Комментарии •

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 14 дней назад +13

    Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 13 дней назад

      Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 13 дней назад

      Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano

    • @JoramKinyuko
      @JoramKinyuko 9 дней назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t 13 дней назад +1

    GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 13 дней назад +4

    Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 13 дней назад +2

    JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 14 дней назад +3

    Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 13 дней назад

      @@user-yh3dv2bl7u
      Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki

  • @yohanalungwa7960
    @yohanalungwa7960 14 дней назад +7

    Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa

  • @kefamahenge5187
    @kefamahenge5187 13 дней назад

    Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.

  • @LupatuDaiya
    @LupatuDaiya 13 дней назад

    Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker

  • @patrickmohamed3639
    @patrickmohamed3639 14 дней назад +4

    Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa

  • @samadady7795
    @samadady7795 14 дней назад +4

    Mwanangu unaongea ukwely sana

  • @MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
    @MnyorokaAhmadSimba-wk4gr 5 дней назад

    Hongera tutakupa kamati yadua

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 13 дней назад +2

    SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 13 дней назад +1

    Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m 8 дней назад

    Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n 13 дней назад +1

    Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂

  • @user-os7yv7gg1s
    @user-os7yv7gg1s 14 дней назад +4

    😂😂😂GB bana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 12 дней назад

    Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga 13 дней назад

    Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 13 дней назад +1

    Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa

  • @HamadSuleiman-e1x
    @HamadSuleiman-e1x 13 дней назад +1

    Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa 14 дней назад +1

    Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 13 дней назад +3

    Kweli wanawapiga misumari sana

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 13 дней назад +2

    Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue

  • @user-xc8jp2ol4m
    @user-xc8jp2ol4m 13 дней назад +1

    Umetufumbua macho blo

  • @beatussoka9517
    @beatussoka9517 14 дней назад +4

    GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m 8 дней назад

    Nasisitiza kazi ya upishi

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 13 дней назад +2

    Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu

  • @Mwnashabani
    @Mwnashabani 13 дней назад

    Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan

  • @JohnMpemba-in1jm
    @JohnMpemba-in1jm 14 дней назад +2

    Gb upo saw bro

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 13 дней назад +2

    Yanga wamemchukua tena pa jobe

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi 13 дней назад +1

    Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 13 дней назад +1

    Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂

  • @sedekiantibahoha2245
    @sedekiantibahoha2245 14 дней назад +1

    We ndo huna akili sio gb

  • @YahyaMndevu
    @YahyaMndevu 10 дней назад

    Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani497 13 дней назад

    Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 14 дней назад +3

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @danielpeter8085
    @danielpeter8085 13 дней назад

    Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 13 дней назад +2

    Nakweli

  • @user-pz9nd8ys8o
    @user-pz9nd8ys8o 11 дней назад

    Gb yupo sahih

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 13 дней назад +1

    Mo oyeeee nguvu moja

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 12 дней назад

    Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 13 дней назад +1

    HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA

  • @SilivesterHasunu
    @SilivesterHasunu 13 дней назад +1

    mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 8 дней назад

    Simba nguvu moja

  • @MohdRehan-v9l
    @MohdRehan-v9l 13 дней назад

    Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 12 дней назад

    Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?

  • @KABIBIPETER
    @KABIBIPETER 11 дней назад

    lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba

  • @ezenaboniface2519
    @ezenaboniface2519 8 дней назад

    Nikweli viongozi wa Simba amkeni lindeni wachezaji vipaji vyao maana upande wa pili wanawachezea wachezaji wetu wanaharibu vipaji vyao ok viongozi

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 13 дней назад

    Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 12 дней назад

    HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 13 дней назад

    acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2

  • @KuchbyMskude
    @KuchbyMskude 12 дней назад

    Shabiki mwenye akili hold up broah

  • @eliadaimon804
    @eliadaimon804 13 дней назад

    Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 13 дней назад +1

    ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 13 дней назад +1

    Salute kwako mwana Movement

  • @marshangeka712
    @marshangeka712 10 дней назад

    Kweli kabisa mwamba

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n 12 дней назад

    Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn

  • @godwillrichard7017
    @godwillrichard7017 13 дней назад

    TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...

  • @AwadhiHashimu
    @AwadhiHashimu 13 дней назад

    Vp unawasifu tena kak

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 13 дней назад

    Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?

  • @abuusadick9891
    @abuusadick9891 14 дней назад +2

    Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 13 дней назад +1

      MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA

  • @THEOBALDNGOBYA
    @THEOBALDNGOBYA 13 дней назад

    Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.

  • @justinazakayo6152
    @justinazakayo6152 13 дней назад

    Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure

  • @ambrosipaulo1732
    @ambrosipaulo1732 13 дней назад

    Gb bhana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 12 дней назад

    ❤❤

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 13 дней назад +1

    G waambie utopolo walozi sana

  • @RajabuRamadhan-cy4cj
    @RajabuRamadhan-cy4cj 13 дней назад

    Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 14 дней назад

    Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 13 дней назад

    Pa omary jobe kaenda yanga

  • @amirihabibu8892
    @amirihabibu8892 9 дней назад

    Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 13 дней назад

    GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 14 дней назад +2

    Huyu kashalewa mbona

  • @Amonationtv4551
    @Amonationtv4551 13 дней назад

    Daah

  • @JohnAloyceSanane
    @JohnAloyceSanane 14 дней назад +4

    Asa anamgombesha Nan huyo
    😢😢😂😂

  • @Tupatupamuhamadi
    @Tupatupamuhamadi 13 дней назад

    Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa

  • @Licky_boy_tz
    @Licky_boy_tz 13 дней назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @Daniel-u5q
    @Daniel-u5q 13 дней назад

    Uko sahh mwamba

  • @simionluambano3828
    @simionluambano3828 13 дней назад

    Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 13 дней назад

    Kweli kabisa 😂

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 13 дней назад

    Kweli yanga wachawi sana

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 13 дней назад +1

    Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 13 дней назад +1

      NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA

  • @luganowilliam2150
    @luganowilliam2150 12 дней назад

    Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 13 дней назад

    Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi

  • @mosesmachumu7423
    @mosesmachumu7423 13 дней назад

    right

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 8 дней назад

    Hahaha, kwelli uchawi upooo

  • @RashidWatac
    @RashidWatac 13 дней назад

    Kabisa mkongwe 64

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 13 дней назад

    NAKUKUBARI SANA GB64

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 13 дней назад

    huyu mwamba anaona mbali

  • @user-tr8nw3nu2n
    @user-tr8nw3nu2n 13 дней назад

    Sema baba sema

  • @MambukiIbrahim
    @MambukiIbrahim 13 дней назад

    Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 13 дней назад

    Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu

  • @mkudembeteni4075
    @mkudembeteni4075 13 дней назад

    Kaka umesema tume kusikia wata amua!!

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 13 дней назад

    Gb 64 umeongea ukweli

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 13 дней назад

    We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 13 дней назад

    Mmmmh mtatafuta sababu saaana

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 13 дней назад

    Et okajeka badala ya okajepha

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q 13 дней назад

    Msiongeesana mtaona aibuu

  • @4gfashion
    @4gfashion 13 дней назад +1

    Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 13 дней назад +1

      ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 13 дней назад

      Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh 13 дней назад

    Huna hela 0 hajielewi

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 13 дней назад +1

    Kweli aliyekupeleka jela alikuwa na akili sana 😂😂😂