🔴LIVE: CHOME-SAME MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 18

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 3 дня назад +1

    Hongera sana Lema na Mbowe😂

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 2 дня назад

    Kadogo uko vizuri sana kupanga point

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 дня назад +1

    Leo miti inahamasishwa kidigital. Camera man mhuni na hovyo.

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 2 дня назад

    Ongea ukweli kaka, ukwel unaishi, David mathayo na viongozi wezake, wanaiba thahabu, vijana wanafukuzwa kila wakati, umasikini kila kona, mbaya sna

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis1013 День назад

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBaha 2 дня назад

    ✌️✌️✌️

  • @alexmollel292
    @alexmollel292 2 дня назад +1

    Huyu mtu wa camera anahujumu chama anatuonyesha miti badala ya watu

  • @user-em7bm2tw9b
    @user-em7bm2tw9b День назад

    Na hapo shengena ni kwa waarabu sasa ivi

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi 2 дня назад

    Mwamba

  • @solomonmwangosi1325
    @solomonmwangosi1325 3 дня назад

    Wa camera anapiga miti badala ya watu mpuuzi kabisa huyu hapo hapo mfukuzeni ni adui jamani

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi 2 дня назад

    Uyo mpiga kamera boya

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 2 дня назад

    Mpiga picha anafanya kazi gani hapo ?

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 2 дня назад

    Hatuna mbuge mathayo ni mwizi tu, tuna mlima shengena anavuna zahabu mwenyewe, anasema nimekuja kuminya ndizi zangu, anatoa galoni za mafuta vtenge, kofia, anapga mi,5 tena saiv kapiga, 25 same nikubwa mno, mbuga tnayo mkomazi national park 🏞️ ziwa ndungu,kihurio mto,ruvu shengena, zahabu tupu bado tunaitwa, maskini hapana sio sahihi tufke hatua, tukatae

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk 2 дня назад

    Mpiga picha. Picha zako siku hizi hazionekani kwa ubora

  • @niwacosmetics1657
    @niwacosmetics1657 3 дня назад

    Camera man kunashida gani? Tunaona milima na miti tuu, watu wakowapi?

  • @solomonmwangosi1325
    @solomonmwangosi1325 3 дня назад

    Jamani huyu bado anapiga miti. Mliopo hapo mfukuzen au angalieni kwenye mitandao yenu!

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 2 дня назад

    Watoeni watu moshi wa mwenge kichwani ili waweze kufikiri vizuri. Yani nikampigie mtu kura alafu eti ccm!!!!!!! Kama kuna siku nitafanya hivyo. Nisiende peponi kabisaaaa.

  • @niwacosmetics1657
    @niwacosmetics1657 2 дня назад

    Muheshimiwa kadogo, memories names of the place you are at for better connection. Hotuba nzuri sana nimeipenda, short and clear. Matayo analipwa shingapi umesema?