Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️
Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏
Kazi nzuri sana hii Asante kwa mafunzo . Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira More love from +254 MNabishaaa!
Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.
Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika
Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa
Khairat ni kabint karembo Sana MA Shaa Allah mwenye zimungu ampe Maisha marefu na yenye baraka tele katika kazi zetu
Ametoka kupiga kitu chaalush
Mambo
@@deoselcom9701 pw
Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️
Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏
Kazi nzuri,hongereni sana! Uncle,mbinu ya kuonesha uhalisia itawasaidia wengi kutatua tatizo kuliko maneno na adhabu nyingi.Big up,nimeipenda hiyo.
Khayrat nakupenda buree habbty❤❤💓💞 yani uko vizur 👌👌
Nampenda naomi. Anajitahidi kujistiri
Kazi nzuri sana hii
Asante kwa mafunzo .
Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira
More love from +254 MNabishaaa!
Khairat ni mzur sana jmn mashaallah
From tiktok much love from 🇰🇪
Mbwela kazi nzuri unayo fanya maan kila movie unayo toa lazm uwe unatoa funzo kwa jamii
Huyo mtoto amenitoa machozi kiukweli anajua kucheza na matukio nimempenda sana
Kazi nzuri sana hongeren
Mbwela kijana mwenye busara sana, kongole kakangu
Imeniliza nimekumbuka mbali hizi ndizo moves ❤❤
This clip is awesome, touch my inner part of my heart
Mpo vizuri❤ mbarikiwe
Munafunza nzuri mashallah
Khayrat...una kitu ....
Utafika mbali.lkn uvae ushungi
Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.
Pole @antoniamtega495
Pole sana anton
@@antoniamtega495 pole sana
We mtoto n 🔥🔥🔥🔥🔥 unaweza adi basi unaweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kudos! Nice work,to be continued...waiting next
Nimeipenda sanaaaaaa mkojuuuuuuuuuu
nikweli Kabisa good job and comedy and tanzania
Kazi nzuri inamafunzo mazuri jamani 😢
Nimependa sana inatufundisha sana mabinti zetu
Nimejifunza kitu kikubwa sana hongeren kwa kaz nzuri
Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika
Unamanisha nini
Respect Sana kazi nzuri Sana ❤️❤️
Wow very good actors
Good job guy's ❤❤❤❤❤❤
Uwa napenda sna maneno ya mafunzo ya mbla nawapenda sna team nzima❤❤❤
😢nime lia mm😢 ... Wallahi mbwela I ❤ U ....yusra kutoka MSA ... mbwela I love ur Movies 😊 ...one ❤ brov😊
🙏🙏🙏
dah khairat nooomaaa hhhh
Daaaah nimependa kbx movie nzuri saaan
Chukueni maua yenu🌻🌹🌺🌸
Funzo nzuri sana kw jamii.... mashallah 🥰🥰 mumeweza
Amazing story ❤️ ♥️ 😍 👏 💕 💖 ❤️ ♥️ 😍 👏 💕
Khairat nakupenda bure🥰🤣🤣🤣
Kaz nzuri sana,ila daaaah imenitoa machozi sanaaa ak,,😢😢
Nimeipenda inafunza vizuri Sana... Mungu awazidishie🙏🇰🇪
Mashaallah mbwela busara kakaangu umeweza 😢❤❤keep it up bro
Mm nimependa anavyo tamka upumbavuu
Inafunza nimeipenda
Kazi nzuri sana❤❤ hongereni sana
Nilikuwa sijamuon vizul chizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki yamung lecho 😁😁😁😁
😂😂😂
This is really the best comedy plus video I've ever seen! Congratulations, Great job homies.
Poleni sana jamani atana mm likuwa namzazi kamauyo
Hongereni kwa kz nzr mashaallah ❤
Nampenda huyu kaka san t😊
Yaani mungu akubariki na akuongezee zaidi sababu video zako zina elimu tunajifunza kutoka kwako bro Unajuwa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nimejfunza k2 broo nimependa iyo
Much love from kenya❤❤hongeren kwa kaz nzur
Woooow you make me cry 😢😢 respect for all members
Airathi mzur bwan😅
Much love from kenya keep rocking
Kazi nzuri sana❤
Funzo zuri nimeipenda❤❤
Munaelimisha😢munafunga😢pia Asante😢 kwa kutuletea kaz mzuli kama iz👏😂
Daah inaumiza
Mwendelezo jmn
Huyu mtoto airat anakuja kwa kasu
Sanaaaa😘
Kazi nzuri kaka angu😭😭
Nmeipenda sana hii 💛💛💛
Haya hizo hapo ❤❤❤
Nyiee mbwela Ako vizur❤❤much love mkaka🥰🥰
🙏🙏
Khairat best actress all time
Hii funzo kubwa kweli nime ikubali
❤❤❤Kaz kaz
Nice next please 😘😘😘
Inatufunza mengi sana sana sana hii movie nimeipenda sana
Kazi nzuri❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Dada na aillat mko vizur sanaaaa
Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa
Mbwela na bailam nawakubali sana
Safi sana
Ongeren sana nimejikuta namwaga chozi😢 Kwa kipande anko anamtbulisha moto mama inasikitisha San ongereni
Anakuja kwa kasi kama na wengine mmeona like zenu tafadhali
Man this very deep and educative.😭😭
Good lesson
Safi sana nmeikubali😍😍
Nawapenda kazi nawapenda
Lecho uyo chizi🤣🤣mama kijasho🤣🤣🤣
😂😂😂
Kazi nzuri xana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyu ndo baba ake mazazi uyu bint😂
Mbwela baby NAKUPENDA 💕💕💃
😂😂Ahsnte nakupenda pia
Sa mbona umeanza kucheka afu ndo Ahsnte jomon 😔😟
Hamna nimefurah kuona hisia tamu zikitamkwa
Aya pouw my
❤nime ipenda kinomanoma
Tunaomba muendelezo kujua zaidi
Ashante sana hii no funzo
You just gained a new subscriber i love your content ❤
Mafundisho mazuri kweli
I almost cried when she met her mother for the first time! 😢😰 😭
Mambo
Jmn naomben like zangu♥️♥️
Like kwa kazi gani???
Ziko wapi
Ahsante uncle m2 kwa kutumia busara kumwelimisha mtoto by pL
Naon
Pp
Haka katoto nimekapenda bure💛💛
Love you khailat
Ila jaman cjawai ona chiz anajua harufu ya ganja 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Nami nilicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣
Chizi alokuwa teja dunga mawe
Nimeshindwa kuzuia machozi yangu wallah yaa Rab waponye wagonjwa wote wanaopitia kama haya
Nice 👍
Nawapenda ❤kwa mafundisho yenu
Very touching story 😢😢😢😢
Nimelia😭😭
Nawakubali
Kaz nzur
Mbwela.., the upcoming best tz actor🎉