MAMA YANGU CHIZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025
  • КиноКино

Комментарии • 209

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 Год назад +19

    Khairat ni kabint karembo Sana MA Shaa Allah mwenye zimungu ampe Maisha marefu na yenye baraka tele katika kazi zetu

  • @zacheestevenofficial
    @zacheestevenofficial Год назад +5

    Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️

  • @nsengumuremyisylvester4950
    @nsengumuremyisylvester4950 Год назад +8

    Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏

  • @JoyceGerald-r3d
    @JoyceGerald-r3d Год назад +7

    Kazi nzuri,hongereni sana! Uncle,mbinu ya kuonesha uhalisia itawasaidia wengi kutatua tatizo kuliko maneno na adhabu nyingi.Big up,nimeipenda hiyo.

  • @emiy-rn7sn
    @emiy-rn7sn Год назад +2

    Khayrat nakupenda buree habbty❤❤💓💞 yani uko vizur 👌👌

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 Год назад +1

    Nampenda naomi. Anajitahidi kujistiri

  • @gershonsimiyu6309
    @gershonsimiyu6309 Год назад +7

    Kazi nzuri sana hii
    Asante kwa mafunzo .
    Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira
    More love from +254 MNabishaaa!

  • @ramadhanmdaki2677
    @ramadhanmdaki2677 Год назад +1

    Khairat ni mzur sana jmn mashaallah

  • @peshmoraa403
    @peshmoraa403 Год назад +2

    From tiktok much love from 🇰🇪

  • @SelinPauletha
    @SelinPauletha Год назад +3

    Mbwela kazi nzuri unayo fanya maan kila movie unayo toa lazm uwe unatoa funzo kwa jamii

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa Год назад +1

    Huyo mtoto amenitoa machozi kiukweli anajua kucheza na matukio nimempenda sana

  • @Anithabeniaa
    @Anithabeniaa Год назад +5

    Kazi nzuri sana hongeren

  • @MorganJuma-y3u
    @MorganJuma-y3u Год назад +5

    Mbwela kijana mwenye busara sana, kongole kakangu

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Год назад +7

    Imeniliza nimekumbuka mbali hizi ndizo moves ❤❤

  • @buharionlinetv804
    @buharionlinetv804 Год назад +10

    This clip is awesome, touch my inner part of my heart

  • @georgeikizu
    @georgeikizu Год назад +7

    Mpo vizuri❤ mbarikiwe

  • @wardawardaarshad
    @wardawardaarshad Год назад +3

    Munafunza nzuri mashallah

  • @bishararashid
    @bishararashid Год назад +2

    Khayrat...una kitu ....
    Utafika mbali.lkn uvae ushungi

  • @antoniamtega495
    @antoniamtega495 Год назад +26

    Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Год назад +2

    We mtoto n 🔥🔥🔥🔥🔥 unaweza adi basi unaweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @DhadhoGarise
    @DhadhoGarise Год назад +2

    Kudos! Nice work,to be continued...waiting next

  • @joelkasasa3894
    @joelkasasa3894 Год назад +4

    Nimeipenda sanaaaaaa mkojuuuuuuuuuu

  • @Efootballvo
    @Efootballvo Год назад +1

    nikweli Kabisa good job and comedy and tanzania

  • @lindauma982
    @lindauma982 Год назад +10

    Kazi nzuri inamafunzo mazuri jamani 😢

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 Год назад +3

    Nimependa sana inatufundisha sana mabinti zetu

  • @budodimaganga8960
    @budodimaganga8960 Год назад +2

    Nimejifunza kitu kikubwa sana hongeren kwa kaz nzuri

  • @ZuhuraKinura
    @ZuhuraKinura Год назад +4

    Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Год назад +6

    Respect Sana kazi nzuri Sana ❤️❤️

  • @richardokongo5701
    @richardokongo5701 Год назад +2

    Wow very good actors

  • @fredricklucian7155
    @fredricklucian7155 Год назад +2

    Good job guy's ❤❤❤❤❤❤

  • @NizigiyimanaEmmanuel-c7f
    @NizigiyimanaEmmanuel-c7f Год назад +3

    Uwa napenda sna maneno ya mafunzo ya mbla nawapenda sna team nzima❤❤❤

  • @YusraSuleiman-z7f
    @YusraSuleiman-z7f Год назад +3

    😢nime lia mm😢 ... Wallahi mbwela I ❤ U ....yusra kutoka MSA ... mbwela I love ur Movies 😊 ...one ❤ brov😊

  • @saidindizeye2206
    @saidindizeye2206 Год назад +2

    dah khairat nooomaaa hhhh

  • @mobalackmansa4317
    @mobalackmansa4317 Год назад +1

    Daaaah nimependa kbx movie nzuri saaan

  • @beatricedavid3560
    @beatricedavid3560 Год назад +4

    Chukueni maua yenu🌻🌹🌺🌸

  • @kattouftelecom5119
    @kattouftelecom5119 Год назад +5

    Funzo nzuri sana kw jamii.... mashallah 🥰🥰 mumeweza

  • @emmanuelgongoro1014
    @emmanuelgongoro1014 Год назад +1

    Amazing story ❤️ ♥️ 😍 👏 💕 💖 ❤️ ♥️ 😍 👏 💕

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +5

    Khairat nakupenda bure🥰🤣🤣🤣

  • @biba2552
    @biba2552 Год назад +5

    Kaz nzuri sana,ila daaaah imenitoa machozi sanaaa ak,,😢😢

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +3

    Nimeipenda inafunza vizuri Sana... Mungu awazidishie🙏🇰🇪

  • @MwanalimaMaboga
    @MwanalimaMaboga Год назад

    Mashaallah mbwela busara kakaangu umeweza 😢❤❤keep it up bro

  • @chibdeeboy
    @chibdeeboy Год назад +3

    Mm nimependa anavyo tamka upumbavuu

  • @DainessBaraka
    @DainessBaraka Год назад +2

    Inafunza nimeipenda

  • @AidanBoaz
    @AidanBoaz Год назад +1

    Kazi nzuri sana❤❤ hongereni sana

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Год назад +2

    Nilikuwa sijamuon vizul chizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki yamung lecho 😁😁😁😁

  • @absoirahmed5302
    @absoirahmed5302 Год назад +8

    This is really the best comedy plus video I've ever seen! Congratulations, Great job homies.

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Год назад +1

    Hongereni kwa kz nzr mashaallah ❤

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Год назад +2

    Nampenda huyu kaka san t😊

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +4

    Yaani mungu akubariki na akuongezee zaidi sababu video zako zina elimu tunajifunza kutoka kwako bro Unajuwa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад +1

    Much love from kenya❤❤hongeren kwa kaz nzur

  • @jeandamascene3533
    @jeandamascene3533 Год назад +4

    Woooow you make me cry 😢😢 respect for all members

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 Год назад +3

    Airathi mzur bwan😅

  • @MartinOmondi-b7k
    @MartinOmondi-b7k Год назад +3

    Much love from kenya keep rocking

  • @iranezerejeibrahim832
    @iranezerejeibrahim832 Год назад +3

    Kazi nzuri sana❤

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Год назад +2

    Funzo zuri nimeipenda❤❤

  • @dembabakalimsosa-vd7is
    @dembabakalimsosa-vd7is Год назад +2

    Munaelimisha😢munafunga😢pia Asante😢 kwa kutuletea kaz mzuli kama iz👏😂

  • @EdinahHamza
    @EdinahHamza Год назад +2

    Daah inaumiza

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Год назад +8

    Huyu mtoto airat anakuja kwa kasu

  • @RamadhanAbdallah-h9l
    @RamadhanAbdallah-h9l Год назад +1

    Kazi nzuri kaka angu😭😭

  • @bashirumkopi2638
    @bashirumkopi2638 Год назад +3

    Nmeipenda sana hii 💛💛💛

  • @PatriceNybare
    @PatriceNybare Год назад +1

    Haya hizo hapo ❤❤❤

  • @Khadijaasaid4533
    @Khadijaasaid4533 Год назад +1

    Nyiee mbwela Ako vizur❤❤much love mkaka🥰🥰

  • @RobertGeofrey
    @RobertGeofrey Год назад +1

    Khairat best actress all time

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge Год назад +2

    Hii funzo kubwa kweli nime ikubali

  • @husnaabdullah3009
    @husnaabdullah3009 Год назад +3

    ❤❤❤Kaz kaz

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 Год назад +1

    Nice next please 😘😘😘

  • @ZulfaOmarmkandawile
    @ZulfaOmarmkandawile Год назад

    Inatufunza mengi sana sana sana hii movie nimeipenda sana

  • @SophyAngle
    @SophyAngle Год назад +2

    Kazi nzuri❤❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @joelkasasa3894
    @joelkasasa3894 Год назад +3

    Dada na aillat mko vizur sanaaaa

  • @josephmaunde121
    @josephmaunde121 Год назад +1

    Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 Год назад +2

    Mbwela na bailam nawakubali sana

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 Год назад +2

    Safi sana

  • @ramajuma-hz9rc
    @ramajuma-hz9rc Год назад +1

    Ongeren sana nimejikuta namwaga chozi😢 Kwa kipande anko anamtbulisha moto mama inasikitisha San ongereni

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Год назад +7

    Anakuja kwa kasi kama na wengine mmeona like zenu tafadhali

  • @johnkamira2236
    @johnkamira2236 Год назад +3

    Man this very deep and educative.😭😭

  • @derek-madreeksentlove6014
    @derek-madreeksentlove6014 Год назад +3

    Good lesson

  • @NetrickOkoko
    @NetrickOkoko Год назад +1

    Safi sana nmeikubali😍😍

  • @OfficiaGfilm
    @OfficiaGfilm Год назад +1

    Nawapenda kazi nawapenda

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Год назад +1

    Lecho uyo chizi🤣🤣mama kijasho🤣🤣🤣

  • @mamucarorina8451
    @mamucarorina8451 Год назад +1

    Kazi nzuri xana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @selmesaid7405
    @selmesaid7405 Год назад +1

    Uyu ndo baba ake mazazi uyu bint😂

  • @zenachottah8218
    @zenachottah8218 Год назад +2

    Mbwela baby NAKUPENDA 💕💕💃

  • @KashindiKrmdevk
    @KashindiKrmdevk Год назад

    ❤nime ipenda kinomanoma

  • @patrobamasige1809
    @patrobamasige1809 Год назад +2

    Tunaomba muendelezo kujua zaidi

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад +2

    Ashante sana hii no funzo

  • @Bigmamii03
    @Bigmamii03 Год назад +3

    You just gained a new subscriber i love your content ❤

  • @LydieB-r3u
    @LydieB-r3u Год назад +2

    Mafundisho mazuri kweli

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 Год назад +10

    I almost cried when she met her mother for the first time! 😢😰 😭

  • @paroryqueen3897
    @paroryqueen3897 Год назад +23

    Jmn naomben like zangu♥️♥️

  • @mussamlowe9272
    @mussamlowe9272 Год назад +6

    Haka katoto nimekapenda bure💛💛

  • @LatifaRamadhan-wl1zp
    @LatifaRamadhan-wl1zp Год назад +2

    Love you khailat

  • @neemaalphoince1209
    @neemaalphoince1209 Год назад +4

    Ila jaman cjawai ona chiz anajua harufu ya ganja 🤣🤣🤣🤣

    • @issaskighanga3199
      @issaskighanga3199 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣 Nami nilicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣

    • @selmesaid7405
      @selmesaid7405 Год назад

      Chizi alokuwa teja dunga mawe

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Год назад

    Nimeshindwa kuzuia machozi yangu wallah yaa Rab waponye wagonjwa wote wanaopitia kama haya

  • @Bintluckas3918
    @Bintluckas3918 Год назад +1

    Nice 👍

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Год назад +2

    Nawapenda ❤kwa mafundisho yenu

  • @joharimusa4614
    @joharimusa4614 Год назад +3

    Very touching story 😢😢😢😢

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад +2

    Nimelia😭😭

  • @radjabuharerimana2538
    @radjabuharerimana2538 Год назад +2

    Nawakubali

  • @kulthummohamed101
    @kulthummohamed101 Год назад +1

    Kaz nzur

  • @juliusmenza7603
    @juliusmenza7603 Год назад +1

    Mbwela.., the upcoming best tz actor🎉