzuri kelvin
Nipo USA Arizona Kevin we love you 🎉 here much more 🎉
well done nawapenda Bure💪💪Daah kesho yangu vepy inachelewa mno daaaaaaah so pw tunakwazika xx😢😢
Hongera kelvin kwa kumfukuza loveness amepata funzo 😊😊
❤❤nawapenda wote recho apa broo nakukubali sana na ninawapenda sana
tunawapenda natunapenda mnachofanya. ombi binafsi naomba muwe na utaratibu mzuri wakuachia vipande kwautaratibu mzuri tujue tunafuatiliaje tusibahatishe mana tunapenda kaz zenu❤
Ni kwel kbsa munafany vzr ad tunawaz tuanglie wap
Napenda Kevin akiigiza na blauni na hao wadada so MTU mwengine
Hhhhh atmm pia nampenda san kev na wat wak
Donta mmekuwq wababaishaji
TAMAA MBAYA
Kevin unanikumbusha kanumba kila kutizama filam zako yaani napata mashauri
Hongela nyote kwa jumla
Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂
ce filme et vraiment belle leçon pour tout le monde
Napenda hizi moves nikiwa Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uyo sijui vicky nae avaage vi jola analiumbo libaya daaah na misuluali hiyooo
😂😂lovenesss upewe mauwa yako🎉🎉
Kuhusu Kelvin weweeeeh wote nimewamwagia like zakutosha ila na mm msiniche bure jaman Kelvin anawezag sana uyu mkaka
JERRY from United ❤❤❤
💯💯
Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa
Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa
Leteni kesho yangu bana
Mnazingua sana ,mnatoa movies nyingi alafu hazifiki mwisho
Nakubalii❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ongez kelvin me nakukubali
Mashallah ❤️❤️,hutaki ushauriwe sio
Jaman donta tv mnaanza kuzingua achieni kazi Kwa mtiririko
Asante kwa kazi yako broo.
Kesho yangu vip Boss
Aki mnaweza acheni hao wanaopiga midomo kawaida ya binadam. Mimi na familia nawakubali Juma Mbato from Kenya big up Donta TV.Loveness Victoria nawahitaji
Wow 😲❤❤❤
😂😂😂😂 loveness aliambiwa ajiongeze bc wee Kelvin hapumui aki nawapenda ❤❤❤
Kwani ukicoment mara mbili dhambi!😃😃😃
Brown ni chawa hatari😁😁😁
Aweeeeee lovness
Yaan movie yeyote akiwepo loveness na kelvin naeinjoi kinoma yaaan🎉🎉❤❤