Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
Huyu mama shetani kbx mama wa kambo x mama jaman nawachukia sana
INAUMIZA sana
Daah uyu mtoto kaniliza
Pole 😢
Amecheza kialisia wallah uyu mma roho mbaya Yani we acha tu
😭😭🙏
woooiii mungu nipee nguvu ya kulea watoto wangu jameni
Ee Mwenyezi Mungu utujalie wa mama wote maisha marefu tuwalee watoto wetu 😭😭😭
Hawa viumbe wanajiita mama w kambo nyoka sana
Pole Sana mdogo wng umeniliza from 🇧🇮
😭 Ina huzinisha
Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
Sio wote wenye moyo kama wako wengine roho zao ndo kama hivi mwenyezi mungu akubariki sana kwa malezi mazuri❤️
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
Hata wewe ni marehemu mtaraiwa kumbuka kuomba mama yake afe
@@MOVIEMPYA Ameen yaraby
Aisee roho imeniuma huyu mtot mungu akubaliki wew mwenyw roh nzur❤
Jamani wanatezwa mama wa kambo si mama
😭😭😭
Uyu mama katili
😭
Kweli
Walai mtoto wa mwenzio mchukulie kama mtoto wako. Juu mungu halali jameni
Siyo wote
Jamani mama wa jambo muwalee vyema watoto wa wenzenu
Kabisa 😭
Ni kweri na Mimi nirilelewa na mama. Wa mambo na akunitesa ❤
Hahaaaaa huyu mama Nadhan hajazaa kbx tena mungu atamlipa matexo ya huyo mtoto!!
Kuna wanawake wanaroho mbaya sana
Kwa kweli ss wanawake tunajisahau kweli tujuwe yatatufika😢😢
Kabisa 😭🙏
Jaman we mam kua na uruma haujaenda reba hatakama ni moveee sio ivoooo😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭
🤣🤣🤣🤣walai wewe
True
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
ak umeniliza 😭😭😭😭
Mtoto anakipaji kikubwa sana kiufupi wote walicheza vizuri sana
Shukrani sana 🙏
Ongera @@MOVIEMPYA
Namim pia ameniliz😢🇦🇪
Daah Yani huruma 😢 uyu mama jamani
Ndivyo walivyo mama wote wakambo mzuri n mumoja 2 lakn Mungu atamuxaidia
Namchukia saana mama wa kambo kwa kunitesa hata kuninyima urithi wa baba yangu mali zote kachukua yeye😢😢
Huyu mama mbona anareflect sura yake na tabia maana wenye sura mbaya usiombe akawa mama yako wa kambo 😂😂😂
Kabisa yan
😂😂😂😂
Mm😂😂 nakmbuka mbali sana Kwan ata mm nimeyapitia mhhh jaman tuwe na roho za huruma
Nimelia sana Dah
Pole
Jaman mm pia mama wa kambo niko na watoto 3 wa mume wangu lkn siez8 fanya watoto hivi mungu aninusuru na ili wallah wangu nawapenda sana
Amin
Sio poa hvo Kwa sababu ni mbayw
Waaa waenga hawakukosea kusema mama wakambo si mama...i feel the pain
Hakuna mama wakambo mzuri hata siku moja mungu saindia watoto
Jaman 😢😢
😭
Jaman mtoto amenilza atal maan me mwenyew nmelelewa km huy mtoto dah ee mungu mxaidie huy kijan
Niacheni jamani nimeshindwa KUANGALIA Hadi mwisho
😭😭😭
Jamaniii daaaah dunianii kuna mateso kama Haya 😢😢😢😢😢
inauma sana wa mama wahivo waache tabiya mbaya haya nimaisha
hero kuwa na mama l love you mam so mush💯❣️💝💯💚💟
Pole sana yalinikuta hayo jitahid kupambana iposiku yatakwisha 😢😢
😢 dah
Imeniumiza sana
Najikuta Nalia😢😢😢😢😢😢
Jikaze mtoto kaniliza Huyu 😭
Kaa namwanao vivuli muulize kwaupendo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu tusaidie ambao mama xetu wametagulia mbele xa haki🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu mama ni laana kabisa shetani
😢😢😢😢jmni ndio mna niliapa mwanangu ata nife stki alelewe n mke mwenza kher mamangu kma pia hyuko hri mpita njia 😢😢😢 mungu t
mama shetani sana anahadamu anajifanya mwemaa
Baraha
😭😭
Mmeua
Mungu nakuomba uwabariki yatima maan si Kwa mateso hayo
Waah uchungu wa mwana ajue ni mama 😭😭😭😭
😭😭😭😭
😭😭😭🔥
😭😭😭😭😭😭Aiseee aya mateso daah
😭😭
wanawake ni wauni sana hasa walio achika
Waa huyo mama shetani kweli kweli
Mama kambo ni mbaya sana.
Wamama kama hao watesi wawatoto hawastahili kusamehwa na mwenyezi Mungu kweli
Mama wa kambo namchukia sana aise!!!
Ntapambana na mwanang halelew na mama wa kambo
😢.😢😢😢 mama wa kambo simama mungu nilinde
Amina 🙏
Waaaaah gai mungu amusaidie plz
Yaliza aki 😢😢😢❤❤
Yani acha tu 😭
GOOD IDEA
Yankumbusha nlkotoka😢😢 anyway keep it up much love from German
Mtoto aendi shinda baba hajui
😭
Hii move inahuzunishaa sana juu ya haka katoto kanavyoteseka na huyu limama anavyomtesaa
Ila uyu mama ni noma anajua kuigiza
Weeeeeee uyooo mama au nn
Mama una loo mbaya kama sura yako
😭😭😭
Amuonei hata huruma
Nipe umri mrefu mwenyez walao niache watt wana jiweza🙏
Daaah mama wakambo sio mama kweli
Hadi nimelia jaman
Pole 😭😭
@@MOVIEMPYA Asante musichelewe mwendelezo basi
Mama mbaya sana
Siyo vizuri anavyokuwa
Kigeugeu
We mam umeza kwli
😭 Yani huruma sana
Huyu tasa
Uyu hajaenda leb wallah lazim mung atamlan jaman daaa machoz yananitok
Hapana yawezekana amezaa ilatabiya yake sio zr hawez kukaa namtoto wakambo huyu dada
Aki si wote pole sana dogoo
Pole Sana mdog ang umeniliza sana
😭😭😭😭😭 dogo qweli kayapitia jamani,much love from kenya 🇰🇪 ♥️ 😍
Jaman mama wa jambo wanaume muwe mnachunguza maisha ya watoto wenu jamaniiii
Jamani mungu asaidie uyu mtoto 🙏🙏🙏
Wanawake jamani!!!!!! Ajuaye ni Mungu
Tunakosea wamama kidogo tu kamulilie mama ako kabulini da inauma sana
Tenasana
Watu kama hawa siku ya mwisho hukumu yao ni kunyongwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jaman mama wa kambo nawaogopa sana😢😢
mama wakambo anasahau kama tunasafali yakwenda mbingini shetan anamtumia haswaaa
Wewe mama Mungu akusamehetu mana m
Mama wa kambo sio mama kwakweli
Mama wa kambo bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
Kuliko mama wa kambo bora ukakae na bibi kijijini
Mam katil sanaaaah jamn pol mdg ang
Ww mama mungu atakuhukumu mbwa ww
Mwana Muke mubaya Saaana, mama mtesi
Kuweni na roho mzuri kwa watoto wawa ume zenyo
Mama wa kambo sio wote mimi mwenyew napenda mama wa kambo kuliko chochote
Duuh!! Haya maisha bhn weachatu, ila mm siwezi kukaa na mama wakambo, maisha mateso ivi mpakaunamkumbuka mama yako mzazi 😢😢😢😢
Waa maskin kumbe kweli mama wa kambo si mama 😭😭😭😭😭
Maripo nihapa hapa duniani mungu atakujaria
We mama mnafiki sana mung anakuona
Anapita umoumo nilimopitia mie😢😢😢😢
Wanatuzalilisha xn wanawake wenzao daaah namchukia xn Uyo dada
Kwa kweli mama wa kambo si mama
Mhu
Jamani
Huyu
Mama
Ninaona
Aseee
Jaman wazaz weng tuwe wavumiliv kwenye ndoa zet
Usimfanyie ivo mtt was mwenzio uyui wakwako watalelewa na nani tuwapende watoto jaman inauma sanaa
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
We hatakama haujazaa kuwa mstarab kwa watoto wawezi kwni haujuw baadae😢
God Have Mercy
Nimeyakataa haya maisha ya unyonge na pia mateso.Mungu nisaidie nisiwai tesa mtoto wa wenyewe au wetu.😂😂😂.
😭😭😭😭😭 kweli huyu mtoto anaipitia..... Mungu saitia watoto wote wanaolelewa na mama wa kambo
Jamani uyumtoto ana pitiamaishamagumu
Pole kijana itakuwa mkubwa uyasahu yote
Jaman huyu mtoto anateseka sana dah
We mwanamke shetan kabisa