Unasema eti yanga kachukua kombe uwanja mpya Aman znz!!? Mbona Simba imeanza kuchukua ubingwa wa muungano Zanzibar kwenye uwanja was Aman mbona nyie vyura hua Hanna kumbukumbu😮
Mnyama ni Mnyama, miaka mitatu bila Ubingwa lkn bado ni wa sita kwa ubora Africa, Sio wamemwarakisha bali utopolo walitapeliwa na Chama kuwa anafuatiliwa na Simba kumbe huyo Bwana ni msaliti wa Dabi amejifichia aibu huy, Ndio maana hakuwa na Mkataba wa kuvunjwa
Mo FC kwa maneno wanashinda ila uwanjawani 😂😂😂😂😂,halafu kwa kuongezea huko shirikisho hawafiki popote watafuzana tena kuanzia boss wanachama wachezaji viongozi mpaka kocha tusubiri tuone.
Naogopa mie ,,ao uto wasijewaoiga pini wachezaji wetu,,,MUNGU TULINDIE WACHEZAJI WETU
Unasema eti yanga kachukua kombe uwanja mpya Aman znz!!? Mbona Simba imeanza kuchukua ubingwa wa muungano Zanzibar kwenye uwanja was Aman mbona nyie vyura hua Hanna kumbukumbu😮
Mnyama ni Mnyama, miaka mitatu bila Ubingwa lkn bado ni wa sita kwa ubora Africa,
Sio wamemwarakisha bali utopolo walitapeliwa na Chama kuwa anafuatiliwa na Simba kumbe huyo Bwana ni msaliti wa Dabi amejifichia aibu huy,
Ndio maana hakuwa na Mkataba wa kuvunjwa
Mo FC kwa maneno wanashinda ila uwanjawani 😂😂😂😂😂,halafu kwa kuongezea huko shirikisho hawafiki popote watafuzana tena kuanzia boss wanachama wachezaji viongozi mpaka kocha tusubiri tuone.
HOJA SIO MO KUA NA PESA HOJA JEE ANAZITUMIA KWENYE SIMBA?
Huyu jamaa ni hatari kwa maneno