SIKIA MFANYABIASHARA ALIVYOMTULIZA RC CHALAMILA KWA NONDO ZAKE KUPINGA SOKO LA SIMU 2000 KUPEWA DART

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 12

  • @SuzanGabriel-tp2cx
    @SuzanGabriel-tp2cx 2 месяца назад +1

    Heri ya kijana masikini mwenye hekima, kuliko mfalme mzee Mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 месяца назад +2

    Samia hawezi kuwasaidia chochote niamini mimi labda mnemgekuwa mnamshauli kuuza maliasili za tanganyika au kukopa au kusafili na ndege hapo angewaelewa

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 2 месяца назад +1

    Tatizo serekali inafikiria watanzania bado tupo mwaka 1985.
    Kila sehemu wanapewa wageni hata kama halina faida na wananchi.
    Raisi anacho kisema na serekali inavyo tenda havifanani!!! Swali nani anaiongoza nchi???

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 месяца назад +1

    Samia anateua takata maannhazimsaidii

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 месяца назад

    Kada kindaki ndaki wa chadema, anaitwa Mussa Ndile.. graduate wa ifm,,, IT

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 месяца назад

    Sio haki kumvisha kila jukumu Mkuu wa Mkoa. Mambo ya Masoko yanaweza kumalizwa na Halmashauri zinazohusika. Wamuache Mkuu wa Moa afanye kazi zake nyingine

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 2 месяца назад

    Sheria kufuatwa ndio njia pekee ya kuleta maendeleo na amani katika nchi yetu.

  • @BartonMwakyejo
    @BartonMwakyejo 2 месяца назад

    Nime ipenda hiyo hichi kizaz ni cha ZAHABU tu amke haki haiji kiwepes

  • @KarumeKindamba-lk1px
    @KarumeKindamba-lk1px 2 месяца назад

    Ongela mkuu wa mkoa kwakufaham wamachinga wanaweza kuwa walipakodi wazuri kuliko wanaoitwa wafanyabiashara.Kwahiyo niwakati wakuwa na machinga city.Mji ambao utakuwa na huduma muhimu kama maduka ya jumla, kituo cha mabasi n.k.Kumbuka mmachinga haitaji kujengewa masoko ya ghorofa

  • @shd12m55
    @shd12m55 2 месяца назад

    Hamna haurudi tena wewe 😂 ndio tabia yako kutuacha njia panda

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 месяца назад +1

    RC Hii kazi imemshinda kazi yake ni porojo tu soko la mabibo limemshinda 😂😂😂😂😂 kabakia kuunga juhudi tu.