CHOZI LANGU 💞 Sad story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 419

  • @Dontatv255
    @Dontatv255 6 месяцев назад +224

    Leo nimekuwa wa kwanza 😅

  • @lucyalto7320
    @lucyalto7320 6 месяцев назад +54

    Nampendaga huyo mama wa kambo wa loveness anajua sana kuigiza uhalisia

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 6 месяцев назад +29

    Nakupenda sana loveness unaroo nzuli sana nakupenda sana kipenzi changu loveness❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @LinasMjema
      @LinasMjema 6 месяцев назад +1

      Pamoja sana❤

  • @YusuphyKalebu
    @YusuphyKalebu 6 месяцев назад +7

    Yani mayo na mamako hayoooooo!!!! Embu yaangalie yalivyokuwa manafiki kama malaya kuona bia mezani hamzipati hizo mali lione ety mtu yoko kwenye sala linamfyonza hivi unafikiri huyo MUNGU nimchawi mwenzio kione kilivyokuwa sura imekishuka kama chapati iliyoungua kwenye flamben hata hakijui kilizaliwa na nan, mapua yamekipanuka ka makamatio ya mikasi

    • @ZurfaKhamisi
      @ZurfaKhamisi 6 месяцев назад +1

      😅😅😅😅😅 nimecheka ad Kwa sauti jaman maana so Kwa mipua iyo😢

    • @lidiasaumu7116
      @lidiasaumu7116 6 месяцев назад

      umejua kunichekesha😂😂😂😂😂😂

    • @lidiamageta9958
      @lidiamageta9958 6 месяцев назад

      😂asante😂😂😂😂

  • @barakajafari7575
    @barakajafari7575 5 месяцев назад +9

    sijawai kutowa pongezi lakin hiyi imenigusa sana hongelen sana kwa kazi nzur

  • @Jacksbalampa
    @Jacksbalampa 6 месяцев назад +6

    Kazi nzuri na yenye mafundisho

  • @damarismomanyi4818
    @damarismomanyi4818 6 месяцев назад +126

    Uyu mama na mtoto wake wanaonea loveness wangapi wanapenda loveness like zake jamani

    • @VanisyJonathan
      @VanisyJonathan 5 месяцев назад +1

      Wazaz Kam huyo mama Huwa wanatengeneza bomu ndan ya nyumb na likilipuka hushindw pa kukumbilia

    • @FaithAMBETSA
      @FaithAMBETSA 2 месяца назад +1

      Bana n laana

    • @FaithAMBETSA
      @FaithAMBETSA 2 месяца назад +2

      Wamama aki kuwe na utu

    • @laddyfaida
      @laddyfaida Месяц назад +1

      Mimi hapa

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 6 месяцев назад +7

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i 6 месяцев назад +13

    Hakika Victoria wewe ni mtu mwenye roho nzuri yeye na kelvin nawapenda

  • @dannymodestyamungu7775
    @dannymodestyamungu7775 6 месяцев назад +16

    Victoria yaani nikikutana na wewe nakuowa maana Leo umetoka kinoma noma.

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 6 месяцев назад +3

    Hongeleni sanaa kwa kazi nzur 🎉🎉❤❤❤

  • @YunissMeshack
    @YunissMeshack 6 месяцев назад +16

    Loveness Naomba uwe na rohoo iyo iyo ata uko unako ishi day 😢

  • @KhumboLyzer-gz4sk
    @KhumboLyzer-gz4sk 19 дней назад +1

    Maya wew n mzuri ila nampenda sana loveness na Mama wa kambo ni wabaya. Maya lilia haki yako ajue baba yako ninan

  • @alexngamilaga7359
    @alexngamilaga7359 6 месяцев назад +2

    Mmeleta ngoma kali sana ,big up donta tv

  • @NimbonaUdhaifa-jw2lo
    @NimbonaUdhaifa-jw2lo 6 месяцев назад +4

    Wachezaj wote wanao cheza kwenye donta TV na mpenda sana loveness na mkurugenzi wawo ❤❤❤❤

  • @SiwemaJohn-o5d
    @SiwemaJohn-o5d 12 дней назад +1

    Love nimependa uigizaji wako❤❤saana

  • @LovenessJames-r9l
    @LovenessJames-r9l 6 месяцев назад +43

    Nimeshapata chakuangalia nilikuw naranda randa uku jmn😂😂

  • @sportstartv3781
    @sportstartv3781 6 месяцев назад +5

    Sitaki kuwa wa kwanza wala wa mwisho... mimi nataka namba ya Loveness tu inatosha

  • @chiitvshow7940
    @chiitvshow7940 2 месяца назад +3

    Jamani hii movie 🎬 🎞 🎥 nimeipenda sana yeah is nice 👌

  • @SuzanyJohn
    @SuzanyJohn 6 месяцев назад +31

    Kelelee ya kwanzaaa kwa Victoria wakeeeeeeeee

  • @ChanceAkonkwa
    @ChanceAkonkwa Месяц назад +1

    Mungu awa bariki awape mwisho muzuri kuliko mwanzo

  • @موكاء-ظ9ج
    @موكاء-ظ9ج 6 месяцев назад +2

    Dadaa wa kazi ❤❤ very nice 👌

  • @MussasamliMawazo
    @MussasamliMawazo 5 месяцев назад +10

    Safi sana Vitoria wakili umeona mbali pambania haki ya lavines

  • @Karembo-yx5ut
    @Karembo-yx5ut 6 месяцев назад +8

    Kaz zenu ni nzuri akh ❤❤❤

  • @meddyferdinand8221
    @meddyferdinand8221 6 месяцев назад +6

    Shangazi kila sehemu we mchungu tuu ata sura yako yafanana na matendo jaribu kuvaa uhusika wa huruma ata siku moja basi loh

    • @madazee4251
      @madazee4251 6 месяцев назад

      Kabsa kila sehem roho mbaya eeh labda ndo venye alivyo reality

  • @mukamanaesperancesrhope4357
    @mukamanaesperancesrhope4357 5 месяцев назад

    Hongera sana kwenye kazi nziri yaani mmetuatia somo nzuri❤

  • @Nadzuamwatsenze
    @Nadzuamwatsenze 6 месяцев назад +5

    Kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉

  • @JamesGichunge-i8r
    @JamesGichunge-i8r Месяц назад

    Kwel lovenes keep it up... nakupeda sana

  • @FlorahKapinga
    @FlorahKapinga 2 месяца назад +3

    olalala nmependa sanaa❤

  • @MariamHamduni
    @MariamHamduni 5 месяцев назад +8

    Lovenes mung akupe nguv ❤❤❤❤ jmn duh

    • @julianabenjamin8621
      @julianabenjamin8621 4 месяца назад

      Eyr and a very good guy who is a very good guy and is the best 👌 👍 😍 🥰 ☺️ 💖 👌 👍 😍 the first one that I love and all that ❤️ 💙 💖 💕 😘 💗 ❤️ 💙 💖 💕 😘

    • @laddyfaida
      @laddyfaida Месяц назад

      Kweli kabisa 😢❤

  • @Anastazia-rq4wf
    @Anastazia-rq4wf 6 месяцев назад +5

    Kazi nzuri 🎉

  • @MercyMercy-l1k
    @MercyMercy-l1k 6 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉🎉whaauuuii kazi zurisana

  • @CizaFrancine-
    @CizaFrancine- 6 месяцев назад +5

    Nzuri sana ❤❤❤

  • @Raysel-one.
    @Raysel-one. 6 месяцев назад +2

    Mm je hamnipi like❤❤❤❤

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 6 месяцев назад +3

    Iko sawa sana ❤❤❤❤

  • @SilviaDirecto.
    @SilviaDirecto. 5 месяцев назад +8

    mungu saidia watoto mayatima

  • @LikuShinji
    @LikuShinji 5 месяцев назад +5

    Love ninampenda 2 yaan hakuna zaid ya hawa vitu

  • @laddyfaida
    @laddyfaida Месяц назад

    Na mimi na mpenda sana tena sana❤❤❤

  • @Kelvin-en2pv
    @Kelvin-en2pv 6 месяцев назад +7

    Nakupenda sana loveness uwe na roho kaa hiyo

  • @BrianKhan-nq7ob
    @BrianKhan-nq7ob 6 месяцев назад +10

    Hata leo mm pia nina haki ya kupewa like

  • @furahaeto6193
    @furahaeto6193 5 месяцев назад +4

    Nikweli uyu mdada movie zake kweli nzuri mno zinanifuza kujuwa kuishi nawatu wanafki ❤❤❤❤

  • @DicksonKimoso-ds4xw
    @DicksonKimoso-ds4xw 6 месяцев назад +3

    Kwenye maisha tusiwanyanyase watoto ambao hawana wazazi na pia tuwajali sio kuwateza

  • @BeatriceGeorge-iv3gx
    @BeatriceGeorge-iv3gx 6 месяцев назад +4

    Dyana anajua sana❤❤

  • @Zahra-i5h6k
    @Zahra-i5h6k 6 месяцев назад +2

    Wow nice ❤️

  • @YusuphyKalebu
    @YusuphyKalebu 6 месяцев назад +4

    Mama wa kambo katili sana huyo amemfukuza loveness baada ya kuwaona mkiingia ananataka huyo malaya mwenzake amiliki mali za babake love hawafai kabisa wanamnyanyasa sana huyo dada

    • @laddyfaida
      @laddyfaida Месяц назад

      Daaah dunia iiiii😢

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j Месяц назад +1

    Vicky uko swa kila pande mama 🎉🎉🎉🎉🎉 🇰🇪🌺

  • @FATMAKihuru
    @FATMAKihuru 6 месяцев назад +2

    I love this story

  • @MariamRashidi-n7u
    @MariamRashidi-n7u 6 месяцев назад +2

    Hatari kbs🎉🎉🎉😢😢

  • @Aishaynah_innah
    @Aishaynah_innah 6 месяцев назад +3

    Shangaz unajua kunikosha kila nafas uko vzur ❤

  • @amosjuma9794
    @amosjuma9794 6 месяцев назад +2

    Kazi nzuri🙏🙏

  • @aligeslivingstone4046
    @aligeslivingstone4046 4 месяца назад +1

    Napenda sana ,nafuatilia kutoka Kenya

  • @-GloriaObonyo23
    @-GloriaObonyo23 6 месяцев назад +4

    Nawapenda Bure ❤❤❤
    Ila sijapendezwa na vile Lovess kadhurumiwa!

  • @MishiGambo
    @MishiGambo 6 месяцев назад +1

    Muko vizur sana Allah amuongoze

    • @queengirl-km1yh
      @queengirl-km1yh 4 месяца назад

      Loveness anajua. Kuigiza nataman hiyo nafas ingekua yang

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 6 месяцев назад +4

    Kaz nzur ❤❤❤

  • @laddyfaida
    @laddyfaida Месяц назад

    Namim pia ❤❤❤ na wa penda sana❤

  • @joanitainancioestevao3987
    @joanitainancioestevao3987 6 месяцев назад +2

    Nakupenda sana dd vitória na laviness ❤❤

  • @carolinesiakora3024
    @carolinesiakora3024 6 месяцев назад +3

    Diana 🎉🎉kazi zako nzur sana

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 6 месяцев назад +6

    Wa mwisho leo, loveness nakupenda tu bure 🇰🇪

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 6 месяцев назад +3

    Eeeeh uyo mm wa kambo kiboko unasema uongo namutu ukonae ndani 😢pole yenu kweli angetoka kwanza ukaaibika pole sana lavenesi Vicky umeongea ukweli afwatiliye kabisa

  • @lukamavoice5377
    @lukamavoice5377 6 месяцев назад +5

    Hivi ya leo nimeelewa sana

  • @umaima1178
    @umaima1178 6 месяцев назад +3

    Kazi nziuri. Sana 🎉🎉🎉🎉

  • @NaomyJohn-hd4bq
    @NaomyJohn-hd4bq 6 месяцев назад +2

    Move iko poa ila kuwen makini kwenye wide na short zen,,kam ushaur tu,,,lekebishen makosa❤❤❤❤

  • @husnamwijaka
    @husnamwijaka 4 месяца назад +1

    Nampenda sna loveness namhurumia alaf

  • @JescaSimon-sg3rt
    @JescaSimon-sg3rt 6 месяцев назад +10

    Balaa wamefanana sana

  • @ENOCKTVSHOPSHOP
    @ENOCKTVSHOPSHOP 6 месяцев назад +6

    REO nimekuwa wa5 naomba Like

  • @FatumaMwidini-se7sz
    @FatumaMwidini-se7sz 6 месяцев назад +2

    Sem iihh muv inafundisha sana

  • @EsterNambeye
    @EsterNambeye 6 месяцев назад +4

    Yani nyie wa mama wakambo mungu anawaona

  • @WahdaMabulah
    @WahdaMabulah 4 месяца назад

    Nampenda dad lovenes na kaka kelvn Ila wote nawapenda Ila so ni my favorites

  • @LazaroKereto-xc4zr
    @LazaroKereto-xc4zr 6 месяцев назад +11

    Da Mungu awabariki sana ❤❤❤

  • @SmilingBird-fi9sj
    @SmilingBird-fi9sj 6 месяцев назад +3

    Nyote nawapenda mumeeigiza vizuri

  • @VoisinMakungishahoga
    @VoisinMakungishahoga 2 месяца назад

    Congo 🇨🇩 tuna wafata

  • @faithmutheu-s8i
    @faithmutheu-s8i Месяц назад

    Ad muchukie loveness nampenda,,

  • @HellenaYuda
    @HellenaYuda 6 месяцев назад

    Job nzur mnafanya hongereni xanaaa

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 6 месяцев назад +1

    ❤❤ nzuri sana 🔥

  • @EsperanceNyirarwaka-sj4dc
    @EsperanceNyirarwaka-sj4dc 6 месяцев назад +2

    l❤ loveness and kelven

  • @KasineEsther
    @KasineEsther 5 месяцев назад

    Loveness mungu aku bariki n'a aku ongezeye nguvu n'a kupenda Sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 6 месяцев назад +5

    Tujifunze walezi tujifunze wamama na wababa rohombaya haijengi

  • @naomimzava9371
    @naomimzava9371 6 месяцев назад +4

    Jaman wamama wakambo achen roho baya ujuwe mtoto wamwezio niwako mungu hapendi jaman pia nilan kunyanyasa WATOTO

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta 6 месяцев назад +1

    Mashaa Allah muko vizuri 🎉🎉🎉🎉

  • @FamilySingers96
    @FamilySingers96 6 месяцев назад +2

    Kazi nzurii

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 6 месяцев назад +3

    Mama watoto na komwe hilioooo hawo wakambo nawachukia sjuih😢

  • @mariamabdulla7868
    @mariamabdulla7868 Месяц назад

    Imefika sku ya kufa nyani miti uteleza😂😂😂😂😂😂 my friend lovenes tulia❤❤❤❤

  • @OmmyDseven
    @OmmyDseven 6 месяцев назад +2

    Mama wewe nimekupenda ble Yaan uko uwalisia kabsa

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m Месяц назад

    Aki Victoria unaendeleza vzur ❤❤❤

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 6 месяцев назад +11

    Mwanamke mbaya wadanganya waziwazi kbisa

  • @AlphonsinaSilayo-ff3pe
    @AlphonsinaSilayo-ff3pe 6 месяцев назад +2

    Pole sana love huyo mama wa kambo mbaya anaroho mbaya

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 2 месяца назад +1

    Dayan napenda sana unavovaa uhalisiaa na lovenes

  • @MlongoChai
    @MlongoChai 6 месяцев назад +3

    Mungu azidi kutenda myuujiza

  • @MaryamNurru
    @MaryamNurru 6 месяцев назад +4

    jameni move nzuri

  • @OliverLeonard-dp8kz
    @OliverLeonard-dp8kz 3 месяца назад

    Mungu wasaidie watoto yatima❤❤❤

  • @Emmanueloloishiro
    @Emmanueloloishiro 6 месяцев назад +2

    Mama Mmbaya kaficha love

  • @ashakimaya6527
    @ashakimaya6527 6 месяцев назад +7

    Mbna kama maya na rafikiyake wamefanana au nimeona viby jomoni

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 6 месяцев назад +1

    Mko vizuli San jmn lovenes Hadi lah🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Joyce-yh3by
    @Joyce-yh3by 2 месяца назад

    Nice ❤❤❤

  • @furahaeto6193
    @furahaeto6193 5 месяцев назад

    Iyo macho ya lovenes naipenda mno ❤❤

  • @furahaeto6193
    @furahaeto6193 5 месяцев назад

    Jamani mimi niwakwanza kumupenda uyu dada ❤❤❤❤🎉🎉

  • @MetrineAlisa
    @MetrineAlisa 6 месяцев назад

    Wow nice ❤

  • @LolimoLialo
    @LolimoLialo 6 месяцев назад +1

    Uyo love alimloga Kelvin Kwene mkanda wa dada WA kazi

  • @BatolBatol-e9m
    @BatolBatol-e9m 2 месяца назад

    Mm nampenda sana loveness❤

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 6 месяцев назад +2

    Sijui kwanini nakasilikaga nikiona mtu akitesa mtu lakini nakubuka ni movie