Samia hawezi kuwasaidia chochote niamini mimi labda mnemgekuwa mnamshauli kuuza maliasili za tanganyika au kukopa au kusafili na ndege hapo angewaelewa
Tatizo serekali inafikiria watanzania bado tupo mwaka 1985. Kila sehemu wanapewa wageni hata kama halina faida na wananchi. Raisi anacho kisema na serekali inavyo tenda havifanani!!! Swali nani anaiongoza nchi???
Sio haki kumvisha kila jukumu Mkuu wa Mkoa. Mambo ya Masoko yanaweza kumalizwa na Halmashauri zinazohusika. Wamuache Mkuu wa Moa afanye kazi zake nyingine
Ongela mkuu wa mkoa kwakufaham wamachinga wanaweza kuwa walipakodi wazuri kuliko wanaoitwa wafanyabiashara.Kwahiyo niwakati wakuwa na machinga city.Mji ambao utakuwa na huduma muhimu kama maduka ya jumla, kituo cha mabasi n.k.Kumbuka mmachinga haitaji kujengewa masoko ya ghorofa
Heri ya kijana masikini mwenye hekima, kuliko mfalme mzee Mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo
Samia hawezi kuwasaidia chochote niamini mimi labda mnemgekuwa mnamshauli kuuza maliasili za tanganyika au kukopa au kusafili na ndege hapo angewaelewa
Tatizo serekali inafikiria watanzania bado tupo mwaka 1985.
Kila sehemu wanapewa wageni hata kama halina faida na wananchi.
Raisi anacho kisema na serekali inavyo tenda havifanani!!! Swali nani anaiongoza nchi???
Samia anateua takata maannhazimsaidii
Kada kindaki ndaki wa chadema, anaitwa Mussa Ndile.. graduate wa ifm,,, IT
Sio haki kumvisha kila jukumu Mkuu wa Mkoa. Mambo ya Masoko yanaweza kumalizwa na Halmashauri zinazohusika. Wamuache Mkuu wa Moa afanye kazi zake nyingine
Kazi gani hiyo ndiyo kazi yake moja wapo
Sheria kufuatwa ndio njia pekee ya kuleta maendeleo na amani katika nchi yetu.
Nime ipenda hiyo hichi kizaz ni cha ZAHABU tu amke haki haiji kiwepes
Ongela mkuu wa mkoa kwakufaham wamachinga wanaweza kuwa walipakodi wazuri kuliko wanaoitwa wafanyabiashara.Kwahiyo niwakati wakuwa na machinga city.Mji ambao utakuwa na huduma muhimu kama maduka ya jumla, kituo cha mabasi n.k.Kumbuka mmachinga haitaji kujengewa masoko ya ghorofa
Hamna haurudi tena wewe 😂 ndio tabia yako kutuacha njia panda
RC Hii kazi imemshinda kazi yake ni porojo tu soko la mabibo limemshinda 😂😂😂😂😂 kabakia kuunga juhudi tu.