Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@@user-yh3dv2bl7u Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@@user-yh3dv2bl7u
Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
Mwanangu unaongea ukwely sana
Hongera tutakupa kamati yadua
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
😂😂😂GB bana
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
Kweli wanawapiga misumari sana
HIYO 100%
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
Umetufumbua macho blo
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
Nasisitiza kazi ya upishi
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
Gb upo saw bro
Yanga wamemchukua tena pa jobe
NDIO ZAO HIZO
Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
We ndo huna akili sio gb
Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
SIMBA NGUVU MOJA
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
Nakweli
Gb yupo sahih
Mo oyeeee nguvu moja
Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa
HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
Simba nguvu moja
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba
Nikweli viongozi wa Simba amkeni lindeni wachezaji vipaji vyao maana upande wa pili wanawachezea wachezaji wetu wanaharibu vipaji vyao ok viongozi
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
Shabiki mwenye akili hold up broah
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
Salute kwako mwana Movement
Kweli kabisa mwamba
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
Vp unawasifu tena kak
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
Gb bhana
❤❤
G waambie utopolo walozi sana
TENA WANAUWABUDU
Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
Pa omary jobe kaenda yanga
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
Huyu kashalewa mbona
KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO
Daah
Asa anamgombesha Nan huyo
😢😢😂😂
WEWE
Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa
🎉🎉🎉🎉
Uko sahh mwamba
Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa
Kweli kabisa 😂
Kweli yanga wachawi sana
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi
Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi
right
Hahaha, kwelli uchawi upooo
Kabisa mkongwe 64
NAKUKUBARI SANA GB64
huyu mwamba anaona mbali
Sema baba sema
Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily
Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu
Kaka umesema tume kusikia wata amua!!
Gb 64 umeongea ukweli
We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.
Mmmmh mtatafuta sababu saaana
Et okajeka badala ya okajepha
Msiongeesana mtaona aibuu
Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha
ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA
Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta
Huna hela 0 hajielewi
Kweli aliyekupeleka jela alikuwa na akili sana 😂😂😂