WAZANZIBARI TULIJIKWAA, SASA TUNARUDI TULIPOTOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024

Комментарии • 22

  • @MaryamAbbas-o1c
    @MaryamAbbas-o1c 22 дня назад +2

    Mashaallah mwili umenisisimka kwa kweli love zanzibar❤❤

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 22 дня назад +2

    Tulijikwaa kweli kuruhusu kuatwaliwa na watanganyika na ndo maana yote haya yanatokea

  • @migenimuse8597
    @migenimuse8597 22 дня назад

    Masha Allah tabarak Allah waanavala kamawabajuni mabuibui

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 22 дня назад

    Mashaallah mabaibui ya ya vitambaa nyuma nayakumbuka mwisho mwisho tena mm sikuwahi kuvaa lakini watu wamependeza ❤

  • @zeyanaali2053
    @zeyanaali2053 21 день назад

    Wonderful

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 22 дня назад

    Rahaaa mabuibui ya Zanzibar yanapendeza sana. 😍 ukivaa

  • @YahyaSalimAbdalla
    @YahyaSalimAbdalla 22 дня назад

    Maasha Allah

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 22 дня назад +1

    Twaomba pia tusisahau na hata kuwataja sana watu wa tumbatu kwamba ndio waanzilishi wa hio ZANZIBAR yenye hayo matamasha.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 23 дня назад +2

    Zanzibar lazima itangazwe ulimwenguni na sio Tanzania, sisi ni Wazanzibar na sio Watanzania sawa,love Zanzibar bin Seif 💯👌

    • @nujaidomar5676
      @nujaidomar5676 22 дня назад +2

      Kwaio utanzania huutaki au kumbuka znz si nchi na miongoni mwa nchi duniani zanzibar haimo yote kw yote kila m2 ajipime kwa kias gani anadumisha mila silk na tamaduni za kiznzbr kiujumla ni kwamba mila na tamaduni za kizanzibr ni nzur ila ss wenyew hatufati tumeathirika na Western cultures

    • @mudymbarouk8279
      @mudymbarouk8279 22 дня назад

      Ndugu yngu hao watu wengine usipigishane nao kelele wewe kaa kimya tu mana muda c mrefu utatukanwa​@@nujaidomar5676

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 22 дня назад

      ​@@nujaidomar5676 Zanzibar ime julikana mwanzo kiduniaan kuliko ata Tanganyika na Zanzibar ni nchii ilio nyimwa mamlaka yke na Tanganyika zanzbr ni nchii ila 2025 mungu akitufikisha yata jibagua maji na mafuta kwa 7bu tuta taka mamlaka kamili

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 22 дня назад

    Kumbe Ata huyu ngongoti ni utamaduni nakumbuka nilivokua mdogo nilikua namuogopa😂😂😂

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 22 дня назад

    Tuna ambiwa zanzibar zamn hata wazungu hawakivaa ovyo mitaani ila siku hizi

  • @thamani5842
    @thamani5842 23 дня назад

    Ma Sha ALLAH❤

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff 22 дня назад

      Turudi jamani ktk mavazi yetu halic ya kizanzibar. Hakika wazanzibar tupo wastaarab kabisa. Znz yetu ni njema ila vile 2 atakae aje na cc tukawaiga tamaduni zao. Tuombe wajao wafate zetu!

  • @nujaidomar5676
    @nujaidomar5676 22 дня назад

    Tamaduni za kizanzibari ni nzur ila kiukweli wazanzibar tumepoteza tamaduni zetu na kufuata mila za watu wa maghrib si katika mavaz wala ukataji wa nywele na mamb kibao Wapi utakuta watua wanaftari pamoja saiv ktk mtaa wapi utakuta watu wanapelekeana chakula majirani saiv izo kanga niwachache sana wanaovaa saiv ni modo na baibui mpasuko kwa akina dada. zinaa imekua kubwa watoto hawaend madrasa na mzazi hasubutu kumuadabisha hata mwanawe sembuse wa jirani yake jambo ambalo ni tofauti na wazee wetu walivyoishi Zaman

  • @kombojuma312
    @kombojuma312 22 дня назад +2

    Ni bongo mtupu kwani utamaduni umeshapotea Leo hii mnakumbaka shuka wakati usiku umeshakucha mijipe moyo huo ni uongo mtupuu

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 22 дня назад +3

      Uwongo mtupu hujakosea km ni utamaduni ni kuendeleza utamaduni usipotee uonekane kila siku lkn unasubir mpk siku ya utamaduni ndio utangaze kwahio hapo tusubiri tena mwakanii 😂 utangaziwe huo utamaduni jee hao waliovaa ni wazanzibar khalisi au tufunike kombe

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 21 день назад

      Hapo ni unafiq mtupu hakuna lolote hapo​@@nailamohd-wn6sb

  • @شيخنيف
    @شيخنيف 21 день назад

    Unafiq mtupu

  • @ismailmakame3972
    @ismailmakame3972 14 дней назад

    Mambo haya yasihusishwe na kiserekali. Tunaendawapi msituletee mambo yakipumbavu