MAMA WA KAMBO | 1 |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • #mamawakambo #movie #bongomovies
    MAMA WA KAMBO

Комментарии • 499

  • @EstherMalewo
    @EstherMalewo 11 месяцев назад +7

    Huyu mama shetani kbx mama wa kambo x mama jaman nawachukia sana

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +2

      INAUMIZA sana

  • @STORYZALEO
    @STORYZALEO 11 месяцев назад +12

    Daah uyu mtoto kaniliza

  • @mwanaSalim-re4pn
    @mwanaSalim-re4pn 11 месяцев назад +4

    Amecheza kialisia wallah uyu mma roho mbaya Yani we acha tu

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭😭🙏

  • @jacklinemutende
    @jacklinemutende Месяц назад +1

    woooiii mungu nipee nguvu ya kulea watoto wangu jameni

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 10 месяцев назад +3

    Ee Mwenyezi Mungu utujalie wa mama wote maisha marefu tuwalee watoto wetu 😭😭😭

  • @AliceMwacharo
    @AliceMwacharo 11 месяцев назад +12

    Hawa viumbe wanajiita mama w kambo nyoka sana

  • @Jojo-y7k8g
    @Jojo-y7k8g 11 месяцев назад +5

    Pole Sana mdogo wng umeniliza from 🇧🇮

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +2

      😭 Ina huzinisha

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 11 месяцев назад +46

    Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Sio wote wenye moyo kama wako wengine roho zao ndo kama hivi mwenyezi mungu akubariki sana kwa malezi mazuri❤️

    • @safiababu9266
      @safiababu9266 11 месяцев назад

      Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu

    • @sophiamaiga5623
      @sophiamaiga5623 10 месяцев назад

      Hata wewe ni marehemu mtaraiwa kumbuka kuomba mama yake afe

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 8 месяцев назад

      @@MOVIEMPYA Ameen yaraby

    • @DrLucas-gr5gs
      @DrLucas-gr5gs 8 месяцев назад

      Aisee roho imeniuma huyu mtot mungu akubaliki wew mwenyw roh nzur❤

  • @HellenKwamboka-x5h
    @HellenKwamboka-x5h 11 месяцев назад +5

    Jamani wanatezwa mama wa kambo si mama

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭😭😭

  • @Mdakuog
    @Mdakuog 11 месяцев назад +5

    Uyu mama katili

  • @selinanimbodza2931
    @selinanimbodza2931 11 месяцев назад +3

    Walai mtoto wa mwenzio mchukulie kama mtoto wako. Juu mungu halali jameni

  • @RahelCosmas-p5x
    @RahelCosmas-p5x 11 месяцев назад +2

    Jamani mama wa jambo muwalee vyema watoto wa wenzenu

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Kabisa 😭

  • @Zaiambi
    @Zaiambi Месяц назад +1

    Ni kweri na Mimi nirilelewa na mama. Wa mambo na akunitesa ❤

  • @AllyShop-x9s
    @AllyShop-x9s 2 месяца назад +1

    Hahaaaaa huyu mama Nadhan hajazaa kbx tena mungu atamlipa matexo ya huyo mtoto!!

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  2 месяца назад

      Kuna wanawake wanaroho mbaya sana

  • @SalmaOmar-x4p
    @SalmaOmar-x4p 11 месяцев назад +5

    Kwa kweli ss wanawake tunajisahau kweli tujuwe yatatufika😢😢

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Kabisa 😭🙏

  • @merryananias
    @merryananias 11 месяцев назад +6

    Jaman we mam kua na uruma haujaenda reba hatakama ni moveee sio ivoooo😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @NiyonkuruEspoir-v8e
    @NiyonkuruEspoir-v8e 11 месяцев назад +2

    Mtoto anakipaji kikubwa sana kiufupi wote walicheza vizuri sana

  • @SaidiAbdallahSaidiAbdallah
    @SaidiAbdallahSaidiAbdallah 11 месяцев назад +7

    Namim pia ameniliz😢🇦🇪

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Daah Yani huruma 😢 uyu mama jamani

  • @MwachendaMwachenda
    @MwachendaMwachenda 2 месяца назад

    Ndivyo walivyo mama wote wakambo mzuri n mumoja 2 lakn Mungu atamuxaidia

  • @LilianiReymond-u7r
    @LilianiReymond-u7r 3 дня назад

    Namchukia saana mama wa kambo kwa kunitesa hata kuninyima urithi wa baba yangu mali zote kachukua yeye😢😢

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 11 месяцев назад +8

    Huyu mama mbona anareflect sura yake na tabia maana wenye sura mbaya usiombe akawa mama yako wa kambo 😂😂😂

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Kabisa yan

    • @امينهاا-ق4ف
      @امينهاا-ق4ف 9 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @HusseinNovatus
      @HusseinNovatus 9 месяцев назад

      Mm😂😂 nakmbuka mbali sana Kwan ata mm nimeyapitia mhhh jaman tuwe na roho za huruma

  • @Shariphashabani
    @Shariphashabani 11 месяцев назад +2

    Nimelia sana Dah

  • @Maua-mj7pm
    @Maua-mj7pm 4 месяца назад +1

    Jaman mm pia mama wa kambo niko na watoto 3 wa mume wangu lkn siez8 fanya watoto hivi mungu aninusuru na ili wallah wangu nawapenda sana

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 11 месяцев назад +1

    Waaa waenga hawakukosea kusema mama wakambo si mama...i feel the pain

  • @elizabethnzomo2517
    @elizabethnzomo2517 11 месяцев назад

    Hakuna mama wakambo mzuri hata siku moja mungu saindia watoto

  • @زهرةكيني-ث3ل
    @زهرةكيني-ث3ل 11 месяцев назад +3

    Jaman 😢😢

  • @CheerfulValley-ei9dr
    @CheerfulValley-ei9dr Месяц назад

    Jaman mtoto amenilza atal maan me mwenyew nmelelewa km huy mtoto dah ee mungu mxaidie huy kijan

  • @Mdakuog
    @Mdakuog 11 месяцев назад +6

    Niacheni jamani nimeshindwa KUANGALIA Hadi mwisho

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭😭😭

    • @alexanderstephen1689
      @alexanderstephen1689 3 месяца назад

      Jamaniii daaaah dunianii kuna mateso kama Haya 😢😢😢😢😢

  • @MwajabuNyinge
    @MwajabuNyinge 13 дней назад

    inauma sana wa mama wahivo waache tabiya mbaya haya nimaisha

  • @abdiZuberi
    @abdiZuberi 7 месяцев назад

    hero kuwa na mama l love you mam so mush💯❣️💝💯💚💟

  • @ZuhuraHamissi
    @ZuhuraHamissi Месяц назад

    Pole sana yalinikuta hayo jitahid kupambana iposiku yatakwisha 😢😢

  • @ShabikiMedia-wc1fk
    @ShabikiMedia-wc1fk 11 месяцев назад +6

    😢 dah

  • @nemahk2361
    @nemahk2361 11 месяцев назад +7

    Najikuta Nalia😢😢😢😢😢😢

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Jikaze mtoto kaniliza Huyu 😭

  • @CharlesPoulo-dm1er
    @CharlesPoulo-dm1er 2 месяца назад

    Kaa namwanao vivuli muulize kwaupendo😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NaomiSaid-m1i
    @NaomiSaid-m1i 9 месяцев назад

    Mungu tusaidie ambao mama xetu wametagulia mbele xa haki🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AuntyDerick
    @AuntyDerick 22 дня назад

    Huyu mama ni laana kabisa shetani

  • @Mariam-h6h6v
    @Mariam-h6h6v 11 месяцев назад +2

    😢😢😢😢jmni ndio mna niliapa mwanangu ata nife stki alelewe n mke mwenza kher mamangu kma pia hyuko hri mpita njia 😢😢😢 mungu t

  • @AgnesPauli-n7k
    @AgnesPauli-n7k 28 дней назад

    mama shetani sana anahadamu anajifanya mwemaa

  • @Irenejelshom
    @Irenejelshom 11 месяцев назад +2

    Baraha

  • @JescaTindwa
    @JescaTindwa 9 месяцев назад

    Mungu nakuomba uwabariki yatima maan si Kwa mateso hayo

  • @selinanimbodza2931
    @selinanimbodza2931 11 месяцев назад +6

    Waah uchungu wa mwana ajue ni mama 😭😭😭😭

  • @EVAKIMARIO-nq3he
    @EVAKIMARIO-nq3he 11 месяцев назад +8

    😭😭😭😭

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭😭😭🔥

  • @habilimediatv
    @habilimediatv 11 месяцев назад +4

    😭😭😭😭😭😭Aiseee aya mateso daah

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭😭

    • @ThomssKapep
      @ThomssKapep 8 месяцев назад

      wanawake ni wauni sana hasa walio achika

  • @RobaiBarasa
    @RobaiBarasa 3 месяца назад +1

    Waa huyo mama shetani kweli kweli

  • @SolomonKamau-i1m
    @SolomonKamau-i1m 8 месяцев назад

    Mama kambo ni mbaya sana.

  • @clubindangamico-yj7pp
    @clubindangamico-yj7pp 11 месяцев назад +1

    Wamama kama hao watesi wawatoto hawastahili kusamehwa na mwenyezi Mungu kweli

  • @malandojames5151
    @malandojames5151 10 месяцев назад

    Mama wa kambo namchukia sana aise!!!

  • @bintiDullah
    @bintiDullah 9 месяцев назад +1

    Ntapambana na mwanang halelew na mama wa kambo

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 11 месяцев назад +3

    😢.😢😢😢 mama wa kambo simama mungu nilinde

  • @JacintaMapenzi
    @JacintaMapenzi 4 месяца назад

    Waaaaah gai mungu amusaidie plz

  • @maryd1538
    @maryd1538 11 месяцев назад +1

    Yaliza aki 😢😢😢❤❤

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Yani acha tu 😭

  • @SHUNGURAPPER
    @SHUNGURAPPER 11 месяцев назад +1

    GOOD IDEA

  • @chidzore
    @chidzore 9 месяцев назад

    Yankumbusha nlkotoka😢😢 anyway keep it up much love from German

  • @ubuyumediatz
    @ubuyumediatz 11 месяцев назад +4

    Mtoto aendi shinda baba hajui

  • @Husna-s5k
    @Husna-s5k 2 месяца назад

    Hii move inahuzunishaa sana juu ya haka katoto kanavyoteseka na huyu limama anavyomtesaa

  • @NaftariMapunda
    @NaftariMapunda 3 месяца назад

    Ila uyu mama ni noma anajua kuigiza

  • @RauhiaMohmed
    @RauhiaMohmed 2 месяца назад +1

    Weeeeeee uyooo mama au nn

  • @ChristinekitonyoKitonyo-kg4dh
    @ChristinekitonyoKitonyo-kg4dh 11 месяцев назад +2

    Mama una loo mbaya kama sura yako

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭😭😭

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Amuonei hata huruma

  • @JenniferSabas-mr3ow
    @JenniferSabas-mr3ow 18 дней назад

    Nipe umri mrefu mwenyez walao niache watt wana jiweza🙏

  • @JacklineNassary
    @JacklineNassary 4 месяца назад

    Daaah mama wakambo sio mama kweli

  • @khadijayusuf7968
    @khadijayusuf7968 11 месяцев назад +2

    Hadi nimelia jaman

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      Pole 😭😭

    • @khadijayusuf7968
      @khadijayusuf7968 11 месяцев назад

      @@MOVIEMPYA Asante musichelewe mwendelezo basi

  • @SyproseAchieng-q2v
    @SyproseAchieng-q2v 2 месяца назад +1

    Mama mbaya sana

  • @HonoryMassawe-z7j
    @HonoryMassawe-z7j 9 месяцев назад

    Siyo vizuri anavyokuwa
    Kigeugeu

  • @HusseinAdam-zn6iz
    @HusseinAdam-zn6iz 11 месяцев назад +2

    We mam umeza kwli

    • @MOVIEMPYA
      @MOVIEMPYA  11 месяцев назад +1

      😭 Yani huruma sana

    • @harrietajiambo229
      @harrietajiambo229 11 месяцев назад

      Huyu tasa

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 4 месяца назад

      Uyu hajaenda leb wallah lazim mung atamlan jaman daaa machoz yananitok

    • @HappyRuharara
      @HappyRuharara 3 месяца назад

      Hapana yawezekana amezaa ilatabiya yake sio zr hawez kukaa namtoto wakambo huyu dada

  • @JescarJina
    @JescarJina 5 месяцев назад

    Aki si wote pole sana dogoo

  • @LeilaAdija
    @LeilaAdija 3 месяца назад

    Pole Sana mdog ang umeniliza sana

  • @FelistusMbithe-qg1ox
    @FelistusMbithe-qg1ox 10 месяцев назад +1

    😭😭😭😭😭 dogo qweli kayapitia jamani,much love from kenya 🇰🇪 ♥️ 😍

  • @LilianKisumbi
    @LilianKisumbi 6 месяцев назад

    Jaman mama wa jambo wanaume muwe mnachunguza maisha ya watoto wenu jamaniiii

  • @CalebWasike-g1e
    @CalebWasike-g1e 3 месяца назад

    Jamani mungu asaidie uyu mtoto 🙏🙏🙏

  • @dottokibiki8984
    @dottokibiki8984 11 месяцев назад

    Wanawake jamani!!!!!! Ajuaye ni Mungu

  • @VeronicaShinyaka
    @VeronicaShinyaka 2 месяца назад +1

    Tunakosea wamama kidogo tu kamulilie mama ako kabulini da inauma sana

  • @GrolySilvano
    @GrolySilvano 3 месяца назад

    Watu kama hawa siku ya mwisho hukumu yao ni kunyongwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SilviaMassawe
    @SilviaMassawe 3 месяца назад

    Jaman mama wa kambo nawaogopa sana😢😢

  • @Annamtanga-b8c
    @Annamtanga-b8c Месяц назад

    mama wakambo anasahau kama tunasafali yakwenda mbingini shetan anamtumia haswaaa

  • @LovenessSifuni
    @LovenessSifuni 9 месяцев назад

    Wewe mama Mungu akusamehetu mana m

  • @YahayaHamza-x3q
    @YahayaHamza-x3q Месяц назад

    Mama wa kambo sio mama kwakweli

  • @ERICKNJERU
    @ERICKNJERU 9 месяцев назад

    Mama wa kambo bure kabisa 😂😂😂😂😂😂

  • @ThebawseFantasy
    @ThebawseFantasy Месяц назад

    Kuliko mama wa kambo bora ukakae na bibi kijijini

  • @LailiSaanan
    @LailiSaanan 5 месяцев назад

    Mam katil sanaaaah jamn pol mdg ang

  • @MudiDua
    @MudiDua Месяц назад

    Ww mama mungu atakuhukumu mbwa ww

  • @OlivierMageni
    @OlivierMageni 11 месяцев назад

    Mwana Muke mubaya Saaana, mama mtesi

  • @VivianAnyango-e1u
    @VivianAnyango-e1u 2 месяца назад

    Kuweni na roho mzuri kwa watoto wawa ume zenyo

  • @Janeth-kv7pp
    @Janeth-kv7pp 3 месяца назад

    Mama wa kambo sio wote mimi mwenyew napenda mama wa kambo kuliko chochote

  • @GloryMoses-v6t
    @GloryMoses-v6t 2 месяца назад

    Duuh!! Haya maisha bhn weachatu, ila mm siwezi kukaa na mama wakambo, maisha mateso ivi mpakaunamkumbuka mama yako mzazi 😢😢😢😢

  • @priscakimburi-sl9ml
    @priscakimburi-sl9ml 10 месяцев назад +1

    Waa maskin kumbe kweli mama wa kambo si mama 😭😭😭😭😭

  • @FarajaSanga-t1f
    @FarajaSanga-t1f 9 дней назад

    Maripo nihapa hapa duniani mungu atakujaria

  • @pendopeter4058
    @pendopeter4058 Месяц назад

    We mama mnafiki sana mung anakuona

    • @ZirediKhalisa
      @ZirediKhalisa 8 дней назад

      Anapita umoumo nilimopitia mie😢😢😢😢

  • @FatumaHaidan
    @FatumaHaidan 4 месяца назад

    Wanatuzalilisha xn wanawake wenzao daaah namchukia xn Uyo dada

  • @AngoreAngore
    @AngoreAngore 8 месяцев назад

    Kwa kweli mama wa kambo si mama

  • @KilyKidende
    @KilyKidende 19 дней назад

    Mhu
    Jamani
    Huyu
    Mama
    Ninaona
    Aseee

  • @JUMAJUMBE-ww7rd
    @JUMAJUMBE-ww7rd 3 месяца назад

    Jaman wazaz weng tuwe wavumiliv kwenye ndoa zet

  • @FatumaHassan-vi5km
    @FatumaHassan-vi5km 8 месяцев назад

    Usimfanyie ivo mtt was mwenzio uyui wakwako watalelewa na nani tuwapende watoto jaman inauma sanaa

  • @AshaAsinaly
    @AshaAsinaly 7 месяцев назад

    Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢

  • @RedseaOfficial
    @RedseaOfficial 2 месяца назад +1

    We hatakama haujazaa kuwa mstarab kwa watoto wawezi kwni haujuw baadae😢

  • @samuelmuchoki7238
    @samuelmuchoki7238 5 месяцев назад

    God Have Mercy

  • @JemimahKago-nb9bp
    @JemimahKago-nb9bp 9 месяцев назад

    Nimeyakataa haya maisha ya unyonge na pia mateso.Mungu nisaidie nisiwai tesa mtoto wa wenyewe au wetu.😂😂😂.

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 11 месяцев назад +3

    😭😭😭😭😭 kweli huyu mtoto anaipitia..... Mungu saitia watoto wote wanaolelewa na mama wa kambo

    • @LaitonMwansyange
      @LaitonMwansyange 10 месяцев назад

      Jamani uyumtoto ana pitiamaishamagumu

  • @angeliquenamutigegwa
    @angeliquenamutigegwa 3 месяца назад

    Pole kijana itakuwa mkubwa uyasahu yote

  • @SofiaMagubika
    @SofiaMagubika 7 дней назад

    Jaman huyu mtoto anateseka sana dah

  • @Happyness-w9z
    @Happyness-w9z 2 месяца назад +1

    We mwanamke shetan kabisa