Kumezua taharuki kubwa sana hapa kwenye mpira wetu hapa Tanzania ktk timu yetu Simba kuongelewa Feisal mpanzu na azizik hao ni mashabiki WA Simba Kwa Nini viongoz wasipambane kumchkua mmoja kati ya hao watu?wakumbuke shabiki ndo mpira ushauli wangu nawaombeni sikieni vilio vya mashabiki wanasemaje kwani wanaumia sana kama hamulijui
Habar ya asubuh kaka, kaka vp kuhusu feisal bado tunamhitaji
Mungu libariki chama langu
Mgonde,vp,mpazu,tuchagetu,mpakaajetu,kamahelahaitoshi,kwabos
Mambo mazuri tuu
Vipi kuhusu azizi
Vp feii yuko simba
Mpazuuu vipi tumeferi
Mpazuuu vipi au ndio nitoleee
Kaka vipi mpanzu mbona hatuelewi haji tena
Kikubwa.mpanzu.tu.kaka.mashabiki.wanakiu
Kumezua taharuki kubwa sana hapa kwenye mpira wetu hapa Tanzania ktk timu yetu Simba kuongelewa Feisal mpanzu na azizik hao ni mashabiki WA Simba Kwa Nini viongoz wasipambane kumchkua mmoja kati ya hao watu?wakumbuke shabiki ndo mpira ushauli wangu nawaombeni sikieni vilio vya mashabiki wanasemaje kwani wanaumia sana kama hamulijui
Sana kk tuna mtaka feisali