Kwaio utanzania huutaki au kumbuka znz si nchi na miongoni mwa nchi duniani zanzibar haimo yote kw yote kila m2 ajipime kwa kias gani anadumisha mila silk na tamaduni za kiznzbr kiujumla ni kwamba mila na tamaduni za kizanzibr ni nzur ila ss wenyew hatufati tumeathirika na Western cultures
@@nujaidomar5676 Zanzibar ime julikana mwanzo kiduniaan kuliko ata Tanganyika na Zanzibar ni nchii ilio nyimwa mamlaka yke na Tanganyika zanzbr ni nchii ila 2025 mungu akitufikisha yata jibagua maji na mafuta kwa 7bu tuta taka mamlaka kamili
Tamaduni za kizanzibari ni nzur ila kiukweli wazanzibar tumepoteza tamaduni zetu na kufuata mila za watu wa maghrib si katika mavaz wala ukataji wa nywele na mamb kibao Wapi utakuta watua wanaftari pamoja saiv ktk mtaa wapi utakuta watu wanapelekeana chakula majirani saiv izo kanga niwachache sana wanaovaa saiv ni modo na baibui mpasuko kwa akina dada. zinaa imekua kubwa watoto hawaend madrasa na mzazi hasubutu kumuadabisha hata mwanawe sembuse wa jirani yake jambo ambalo ni tofauti na wazee wetu walivyoishi Zaman
Uwongo mtupu hujakosea km ni utamaduni ni kuendeleza utamaduni usipotee uonekane kila siku lkn unasubir mpk siku ya utamaduni ndio utangaze kwahio hapo tusubiri tena mwakanii 😂 utangaziwe huo utamaduni jee hao waliovaa ni wazanzibar khalisi au tufunike kombe
Mashaallah mwili umenisisimka kwa kweli love zanzibar❤❤
Tulijikwaa kweli kuruhusu kuatwaliwa na watanganyika na ndo maana yote haya yanatokea
Masha Allah tabarak Allah waanavala kamawabajuni mabuibui
Mashaallah mabaibui ya ya vitambaa nyuma nayakumbuka mwisho mwisho tena mm sikuwahi kuvaa lakini watu wamependeza ❤
Wonderful
Rahaaa mabuibui ya Zanzibar yanapendeza sana. 😍 ukivaa
Maasha Allah
Twaomba pia tusisahau na hata kuwataja sana watu wa tumbatu kwamba ndio waanzilishi wa hio ZANZIBAR yenye hayo matamasha.
Zanzibar lazima itangazwe ulimwenguni na sio Tanzania, sisi ni Wazanzibar na sio Watanzania sawa,love Zanzibar bin Seif 💯👌
Kwaio utanzania huutaki au kumbuka znz si nchi na miongoni mwa nchi duniani zanzibar haimo yote kw yote kila m2 ajipime kwa kias gani anadumisha mila silk na tamaduni za kiznzbr kiujumla ni kwamba mila na tamaduni za kizanzibr ni nzur ila ss wenyew hatufati tumeathirika na Western cultures
Ndugu yngu hao watu wengine usipigishane nao kelele wewe kaa kimya tu mana muda c mrefu utatukanwa@@nujaidomar5676
@@nujaidomar5676 Zanzibar ime julikana mwanzo kiduniaan kuliko ata Tanganyika na Zanzibar ni nchii ilio nyimwa mamlaka yke na Tanganyika zanzbr ni nchii ila 2025 mungu akitufikisha yata jibagua maji na mafuta kwa 7bu tuta taka mamlaka kamili
Kumbe Ata huyu ngongoti ni utamaduni nakumbuka nilivokua mdogo nilikua namuogopa😂😂😂
Tuna ambiwa zanzibar zamn hata wazungu hawakivaa ovyo mitaani ila siku hizi
Ma Sha ALLAH❤
Turudi jamani ktk mavazi yetu halic ya kizanzibar. Hakika wazanzibar tupo wastaarab kabisa. Znz yetu ni njema ila vile 2 atakae aje na cc tukawaiga tamaduni zao. Tuombe wajao wafate zetu!
Tamaduni za kizanzibari ni nzur ila kiukweli wazanzibar tumepoteza tamaduni zetu na kufuata mila za watu wa maghrib si katika mavaz wala ukataji wa nywele na mamb kibao Wapi utakuta watua wanaftari pamoja saiv ktk mtaa wapi utakuta watu wanapelekeana chakula majirani saiv izo kanga niwachache sana wanaovaa saiv ni modo na baibui mpasuko kwa akina dada. zinaa imekua kubwa watoto hawaend madrasa na mzazi hasubutu kumuadabisha hata mwanawe sembuse wa jirani yake jambo ambalo ni tofauti na wazee wetu walivyoishi Zaman
Ni bongo mtupu kwani utamaduni umeshapotea Leo hii mnakumbaka shuka wakati usiku umeshakucha mijipe moyo huo ni uongo mtupuu
Uwongo mtupu hujakosea km ni utamaduni ni kuendeleza utamaduni usipotee uonekane kila siku lkn unasubir mpk siku ya utamaduni ndio utangaze kwahio hapo tusubiri tena mwakanii 😂 utangaziwe huo utamaduni jee hao waliovaa ni wazanzibar khalisi au tufunike kombe
Hapo ni unafiq mtupu hakuna lolote hapo@@nailamohd-wn6sb
Unafiq mtupu
Mambo haya yasihusishwe na kiserekali. Tunaendawapi msituletee mambo yakipumbavu