MAMA YANGU CHIZI
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- #Bhailam#Khairat#Mbwela#Naomy#comedyplus#2023#
Unaipenda Filamu zetu na ungependa kutusapoti kwa chochote! Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kupitia M-PESA +255758515863. hii itatusaidia sana kupata nguvu ya kufanya filamu nyingine.
Tunashukuru kwa mchango wako.
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️
❤❤❤💪
Nimelia sana😢
Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.
Pole @antoniamtega495
Pole sana anton
@@antoniamtega495 pole sana
Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️
Huyu mtoto airat anakuja kwa kasu
Sanaaaa😘
Anakuja kwa kasi kama na wengine mmeona like zenu tafadhali
Khairat ni kabint karembo Sana MA Shaa Allah mwenye zimungu ampe Maisha marefu na yenye baraka tele katika kazi zetu
Ametoka kupiga kitu chaalush
Mambo
@@deoselcom9701 pw
Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏
Kazi nzuri sana hii
Asante kwa mafunzo .
Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira
More love from +254 MNabishaaa!
Mm nimependa anavyo tamka upumbavuu
Chukueni maua yenu🌻🌹🌺🌸
Kazi nzuri,hongereni sana! Uncle,mbinu ya kuonesha uhalisia itawasaidia wengi kutatua tatizo kuliko maneno na adhabu nyingi.Big up,nimeipenda hiyo.
Nilikuwa sijamuon vizul chizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki yamung lecho 😁😁😁😁
😂😂😂
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ashante sana hii no funzo
Watt jmn
Mtoto yuavuta bomu mbyaaa
Npo Kenya napambana,,,,siku nkifanikiwa hta nyie comedy plus crew ntawakumbuka....tuombe mungu
Amin inshaallah
Ndo mara yangu ya kwanza kulia kuangalia clip 😢😢
Khayrat...una kitu ....
Utafika mbali.lkn uvae ushungi
Nimependa sana inatufundisha sana mabinti zetu
Kaz nzuri sana,ila daaaah imenitoa machozi sanaaa ak,,😢😢
Mimi HUWA nimgumu SANA kutoa machozi nimesha ANGALIA comedy na picha nyingi SANA,lakini NIMEJIKUTA KWA MARA YA KWANZA nalia kweli kweli,ukweli HII comedy inafundisha,leo nitawawekea wanangu waangalie hizi ndio comedy Bora zinaazo fundisha SIO KILA siku makomedy YA mapenzi
Yaani hata mi nimelia kwa kweli hii😢😢
nimejikuta nalia nilivyo tizama hii imenikumbusha kitu😂😂😂❤
Tunaomba muendelezo kujua zaidi
Imejifunza kitu hapa kamanawewe umejifunza niachie lik 👇
Mbwela kijana mwenye busara sana, kongole kakangu
Mpo vizuri❤ mbarikiwe
Imeniliza nimekumbuka mbali hizi ndizo moves ❤❤
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Khairat nakupenda bure🥰🤣🤣🤣
😢😢😢😢😢😢😢
Ila jaman cjawai ona chiz anajua harufu ya ganja 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Nami nilicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣
Chizi alokuwa teja dunga mawe
Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika
Unamanisha nini
Nimelia😭😭
❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana hongeren
Airathi mzur bwan😅
Kazi nzuri inamafunzo mazuri jamani 😢
dah khairat nooomaaa hhhh
This clip is awesome, touch my inner part of my heart
Jmn naomben like zangu♥️♥️
Like kwa kazi gani???
Ziko wapi
Ahsante uncle m2 kwa kutumia busara kumwelimisha mtoto by pL
Naon
Pp
Yaani mungu akubariki na akuongezee zaidi sababu video zako zina elimu tunajifunza kutoka kwako bro Unajuwa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nimejfunza k2 broo nimependa iyo
Nimeipenda sanaaaaaa mkojuuuuuuuuuu
Kama una kubali kazi ya mbwela likes Zako
Safi sana munguakuongozeni kwa mafunzo siokilacku mapenzituuu inaboha tz inaanza kushindwa
😢nime lia mm😢 ... Wallahi mbwela I ❤ U ....yusra kutoka MSA ... mbwela I love ur Movies 😊 ...one ❤ brov😊
🙏🙏🙏
Huyo mtoto amenitoa machozi kiukweli anajua kucheza na matukio nimempenda sana
Respect Sana kazi nzuri Sana ❤️❤️
Hii funzo kubwa kweli nime ikubali
Good job guy's ❤❤❤❤❤❤
Safi sana
Inafunza nimeipenda
Mbwela kazi nzuri unayo fanya maan kila movie unayo toa lazm uwe unatoa funzo kwa jamii
We mtoto n 🔥🔥🔥🔥🔥 unaweza adi basi unaweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mbona part 3 amtoi ?na 4please ni nzuri sana
Khayrat nakupenda buree habbty❤❤💓💞 yani uko vizur 👌👌
Kuna msemo unasema chizi anachekesha akiwa si ndugu yako.lkn akiwa anakuhusu maumivu unayoyapata ni zaid aliyonayo yeye
😥😥
Wow very good actors
😅😅😅😅😅😅😅
Munafunza nzuri mashallah
Ongezeni kipande 39
Munaelimisha😢munafunga😢pia Asante😢 kwa kutuletea kaz mzuli kama iz👏😂
hata nimeshituka nalia kwa chozi kubwa mno😭😭
😢😢😢
Nampenda huyu kaka san t😊
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
From tiktok much love from 🇰🇪
❤❤❤Kaz kaz
Jameni khayrati mimi nimempenda kwakweli naomba namba zake plz
Nimejifunza kitu kikubwa sana hongeren kwa kaz nzuri
Amazing story ❤️ ♥️ 😍 👏 💕 💖 ❤️ ♥️ 😍 👏 💕
This is really the best comedy plus video I've ever seen! Congratulations, Great job homies.
Poleni sana jamani atana mm likuwa namzazi kamauyo
I almost cried when she met her mother for the first time! 😢😰 😭
Mambo
Dada na aillat mko vizur sanaaaa
Sioopoa kabisa
nikweli Kabisa good job and comedy and tanzania
Uwa napenda sna maneno ya mafunzo ya mbla nawapenda sna team nzima❤❤❤
Uyo mtoto nampenda
❤
Love you khailat
Huyu uncle anajua kuigiza ila apunguze kuongea Saaaaana mpaka anabowa ongea kidog tu be like bailam but hii umeuw naongelea kwa muv zngne upunguz kuongea san
Very touching story 😢😢😢😢
Ongeren sana nimejikuta namwaga chozi😢 Kwa kipande anko anamtbulisha moto mama inasikitisha San ongereni
Imeniliza hiii jamani😢😢😢
Aka kadem kapic kazuri kuliko ata wanafunzi walio kuja muhimbili
Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa
Nawapenda ❤kwa mafundisho yenu
Nimeipenda inafunza vizuri Sana... Mungu awazidishie🙏🇰🇪
Kazi nzuri sana❤❤🇰🇪
Kazi nzuri ❤❤❤
Nimelia sana maana imenigusa😢
Funzo nzuri sana kw jamii.... mashallah 🥰🥰 mumeweza
Aka kabinti ni kazuri
Nimekapend
Part 2😢
Haya hizo hapo ❤❤❤
Haka katoto nimekapenda bure💛💛
Jaman naomben nafasi ya kuigiza niko seriously😭
😂😂😂
Nice 👍
Good lesson
Kazi nzuri sana❤
Lecho uyo chizi🤣🤣mama kijasho🤣🤣🤣
😂😂😂