STESHENI YAWAKA MOTO NA CHAMA | KISUGU AMKWEPA CHAMA "SIMBA INASAJILI VIJANA WADOGO NA HATARI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • СпортСпорт

Комментарии • 14

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 6 дней назад +4

    Unyama mwingi sana simba nguvu moja ❤❤❤

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 5 дней назад +3

    Aisee hili lisugu anadanganya sana!!

  • @elialaulian7700
    @elialaulian7700 6 дней назад +4

    Kisugu unaongea tukupe usemaji wa simba queens

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y 6 дней назад +1

    Nguvu moja

  • @andreageorge6407
    @andreageorge6407 6 дней назад +2

    Mutale Osmane Sakho na Mayele

    • @bone102
      @bone102 6 дней назад

      Mutale Okjepha na mukwala ( MOM)

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp 5 дней назад

    Taja biashara inyo fanyika preseason.? Unabrand nini?

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 5 дней назад

    Shirikisho 😂😂

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 6 дней назад +2

    Kwanza niheshima wakimtacha chama wataizungumza simba mafanikio yake na vile alivyowatesa wao yanga sina hatumzungumzii tena chama full stop

    • @KabungaKalla-fw4pp
      @KabungaKalla-fw4pp 5 дней назад

      Mpaka hapo umemtaja chama.unaposema hamu mzungumzii huo uongo

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 6 дней назад

    Nimeamin kweli KISUGU NI POYOYO HAJUI NINI MAANA YA PRE SEASON

  • @IsayaMolison
    @IsayaMolison 6 дней назад

    Kisugu unapwayuka kunakochaa apo nani anasajiri wachezaj inafer Nan anakurazimisha kwenye midia

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp 5 дней назад

    Yanga inavutia ndio maana viongozi wachezaji .washabiki hata wafanya kazi kina senzo walikubali kuajiriwa yanga.

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 5 дней назад

    Sasa kama hakuna mtaalamu,mnajadili nini sasa,mnalowesha maiki ya watu mate,mzee mtitu unaongea nin!