Yani mayo na mamako hayoooooo!!!! Embu yaangalie yalivyokuwa manafiki kama malaya kuona bia mezani hamzipati hizo mali lione ety mtu yoko kwenye sala linamfyonza hivi unafikiri huyo MUNGU nimchawi mwenzio kione kilivyokuwa sura imekishuka kama chapati iliyoungua kwenye flamben hata hakijui kilizaliwa na nan, mapua yamekipanuka ka makamatio ya mikasi
Mama wa kambo katili sana huyo amemfukuza loveness baada ya kuwaona mkiingia ananataka huyo malaya mwenzake amiliki mali za babake love hawafai kabisa wanamnyanyasa sana huyo dada
Eeeeh uyo mm wa kambo kiboko unasema uongo namutu ukonae ndani 😢pole yenu kweli angetoka kwanza ukaaibika pole sana lavenesi Vicky umeongea ukweli afwatiliye kabisa
Leo nimekuwa wa kwanza 😅
Mbaba
😂
Ndiyo🥳
❤❤
Dontatv mwendelezo imani yang
Nampendaga huyo mama wa kambo wa loveness anajua sana kuigiza uhalisia
Kabisa 👍
Nakupenda sana loveness unaroo nzuli sana nakupenda sana kipenzi changu loveness❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Pamoja sana❤
Yani mayo na mamako hayoooooo!!!! Embu yaangalie yalivyokuwa manafiki kama malaya kuona bia mezani hamzipati hizo mali lione ety mtu yoko kwenye sala linamfyonza hivi unafikiri huyo MUNGU nimchawi mwenzio kione kilivyokuwa sura imekishuka kama chapati iliyoungua kwenye flamben hata hakijui kilizaliwa na nan, mapua yamekipanuka ka makamatio ya mikasi
😅😅😅😅😅 nimecheka ad Kwa sauti jaman maana so Kwa mipua iyo😢
umejua kunichekesha😂😂😂😂😂😂
😂asante😂😂😂😂
sijawai kutowa pongezi lakin hiyi imenigusa sana hongelen sana kwa kazi nzur
Kazi nzuri na yenye mafundisho
Uyu mama na mtoto wake wanaonea loveness wangapi wanapenda loveness like zake jamani
Wazaz Kam huyo mama Huwa wanatengeneza bomu ndan ya nyumb na likilipuka hushindw pa kukumbilia
Bana n laana
Wamama aki kuwe na utu
Mimi hapa
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Hakika Victoria wewe ni mtu mwenye roho nzuri yeye na kelvin nawapenda
Victoria yaani nikikutana na wewe nakuowa maana Leo umetoka kinoma noma.
Hongeleni sanaa kwa kazi nzur 🎉🎉❤❤❤
Loveness Naomba uwe na rohoo iyo iyo ata uko unako ishi day 😢
Bvkngj
Hjbrck DJ
Alf Loveness movie zak zote ni biti mweny hulumaa kwakwel
Maya wew n mzuri ila nampenda sana loveness na Mama wa kambo ni wabaya. Maya lilia haki yako ajue baba yako ninan
Mmeleta ngoma kali sana ,big up donta tv
Wachezaj wote wanao cheza kwenye donta TV na mpenda sana loveness na mkurugenzi wawo ❤❤❤❤
Love nimependa uigizaji wako❤❤saana
Nimeshapata chakuangalia nilikuw naranda randa uku jmn😂😂
Pole sana 😂😂
😂😂😂 kama Mimi jamani
Nimepata mwenzangu😂😂😂😂
@@Prettyprecious-u5j ndy jmn
@@RizikiZiki asantee jmn
Sitaki kuwa wa kwanza wala wa mwisho... mimi nataka namba ya Loveness tu inatosha
😂😂😂
Jamani hii movie 🎬 🎞 🎥 nimeipenda sana yeah is nice 👌
Kelelee ya kwanzaaa kwa Victoria wakeeeeeeeee
Weeeéeeeeeeee😂😂
Mungu awa bariki awape mwisho muzuri kuliko mwanzo
Dadaa wa kazi ❤❤ very nice 👌
Safi sana Vitoria wakili umeona mbali pambania haki ya lavines
Naupenda San kazin zen
Kaz zenu ni nzuri akh ❤❤❤
Shangazi kila sehemu we mchungu tuu ata sura yako yafanana na matendo jaribu kuvaa uhusika wa huruma ata siku moja basi loh
Kabsa kila sehem roho mbaya eeh labda ndo venye alivyo reality
Hongera sana kwenye kazi nziri yaani mmetuatia somo nzuri❤
Kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉
Kwel lovenes keep it up... nakupeda sana
olalala nmependa sanaa❤
Lovenes mung akupe nguv ❤❤❤❤ jmn duh
Eyr and a very good guy who is a very good guy and is the best 👌 👍 😍 🥰 ☺️ 💖 👌 👍 😍 the first one that I love and all that ❤️ 💙 💖 💕 😘 💗 ❤️ 💙 💖 💕 😘
Kweli kabisa 😢❤
Kazi nzuri 🎉
🎉🎉🎉🎉whaauuuii kazi zurisana
Nzuri sana ❤❤❤
Mm je hamnipi like❤❤❤❤
Iko sawa sana ❤❤❤❤
mungu saidia watoto mayatima
Love ninampenda 2 yaan hakuna zaid ya hawa vitu
Na mimi na mpenda sana tena sana❤❤❤
Nakupenda sana loveness uwe na roho kaa hiyo
Ndio ❤
Atali
Hata leo mm pia nina haki ya kupewa like
Nikweli uyu mdada movie zake kweli nzuri mno zinanifuza kujuwa kuishi nawatu wanafki ❤❤❤❤
Kabisa
😢😢 22:20
Kwenye maisha tusiwanyanyase watoto ambao hawana wazazi na pia tuwajali sio kuwateza
Dyana anajua sana❤❤
Wow nice ❤️
Mama wa kambo katili sana huyo amemfukuza loveness baada ya kuwaona mkiingia ananataka huyo malaya mwenzake amiliki mali za babake love hawafai kabisa wanamnyanyasa sana huyo dada
Daaah dunia iiiii😢
Vicky uko swa kila pande mama 🎉🎉🎉🎉🎉 🇰🇪🌺
I love this story
Hatari kbs🎉🎉🎉😢😢
Shangaz unajua kunikosha kila nafas uko vzur ❤
Kazi nzuri🙏🙏
Napenda sana ,nafuatilia kutoka Kenya
Nawapenda Bure ❤❤❤
Ila sijapendezwa na vile Lovess kadhurumiwa!
Muko vizur sana Allah amuongoze
Loveness anajua. Kuigiza nataman hiyo nafas ingekua yang
Kaz nzur ❤❤❤
Namim pia ❤❤❤ na wa penda sana❤
😢😢😢😢
Nakupenda sana dd vitória na laviness ❤❤
Diana 🎉🎉kazi zako nzur sana
Wa mwisho leo, loveness nakupenda tu bure 🇰🇪
Eeeeh uyo mm wa kambo kiboko unasema uongo namutu ukonae ndani 😢pole yenu kweli angetoka kwanza ukaaibika pole sana lavenesi Vicky umeongea ukweli afwatiliye kabisa
Hivi ya leo nimeelewa sana
Kazi nziuri. Sana 🎉🎉🎉🎉
Move iko poa ila kuwen makini kwenye wide na short zen,,kam ushaur tu,,,lekebishen makosa❤❤❤❤
Nampenda sna loveness namhurumia alaf
Balaa wamefanana sana
REO nimekuwa wa5 naomba Like
Sem iihh muv inafundisha sana
Yani nyie wa mama wakambo mungu anawaona
Nampenda dad lovenes na kaka kelvn Ila wote nawapenda Ila so ni my favorites
Da Mungu awabariki sana ❤❤❤
Nyote nawapenda mumeeigiza vizuri
Congo 🇨🇩 tuna wafata
Ad muchukie loveness nampenda,,
Job nzur mnafanya hongereni xanaaa
❤❤ nzuri sana 🔥
l❤ loveness and kelven
Loveness mungu aku bariki n'a aku ongezeye nguvu n'a kupenda Sana
Tujifunze walezi tujifunze wamama na wababa rohombaya haijengi
Jaman wamama wakambo achen roho baya ujuwe mtoto wamwezio niwako mungu hapendi jaman pia nilan kunyanyasa WATOTO
Safi sana
Mashaa Allah muko vizuri 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzurii
Mama watoto na komwe hilioooo hawo wakambo nawachukia sjuih😢
Imefika sku ya kufa nyani miti uteleza😂😂😂😂😂😂 my friend lovenes tulia❤❤❤❤
Mama wewe nimekupenda ble Yaan uko uwalisia kabsa
Aki Victoria unaendeleza vzur ❤❤❤
Mwanamke mbaya wadanganya waziwazi kbisa
Pole sana love huyo mama wa kambo mbaya anaroho mbaya
Dayan napenda sana unavovaa uhalisiaa na lovenes
Mungu azidi kutenda myuujiza
jameni move nzuri
Mungu wasaidie watoto yatima❤❤❤
Mama Mmbaya kaficha love
Mbna kama maya na rafikiyake wamefanana au nimeona viby jomoni
Ata Mimi nimewaona nikapause
Hata Mimi nimeona hivyoo
Mko vizuli San jmn lovenes Hadi lah🎉🎉🎉🎉🎉
Nice ❤❤❤
Iyo macho ya lovenes naipenda mno ❤❤
Jamani mimi niwakwanza kumupenda uyu dada ❤❤❤❤🎉🎉
Wow nice ❤
Uyo love alimloga Kelvin Kwene mkanda wa dada WA kazi
Mm nampenda sana loveness❤
Sijui kwanini nakasilikaga nikiona mtu akitesa mtu lakini nakubuka ni movie