SEIF SIMBA: TEMA MATE CHINI, STEVEN MUKWALA KWA MASHABIKI WA SIMBA |MASHINE YA KUONGEA YATEMA CHECHE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 6

  • @MwajumaNgaruma
    @MwajumaNgaruma 3 месяца назад

    Naogopa mie ,,ao uto wasijewaoiga pini wachezaji wetu,,,MUNGU TULINDIE WACHEZAJI WETU

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 2 месяца назад

    Unasema eti yanga kachukua kombe uwanja mpya Aman znz!!? Mbona Simba imeanza kuchukua ubingwa wa muungano Zanzibar kwenye uwanja was Aman mbona nyie vyura hua Hanna kumbukumbu😮

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 месяца назад

    Mnyama ni Mnyama, miaka mitatu bila Ubingwa lkn bado ni wa sita kwa ubora Africa,
    Sio wamemwarakisha bali utopolo walitapeliwa na Chama kuwa anafuatiliwa na Simba kumbe huyo Bwana ni msaliti wa Dabi amejifichia aibu huy,
    Ndio maana hakuwa na Mkataba wa kuvunjwa

  • @MauBonde
    @MauBonde 3 месяца назад

    Mo FC kwa maneno wanashinda ila uwanjawani 😂😂😂😂😂,halafu kwa kuongezea huko shirikisho hawafiki popote watafuzana tena kuanzia boss wanachama wachezaji viongozi mpaka kocha tusubiri tuone.

  • @minaniormar5841
    @minaniormar5841 3 месяца назад

    HOJA SIO MO KUA NA PESA HOJA JEE ANAZITUMIA KWENYE SIMBA?

  • @YusuphuMasumbuko-b5f
    @YusuphuMasumbuko-b5f 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni hatari kwa maneno