Watoeni watu moshi wa mwenge kichwani ili waweze kufikiri vizuri. Yani nikampigie mtu kura alafu eti ccm!!!!!!! Kama kuna siku nitafanya hivyo. Nisiende peponi kabisaaaa.
Muheshimiwa kadogo, memories names of the place you are at for better connection. Hotuba nzuri sana nimeipenda, short and clear. Matayo analipwa shingapi umesema?
Hongera sana Lema na Mbowe😂
Kadogo uko vizuri sana kupanga point
Leo miti inahamasishwa kidigital. Camera man mhuni na hovyo.
Ongea ukweli kaka, ukwel unaishi, David mathayo na viongozi wezake, wanaiba thahabu, vijana wanafukuzwa kila wakati, umasikini kila kona, mbaya sna
❤
✌️✌️✌️
Huyu mtu wa camera anahujumu chama anatuonyesha miti badala ya watu
Na hapo shengena ni kwa waarabu sasa ivi
Mwamba
Wa camera anapiga miti badala ya watu mpuuzi kabisa huyu hapo hapo mfukuzeni ni adui jamani
Uyo mpiga kamera boya
Mpiga picha anafanya kazi gani hapo ?
Hatuna mbuge mathayo ni mwizi tu, tuna mlima shengena anavuna zahabu mwenyewe, anasema nimekuja kuminya ndizi zangu, anatoa galoni za mafuta vtenge, kofia, anapga mi,5 tena saiv kapiga, 25 same nikubwa mno, mbuga tnayo mkomazi national park 🏞️ ziwa ndungu,kihurio mto,ruvu shengena, zahabu tupu bado tunaitwa, maskini hapana sio sahihi tufke hatua, tukatae
Mpiga picha. Picha zako siku hizi hazionekani kwa ubora
Camera man kunashida gani? Tunaona milima na miti tuu, watu wakowapi?
Jamani huyu bado anapiga miti. Mliopo hapo mfukuzen au angalieni kwenye mitandao yenu!
Watoeni watu moshi wa mwenge kichwani ili waweze kufikiri vizuri. Yani nikampigie mtu kura alafu eti ccm!!!!!!! Kama kuna siku nitafanya hivyo. Nisiende peponi kabisaaaa.
Muheshimiwa kadogo, memories names of the place you are at for better connection. Hotuba nzuri sana nimeipenda, short and clear. Matayo analipwa shingapi umesema?