MAMA YANGU CHIZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #Bhailam#Khairat#Mbwela#Naomy#comedyplus#2023#
    Unaipenda Filamu zetu na ungependa kutusapoti kwa chochote! Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kupitia M-PESA +255758515863. hii itatusaidia sana kupata nguvu ya kufanya filamu nyingine.
    Tunashukuru kwa mchango wako.
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!

Комментарии • 207

  • @zacheestevenofficial
    @zacheestevenofficial Год назад +43

    Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️

  • @antoniamtega495
    @antoniamtega495 Год назад +25

    Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.

  • @zacheestevenofficial
    @zacheestevenofficial Год назад +4

    Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Год назад +8

    Huyu mtoto airat anakuja kwa kasu

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Год назад +7

    Anakuja kwa kasi kama na wengine mmeona like zenu tafadhali

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 Год назад +19

    Khairat ni kabint karembo Sana MA Shaa Allah mwenye zimungu ampe Maisha marefu na yenye baraka tele katika kazi zetu

  • @nsengumuremyisylvester4950
    @nsengumuremyisylvester4950 Год назад +7

    Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏

  • @gershonsimiyu6309
    @gershonsimiyu6309 Год назад +7

    Kazi nzuri sana hii
    Asante kwa mafunzo .
    Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira
    More love from +254 MNabishaaa!

  • @chibdeeboy
    @chibdeeboy Год назад +3

    Mm nimependa anavyo tamka upumbavuu

  • @beatricedavid3560
    @beatricedavid3560 Год назад +3

    Chukueni maua yenu🌻🌹🌺🌸

  • @JoyceGerald-r3d
    @JoyceGerald-r3d Год назад +7

    Kazi nzuri,hongereni sana! Uncle,mbinu ya kuonesha uhalisia itawasaidia wengi kutatua tatizo kuliko maneno na adhabu nyingi.Big up,nimeipenda hiyo.

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Год назад +2

    Nilikuwa sijamuon vizul chizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki yamung lecho 😁😁😁😁

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Год назад +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад +2

    Ashante sana hii no funzo

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад +2

    Watt jmn

  • @nadzuamrema5837
    @nadzuamrema5837 Год назад +2

    Mtoto yuavuta bomu mbyaaa

  • @luckyshumeofficial
    @luckyshumeofficial Год назад +6

    Npo Kenya napambana,,,,siku nkifanikiwa hta nyie comedy plus crew ntawakumbuka....tuombe mungu

  • @abubakarkhamishaji2849
    @abubakarkhamishaji2849 Год назад +4

    Ndo mara yangu ya kwanza kulia kuangalia clip 😢😢

  • @bishararashid
    @bishararashid Год назад +2

    Khayrat...una kitu ....
    Utafika mbali.lkn uvae ushungi

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 Год назад +3

    Nimependa sana inatufundisha sana mabinti zetu

  • @biba2552
    @biba2552 Год назад +5

    Kaz nzuri sana,ila daaaah imenitoa machozi sanaaa ak,,😢😢

  • @shadrackmasagi9608
    @shadrackmasagi9608 Год назад +4

    Mimi HUWA nimgumu SANA kutoa machozi nimesha ANGALIA comedy na picha nyingi SANA,lakini NIMEJIKUTA KWA MARA YA KWANZA nalia kweli kweli,ukweli HII comedy inafundisha,leo nitawawekea wanangu waangalie hizi ndio comedy Bora zinaazo fundisha SIO KILA siku makomedy YA mapenzi

    • @zubedahamis2346
      @zubedahamis2346 Год назад +1

      Yaani hata mi nimelia kwa kweli hii😢😢

    • @azizamwinyi4380
      @azizamwinyi4380 Год назад

      nimejikuta nalia nilivyo tizama hii imenikumbusha kitu😂😂😂❤

  • @patrobamasige1809
    @patrobamasige1809 Год назад +2

    Tunaomba muendelezo kujua zaidi

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 Год назад +2

    Imejifunza kitu hapa kamanawewe umejifunza niachie lik 👇

  • @MorganJuma-y3u
    @MorganJuma-y3u Год назад +5

    Mbwela kijana mwenye busara sana, kongole kakangu

  • @georgeikizu
    @georgeikizu Год назад +7

    Mpo vizuri❤ mbarikiwe

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Год назад +6

    Imeniliza nimekumbuka mbali hizi ndizo moves ❤❤

  • @yuui1878
    @yuui1878 Год назад +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +5

    Khairat nakupenda bure🥰🤣🤣🤣

  • @ZawadiCatherine-n8e
    @ZawadiCatherine-n8e Год назад +2

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @neemaalphoince1209
    @neemaalphoince1209 Год назад +4

    Ila jaman cjawai ona chiz anajua harufu ya ganja 🤣🤣🤣🤣

    • @issaskighanga3199
      @issaskighanga3199 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣 Nami nilicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣

    • @selmesaid7405
      @selmesaid7405 Год назад

      Chizi alokuwa teja dunga mawe

  • @ZuhuraKinura
    @ZuhuraKinura Год назад +4

    Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад +2

    Nimelia😭😭

  • @Maryamu255
    @Maryamu255 Год назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @Anithabeniaa
    @Anithabeniaa Год назад +5

    Kazi nzuri sana hongeren

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 Год назад +3

    Airathi mzur bwan😅

  • @lindauma982
    @lindauma982 Год назад +10

    Kazi nzuri inamafunzo mazuri jamani 😢

  • @saidindizeye2206
    @saidindizeye2206 Год назад +2

    dah khairat nooomaaa hhhh

  • @buharionlinetv804
    @buharionlinetv804 Год назад +10

    This clip is awesome, touch my inner part of my heart

  • @paroryqueen3897
    @paroryqueen3897 Год назад +23

    Jmn naomben like zangu♥️♥️

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +4

    Yaani mungu akubariki na akuongezee zaidi sababu video zako zina elimu tunajifunza kutoka kwako bro Unajuwa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @joelkasasa3894
    @joelkasasa3894 Год назад +4

    Nimeipenda sanaaaaaa mkojuuuuuuuuuu

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge Год назад +3

    Kama una kubali kazi ya mbwela likes Zako

    • @HemediAhmedi
      @HemediAhmedi Год назад

      Safi sana munguakuongozeni kwa mafunzo siokilacku mapenzituuu inaboha tz inaanza kushindwa

  • @YusraSuleiman-z7f
    @YusraSuleiman-z7f Год назад +3

    😢nime lia mm😢 ... Wallahi mbwela I ❤ U ....yusra kutoka MSA ... mbwela I love ur Movies 😊 ...one ❤ brov😊

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa Год назад +1

    Huyo mtoto amenitoa machozi kiukweli anajua kucheza na matukio nimempenda sana

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Год назад +6

    Respect Sana kazi nzuri Sana ❤️❤️

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge Год назад +2

    Hii funzo kubwa kweli nime ikubali

  • @fredricklucian7155
    @fredricklucian7155 Год назад +2

    Good job guy's ❤❤❤❤❤❤

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 Год назад +2

    Safi sana

  • @DainessBaraka
    @DainessBaraka Год назад +2

    Inafunza nimeipenda

  • @SelinPauletha
    @SelinPauletha Год назад +3

    Mbwela kazi nzuri unayo fanya maan kila movie unayo toa lazm uwe unatoa funzo kwa jamii

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Год назад +2

    We mtoto n 🔥🔥🔥🔥🔥 unaweza adi basi unaweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @RonaldoSUI352
    @RonaldoSUI352 Год назад +1

    Mbona part 3 amtoi ?na 4please ni nzuri sana

  • @emiy-rn7sn
    @emiy-rn7sn Год назад +1

    Khayrat nakupenda buree habbty❤❤💓💞 yani uko vizur 👌👌

  • @MadamAsya2024England
    @MadamAsya2024England Год назад +1

    Kuna msemo unasema chizi anachekesha akiwa si ndugu yako.lkn akiwa anakuhusu maumivu unayoyapata ni zaid aliyonayo yeye

  • @bintyhamisi8311
    @bintyhamisi8311 Год назад +3

    😥😥

  • @richardokongo5701
    @richardokongo5701 Год назад +2

    Wow very good actors

  • @AmiriKutika-zk5lg
    @AmiriKutika-zk5lg Год назад +1

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @wardawardaarshad
    @wardawardaarshad Год назад +2

    Munafunza nzuri mashallah

  • @vestinabagenda3164
    @vestinabagenda3164 Год назад +2

    Ongezeni kipande 39

  • @dembabakalimsosa-vd7is
    @dembabakalimsosa-vd7is Год назад +2

    Munaelimisha😢munafunga😢pia Asante😢 kwa kutuletea kaz mzuli kama iz👏😂

  • @zacheestevenofficial
    @zacheestevenofficial Год назад +3

    hata nimeshituka nalia kwa chozi kubwa mno😭😭

  • @asuzalfan-if6gz
    @asuzalfan-if6gz Год назад +2

    😢😢😢

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Год назад +2

    Nampenda huyu kaka san t😊

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @peshmoraa403
    @peshmoraa403 Год назад +2

    From tiktok much love from 🇰🇪

  • @husnaabdullah3009
    @husnaabdullah3009 Год назад +3

    ❤❤❤Kaz kaz

  • @QuthamAbdalla
    @QuthamAbdalla 2 месяца назад +1

    Jameni khayrati mimi nimempenda kwakweli naomba namba zake plz

  • @budodimaganga8960
    @budodimaganga8960 Год назад +2

    Nimejifunza kitu kikubwa sana hongeren kwa kaz nzuri

  • @emmanuelgongoro1014
    @emmanuelgongoro1014 Год назад +1

    Amazing story ❤️ ♥️ 😍 👏 💕 💖 ❤️ ♥️ 😍 👏 💕

  • @absoirahmed5302
    @absoirahmed5302 Год назад +8

    This is really the best comedy plus video I've ever seen! Congratulations, Great job homies.

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 Год назад +10

    I almost cried when she met her mother for the first time! 😢😰 😭

  • @joelkasasa3894
    @joelkasasa3894 Год назад +3

    Dada na aillat mko vizur sanaaaa

  • @ManizoTheboy-ko1hw
    @ManizoTheboy-ko1hw Год назад +2

    Sioopoa kabisa

  • @Omah_lay_music
    @Omah_lay_music Год назад +1

    nikweli Kabisa good job and comedy and tanzania

  • @NizigiyimanaEmmanuel-c7f
    @NizigiyimanaEmmanuel-c7f Год назад +3

    Uwa napenda sna maneno ya mafunzo ya mbla nawapenda sna team nzima❤❤❤

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +5

    Uyo mtoto nampenda

  • @fatmaalghafri6087
    @fatmaalghafri6087 Год назад +3

  • @LatifaRamadhan-wl1zp
    @LatifaRamadhan-wl1zp Год назад +2

    Love you khailat

  • @KhadijaMuhammed-w7m
    @KhadijaMuhammed-w7m Год назад +4

    Huyu uncle anajua kuigiza ila apunguze kuongea Saaaaana mpaka anabowa ongea kidog tu be like bailam but hii umeuw naongelea kwa muv zngne upunguz kuongea san

  • @joharimusa4614
    @joharimusa4614 Год назад +3

    Very touching story 😢😢😢😢

  • @ramajuma-hz9rc
    @ramajuma-hz9rc Год назад +1

    Ongeren sana nimejikuta namwaga chozi😢 Kwa kipande anko anamtbulisha moto mama inasikitisha San ongereni

  • @zubedahamis2346
    @zubedahamis2346 Год назад +2

    Imeniliza hiii jamani😢😢😢

  • @Ismail-pi1nj
    @Ismail-pi1nj Год назад +1

    Aka kadem kapic kazuri kuliko ata wanafunzi walio kuja muhimbili

  • @josephmaunde121
    @josephmaunde121 Год назад +1

    Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Год назад +2

    Nawapenda ❤kwa mafundisho yenu

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +3

    Nimeipenda inafunza vizuri Sana... Mungu awazidishie🙏🇰🇪

  • @SophyAngle
    @SophyAngle Год назад +2

    Kazi nzuri sana❤❤🇰🇪

  • @Kassimkeey
    @Kassimkeey Год назад +3

    Kazi nzuri ❤❤❤

  • @Mummyr_j
    @Mummyr_j Год назад +3

    Nimelia sana maana imenigusa😢

  • @kattouftelecom5119
    @kattouftelecom5119 Год назад +5

    Funzo nzuri sana kw jamii.... mashallah 🥰🥰 mumeweza

  • @wakanda-ei2qw
    @wakanda-ei2qw Год назад +1

    Aka kabinti ni kazuri
    Nimekapend

  • @kemmy_shanty9101
    @kemmy_shanty9101 Год назад +1

    Part 2😢

  • @PatriceNybare
    @PatriceNybare Год назад +1

    Haya hizo hapo ❤❤❤

  • @mussamlowe9272
    @mussamlowe9272 Год назад +6

    Haka katoto nimekapenda bure💛💛

  • @irenebenety921
    @irenebenety921 Год назад +2

    Jaman naomben nafasi ya kuigiza niko seriously😭

  • @Bintluckas3918
    @Bintluckas3918 Год назад +1

    Nice 👍

  • @derek-madreeksentlove6014
    @derek-madreeksentlove6014 Год назад +3

    Good lesson

  • @iranezerejeibrahim832
    @iranezerejeibrahim832 Год назад +3

    Kazi nzuri sana❤

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Год назад +1

    Lecho uyo chizi🤣🤣mama kijasho🤣🤣🤣